Mimi husema Alhamdulillah kwa neema zote ninazo zifahamu na nisizo zifahamu
@successpathnetwork11 ай бұрын
Maa sha Allah... enhee sasa huku kwetu ni umuhimu wa adhkari zote za asubuhi na jioni. Dumu nazo mara kwa mara, ni bora zaidi.
@rajabuopalian834211 ай бұрын
Maneno yanaathari kubwa sana katika maisha yetu Ndomana sisi waisilamu mtume wetu reheme na amani zimshukie amekataza mzazi kumwita mtoto wake majina mabaya , Sababu ukiangalia mungu anajibu kutokana wewe unavyosema idhan ukisema yalio mazur yakitawala kichwa chako ndio yanaokuja kutokea mara nyingi na hivyo hivyo mabaya. Na mababu zetu walisema maneno yanaumba
@successpathnetwork11 ай бұрын
Naam... nguvu ya maneno! Ni nguvu kubwa inayopuuziwa na wengi bila kufahamu
@saidilabu27911 ай бұрын
I can do anything I want I never give up Am smart/genius Am champion n.k
@mrlazaro123-f7t11 ай бұрын
MIMI HUWA NAJIAMBIA KUWA IPO SIKU NITAKUWA MTOA MISAADA MZURI KWA WASIOJIWEZA, JAPO HUWA SIJIAMBII KILA SIKU
@successpathnetwork11 ай бұрын
Pia ni muhimu kusema katika wakati uliopo, yaani sema, "Mimi ni mtu wa kusaidia wanyonge" au "Ninatoa misaada kwa watu" usiseme nitakuwa au nitatoa misaada siku moja... usiweke katika wakati ujao. Fikiria kama tayari uko hivyo unavyotaka halafu jiambie kwa sauti kila siku mara nyingi,
@kakawamashariki897811 ай бұрын
@@successpathnetworkeach 1 teach 1. Uko sahihi kabisa Mwlm. "The future is now" .
@Elizabeth-i9z4 ай бұрын
Ninauwezo wa kufanikiwa katka kazi yangu na ninanguvu ya kufkia malengo na kubadili maisha yangu najiamni na ninauwezo wa kushinda ninauwezo wa kujifunza kwa kila frusa na kufanikiwa ni baaz ya yale ninayojiambia
@ibad-rrahmanmuslim186211 ай бұрын
Kwel bro nilichogundua haya maneno unavyokua na kawaida ya kuyaongea kila siku yanatengeneza iman fulan unajikuta yanatoka kwenye maneno yanahamia kwenye vitendo big up sana
@mustaphanyakaka643211 ай бұрын
Nina jielewa , Nina juhudi , ninafanya bila kusita sita , ninajithamini , Nina shinda kwenye Kila Jambo , Mimi Ni mtu wa tofauti , Niko vizuri .
@successpathnetwork11 ай бұрын
Safi sana kaka...
@leonidafatson88211 ай бұрын
Ninajipenda Nina uwezo wa kufanya chochote Ninajitahidi kila siku Ninajiheshimu Ninashukuru kwa kila nilichonacho Mimi ni mshindi Mimi ni mtu mkuu💪
@successpathnetwork11 ай бұрын
Naam namna hiyo!...
@Moyoheart711 ай бұрын
MashAllah brother great video. Listening to you so that i can be fluent in my swahili when i give my youth stress management in the high schools here in kenya. Would like to connect to you thru e mail. I have gone to workshops in usa 3 times and india etc i like the way you flow with your words in swahili learning the talk with you. JazakAllah 🎉
@successpathnetwork11 ай бұрын
It's my pleasure Al akhy, please check the description for contacts. Karibu sana
@KulwaJames-n2x11 ай бұрын
Kwel ni jambo jema sana
@DominicKioko-wz7vs7 ай бұрын
Nitawai fanikiwa
@fhugghi410911 ай бұрын
Nashukur kwa elimu yako my brother 🙏Allah akuhifadhi 🤲
@successpathnetwork11 ай бұрын
Amiin...karibu sana
@yasminsalim29111 ай бұрын
Mimi Ni Mtu Bora Mimi Ni Mtu Muhimu kwa Nafasi Yangu Mimi Ni wa Thamani Najisameh Makosa Yangu Mwemyewe Na Muumba Anisameh Nilio mkosea Nina uwezo wa Kufanya Chochote Nitafika Mbali Natakiwa Kuwa mtu Bora zaidi Ya Hapa Sitakiwi Kukata Tamaa Kwani nina Nguvu Ya Kufanya Chochote kwanini Nikatishwe Tamaa Hapana Nakataa Nina Imani One Day Kila Nalo Lipanga Litakuwa Na nitaimiliki Dunia Kwa Sababu Kila Kitu Kinawezekana Kwa uwezo wa Mungu Natakiwa Kuwa Uniq Kwa Kila Kitu kwa Sababu Mungu Katupa Uniq kwa Kila Mmoja Kwa Nafasi Yake Mungu nisaidie: Ukimaliza Kujiambia Ivyo Inuka Nenda Kacheape Kazi Fikra zako ziwe ni Kama Ramani ya Maisha Yako Heshim Pesa Muombe Mungu Sana Tunza Afya Yako Then Songa 😇😇
@successpathnetwork11 ай бұрын
Asante sana kwa mchango wako... Kubwa zaidi hapa ni kuliweka hili somo katika vitendo
@YASINIIDRISA11 ай бұрын
For me naopenda kujiambia UNAEZA FANYA JAMBO LOLOTE
@ShabanOnesmo11 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh bro wewe ni mwamba sana