Uko sahihi kabisa waziri mkuu . Watu wanafikiri vurugu na fujo vinaweza kutoa nafasi kwa basdhi ya watu kwa kuwatumia watu wanyonge kufikia malengo yao huku wao wenyewe wakiwa mbali na uwanja wa fujo na vurugu hizo. Wanao athirika ni watu masikini na wanyonge na watakao nufaika ni wale wenye vipato vikubwa. Maisha yatakuwa ni mabaya kuliko ilivyo sasa
@elibarikimollel71492 ай бұрын
Hatuelewi ubaguzi umeanza na nani katika muungano wetu kiasi cha kutumika pasport upande mmoja, utofauti wa huduma upande mmoja,haki ya kumiliki ardhi na uraia upande mmoja,lakini basi tu