No video

UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA

  Рет қаралды 40,680

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 60
@leonidafatson882
@leonidafatson882 11 ай бұрын
The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you in the morning how are you doing. Kwasababu huwa tuna amini simba haumwi ,simba hachoki , simba haishiwi nguvu, simba Hana matatizo. So if you're strongest person in your family, hakuna mtu atapata muda wa kukuuliza unaendeleaje afya yako, hakuna mtu atakuuliza ulifanya checkup, kwasababu wana amini wewe ni mtu imara na hodari. Matokeo yake you will spend a good time of your life kwenye investment ya watu wengine, alafu utagundua wewe huja invest kwako na muda unapohitaji watu wengine, hawatajitoa kama wewe ulivyojitoa kwao. Alafu utalaumu na kulaani. Lakini tatizo hapo sio Lao ni lako. Binadamu ni wabinafsi so put yourself first wengine watakuja baada ya wewe kuwa umekuwa settled.
@felixmsale9244
@felixmsale9244 11 ай бұрын
😅
@daudilaurian3111
@daudilaurian3111 9 ай бұрын
000000
@chancekambale3498
@chancekambale3498 5 ай бұрын
Umejitahidi 😂
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es 5 ай бұрын
Exactly! Powerful said
@shekinahshimeni8320
@shekinahshimeni8320 4 күн бұрын
Comment of the year 🎉🎉🎉🎉
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 11 ай бұрын
Mimi nilikuwa ninadhani watu kama Joel wangepewa nafasi kubwa katika kuelimisha jamii. Mfano kwa sasa wanatumiwa wasanii kuburudisha tu wanaimba nyimbo za matusi tu ambazo hazina mchango mzuri kwenye ubongo wa watu .
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 11 ай бұрын
Serikali ingewatumia watu kama Joel walau hata mara chache kutembea nao kwenye maeneo tofauti kwenye washa. Wangesaidia vijana wengi kujifunza vitu. Nakumbuka siku ya madawa ya kulevya alichukuliwa diamond kuburudisha ambapo hata nyimbo alizoimba haziendani na kupinga matumizi ya madawa ya kulevya. Badala yake msanii anakuwepo kama ushawishi wa watu kufika ila hakuna wanachojifunza.
@BarakadanielbarakaSulle
@BarakadanielbarakaSulle Күн бұрын
Sikuzote napenda kujifunza kupitia wewe joel❤🎉
@lazarorojha7042
@lazarorojha7042 11 ай бұрын
Hakika MB zangu hazijaenda Bure nimejifunza mengi xaaana kutoka kwako Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 11 ай бұрын
Ameen Ameen
@efraimumwailunga5282
@efraimumwailunga5282 11 ай бұрын
This is so powerful Nimejifunza kitu kikubwa sana katika hili somo
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 11 ай бұрын
Though it was women conference but we men also have benefited a lot especially me here. God bless you brother. @kenya
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 11 ай бұрын
Kadri ninavyokusikiliza hatua zangu zinaimalika saaana,,💪💪💪👏👏👏🤝🤝🤝 kira la heri kutoka kwa Mungu liwe juu yako,,, amen.
@amanigeorge-xe2gb
@amanigeorge-xe2gb 11 ай бұрын
Nimependa hii sa moja lakujifunza
@jasminenorman3744
@jasminenorman3744 2 ай бұрын
You are a full package
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 2 ай бұрын
Mashaalah
@upendoloondokalembekela7748
@upendoloondokalembekela7748 29 күн бұрын
I am appreciate you letting me know that ,you’re doing great job,be blessed.
@Udindigwa
@Udindigwa 11 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA Ndani Ya Nch Yetu Ya Tanzania na Hata Nje Ya Tanzania
@Yohana-tt3sn
@Yohana-tt3sn 11 ай бұрын
Neem iwe juu Yako Joel
@OmaryShaban-tp9hd
@OmaryShaban-tp9hd 2 ай бұрын
Asante sanaa kwakuniongezea kitu .... Wewe ndiee kioo changu ,naomba nikuitee mwalim wangu naitaji nijifunze vingi kuoitia ww
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 8 ай бұрын
Kwanza mungu kwanza alafu ndo mtu sahihi
@isaacmwailinga8921
@isaacmwailinga8921 9 ай бұрын
Ahsante Sana kaka You're Future Awaits You
@BukelebeTv
@BukelebeTv 10 ай бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki sana
@user-ux3vl6rj9j
@user-ux3vl6rj9j 11 ай бұрын
Naskia vzur San kwa maneno yako
@marthabrayson7328
@marthabrayson7328 11 ай бұрын
Aiiiiiiiih! Blue ni mimi kabisa😂 asantee kwa somo zuri👏 Mungu akulinde tuendelee kupata madini
@mwarikimwariki2653
@mwarikimwariki2653 10 ай бұрын
Sawa
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 11 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@sweetbertmbowe3284
@sweetbertmbowe3284 7 ай бұрын
Nice mdogo wangu,nakuelewa sana
@user-ru1in1sl9d
@user-ru1in1sl9d 5 ай бұрын
Nimependa sana hili somo bro!Mungu akubariki sana
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 11 ай бұрын
Ahsante
@alyaniabdallahmwalimu2785
@alyaniabdallahmwalimu2785 11 ай бұрын
Stay blessed Mafunzo yamenyooka JN.
@ailennkya892
@ailennkya892 11 ай бұрын
God bless you life coach
@KichereTheDataScientist
@KichereTheDataScientist 11 ай бұрын
thanks much
@omanjalan582
@omanjalan582 11 ай бұрын
Asante sana mr joel hua nakuelewa saana
@dennisrwelamira1259
@dennisrwelamira1259 7 ай бұрын
Kweli mdogo wangu unakipaji. Nimefurahia presentations zako. Kweli nimenufaika
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 11 ай бұрын
We joel jamani..
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 7 ай бұрын
❤❤ Ubarikiwe mnoooo
@hildahmathew7800
@hildahmathew7800 9 ай бұрын
Asante kwa somo zuri.....nahitaji kujifunza zaidi kuhusu negotion
@MCmakore
@MCmakore 11 ай бұрын
Mwalimu ahsante
@davidtumbo7034
@davidtumbo7034 8 ай бұрын
blessings👏
@user-qn7xd2uu8j
@user-qn7xd2uu8j 11 ай бұрын
Asante sana kaka
@user-jh6jf2vr4o
@user-jh6jf2vr4o Ай бұрын
@user-cx3xg9vq2d
@user-cx3xg9vq2d 11 ай бұрын
Asante
@user-hd4tg3wt1u
@user-hd4tg3wt1u 6 ай бұрын
hum vrement 😮
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 11 ай бұрын
mimi napenda nihudhurie mikutano ila sjui inafanyika wap
@-mv5f
@-mv5f 4 ай бұрын
Ni mwamba huyu
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 11 ай бұрын
Asante sana
@nkwabison
@nkwabison 11 ай бұрын
☑️
@muddyhamza9606
@muddyhamza9606 10 ай бұрын
Nimejipata kumbe mimi Blue na Gold😂
@husseinsalehe9511
@husseinsalehe9511 11 ай бұрын
wow
@jasminerashidi2782
@jasminerashidi2782 7 ай бұрын
Pastor Joel mie nqpataje Hilo darasa lako na ili hali sipo Tanzania
@byishimongirvmufasha6973
@byishimongirvmufasha6973 11 ай бұрын
Joel nanauka tunakufuatilia American tunatamani sikumoja use huku tukuone.
@titusk.kariuki5510
@titusk.kariuki5510 11 ай бұрын
Akifika nijulishe.
@joelnanauka
@joelnanauka 11 ай бұрын
Namahukuru Mungu, tuendelee kuombeana nitafika siku Moja
@fredkangethe7497
@fredkangethe7497 11 ай бұрын
​@@joelnanaukahuku Kenya na ujuaji wetu twakuthamini sana
@joelnanauka
@joelnanauka 11 ай бұрын
@@fredkangethe7497nashukuru sanaa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 11 ай бұрын
✍️
@ismailmussa3327
@ismailmussa3327 7 ай бұрын
Napendekeza uwe unauza ideas za vitabu vyako kwa Makampuni au Mashirika ya Movies na Tamthilia naimani kuna mabadiliko tutayaona kwenye tasnia ya filamu Tanzania
@user-yb7kx7hk9i
@user-yb7kx7hk9i 2 ай бұрын
I totally agree yaan management yake iwatafute
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 189 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 70 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 5 МЛН
Jinsi ya kutImiza malengo yako kwenye ulimwengu wa Sasa.
55:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 104 М.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 120 М.
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 48 М.
CHANGAMOTO YA ENEO LA FEDHA KWENYE NDOA/MAHUSIANO - JOEL NANAUKA
49:41
MJUE ADUI YAKO KWA AJILI YA USALAMA WA FAMILIA YAKO"PASTOR MGOGO
1:05:02
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 91 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 70 МЛН