TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 62
@afropanorama47306 күн бұрын
maendeleo ndio muhimu,hizi kelele za kwenye majukwaa zimeanza miaka nenda na hakuna liwalo,wanasiasa nyote waropokaji tu
@NoufelSalim8 күн бұрын
Mazurui anapenda kuropokwa, hapimi Cha kuongea ,hutoa tu yaliomo mdomoni.😂
@Jal2103 күн бұрын
Mazurui anasema ukweli
@Jal2103 күн бұрын
Kasema ukweli maendeleo yanawndelea na yanaonekana msema ukweli mpenzi wa mungu,
Zitto kabwe katiba mpyaaaaaaa 😂😂😂 hii ni longo longo ya ki si hasa 😂 nyambafu zetu 👎👎👎
@kassidpandu8669 күн бұрын
Hawajakufahamu kabisaa
@salyali78077 күн бұрын
Mh Jussa ananikosha ... sichoki kumsikiliza .. May Allah amhifadhi .. Allahumma ameen
@jumakapilima72956 күн бұрын
Hamna kitu hapo
@user-lr6qx9df4z5 күн бұрын
Kwani kusifia kitu ambacho kinaonekana kuna ubaya gani mie ndio mana siasa za kitanzani wala sizitaki ni siasa za kibwege tu
@kassidpandu8669 күн бұрын
kwani kuna ubaya gani kusifia Maendeleo na wakati yanaonekana?
@user-pe9nq3wu4p8 күн бұрын
Hakuna maendele yo yote
@abubakarshamuhuni38948 күн бұрын
Maendeleo gani ulioyaona wewe
@salyali78077 күн бұрын
Maendeleo ya madeni
@Rukaiya-lt3hm4 күн бұрын
Maendeleo gani ulioyaona wewe
@mbarakahaji43028 күн бұрын
Wewe ndio muflis wa siasa
@user-hj4zt1kw4i9 күн бұрын
Wataka awe shemeji yako? Taja mahar ya dada yako
@omarmohammed51578 күн бұрын
Kiukweli mazruui hasomeki 😂😂😂
@user-lr6qx9df4z5 күн бұрын
Huyu jussa hana tofauti na wahubiri dini mana huyu kila kukicha anahubiri anacho kiongea wala hakieleweki
@hawaelymaricca76028 күн бұрын
Acha matusi mtu mzima hovyo
@Rukaiya-lt3hm4 күн бұрын
Maalim alitukanwa sana mbona haukuumia ww
@alinasor85535 күн бұрын
Iyo siasa
@yahyahamisi20388 күн бұрын
Cuf au 😂😂😂😂
@hawaelymaricca76028 күн бұрын
Acha dharau masikini wewe
@MAGARITanzania8 күн бұрын
Zanzibar maendeleo yapo wazi hayataki tochi, mtu asiyeona basi hataki tu kuyaona.
@awadhsalim26808 күн бұрын
Maendeleo ya kuharibika kwa maadili😂
@Aisha-lj8bu8 күн бұрын
Njaaimezidi bila yashibe hakuna maendeleo
@omarmohammed51578 күн бұрын
Unajuwa maaana ya maemdeleo au unaona majengo tu???😂😂😂😂😂
@Rukaiya-lt3hm4 күн бұрын
Kama yapi
@FamilyVideos-pt1mo5 күн бұрын
Hivi bado znz kuna ccm?
@jumakapilima72956 күн бұрын
Mazrui anajitambua kuliko wewe!!
@Ablahisaid8 күн бұрын
Mm mwenye nashanga mazuri alipigwa na ccm mpaka kutupwa Leo hii aingie ccm yani negelimuona si mtu kwli ukiangalia jisi walivyokua na mwalimu seif kukilea chama hadi hii atoke
@alimohammedomar34126 күн бұрын
Usishangae kwani hata Juma Othman alipigwa hadi akachakaa lakini baadae alirudia ccm na kupewa ubalozi kwa tamaa yake
@jumA-th7rs2 күн бұрын
Nyie hamueleweki mnataka nn. Eleweni Zanzibar hamuipati ngoo kama kupewa ilikua mpewe na karume lakini kashindwa na Hakuna hata nchi moja iliolisema hili.
@jumamuhd620Күн бұрын
Km anatoa babaako haipatikani lkn km mtoaji ni mungu basi mungu anampa amtakae bl y hesabu
@user-ri1yr8ks7y7 күн бұрын
Hy
@KhamisMwafrika6 күн бұрын
hatumtaki tena huyobwana kashakupa fupa
@hawaelymaricca76028 күн бұрын
Sio Rahisi kuing'oa chama changu .wewe ongea kujifurahisha lakkini ni kitu ambacho hakiwezekani
Acheni bwabwaja, chama kilikuwa na nguvu kilipokuwa cha wazanzibar halisi, CUF, tangu mlipokipeleka bara mkawapa kanisa basi bwabwaja tu. Tizameni shughuli nyingi za makanisa rangi zao zipi ?
@margarethpolepole74388 күн бұрын
aunajiangaisha bure siyo rahisi kuitoa Ccm Zanzibar tutawstoa mnio kwetu bara mpaka mtakoma madukavyenu mtahama nayo huko kwenu hamtoshi na bara ndiko kwenye biasha jaribuni muone cha moto
@ahmedalbalooshi85188 күн бұрын
Margaret,bila ya nguvu ya vyombo vya dola(polisi na jeshi),hamna ccm
@KibondoPaje2228 күн бұрын
HUO NI UFALA WAKO KAMA HUKO MLIKO KAMA KUZURI MBONA WAMEJAAAA HUKU VICHOGOOOO
@HijaSaid-xd7fg9 күн бұрын
Wanafiki wakubwa, watu wmeuwawa nyie mnakimbilia nafasi tatu, Acha Meiny aendelee kuwa Ris wetu
@Jal2103 күн бұрын
Muflusi ni wewe mpumbavu
@KhamisMwafrika6 күн бұрын
amenunuliwa kashapewa pesahuyo
@user-lr6qx9df4z5 күн бұрын
Hayo maneno ya kisiasa tu unakumbuka mzigwa aliongea nini wakati yupo kule na kujiunga CCM hayo ni maneno ya kisiasa tu na huenda pia huyo MH manzruwi pia akahamia CCM pia nae nyie wana siasa mnaaninika basi nyie si wapiga dili tu Tanzania kuna siasa kuna wapiga dili
@user-bi1tz8jp9f9 күн бұрын
Kumbe jussa wamjua mtume,naona hujaowa mpaka leo
@delasdiego65379 күн бұрын
Anamsubiria dada Yako pumbav
@husseinkonz51929 күн бұрын
Kuoa mchezo 😂
@user-jh5ne9mw4w9 күн бұрын
Kwni unapata dhambi ukiwa hujaowa
@user-st9me2jn7o8 күн бұрын
Owa ww peke ako
@Aisha-lj8bu8 күн бұрын
Mpe dadaako atamuowa
@shekhanalyz16836 күн бұрын
Siasa hizo zimeshapitwa na wakati kama kiongozi anafanya vizur mpeni maua yake haijalisha chama tawala au upinzani kama mbunge wa upinzani anafanya vizuri mpeni mau kama tawala mpeni maua.