#live

  Рет қаралды 22,488

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 61
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 7 ай бұрын
Amen sifa zote ni kwa Bwana yesu kristo na kwa utukufu wa Mungu Baba piga kazi mtumishi
@flavianarwebangira6726
@flavianarwebangira6726 Жыл бұрын
Hakika unafungua wengi kwa mafundisho yako.Barikiwa sana. Wapendwa tumtafite Mungu hakika anapatikana.
@LENAHKAVUTHAOFFICIAL
@LENAHKAVUTHAOFFICIAL Ай бұрын
Mungu naomba unisaidie nkutumikie
@yusterlucass
@yusterlucass 3 ай бұрын
Mungu naomba unipe mwsho mwema
@Zawad-nd7yi
@Zawad-nd7yi Жыл бұрын
Baba Mungu akubariki sana kwa huduma ashukuriliwe Mungu juu ambaye amemfichua Siri za shetani
@israelmlabwa9783
@israelmlabwa9783 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 Жыл бұрын
Amen Asante kwa mafunzo mtumishi wa Mungu zidi kubarikiwa pamoja na promover TV ujumla
@genevievesunday
@genevievesunday 11 ай бұрын
Mungu akubariki na akutunze Kwa ajili ya ufalme wa Mungu kazi Yako ni njema. Unatuongezea maarifa sisi makamanda wa Yesu
@pamelaogano5220
@pamelaogano5220 6 ай бұрын
Mungu azidii kupa nguvu mtumishi wa mungi
@gracendola7195
@gracendola7195 Жыл бұрын
Kwa kweli mchungaji MUNGU akiubariki saaanaa! Binafsi MUNGU mekutumia wewe kuwa kupitia wewe kiimani niinuke vile tuuu nnavyo sikiliza mahubiri yako! ✊✊👐👐
@user-gk8fr3yp9k
@user-gk8fr3yp9k 4 күн бұрын
Baba Karibu Morogoro nashukuru Kwa mafundisho
@mpandawiliam5390
@mpandawiliam5390 Жыл бұрын
Karibu Sana Arusha mtumishi Amiel na Tim yote, nawapenda sana, amina.
@gradyskamwela6163
@gradyskamwela6163 Жыл бұрын
Ameni Ubarikiwe mtumishi kupitia neno tunazidi kufunguliwa
@malulamuhoja1692
@malulamuhoja1692 Жыл бұрын
Hakika Bwana amefanya jambo jipya ,smekuthibitisha umegusa wengi, Bwana akutunze, katika wewe tutashinda ba zaidi ya kushinda, barikiwa
@user-kn3lh1co6u
@user-kn3lh1co6u Жыл бұрын
Amen amen jina la bwana lipewe sifa, nabarikiwa nkiwa saudi arabia n ubarikiwe mtu wa mungu
@zawadikazungu961
@zawadikazungu961 Жыл бұрын
Pamoja tuning from Saudi
@bintmwambapa7734
@bintmwambapa7734 Жыл бұрын
Aminaaa Mtumishi wa MUNGU, MUNGU azidi kukutunza
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 Жыл бұрын
Mungu ndie alikutuma uende kumsaidia huyo mama kweli Mungu nimwema sana
@sundayherrieth9460
@sundayherrieth9460 Жыл бұрын
Ameen!! Nabarikiwa sana
@Esther-Bri
@Esther-Bri Жыл бұрын
AMINA AMINA
@lilymwasi1221
@lilymwasi1221 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi emiel Mimi Niko Mombasa niombe
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 Жыл бұрын
Amen and Amen
@bebebebe9269
@bebebebe9269 Жыл бұрын
Amen asante YESU CHRISTO 🙏🙏🙏
@ShadrackSelemani
@ShadrackSelemani 5 күн бұрын
Natamani sikumoja nikuone,najua nitabarikiwa sana
@nyasabatubae2875
@nyasabatubae2875 Жыл бұрын
Ubarikie sana mtumishi wa mungu
@florencemueni1183
@florencemueni1183 Жыл бұрын
Una kazi mtumishi kweli
@ayubu_podcast
@ayubu_podcast Жыл бұрын
Hallelujah 🙏🙏🙏
@DIGNAJASTIN-dl8yj
@DIGNAJASTIN-dl8yj 10 ай бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana
@esterswepa4735
@esterswepa4735 Жыл бұрын
Amina mtumishi
@JaneKuyokwa
@JaneKuyokwa Жыл бұрын
Mungu akulinde Tena natena
@alice4720
@alice4720 Жыл бұрын
Amen amen nimembalikiwa sana sana naomba maombi sana sana Kwa familia yangu Niko kenya
@naikekangele7117
@naikekangele7117 Жыл бұрын
❤Ameeeeren
@user-mq3sn3zf1e
@user-mq3sn3zf1e 8 ай бұрын
AMEN karibu Mtwara Mtumwa wa Yesu
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 Жыл бұрын
Zaburi 105mstari 37 hausemi hivvyo watumishi
@Shalom2018
@Shalom2018 Жыл бұрын
Amen
@Esther-Bri
@Esther-Bri Жыл бұрын
Mchungaji Ka mm imgn nko karibu kuchoka kukutafuta kwa sababu hupokei simu, unasoma voice unanyamanza aaaaaiiiii!
@hancymbarikiwa7975
@hancymbarikiwa7975 Жыл бұрын
Msamehe Mtumishi Bure, mda mwingi anakuwa anahidumia watu, usichoke kumtafuta upo wakati utampata akiwa free, mda mzuri ni kuanzia saa 3 usiku anakuwa amemaliza huduma
@ayubu_podcast
@ayubu_podcast Жыл бұрын
Usichoke kumtafta Bwana anza Kujifunza kuomba kwanza maana hata ukimpata mchungaji kama ww mwenyewe hauko tayali itakuwa kazi bure.
@amosdaniel4596
@amosdaniel4596 Жыл бұрын
Kuwa na subra tu wakat wako bado ....jua nae anatafuta sana
@williamchihami4763
@williamchihami4763 Жыл бұрын
@@amosdaniel4596 mtafute kanisani kwake tumia gharama yoyote kumpata
@forhimchannel5965
@forhimchannel5965 13 күн бұрын
NAHUMUMU MADHABAHU ZA KICHAWI MA MHURI YA KICHAWI NA MAAGANO YOTE NA ROHO ZOYE ZA KICHAWI.
@rabinzsinoya1434
@rabinzsinoya1434 Жыл бұрын
Amen. Naomba number ya Mchungaji Emieli
@PromovertvTz
@PromovertvTz Жыл бұрын
0756275511 Mch.Amiel Katekela
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
anzisha kipindi cha maombi ya watu wa nje ya nchi
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 Жыл бұрын
Ameeeeeeen mtumishi wa MUNGU
@veronicamwandembwa9042
@veronicamwandembwa9042 Жыл бұрын
Naomba namba ya mchungaji wa ukonga
@PromovertvTz
@PromovertvTz Жыл бұрын
+255621010304
@sandeabacha7346
@sandeabacha7346 Жыл бұрын
huyo jamaa anaepiga piga kinanda Anatutoa kwenye uwepo... kwanini asimuache mtumishi akahubiri kwa utulivu...
@Zawad-nd7yi
@Zawad-nd7yi Жыл бұрын
Baba hata Mimi mama yangu ni kichaa wa miaka mingi tangu mwaka 2000 mpaka Sasa ulipo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
yoo Mungu amfungue hakika
@niyonkuruobasanjo3304
@niyonkuruobasanjo3304 Жыл бұрын
Msafili mbona image zinagandaganda
@PromovertvTz
@PromovertvTz Жыл бұрын
Tumerekebisha sasa
@sarahbisendo5254
@sarahbisendo5254 Жыл бұрын
Naomba namba yatumishi waukonga
@marionoti5760
@marionoti5760 Жыл бұрын
Hivi mkristu wa leo pamoja na kuhubiriwa kweli ya Mungu wetu, Bado anaamini ktk uchawi hadithi za kufikirika na vitisho vya watu waongo, matapeli, wanaotafuta mkate wao wa kila siku kwa njia hizo danganyifu kana kwamba kazi ya Yesu kristo ilikuwa ni Bure! Tujitambue kuwa tulishakombolewa na Damu ya thamani, ili tunaijua kweli inayotuweka huru. Je kuugua au kufa, ni laana ya kulogwa na dawa za miti shamba, mapepo, au majini? Mbona hata hao wahubiri maarufu wa aina hiyo wa enzi hizo (Mosesi kulola, lazaro na wengine nisio wajua) waliugua, wakalazwa hospitalini na hatimaye kufa? Mbona watoto wachanga(wasio na hatia/watakatifu),akina Abrahamu, Musa Isaka, Yakobo, Daudi Elia, Elisha, Samsoni, Petro, Paulo, Tomasi, Yohana, Matayo, Luka na wengine waliugua,wakateseka kwa magonjwa hatimaye kufa? Hawakuwa na Mungu ndani Yao? Mbona tunawapa nafasi matapeli kuhangaisha nafsi na dhamiri zetu? Hivi Mungu/Yesu kristo anawasikiliza zaidi wao(wahubiri matapeli) kuliko sisi? Tusemeje basi? Pazia la Hekalu lilipasuka Bure? Hatutaki kufa? Kwa nini tuliletwa hapa Duniani? Mbona twayachunguza maandiko matakatifu kwa tafsiri potofu kana kwamba ndimo ulimo uzima wetu? Naomba mjadala huu uchukue nafasi mioyoni mwetu ili tuijue kweli na kujiweka huru. Nipo tayari kwa mahojiano ya ana kwa ana na yeyote. Na.yangu ya simu: 0754387546. 18:22 19:40
@DIGNAJASTIN-dl8yj
@DIGNAJASTIN-dl8yj 10 ай бұрын
Wew tuache tumsikilize mtumishi wa Mungu kama hutaki usimfuatilie achana naye kabisa
@user-xd9kw6nt8w
@user-xd9kw6nt8w 20 күн бұрын
We amini kuwa hakuna uchawi acha walikuwa wachawi na Mungu akawaokoa kutoka na wao ndo walikuwa walogaji wazuri mpaka kanisani kuwaharibu waumini na wachungaji wao acha atufundishe namba wanafanyaga
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 Жыл бұрын
Jacktan mbona picha inagandaganda
@PromovertvTz
@PromovertvTz Жыл бұрын
Kumradhi,ni matatizo ya kiufundi, tutarekebisha leo itakuwa poa
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 Жыл бұрын
@@PromovertvTz ok asante
@sarahchiwamba6038
@sarahchiwamba6038 Жыл бұрын
Asante
@dadafrida9202
@dadafrida9202 Жыл бұрын
Naomba number ya mtumishi katekela
THAMANI YA WOKOVU; MWINJILISTI AMIEL KATAKELA.
31:51
NY TV
Рет қаралды 9 М.
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 7 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 134 МЛН
Pleased the disabled person! #shorts
00:43
Dimon Markov
Рет қаралды 27 МЛН
WAKALA WA KUZIMU ASIYE MTU | Bishop Dr Josephat Gwajima | 26.11.2021
1:23:31
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 17 М.
MJUE MTU MWENYE MIHURI YA KICHAWI +255784638989
13:25
Tiba Zakissuna Tv
Рет қаралды 4,1 М.
MUNGU ANAKUANDAA KWA KILE ALICHOKUANDALIA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
10:53
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 45 М.
Day2_"Nguvu ya sadaka" SEMINA ITILIMA SIMIYU NA MCH.AMIEL KATEKELA
1:49:54
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 7 МЛН