Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
@adventinahevaristo95584 ай бұрын
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
@IbrahimuRamadhani-nc4mr6 күн бұрын
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
@shukranjulius95267 ай бұрын
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
@joelnanauka7 ай бұрын
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua. Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@priscusaugust72516 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@petrosamwel25285 ай бұрын
Hellow sir@@joelnanauka
@christophermantiri13832 күн бұрын
Nimeongeza kitu kikubwa sana leo
@cesiliamaneno95663 ай бұрын
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
@sikituukololo11616 ай бұрын
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
@eliastanda98257 ай бұрын
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
@joelnanauka7 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
@victormusoga41363 күн бұрын
Je suis 🇰🇪 kenyan et j'adore vos cour.
@embmacrofinance26954 ай бұрын
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
@pikanaauntzuu14667 ай бұрын
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
@joelnanauka7 ай бұрын
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@lutherngoma12707 ай бұрын
Mamboo
@pikanaauntzuu14667 ай бұрын
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@pikanaauntzuu14667 ай бұрын
@@lutherngoma1270poa
@eddahhawa74717 ай бұрын
Mashaallah 😘🦋
@bina255717 күн бұрын
Kaka Joel Nanauka you're the best in my life you're my mentor
@user-oe2vl4zm6m2 ай бұрын
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
@FransiscaJoseph-bg6vl4 ай бұрын
God bless you, it's very powerful speech
@wisdomofbooks69055 ай бұрын
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
@motiveperson1437 ай бұрын
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
@simonrusigwa30247 ай бұрын
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
@monicakauky89142 ай бұрын
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
@salhakyande39052 ай бұрын
Joel! Nice having u
@bonifaceferdinand5667 ай бұрын
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
@joelnanauka7 ай бұрын
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
@user-ri3se1vj3iАй бұрын
Amen Mtumishi wa Yehova
@user-jq1ny9lx4e7 ай бұрын
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
@davielubuyih-yh7sxАй бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
@NicksonKihindo-yn5ir4 ай бұрын
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
@realemma23123 ай бұрын
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
@user-ni3mk5xu2v7 ай бұрын
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
@zachariajacob65597 ай бұрын
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
@Du_boiz_Mnyama2 ай бұрын
Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂
@user-um6oj8ci9iАй бұрын
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
@user-ep1ll6tq8x6 ай бұрын
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
@user-sc9ll5no3f7 ай бұрын
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
@NsanzabahiziRehema7 ай бұрын
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
@NsanzabahiziRehema7 ай бұрын
Shukhani Sana
@joelnanauka4 ай бұрын
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
@felixngwasi94697 ай бұрын
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
@zuwenayusuph381321 күн бұрын
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
@angelinamagambo87337 ай бұрын
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
@TudamsheB7 ай бұрын
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
@langemwepesi7 ай бұрын
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu.. ❤
@user-wn3xk5kg8w6 ай бұрын
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
@kakawamashariki89787 ай бұрын
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
@joelnanauka7 ай бұрын
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
@mtumishiraymond20012 ай бұрын
Amina
@marymkamwa37797 ай бұрын
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind. May God keep you for this generation.
@iamqacha4 ай бұрын
Keep going no matter the age🙏
@susanolambo97232 ай бұрын
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona
@maryjulius59237 ай бұрын
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen
@SaimonKazimoto-xt1zo7 ай бұрын
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel
@jameskileo5292Ай бұрын
POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)
@ediphonceedwin14826 күн бұрын
Nimejifunza kitu kipya asante
@dorothclement58594 ай бұрын
A wonderful being.. the heaven send guy.
@abeldicken89496 ай бұрын
1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
@josephlazaro2537 ай бұрын
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
@user-jz4go4fm1i6 ай бұрын
Good 👍
@mathewnguyaki6 ай бұрын
Asante sana mtumishi 🙏
@priscarichard97197 ай бұрын
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
@joelnanauka7 ай бұрын
Amen Amen, nashukuru sana
@user-wy6re9be2g7 ай бұрын
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
@priscusaugust72516 ай бұрын
Pole sana
@daudisausi6206Ай бұрын
thanks mkuu nimepata kitu sasa naweza kuendelea nilipoishia.
@blada_mich7 ай бұрын
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
@joelnanauka7 ай бұрын
Nashukuru sana🙏
@priscusaugust72516 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@Pendezabylydia7 ай бұрын
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
@joelnanauka7 ай бұрын
No giving up💪🏼
@faridaamagese22345 ай бұрын
As long as breath I'll never give up in my life.
@thomasjoseph31787 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
@user-es5fg9bh5c3 ай бұрын
Ameenn yan i was stressed ila wow am ok
@mohamedismail26626 ай бұрын
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa KZbin
@AgnessSosthenesАй бұрын
Daima sitakata tamaaa💪
@BeldinaAbuya-zr6qi6 ай бұрын
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
@michaelsafari6 ай бұрын
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
@selemanmasau20966 ай бұрын
Ni kwa neema tu.Mungu akubariki.
@ndalahwashija62786 ай бұрын
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi Ubarikiwe sana Mwalimu
@ramadhanimtozeni80306 ай бұрын
What a powerful presentation! May God bless you.
@user-ib9lv7mx5z5 ай бұрын
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
@AsiaAsia-sv6ok6 ай бұрын
Shukran kaka Joel Mungu akutunze kwa ajili yetu
@Teacherdavidmasterclass10105 ай бұрын
Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe
@charlesakomba81036 ай бұрын
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
@eliudikijuzi49096 ай бұрын
Thenx brother my GOD BLESS YOU
@LucyMwasu7 ай бұрын
Asante ndugu yangu kwa mafundisho mazuri Sana Mungu akubariki
@user-lj4eq3gj4j5 ай бұрын
I love the message. Asante sana
@abrahammwambije27697 ай бұрын
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
@joelnanauka7 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@abrahammwambije27697 ай бұрын
@@joelnanauka amina
@rosemarynyato65356 ай бұрын
Thank you so much sir,,and God bless you,,binafsi nimejifunza
@josephlazaro2537 ай бұрын
Big up sana Brother you are doing very excellent JOB. Kukataliwa meaning rejection test your commitment. VERY POWERFUL POINT NIMECHUKUA.
@mathewjiday1907 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho mzuri yamenikomaza since day one nakufatilia💯💯
@danielgodfrey24495 ай бұрын
thanks for a such wonderful speech
@user-ly6cm6lp3h7 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
@user-fv7mi7qx9j7 ай бұрын
Asante sana mungu akubariki
@user-by5tk4vi5h5 ай бұрын
Be blessed brother 🙏
@hyasintajoseph25894 ай бұрын
Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana
@therlmahweezle55295 ай бұрын
Thanks for the powerful speech
@harunikayuni34tv7 ай бұрын
Hakika Nimejifunza Mambo Muhimu sanaaa Shukulani sanaa Mr Joel Nakufwatilia sanaa Kiongozi
@user-ho8sc3eb5g5 ай бұрын
Good advice prfsr Joel thank you to make me sense
@user-np3jm3pz4h6 ай бұрын
Your actually my role model
@user-xt5vs7cm2k29 күн бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana
@rajabukingwande45676 ай бұрын
Blessed top life coaching
@DaudiSwai7 ай бұрын
Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌
@saumumagazine-tc4cp7 ай бұрын
Mungu hakulinde Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
@joelnanauka7 ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
@tumainichanya32684 ай бұрын
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
@AdelinaKakese-ym9px7 ай бұрын
Asante sana ninavuka sasa
@mostyhodari21457 ай бұрын
Sina Cha kusema Mungu akubariki
@ThereziaDanielKajuna6 ай бұрын
Mungu akutunze vyema mwalim wetu
@jesusismyeverything16306 ай бұрын
Brother thank you very much❤
@AvelinaMossyАй бұрын
Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.
@norberthamlowe23635 ай бұрын
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsanteeee
@caphrenjoseph36035 ай бұрын
Ooo Thank you so much Joel
@allanjohn7196 ай бұрын
JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA
@clianusalfred14007 ай бұрын
Mungu akutunze 🙏🏻🙏🏻
@masudibaja7 ай бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki zaidi
@CECILIAMAGANGA-sk8md7 ай бұрын
Mungu azid kukubaliki
@joelnanauka7 ай бұрын
Ameenn
@NimaNima-dh6zzАй бұрын
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up