Aliyamaliza maisha yake akiwa na miaka 43 tu lakini akitambuliwa kuwa shujaa mkubwa aliyesimama na kupambana dhidi ya watawala wa kigeni. Huyu ndiye Mtwa Mkwava Mkwavinyika Ndevivalagosi Simkali Seligamba, ama Chifu Mkwawa.
Пікірлер: 12
@lilianluhasi3115 жыл бұрын
Asante wahehe mashujaa
@agneomasonda24625 жыл бұрын
Asante sana kwa ujumbe
@Kiswahili5 жыл бұрын
Ahsante na wewe Masonda kwa kutazama. Natumai umejifunza kitu.
@gretagonga29664 жыл бұрын
Aliyejinyonga nani sasa?
@nicksonthevet4 жыл бұрын
Munyalutanana Mukwavinyika
@victormwailenge37135 жыл бұрын
mbona hatuoni hilo fuvu
@Kiswahili5 жыл бұрын
Angalia vidio mpaka mwisho utaliona.
@ramazubery83965 жыл бұрын
ckweli risasi historia inasema aliwasha motomkubwa kishaakaingia ktk moto nasifayamoto ikibaki mifupa huwa ina kreck au kuvunjikavunjika kwahiyo swala la risasi sio.
@lilianluhasi3115 жыл бұрын
Acha kubisha ukweli wewe, acha wivu, baba wa babu yangu alikuwa Askari wa Mkwawa, alitueleza Mkwawa alijishuti na Gobole, tatizo watanzania tunaoneana wivu
@rehemamkalawa3801 Жыл бұрын
Hiyo historia uliisoma wapi wewe? Mbona mie niliyoisoma form 3 haisemi kuhusu moto?