Ni kweli mama, mimi nipo OMAN huku kuna biashara haruhusiwi kufanya mgeni mfano Mishikaki ni wenyeji tu Dereva tax wenyeji tu, dereva magari pickup mpaka tani 5 wenyeji, madereva mabasi ya abiria wenyeji, tu. Mgeni kama anafungua duka lazima mdhamini awe mwenyeji na kwenye leseni picha ya mwenyeji Mall, maduka kawaida, magari ya kubeba maji tank wenyeji tu sisi kwetu hakuna si vibaya kufanya hivyo pia mishahara makampuni lazima wawalipe wenyeji zaidi, kuliko mgeni ila kwetu ati mgeni ndo Mwenye mshahara kumzidi mwenyeji mzawa Kingine NAPENDEKEZA JAFO ILI KUONDOA MISONGAMANO KARIAKOO JENGENI MASOKO YA JUMLA NJE YA KARIAKOO MFANO BANANA KUNA UWANJA MKUBWA PALE HALI YA HEWA WEKA SOKO BIDHAA ZA SHAMBA BADALA WATU KUTOKA CHANIKA KWENDA KARIAKO WAISHIE BANANA TU KUTOKA KITUNDA, KIVULE MWANAGATI NK. KINYEREZI WAJE HAPO HATA PUGU PIA Nimekaa sauz afrika kule kuna mitaa imechorwa vibox pembe nne zina namba unakodi kwa siku au wiki machinga unaweka biashara yako kuna mitaa ya mitumba, na kuna mtaa wa biadhara ya matunda mboga nk. Samaki wanatizwa kodi ya kila siku.
@FrancisMushi-m7m23 күн бұрын
Yaani nimempongeza raisi kwelikweli, leo umejibu keep zetu kariakoo na kwa hili nikwambie maamuzi haha ni makubwa na kariakoo tuko na wewe, na Kama hili litatekelezwa sisi tutazidi kupongeza Mwenyezi Mungu akupe wepesi Sana kwenye Hili maana mnapoteza Kodi nyingi Sana kwa uwepo was hawa machinga Asante.
@magigesabai867423 күн бұрын
machinga sio mtu ?
@mndambokilavo250223 күн бұрын
Mkiondoa noti kariakoo wala hakutakuwa na shida yoyote
@omaryyusuf940523 күн бұрын
Asante mkuu
@maulidimpili69823 күн бұрын
Kwel mama uko makn sana sisi watoto wako kuna watu wanalengo la kukuchafua lakn mung atakulinda
@jedidahbintidaudi824123 күн бұрын
Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, divide amongst yurselves these tasks. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
@user-ku4xq4nd9v23 күн бұрын
MITANO KWA MAMA 👍
@gabrielmchau876423 күн бұрын
Kwa hili naunga mkono hoja, machinga na maduka hawaez kuwa pamoja af mambo yakaenda sawa kiukweli
Kariakoo inahitaj kupangliwa kwa sasa kama anavosema Raisi ili ata watu wakigoma ijulkane wanagomea nn na mwenye makosa haonekane kirahs mtifuano wa machinga na wapangaj wafanya biashara kariakoo n mkal mno kiasi kwamba hawana interest Moja ya madai ata wakat wa mgomo. Yan hawa wanaongelea Kodi issues hawa wamachnga wanasema wapangaj wafanya biashara awatutak sasa n mixed issue kubwa mno