Habari za michezo kwa kina, mashabiki na uchambuzi mzito mzito, exclusive interviews
Пікірлер: 144
@elgiusjohanes919011 күн бұрын
Evance anajuwa sana ameongeza kitu cha tofauti ukiacha hayo majina makubwa hongeren crown kwa kutuletea kipaji kipya 🙌
@emmanuelnkinda392411 күн бұрын
Wawooow!! nawapata vizuri kutoka Shinyanga
@jumanjoro78211 күн бұрын
Congratulations crown fm Kwa usajili huu wa Mzee wa SWADAKTA WA SWADAKTA PAUL MKAI amekutana na mwanae HANS RAFAEL
@isayachisongela949311 күн бұрын
Paul Mkai Huyu Jamaa ni Balaaa, yaaani Jamaa wote Ni Cleam mno
@AthumaniNyange11 күн бұрын
Crown sport Iko pow sana tunaomba ifike kwetu Dodoma tunapenda❤❤❤
@KelvinMushi-rp6vv11 күн бұрын
mbona wasafi inakufa, mkai we ni hatar san kwenye sports bila kumwacha hansi
@husseinc11 күн бұрын
kitu kipya kikiingia kipe mda kwanza. kadri muda unavyokwenda ndio utajua hizi pumba au mchele clown.
@salumabdallah299011 күн бұрын
@@husseincbado hapo unaongea kiushabik😂
@NajimaJuma11 күн бұрын
Mkai Hana Raha ni bas2 afu ukimchek Hans nikama vile ana Fanya Buttle na usafini wakat Bado anakop kwa Ambangile brother listen Wasafi till on the top There like Tie in the sky........
@salumabdallah299011 күн бұрын
@@NajimaJuma ilikuwa ila sio sasa
@user-pi1st6pj3w12 күн бұрын
Mkai anajua sana usajili mzuri
@user-bv7lx6vj8u12 күн бұрын
Mmepatia sana,tatizo wale Jamaa tu
@dicksontimotheo761712 күн бұрын
saf kabisa kiba umetutoa kimasomaso tulikuwa tunateseka sana tulinyanyasika sana na hii ni crown media namba moja tanzania mpaka sasa najiulia tuliambiwa kiba hana hela sasa redio haina matangazo izo hela za kuwalipa hawa jamaa alikiba anatoa wap??????????????
@hamisihemedi517012 күн бұрын
Mambo nimoto❤❤❤❤❤❤ Crown
@Elihurumamathew11 күн бұрын
Kiba hela anayo ila yeye nikama gsm hapigi kelele wala hajazi mabaunsa wakumlinda nawenye hela nyingi wengi hawana kelele😂😂
@pappilonfar12 күн бұрын
Paul mkai..bonge moja la usajir
@MussaHashim-g4t11 күн бұрын
Mm nawaombeaa mungu ck moja muwe kituoo Cha kwanza Tanzania kwakutoa habali zenye mauzuii sahihi kwakila lika mungu awatanguliee
@AllySeleman-co6km12 күн бұрын
Mkali anajua sana kutagaza michezoo ogeleni crown kwa usajili wa mkali
@gadafimuemede298511 күн бұрын
Nawapata sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@HassanTwacy11 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤❤❤
@VagaTz12 күн бұрын
Hik ndy kipindi bor san kuliko vote
@LobikiekiMarko12 күн бұрын
KENYAAAAAA NAIROBI MTAA NI DANDORA PHASE 2
@officialcentowiz471911 күн бұрын
ivi mnafahau kuwa oscar oscar ni mchambuzi mzur tuu sema kule alipo ndo tatizo niamini mimi siku moja mtakuja ona maneno yangu 💪
@RamadhaniKrjunior11 күн бұрын
Dah nawakubali sana wote hans mkai jof lea upande mwingne Ahmed nasri ambangile kitenge jaman kama usajili tupeni madini kwenye soka letu tutwafuatilia kotekote
@sharifahabsi500412 күн бұрын
Mashaallah powmkal
@filbertnyoni235211 күн бұрын
HUYU JUMA AYO YUPO KAMA MGANGA WA KIENYEJI HAFAI KIPINDI CHA MICHEZO,NAFIKIRI ATAFUTIWE KIPINDI AWE ANAFANYA MAHOJIANO NA WAGANGA WAKIENYEJI NA WACHAWI,HAPO SPORTS HAPAMFAI KABISAAAA
@spensajansa12 күн бұрын
Kutazama tyu kucomment aaah
@MudyDayo12 күн бұрын
😆😆
@TryphoneGotham11 күн бұрын
🤣🤣🤣
@DavidAndrew-i3g9 күн бұрын
mko💥💥💥💥habar za Uwakika na uwerediii
@jeremiahbabalove54469 күн бұрын
Nimewakubari sana crown FM hawa jamaa ni hatar
@HassanTwacy11 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤
@TalkiAhmadi-wz6cj9 күн бұрын
Tuna wakubali sana mbno kwenye vin'gamuz vya azam tv hatuwaon
@JosephMutambala11 күн бұрын
Number one crown
@abrahamchengula813711 күн бұрын
Mkiendelea kuchambua mambo kindani na ukweli na msiweke watu wenye eitha kuiponda Simba au Yanga hakutakuwa na maana KAMA WAJINGA WASAFI
@YusuphMohamed-pq8pz10 күн бұрын
Ee bhn nawapata kutoka magomeni, mpe hai jof lea saiv namuelewa sana mana kule alipokuwa alikua anatafta samaki kwenye mwili wa nyoka saiv mambo saaaafi nimpe eshima yake,, shikamooo kak jofu akika umetisha sana,,
@mohamedmbalazi74811 күн бұрын
Bongo ni kuiga na kupaste wasafi walianza kwa kuchukua watangazaji EFM. Hawa nao wanachukua wasafi. Jambo zuri ila mtaani nako wapo watu wengi hawana ajira wawaamin watakuwa wakubwa tu
@kenyzach912411 күн бұрын
brother hiyo ni biashara.! hapo kipindi kimeanza unaona kabisa hakina wadhamini, underground ni ngumu sana kutangaza kipindi kikawa kikubwa mpaka kuvutia wadhamini kuwekeza. so, kwa kuweka hao watu wenye uzoefu inasaidia kuvutia show na kuwavutia wadhamini,,, kumbuka wadhamini ndio wanaleta thamani ya kipindi.
@user-do1ge4fd3r11 күн бұрын
Bro umeongea kitu kikubwa sana Ww no mtu was maana sana@@kenyzach9124
@albertkatuga243410 күн бұрын
Unateseka ukiwa kijiji kipi😂😂
@abeidmayanga80911 күн бұрын
Mbona mkayi kama unafuraha sana huku safi keep up broo sikuiz mkono kinywani kwanza love siyo ishuuu😂😂😂😂
@donathkweka6242Күн бұрын
Mambo ni motooooooooo❤❤❤❤😂
@barakamfilinge694311 күн бұрын
Nampenda sana Paul Mkai akiongoza kipindi siyo yule Juma Ayo
@Paulmasalu-xz7ty2 күн бұрын
Namsalimia kutoka nyumbani zanzibar
@princekassimtz584811 күн бұрын
Congratulations 🎉 0:27
@SamwelKakintwa11 күн бұрын
Uchambuzi wenu ni nzuri kwa club ya Simba,kusajili mchezaji Bila kuangalia mfumo wa simba.
@molyrics121311 күн бұрын
Mtotooo kautaaaaaka 💥
@Paulmasalu-xz7ty2 күн бұрын
Napenda anavongea
@alicenice171111 күн бұрын
Hapa ni nyumbani 😂😂🎉
@IbrahimEboue10 күн бұрын
Crown juu na wafatilia nikiwa africa ya kusini
@utamutv_11 күн бұрын
Kwan hao yangu wanataka nn jmn Kila mtu wanamtaka yeye
@user-qo9ho6he8b10 күн бұрын
leo sasa ndo mnenifurahisha mana wachambuzi wangu wotemmenea apo studio joffureya hansi rafael poul mkai atari sana kama simba ijayo naona watu wakizima viredio vyao 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@MalapaHassanor11 күн бұрын
Kiba bado salama ngare mwanadada anajua yule mchukue kaka
@user-td4le3xf7h11 күн бұрын
Toka makambako Town hapa weji
@DenisSalary-k6y11 күн бұрын
Da,watu wa nguvu sana ,,hapa ni nyumbniii
@festongailo108211 күн бұрын
Oi oi oi tupo pamoja mpaka badaee sana
@georgeemmanuel852310 күн бұрын
Background ya ndani tunaomba mmbadilishe ikiwezekana inaharibu video yaani haionekani vizuri
@ramadhanizuberi254011 күн бұрын
Yes hii ndo radio yetu pendwa
@user-ur9pz5lp6o11 күн бұрын
Geof alimlenga GSM kuhusu upangaji wa matokeo "Kasongo kamkwepa vizuri"
@AmosBarnabas-wl1yl12 күн бұрын
Noma sana
@NajimaJuma11 күн бұрын
I never come to Appreciate Hans Coz uchambuzi wake umejikita kiushabiki mie ni Yanga but hans ni mnafikiiiiiii kajawa na Uyanga Daily mchezaji anasajiliwa kutokana na Namba uongo mtupuuuu ww
@JumaSango-yo8bj11 күн бұрын
Sana wanangu wa crown 👑
@LuganoMwakalo11 күн бұрын
Kweli njaa ni hatari
@NajimaJuma11 күн бұрын
Wasafi never die coz Paul mkai Role model Ake Ni Yusuphu mkule huyo hans Role model wake Ni Ambangile so wasafil till on the top Top.....Guys wasafi ni too much Levels
@MkamiMavika11 күн бұрын
Saa ngap kipindi Chao kinaanza
@alexmwajombe74911 күн бұрын
Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga
@PopTiger-br2nh12 күн бұрын
Goood crown
@MabeleMakene11 күн бұрын
nawafatilia sana kipindi kipo hot sana ila kwa kilazo simba wangetoa at kwa mkopo
@OmaryMagazine-b2j11 күн бұрын
Ebwana hap ninyumban
@idybwoytz848511 күн бұрын
Mapinduzii 🇹🇿🇿🇦🫡💯🙌
@Hilalisebatv10 күн бұрын
Asikwambie mtu crown tamu
@Jacksonwiliam-t7p6 күн бұрын
Gud job
@gordiansoko911311 күн бұрын
Siku hizi kazi ya utangazaji ni sawa na bar maid leo yuko Kimara bar kesho utamkuta Manzese tiptop.
@Zaynab-ny6gr11 күн бұрын
Kila kazi lazima uangalie maslahi
@johnndiga11 күн бұрын
nawapata vizuri nikiwa mbeya
@shazilimasoka405111 күн бұрын
Watangazaji ote wanajuwa Sana Sana nafulaiya Sana
@videozaaj106911 күн бұрын
Background😢😢😢mbaya
@djmarashi209511 күн бұрын
asee munajua Sana kweli mumekuja kufanya mageuz ya kweli nawakubali san
@JacobMwegero11 күн бұрын
Safi kabsa crown
@WiliamTomas-oo9kb10 күн бұрын
Sasa ivi nimehama wasafi niko uku crown kuna utamu wa mkai uku na kijana wake hans
@Zaynab-ny6gr11 күн бұрын
Bado 2 Ahmed na kitenge
@MashakaAthumaniAthumanimashaka11 күн бұрын
Miminafikir Kostounion Watapata Matatizo Kwasabab Zakisheria Lakini Kwasababu Kimtaani Nisawa Ilkesi Ipo Nawatajuta
@leonardlubala3933 күн бұрын
Ina elekea Simba wame msainisha kabla masharti yote katika mkataba yame kamilika. Maana Simba walitakiwa wajirishe na timu inayo mmiliki wake kwa wakati huo kabla ya kumsainisha mchezaji.
@user-ey4tb1sq7p11 күн бұрын
Kings fire
@TwalibuAlbaamiryShoka11 күн бұрын
Pomkai umewakimbia wasafi
@user-ve8yy6rj2v11 күн бұрын
The media to the world
@Paulmasalu-xz7ty2 күн бұрын
Tuko nanyi tunakesha na nyi
@MwinyialiMtali11 күн бұрын
Mnatisha saana
@BimkubwaMohd-ef6hr11 күн бұрын
Kikeke products...
@ChamaClassic10 күн бұрын
Muko vizuri sana
@ashrafumbawala10 күн бұрын
Paul mkai vs Hans rafael
@NemesMasawe11 күн бұрын
Uchambuz mzur sanaaa
@husseinayoub670311 күн бұрын
Mpo vizuri kuweni makini na maadili ya kazi msinunuliwe tu kama clouds na wasafi gsm nisumu kwa afya ya wachambuzi
@ommykiss704911 күн бұрын
Mkai unajua sana kaka
@clarencesichila949711 күн бұрын
Baleke ni mchezaji mzuri kuliko pa omar jobe
@joemtaki516711 күн бұрын
442 😂 HANS muongo muongo ila anaupiga mwingi big up
@Ndenza11 күн бұрын
Mmi ni shabik wa Simba na wasafi sjui machoz yangu yarakauka lin😭😭😭😭😭😭🤣
@emmanuelkituma12 күн бұрын
🎉🎉🎉
@kamonaboy111312 күн бұрын
🔥🔥🔥
@mcmambo877411 күн бұрын
Safii crown
@ashrafumbawala10 күн бұрын
Duuh wasaf mbn jau sasa
@user-vf5pp2wn1f11 күн бұрын
Imetulia San jmn Hadi laha san
@anastahiliutawala387911 күн бұрын
Kibu angeachwa tu
@HairuIssa-f9y11 күн бұрын
Crown fire fire
@jumangombo793011 күн бұрын
Apa ni nyumbani
@MohamediHamisi-oq2kv11 күн бұрын
Bado mmoja Tunu Hasan she
@JumaMakala-xf5nb11 күн бұрын
Mleteni Osika tupate sport comedian, au mbwiga mbwigike
@honestgroup211611 күн бұрын
Safi sanaa
@kidawajuma959711 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@naslimtz124711 күн бұрын
Safi sana
@EricMgeni10 күн бұрын
Kule yanga uku crown media 😂😂😂😂amuogopi
@Jumasumail-nx1xt11 күн бұрын
viongozi wa simba sc vp kuhusu feitoto na mayele by baba Asia kutoka msumbiji