UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 174,443

Joel Nanauka

Joel Nanauka

7 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 285
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 ай бұрын
Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
@adventinahevaristo9558
@adventinahevaristo9558 4 ай бұрын
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
@IbrahimuRamadhani-nc4mr 6 күн бұрын
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 7 ай бұрын
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua. Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@petrosamwel2528
@petrosamwel2528 5 ай бұрын
Hellow sir​@@joelnanauka
@christophermantiri1383
@christophermantiri1383 2 күн бұрын
Nimeongeza kitu kikubwa sana leo
@cesiliamaneno9566
@cesiliamaneno9566 3 ай бұрын
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
@sikituukololo1161
@sikituukololo1161 6 ай бұрын
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
@eliastanda9825
@eliastanda9825 7 ай бұрын
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
@victormusoga4136
@victormusoga4136 3 күн бұрын
Je suis 🇰🇪 kenyan et j'adore vos cour.
@embmacrofinance2695
@embmacrofinance2695 4 ай бұрын
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@lutherngoma1270
@lutherngoma1270 7 ай бұрын
Mamboo
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
​@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
​@@lutherngoma1270poa
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 7 ай бұрын
Mashaallah 😘🦋
@bina2557
@bina2557 17 күн бұрын
Kaka Joel Nanauka you're the best in my life you're my mentor
@user-oe2vl4zm6m
@user-oe2vl4zm6m 2 ай бұрын
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 4 ай бұрын
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
@FransiscaJoseph-bg6vl
@FransiscaJoseph-bg6vl 4 ай бұрын
God bless you, it's very powerful speech
@wisdomofbooks6905
@wisdomofbooks6905 5 ай бұрын
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
@motiveperson143
@motiveperson143 7 ай бұрын
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 7 ай бұрын
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
@monicakauky8914
@monicakauky8914 2 ай бұрын
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
@salhakyande3905
@salhakyande3905 2 ай бұрын
Joel! Nice having u
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 7 ай бұрын
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
@user-ri3se1vj3i
@user-ri3se1vj3i Ай бұрын
Amen Mtumishi wa Yehova
@user-jq1ny9lx4e
@user-jq1ny9lx4e 7 ай бұрын
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx Ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
@NicksonKihindo-yn5ir
@NicksonKihindo-yn5ir 4 ай бұрын
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
@realemma2312
@realemma2312 3 ай бұрын
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
@user-ni3mk5xu2v
@user-ni3mk5xu2v 7 ай бұрын
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
@zachariajacob6559
@zachariajacob6559 7 ай бұрын
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
@Du_boiz_Mnyama
@Du_boiz_Mnyama 2 ай бұрын
Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂
@user-um6oj8ci9i
@user-um6oj8ci9i Ай бұрын
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
@user-ep1ll6tq8x
@user-ep1ll6tq8x 6 ай бұрын
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
@user-sc9ll5no3f
@user-sc9ll5no3f 7 ай бұрын
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
@NsanzabahiziRehema
@NsanzabahiziRehema 7 ай бұрын
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
@NsanzabahiziRehema
@NsanzabahiziRehema 7 ай бұрын
Shukhani Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
@felixngwasi9469
@felixngwasi9469 7 ай бұрын
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
@zuwenayusuph3813
@zuwenayusuph3813 21 күн бұрын
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
@angelinamagambo8733
@angelinamagambo8733 7 ай бұрын
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
@TudamsheB
@TudamsheB 7 ай бұрын
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
@langemwepesi
@langemwepesi 7 ай бұрын
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu.. ❤
@user-wn3xk5kg8w
@user-wn3xk5kg8w 6 ай бұрын
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 7 ай бұрын
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
@mtumishiraymond2001
@mtumishiraymond2001 2 ай бұрын
Amina
@marymkamwa3779
@marymkamwa3779 7 ай бұрын
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind. May God keep you for this generation.
@iamqacha
@iamqacha 4 ай бұрын
Keep going no matter the age🙏
@susanolambo9723
@susanolambo9723 2 ай бұрын
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona
@maryjulius5923
@maryjulius5923 7 ай бұрын
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 7 ай бұрын
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel
@jameskileo5292
@jameskileo5292 Ай бұрын
POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)
@ediphonceedwin1482
@ediphonceedwin1482 6 күн бұрын
Nimejifunza kitu kipya asante
@dorothclement5859
@dorothclement5859 4 ай бұрын
A wonderful being.. the heaven send guy.
@abeldicken8949
@abeldicken8949 6 ай бұрын
1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
@josephlazaro253
@josephlazaro253 7 ай бұрын
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
@user-jz4go4fm1i
@user-jz4go4fm1i 6 ай бұрын
Good 👍
@mathewnguyaki
@mathewnguyaki 6 ай бұрын
Asante sana mtumishi 🙏
@priscarichard9719
@priscarichard9719 7 ай бұрын
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Amen Amen, nashukuru sana
@user-wy6re9be2g
@user-wy6re9be2g 7 ай бұрын
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 ай бұрын
Pole sana
@daudisausi6206
@daudisausi6206 Ай бұрын
thanks mkuu nimepata kitu sasa naweza kuendelea nilipoishia.
@blada_mich
@blada_mich 7 ай бұрын
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Nashukuru sana🙏
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@Pendezabylydia
@Pendezabylydia 7 ай бұрын
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
No giving up💪🏼
@faridaamagese2234
@faridaamagese2234 5 ай бұрын
As long as breath I'll never give up in my life.
@thomasjoseph3178
@thomasjoseph3178 7 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
@user-es5fg9bh5c
@user-es5fg9bh5c 3 ай бұрын
Ameenn yan i was stressed ila wow am ok
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 6 ай бұрын
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa KZbin
@AgnessSosthenes
@AgnessSosthenes Ай бұрын
Daima sitakata tamaaa💪
@BeldinaAbuya-zr6qi
@BeldinaAbuya-zr6qi 6 ай бұрын
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
@michaelsafari
@michaelsafari 6 ай бұрын
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
@selemanmasau2096
@selemanmasau2096 6 ай бұрын
Ni kwa neema tu.Mungu akubariki.
@ndalahwashija6278
@ndalahwashija6278 6 ай бұрын
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi Ubarikiwe sana Mwalimu
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 6 ай бұрын
What a powerful presentation! May God bless you.
@user-ib9lv7mx5z
@user-ib9lv7mx5z 5 ай бұрын
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
@AsiaAsia-sv6ok
@AsiaAsia-sv6ok 6 ай бұрын
Shukran kaka Joel Mungu akutunze kwa ajili yetu
@Teacherdavidmasterclass1010
@Teacherdavidmasterclass1010 5 ай бұрын
Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe
@charlesakomba8103
@charlesakomba8103 6 ай бұрын
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
@eliudikijuzi4909
@eliudikijuzi4909 6 ай бұрын
Thenx brother my GOD BLESS YOU
@LucyMwasu
@LucyMwasu 7 ай бұрын
Asante ndugu yangu kwa mafundisho mazuri Sana Mungu akubariki
@user-lj4eq3gj4j
@user-lj4eq3gj4j 5 ай бұрын
I love the message. Asante sana
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 7 ай бұрын
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 7 ай бұрын
@@joelnanauka amina
@rosemarynyato6535
@rosemarynyato6535 6 ай бұрын
Thank you so much sir,,and God bless you,,binafsi nimejifunza
@josephlazaro253
@josephlazaro253 7 ай бұрын
Big up sana Brother you are doing very excellent JOB. Kukataliwa meaning rejection test your commitment. VERY POWERFUL POINT NIMECHUKUA.
@mathewjiday190
@mathewjiday190 7 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho mzuri yamenikomaza since day one nakufatilia💯💯
@danielgodfrey2449
@danielgodfrey2449 5 ай бұрын
thanks for a such wonderful speech
@user-ly6cm6lp3h
@user-ly6cm6lp3h 7 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
@user-fv7mi7qx9j
@user-fv7mi7qx9j 7 ай бұрын
Asante sana mungu akubariki
@user-by5tk4vi5h
@user-by5tk4vi5h 5 ай бұрын
Be blessed brother 🙏
@hyasintajoseph2589
@hyasintajoseph2589 4 ай бұрын
Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana
@therlmahweezle5529
@therlmahweezle5529 5 ай бұрын
Thanks for the powerful speech
@harunikayuni34tv
@harunikayuni34tv 7 ай бұрын
Hakika Nimejifunza Mambo Muhimu sanaaa Shukulani sanaa Mr Joel Nakufwatilia sanaa Kiongozi
@user-ho8sc3eb5g
@user-ho8sc3eb5g 5 ай бұрын
Good advice prfsr Joel thank you to make me sense
@user-np3jm3pz4h
@user-np3jm3pz4h 6 ай бұрын
Your actually my role model
@user-xt5vs7cm2k
@user-xt5vs7cm2k 29 күн бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana
@rajabukingwande4567
@rajabukingwande4567 6 ай бұрын
Blessed top life coaching
@DaudiSwai
@DaudiSwai 7 ай бұрын
Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌
@saumumagazine-tc4cp
@saumumagazine-tc4cp 7 ай бұрын
Mungu hakulinde Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 4 ай бұрын
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
@AdelinaKakese-ym9px
@AdelinaKakese-ym9px 7 ай бұрын
Asante sana ninavuka sasa
@mostyhodari2145
@mostyhodari2145 7 ай бұрын
Sina Cha kusema Mungu akubariki
@ThereziaDanielKajuna
@ThereziaDanielKajuna 6 ай бұрын
Mungu akutunze vyema mwalim wetu
@jesusismyeverything1630
@jesusismyeverything1630 6 ай бұрын
Brother thank you very much❤
@AvelinaMossy
@AvelinaMossy Ай бұрын
Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.
@norberthamlowe2363
@norberthamlowe2363 5 ай бұрын
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsanteeee
@caphrenjoseph3603
@caphrenjoseph3603 5 ай бұрын
Ooo Thank you so much Joel
@allanjohn719
@allanjohn719 6 ай бұрын
JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA
@clianusalfred1400
@clianusalfred1400 7 ай бұрын
Mungu akutunze 🙏🏻🙏🏻
@masudibaja
@masudibaja 7 ай бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki zaidi
@CECILIAMAGANGA-sk8md
@CECILIAMAGANGA-sk8md 7 ай бұрын
Mungu azid kukubaliki
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Ameenn
@NimaNima-dh6zz
@NimaNima-dh6zz Ай бұрын
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
@jayleetz
@jayleetz 6 ай бұрын
I gained something today thank you Mr Nanauka🙏🏾👏
@francishyera6867
@francishyera6867 6 ай бұрын
Asante sana Brother Nanauka
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 436 М.
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 159 М.
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 51 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 68 МЛН
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 22 М.
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 81 М.
JINSI YA KUGUNDUA KUSUDI LA MAISHA YAKO   JOEL NANAUKA EPISODE 04
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 6 М.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 115 М.
UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA
1:06:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 38 М.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 46 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 177 М.
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 51 МЛН