🔴LIVE: CROWN SPORTS. ALMAS KASONGO, GEOF LEA, PAUL MKAI. HANS RAFAEL

  Рет қаралды 86,855

Crown Media

Crown Media

14 күн бұрын

Habari za michezo kwa kina, mashabiki na uchambuzi mzito mzito, exclusive interviews

Пікірлер: 144
@elgiusjohanes9190
@elgiusjohanes9190 11 күн бұрын
Evance anajuwa sana ameongeza kitu cha tofauti ukiacha hayo majina makubwa hongeren crown kwa kutuletea kipaji kipya 🙌
@emmanuelnkinda3924
@emmanuelnkinda3924 11 күн бұрын
Wawooow!! nawapata vizuri kutoka Shinyanga
@jumanjoro782
@jumanjoro782 11 күн бұрын
Congratulations crown fm Kwa usajili huu wa Mzee wa SWADAKTA WA SWADAKTA PAUL MKAI amekutana na mwanae HANS RAFAEL
@isayachisongela9493
@isayachisongela9493 11 күн бұрын
Paul Mkai Huyu Jamaa ni Balaaa, yaaani Jamaa wote Ni Cleam mno
@AthumaniNyange
@AthumaniNyange 11 күн бұрын
Crown sport Iko pow sana tunaomba ifike kwetu Dodoma tunapenda❤❤❤
@KelvinMushi-rp6vv
@KelvinMushi-rp6vv 11 күн бұрын
mbona wasafi inakufa, mkai we ni hatar san kwenye sports bila kumwacha hansi
@husseinc
@husseinc 11 күн бұрын
kitu kipya kikiingia kipe mda kwanza. kadri muda unavyokwenda ndio utajua hizi pumba au mchele clown.
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 11 күн бұрын
​@@husseincbado hapo unaongea kiushabik😂
@NajimaJuma
@NajimaJuma 11 күн бұрын
Mkai Hana Raha ni bas2 afu ukimchek Hans nikama vile ana Fanya Buttle na usafini wakat Bado anakop kwa Ambangile brother listen Wasafi till on the top There like Tie in the sky........
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 11 күн бұрын
@@NajimaJuma ilikuwa ila sio sasa
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w 12 күн бұрын
Mkai anajua sana usajili mzuri
@user-bv7lx6vj8u
@user-bv7lx6vj8u 12 күн бұрын
Mmepatia sana,tatizo wale Jamaa tu
@dicksontimotheo7617
@dicksontimotheo7617 12 күн бұрын
saf kabisa kiba umetutoa kimasomaso tulikuwa tunateseka sana tulinyanyasika sana na hii ni crown media namba moja tanzania mpaka sasa najiulia tuliambiwa kiba hana hela sasa redio haina matangazo izo hela za kuwalipa hawa jamaa alikiba anatoa wap??????????????
@hamisihemedi5170
@hamisihemedi5170 12 күн бұрын
Mambo nimoto❤❤❤❤❤❤ Crown
@Elihurumamathew
@Elihurumamathew 11 күн бұрын
Kiba hela anayo ila yeye nikama gsm hapigi kelele wala hajazi mabaunsa wakumlinda nawenye hela nyingi wengi hawana kelele😂😂
@pappilonfar
@pappilonfar 12 күн бұрын
Paul mkai..bonge moja la usajir
@MussaHashim-g4t
@MussaHashim-g4t 11 күн бұрын
Mm nawaombeaa mungu ck moja muwe kituoo Cha kwanza Tanzania kwakutoa habali zenye mauzuii sahihi kwakila lika mungu awatanguliee
@AllySeleman-co6km
@AllySeleman-co6km 12 күн бұрын
Mkali anajua sana kutagaza michezoo ogeleni crown kwa usajili wa mkali
@gadafimuemede2985
@gadafimuemede2985 11 күн бұрын
Nawapata sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@HassanTwacy
@HassanTwacy 11 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤❤❤
@VagaTz
@VagaTz 12 күн бұрын
Hik ndy kipindi bor san kuliko vote
@LobikiekiMarko
@LobikiekiMarko 12 күн бұрын
KENYAAAAAA NAIROBI MTAA NI DANDORA PHASE 2
@officialcentowiz4719
@officialcentowiz4719 11 күн бұрын
ivi mnafahau kuwa oscar oscar ni mchambuzi mzur tuu sema kule alipo ndo tatizo niamini mimi siku moja mtakuja ona maneno yangu 💪
@RamadhaniKrjunior
@RamadhaniKrjunior 11 күн бұрын
Dah nawakubali sana wote hans mkai jof lea upande mwingne Ahmed nasri ambangile kitenge jaman kama usajili tupeni madini kwenye soka letu tutwafuatilia kotekote
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 12 күн бұрын
Mashaallah powmkal
@filbertnyoni2352
@filbertnyoni2352 11 күн бұрын
HUYU JUMA AYO YUPO KAMA MGANGA WA KIENYEJI HAFAI KIPINDI CHA MICHEZO,NAFIKIRI ATAFUTIWE KIPINDI AWE ANAFANYA MAHOJIANO NA WAGANGA WAKIENYEJI NA WACHAWI,HAPO SPORTS HAPAMFAI KABISAAAA
@spensajansa
@spensajansa 12 күн бұрын
Kutazama tyu kucomment aaah
@MudyDayo
@MudyDayo 12 күн бұрын
😆😆
@TryphoneGotham
@TryphoneGotham 11 күн бұрын
🤣🤣🤣
@DavidAndrew-i3g
@DavidAndrew-i3g 9 күн бұрын
mko💥💥💥💥habar za Uwakika na uwerediii
@jeremiahbabalove5446
@jeremiahbabalove5446 9 күн бұрын
Nimewakubari sana crown FM hawa jamaa ni hatar
@HassanTwacy
@HassanTwacy 11 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤
@TalkiAhmadi-wz6cj
@TalkiAhmadi-wz6cj 9 күн бұрын
Tuna wakubali sana mbno kwenye vin'gamuz vya azam tv hatuwaon
@JosephMutambala
@JosephMutambala 11 күн бұрын
Number one crown
@abrahamchengula8137
@abrahamchengula8137 11 күн бұрын
Mkiendelea kuchambua mambo kindani na ukweli na msiweke watu wenye eitha kuiponda Simba au Yanga hakutakuwa na maana KAMA WAJINGA WASAFI
@YusuphMohamed-pq8pz
@YusuphMohamed-pq8pz 10 күн бұрын
Ee bhn nawapata kutoka magomeni, mpe hai jof lea saiv namuelewa sana mana kule alipokuwa alikua anatafta samaki kwenye mwili wa nyoka saiv mambo saaaafi nimpe eshima yake,, shikamooo kak jofu akika umetisha sana,,
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 11 күн бұрын
Bongo ni kuiga na kupaste wasafi walianza kwa kuchukua watangazaji EFM. Hawa nao wanachukua wasafi. Jambo zuri ila mtaani nako wapo watu wengi hawana ajira wawaamin watakuwa wakubwa tu
@kenyzach9124
@kenyzach9124 11 күн бұрын
brother hiyo ni biashara.! hapo kipindi kimeanza unaona kabisa hakina wadhamini, underground ni ngumu sana kutangaza kipindi kikawa kikubwa mpaka kuvutia wadhamini kuwekeza. so, kwa kuweka hao watu wenye uzoefu inasaidia kuvutia show na kuwavutia wadhamini,,, kumbuka wadhamini ndio wanaleta thamani ya kipindi.
@user-do1ge4fd3r
@user-do1ge4fd3r 11 күн бұрын
Bro umeongea kitu kikubwa sana Ww no mtu was maana sana​@@kenyzach9124
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 10 күн бұрын
Unateseka ukiwa kijiji kipi😂😂
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 11 күн бұрын
Mbona mkayi kama unafuraha sana huku safi keep up broo sikuiz mkono kinywani kwanza love siyo ishuuu😂😂😂😂
@donathkweka6242
@donathkweka6242 Күн бұрын
Mambo ni motooooooooo❤❤❤❤😂
@barakamfilinge6943
@barakamfilinge6943 11 күн бұрын
Nampenda sana Paul Mkai akiongoza kipindi siyo yule Juma Ayo
@Paulmasalu-xz7ty
@Paulmasalu-xz7ty 2 күн бұрын
Namsalimia kutoka nyumbani zanzibar
@princekassimtz5848
@princekassimtz5848 11 күн бұрын
Congratulations 🎉 0:27
@SamwelKakintwa
@SamwelKakintwa 11 күн бұрын
Uchambuzi wenu ni nzuri kwa club ya Simba,kusajili mchezaji Bila kuangalia mfumo wa simba.
@molyrics1213
@molyrics1213 11 күн бұрын
Mtotooo kautaaaaaka 💥
@Paulmasalu-xz7ty
@Paulmasalu-xz7ty 2 күн бұрын
Napenda anavongea
@alicenice1711
@alicenice1711 11 күн бұрын
Hapa ni nyumbani 😂😂🎉
@IbrahimEboue
@IbrahimEboue 10 күн бұрын
Crown juu na wafatilia nikiwa africa ya kusini
@utamutv_
@utamutv_ 11 күн бұрын
Kwan hao yangu wanataka nn jmn Kila mtu wanamtaka yeye
@user-qo9ho6he8b
@user-qo9ho6he8b 10 күн бұрын
leo sasa ndo mnenifurahisha mana wachambuzi wangu wotemmenea apo studio joffureya hansi rafael poul mkai atari sana kama simba ijayo naona watu wakizima viredio vyao 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@MalapaHassanor
@MalapaHassanor 11 күн бұрын
Kiba bado salama ngare mwanadada anajua yule mchukue kaka
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 11 күн бұрын
Toka makambako Town hapa weji
@DenisSalary-k6y
@DenisSalary-k6y 11 күн бұрын
Da,watu wa nguvu sana ,,hapa ni nyumbniii
@festongailo1082
@festongailo1082 11 күн бұрын
Oi oi oi tupo pamoja mpaka badaee sana
@georgeemmanuel8523
@georgeemmanuel8523 10 күн бұрын
Background ya ndani tunaomba mmbadilishe ikiwezekana inaharibu video yaani haionekani vizuri
@ramadhanizuberi2540
@ramadhanizuberi2540 11 күн бұрын
Yes hii ndo radio yetu pendwa
@user-ur9pz5lp6o
@user-ur9pz5lp6o 11 күн бұрын
Geof alimlenga GSM kuhusu upangaji wa matokeo "Kasongo kamkwepa vizuri"
@AmosBarnabas-wl1yl
@AmosBarnabas-wl1yl 12 күн бұрын
Noma sana
@NajimaJuma
@NajimaJuma 11 күн бұрын
I never come to Appreciate Hans Coz uchambuzi wake umejikita kiushabiki mie ni Yanga but hans ni mnafikiiiiiii kajawa na Uyanga Daily mchezaji anasajiliwa kutokana na Namba uongo mtupuuuu ww
@JumaSango-yo8bj
@JumaSango-yo8bj 11 күн бұрын
Sana wanangu wa crown 👑
@LuganoMwakalo
@LuganoMwakalo 11 күн бұрын
Kweli njaa ni hatari
@NajimaJuma
@NajimaJuma 11 күн бұрын
Wasafi never die coz Paul mkai Role model Ake Ni Yusuphu mkule huyo hans Role model wake Ni Ambangile so wasafil till on the top Top.....Guys wasafi ni too much Levels
@MkamiMavika
@MkamiMavika 11 күн бұрын
Saa ngap kipindi Chao kinaanza
@alexmwajombe749
@alexmwajombe749 11 күн бұрын
Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga
@PopTiger-br2nh
@PopTiger-br2nh 12 күн бұрын
Goood crown
@MabeleMakene
@MabeleMakene 11 күн бұрын
nawafatilia sana kipindi kipo hot sana ila kwa kilazo simba wangetoa at kwa mkopo
@OmaryMagazine-b2j
@OmaryMagazine-b2j 11 күн бұрын
Ebwana hap ninyumban
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 11 күн бұрын
Mapinduzii 🇹🇿🇿🇦🫡💯🙌
@Hilalisebatv
@Hilalisebatv 10 күн бұрын
Asikwambie mtu crown tamu
@Jacksonwiliam-t7p
@Jacksonwiliam-t7p 6 күн бұрын
Gud job
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 11 күн бұрын
Siku hizi kazi ya utangazaji ni sawa na bar maid leo yuko Kimara bar kesho utamkuta Manzese tiptop.
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 11 күн бұрын
Kila kazi lazima uangalie maslahi
@johnndiga
@johnndiga 11 күн бұрын
nawapata vizuri nikiwa mbeya
@shazilimasoka4051
@shazilimasoka4051 11 күн бұрын
Watangazaji ote wanajuwa Sana Sana nafulaiya Sana
@videozaaj1069
@videozaaj1069 11 күн бұрын
Background😢😢😢mbaya
@djmarashi2095
@djmarashi2095 11 күн бұрын
asee munajua Sana kweli mumekuja kufanya mageuz ya kweli nawakubali san
@JacobMwegero
@JacobMwegero 11 күн бұрын
Safi kabsa crown
@WiliamTomas-oo9kb
@WiliamTomas-oo9kb 10 күн бұрын
Sasa ivi nimehama wasafi niko uku crown kuna utamu wa mkai uku na kijana wake hans
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 11 күн бұрын
Bado 2 Ahmed na kitenge
@MashakaAthumaniAthumanimashaka
@MashakaAthumaniAthumanimashaka 11 күн бұрын
Miminafikir Kostounion Watapata Matatizo Kwasabab Zakisheria Lakini Kwasababu Kimtaani Nisawa Ilkesi Ipo Nawatajuta
@leonardlubala393
@leonardlubala393 3 күн бұрын
Ina elekea Simba wame msainisha kabla masharti yote katika mkataba yame kamilika. Maana Simba walitakiwa wajirishe na timu inayo mmiliki wake kwa wakati huo kabla ya kumsainisha mchezaji.
@user-ey4tb1sq7p
@user-ey4tb1sq7p 11 күн бұрын
Kings fire
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 11 күн бұрын
Pomkai umewakimbia wasafi
@user-ve8yy6rj2v
@user-ve8yy6rj2v 11 күн бұрын
The media to the world
@Paulmasalu-xz7ty
@Paulmasalu-xz7ty 2 күн бұрын
Tuko nanyi tunakesha na nyi
@MwinyialiMtali
@MwinyialiMtali 11 күн бұрын
Mnatisha saana
@BimkubwaMohd-ef6hr
@BimkubwaMohd-ef6hr 11 күн бұрын
Kikeke products...
@ChamaClassic
@ChamaClassic 10 күн бұрын
Muko vizuri sana
@ashrafumbawala
@ashrafumbawala 10 күн бұрын
Paul mkai vs Hans rafael
@NemesMasawe
@NemesMasawe 11 күн бұрын
Uchambuz mzur sanaaa
@husseinayoub6703
@husseinayoub6703 11 күн бұрын
Mpo vizuri kuweni makini na maadili ya kazi msinunuliwe tu kama clouds na wasafi gsm nisumu kwa afya ya wachambuzi
@ommykiss7049
@ommykiss7049 11 күн бұрын
Mkai unajua sana kaka
@clarencesichila9497
@clarencesichila9497 11 күн бұрын
Baleke ni mchezaji mzuri kuliko pa omar jobe
@joemtaki5167
@joemtaki5167 11 күн бұрын
442 😂 HANS muongo muongo ila anaupiga mwingi big up
@Ndenza
@Ndenza 11 күн бұрын
Mmi ni shabik wa Simba na wasafi sjui machoz yangu yarakauka lin😭😭😭😭😭😭🤣
@emmanuelkituma
@emmanuelkituma 12 күн бұрын
🎉🎉🎉
@kamonaboy1113
@kamonaboy1113 12 күн бұрын
🔥🔥🔥
@mcmambo8774
@mcmambo8774 11 күн бұрын
Safii crown
@ashrafumbawala
@ashrafumbawala 10 күн бұрын
Duuh wasaf mbn jau sasa
@user-vf5pp2wn1f
@user-vf5pp2wn1f 11 күн бұрын
Imetulia San jmn Hadi laha san
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 11 күн бұрын
Kibu angeachwa tu
@HairuIssa-f9y
@HairuIssa-f9y 11 күн бұрын
Crown fire fire
@jumangombo7930
@jumangombo7930 11 күн бұрын
Apa ni nyumbani
@MohamediHamisi-oq2kv
@MohamediHamisi-oq2kv 11 күн бұрын
Bado mmoja Tunu Hasan she
@JumaMakala-xf5nb
@JumaMakala-xf5nb 11 күн бұрын
Mleteni Osika tupate sport comedian, au mbwiga mbwigike
@honestgroup2116
@honestgroup2116 11 күн бұрын
Safi sanaa
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 11 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@naslimtz1247
@naslimtz1247 11 күн бұрын
Safi sana
@EricMgeni
@EricMgeni 10 күн бұрын
Kule yanga uku crown media 😂😂😂😂amuogopi
@Jumasumail-nx1xt
@Jumasumail-nx1xt 11 күн бұрын
viongozi wa simba sc vp kuhusu feitoto na mayele by baba Asia kutoka msumbiji
CROWN SPORTS: MAGOMA AKANUSHA “MIMI SIJU, SIHUSIKI” - PART 1
25:54
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 39 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 57 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 51 МЛН
Le Choc des Dernières Confessions
1:31:26
Les funérailles des Tabous
Рет қаралды 524 М.
Axel Emmanuel : "Le chocolat c'est pour les riches"
1:30:42
Investir Au Pays
Рет қаралды 16 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 75 М.
✨ NUMBERS 10 have disappeared...
20:00
Contes de Foot
Рет қаралды 114 М.
UCHAMBUZI: USAJILI WA ELIA MPANZU SIMBA/ VIGOGO SIMBA WATOA MAPANGA
1:04:13
打上頭了這是…… 邊角團隊有事是真上#格鬥
0:16
格斗英雄
Рет қаралды 4,1 МЛН
❗️РОНАЛДУ С ДРУГОЙ ПЛАНЕТЫ🪐😱
0:56
ОСТОРОЖНО: СПОРТ !
Рет қаралды 1,6 МЛН
I saw Messi
0:10
ARGEN
Рет қаралды 1,9 МЛН
Rank Battle Under The Water Ronaldo vs Messi ! Who is GOAT ?
0:36
Sky Football
Рет қаралды 3 МЛН
Не надо толкать, надо бить🥊
0:20
Алексей "Новатор" Сурков Тренер по боксу
Рет қаралды 2,9 МЛН