KIMENUKA ACT WATOA KAULI KWA TAHARUKI ILOSAMBAA MAZRUI KUFUKUZWA ACT

  Рет қаралды 19,676

Tifu Tv

Tifu Tv

10 күн бұрын

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 62
@afropanorama4730
@afropanorama4730 6 күн бұрын
maendeleo ndio muhimu,hizi kelele za kwenye majukwaa zimeanza miaka nenda na hakuna liwalo,wanasiasa nyote waropokaji tu
@NoufelSalim
@NoufelSalim 8 күн бұрын
Mazurui anapenda kuropokwa, hapimi Cha kuongea ,hutoa tu yaliomo mdomoni.😂
@Jal210
@Jal210 3 күн бұрын
Mazurui anasema ukweli
@Jal210
@Jal210 3 күн бұрын
Kasema ukweli maendeleo yanawndelea na yanaonekana msema ukweli mpenzi wa mungu,
@issakhamis9581
@issakhamis9581 9 күн бұрын
Upo saw kamanda
@issakhamis9581
@issakhamis9581 9 күн бұрын
Mbon nanabii issa hajaoa mpak leo
@BinshakbuHemed-gb2zi
@BinshakbuHemed-gb2zi 8 күн бұрын
Wewe. Unaesema. Siorahi. Tambua. Mungu. Hashindwi. Nakitu. Kma. Unamafuta. Kweye. Akiliyako
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 8 күн бұрын
Zitto kabwe katiba mpyaaaaaaa 😂😂😂 hii ni longo longo ya ki si hasa 😂 nyambafu zetu 👎👎👎
@kassidpandu866
@kassidpandu866 9 күн бұрын
Hawajakufahamu kabisaa
@salyali7807
@salyali7807 7 күн бұрын
Mh Jussa ananikosha ... sichoki kumsikiliza .. May Allah amhifadhi .. Allahumma ameen
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 6 күн бұрын
Hamna kitu hapo
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 5 күн бұрын
Kwani kusifia kitu ambacho kinaonekana kuna ubaya gani mie ndio mana siasa za kitanzani wala sizitaki ni siasa za kibwege tu
@kassidpandu866
@kassidpandu866 9 күн бұрын
kwani kuna ubaya gani kusifia Maendeleo na wakati yanaonekana?
@user-pe9nq3wu4p
@user-pe9nq3wu4p 8 күн бұрын
Hakuna maendele yo yote
@abubakarshamuhuni3894
@abubakarshamuhuni3894 8 күн бұрын
Maendeleo gani ulioyaona wewe
@salyali7807
@salyali7807 7 күн бұрын
Maendeleo ya madeni
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 4 күн бұрын
Maendeleo gani ulioyaona wewe
@mbarakahaji4302
@mbarakahaji4302 8 күн бұрын
Wewe ndio muflis wa siasa
@user-hj4zt1kw4i
@user-hj4zt1kw4i 9 күн бұрын
Wataka awe shemeji yako? Taja mahar ya dada yako
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 8 күн бұрын
Kiukweli mazruui hasomeki 😂😂😂
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 5 күн бұрын
Huyu jussa hana tofauti na wahubiri dini mana huyu kila kukicha anahubiri anacho kiongea wala hakieleweki
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 8 күн бұрын
Acha matusi mtu mzima hovyo
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 4 күн бұрын
Maalim alitukanwa sana mbona haukuumia ww
@alinasor8553
@alinasor8553 5 күн бұрын
Iyo siasa
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 8 күн бұрын
Cuf au 😂😂😂😂
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 8 күн бұрын
Acha dharau masikini wewe
@MAGARITanzania
@MAGARITanzania 8 күн бұрын
Zanzibar maendeleo yapo wazi hayataki tochi, mtu asiyeona basi hataki tu kuyaona.
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 8 күн бұрын
Maendeleo ya kuharibika kwa maadili😂
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 8 күн бұрын
Njaaimezidi bila yashibe hakuna maendeleo
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 8 күн бұрын
Unajuwa maaana ya maemdeleo au unaona majengo tu???😂😂😂😂😂
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 4 күн бұрын
Kama yapi
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo 5 күн бұрын
Hivi bado znz kuna ccm?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 6 күн бұрын
Mazrui anajitambua kuliko wewe!!
@Ablahisaid
@Ablahisaid 8 күн бұрын
Mm mwenye nashanga mazuri alipigwa na ccm mpaka kutupwa Leo hii aingie ccm yani negelimuona si mtu kwli ukiangalia jisi walivyokua na mwalimu seif kukilea chama hadi hii atoke
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 6 күн бұрын
Usishangae kwani hata Juma Othman alipigwa hadi akachakaa lakini baadae alirudia ccm na kupewa ubalozi kwa tamaa yake
@jumA-th7rs
@jumA-th7rs 2 күн бұрын
Nyie hamueleweki mnataka nn. Eleweni Zanzibar hamuipati ngoo kama kupewa ilikua mpewe na karume lakini kashindwa na Hakuna hata nchi moja iliolisema hili.
@jumamuhd620
@jumamuhd620 Күн бұрын
Km anatoa babaako haipatikani lkn km mtoaji ni mungu basi mungu anampa amtakae bl y hesabu
@user-ri1yr8ks7y
@user-ri1yr8ks7y 7 күн бұрын
Hy
@KhamisMwafrika
@KhamisMwafrika 6 күн бұрын
hatumtaki tena huyobwana kashakupa fupa
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 8 күн бұрын
Sio Rahisi kuing'oa chama changu .wewe ongea kujifurahisha lakkini ni kitu ambacho hakiwezekani
@user-xv4tl8iv4l
@user-xv4tl8iv4l 6 күн бұрын
ATOKE HADHARANI MWENYEWE MAZURUI ASEME SIO ASEMEWE. HAJAFA, YUHAI KWA NINI AWALISHE MANENO ? YEYE ALISEMA HADHARANI ATOKE HADHARANI ANAOGOPA NINI
@hamidmussa838
@hamidmussa838 8 күн бұрын
BARUDHUL WW NN ASIYEKUJUWA
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 8 күн бұрын
Sw yy nibaradhuli naww nibashawake mjinga ww
@Jal210
@Jal210 3 күн бұрын
Pimbi ni wewe mjinga huna adabu
@umsalim6515
@umsalim6515 8 күн бұрын
Acheni bwabwaja, chama kilikuwa na nguvu kilipokuwa cha wazanzibar halisi, CUF, tangu mlipokipeleka bara mkawapa kanisa basi bwabwaja tu. Tizameni shughuli nyingi za makanisa rangi zao zipi ?
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 күн бұрын
aunajiangaisha bure siyo rahisi kuitoa Ccm Zanzibar tutawstoa mnio kwetu bara mpaka mtakoma madukavyenu mtahama nayo huko kwenu hamtoshi na bara ndiko kwenye biasha jaribuni muone cha moto
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 8 күн бұрын
Margaret,bila ya nguvu ya vyombo vya dola(polisi na jeshi),hamna ccm
@KibondoPaje222
@KibondoPaje222 8 күн бұрын
HUO NI UFALA WAKO KAMA HUKO MLIKO KAMA KUZURI MBONA WAMEJAAAA HUKU VICHOGOOOO
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 9 күн бұрын
Wanafiki wakubwa, watu wmeuwawa nyie mnakimbilia nafasi tatu, Acha Meiny aendelee kuwa Ris wetu
@Jal210
@Jal210 3 күн бұрын
Muflusi ni wewe mpumbavu
@KhamisMwafrika
@KhamisMwafrika 6 күн бұрын
amenunuliwa kashapewa pesahuyo
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 5 күн бұрын
Hayo maneno ya kisiasa tu unakumbuka mzigwa aliongea nini wakati yupo kule na kujiunga CCM hayo ni maneno ya kisiasa tu na huenda pia huyo MH manzruwi pia akahamia CCM pia nae nyie wana siasa mnaaninika basi nyie si wapiga dili tu Tanzania kuna siasa kuna wapiga dili
@user-bi1tz8jp9f
@user-bi1tz8jp9f 9 күн бұрын
Kumbe jussa wamjua mtume,naona hujaowa mpaka leo
@delasdiego6537
@delasdiego6537 9 күн бұрын
Anamsubiria dada Yako pumbav
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 9 күн бұрын
Kuoa mchezo 😂
@user-jh5ne9mw4w
@user-jh5ne9mw4w 9 күн бұрын
Kwni unapata dhambi ukiwa hujaowa
@user-st9me2jn7o
@user-st9me2jn7o 8 күн бұрын
Owa ww peke ako
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 8 күн бұрын
Mpe dadaako atamuowa
@shekhanalyz1683
@shekhanalyz1683 6 күн бұрын
Siasa hizo zimeshapitwa na wakati kama kiongozi anafanya vizur mpeni maua yake haijalisha chama tawala au upinzani kama mbunge wa upinzani anafanya vizuri mpeni mau kama tawala mpeni maua.
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3 МЛН
Kauli ya Nassor Mazrui kuhusu ACT kuingia SUK
2:47
Weyani Tv
Рет қаралды 27 М.
IMEVUJA! CHANZO CHA MGOGORO WA MAZRUI NA ACT-WAZALENDO HIKI HAPA
7:17
CUF ONLINE TV TZ
Рет қаралды 11 М.
Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU
13:49
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 2,8 М.