Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Mzee Yusuf Makamba akihutubia katika mkutano mkuu wa nane wa Chama hicho huko Kizota, Dodoma, Novemba 2012
Пікірлер: 12
@abdalahgunda131926 күн бұрын
Nchi inaitaji busara sio mipasho utawala wa kihitla wakati nchi za kiafrica shida tupu utawala rushwa sheria hatuzieshimu utawala wa kivita kt ya upinzani na chama tawala sio ushindani km marekani vyana viwili safari hii akishindwa huyu anakubali ya ishe jesho yeye Sasa na hizo ni nchi zilizoendelea sio zetu za kiafrica Leo ushindani wa democracy nchi za kiafrica ni vita kuharibu maendeleo tuliyapata toka ukoloni ujinga mtupu ktk tawala zetu za kiafrica tujifunze mashindano ya kisiasa sio vita hapo ndipo tunapoharibu mfumo wa usalama wa utawala wetu wa kiafrica
@neemalazalo83315 жыл бұрын
Makamba uyo kabla ya ubatizo wa moto wa magufuri haujampitia.... Hahahahahahahahahaha
@revjohnlyimo72999 жыл бұрын
hizo hirizi zilizo bebwa viunoni hapo hayo maombi hayasogei hata mita kumi
@IbrahimMuro-v2e8 ай бұрын
Sana
@chumaramadhani.75814 жыл бұрын
MZEE YUSUPH MAKAMBA WEWE NI HAZINA TOSHA NDANI YA CHAMA CHETU (CCM). BADO MCHANGO TUNAUHITAJI 2020.
@mkwatamugisha499111 жыл бұрын
Mzee yuko sawa
@mwaramijuma791610 жыл бұрын
Hongera makamba
@erickpascal22495 жыл бұрын
hapa kaz tuuuu
@kelioliver523912 жыл бұрын
hivi hizo hela walizokuwa wanampa ni kwa ajili ya nini?
@MrSokwe12 жыл бұрын
Mzee makamba umechemka huwezi kumuomba mungu kuomba akupe kiongozi mwema wakati tayari umekwisha mchagua hata kabla ya kupiga kura!