#live

  Рет қаралды 25,023

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Пікірлер
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 Жыл бұрын
Amen sifa zote ni kwa Bwana yesu kristo na kwa utukufu wa Mungu Baba piga kazi mtumishi
@flavianarwebangira6726
@flavianarwebangira6726 2 жыл бұрын
Hakika unafungua wengi kwa mafundisho yako.Barikiwa sana. Wapendwa tumtafite Mungu hakika anapatikana.
@Zawad-nd7yi
@Zawad-nd7yi Жыл бұрын
Baba Mungu akubariki sana kwa huduma ashukuriliwe Mungu juu ambaye amemfichua Siri za shetani
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 2 жыл бұрын
Amen Asante kwa mafunzo mtumishi wa Mungu zidi kubarikiwa pamoja na promover TV ujumla
@LidiaMoses-iq5yv
@LidiaMoses-iq5yv 2 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mimi ni mama wa watoto wanne naomba uombee watoto wangu wanakataa shule wakati ni wadogo walimu wanawarudisha nyuma wakati mitiani wanakuwa waneshinda
@genevievesunday
@genevievesunday Жыл бұрын
Mungu akubariki na akutunze Kwa ajili ya ufalme wa Mungu kazi Yako ni njema. Unatuongezea maarifa sisi makamanda wa Yesu
@pamelaogano5220
@pamelaogano5220 Жыл бұрын
Mungu azidii kupa nguvu mtumishi wa mungi
@israelmlabwa9783
@israelmlabwa9783 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@gracendola7195
@gracendola7195 2 жыл бұрын
Kwa kweli mchungaji MUNGU akiubariki saaanaa! Binafsi MUNGU mekutumia wewe kuwa kupitia wewe kiimani niinuke vile tuuu nnavyo sikiliza mahubiri yako! ✊✊👐👐
@ويلماويلما
@ويلماويلما 2 жыл бұрын
Amen amen jina la bwana lipewe sifa, nabarikiwa nkiwa saudi arabia n ubarikiwe mtu wa mungu
@zawadikazungu961
@zawadikazungu961 2 жыл бұрын
Pamoja tuning from Saudi
@LENAHKAVUTHAOFFICIAL
@LENAHKAVUTHAOFFICIAL 8 ай бұрын
Mungu naomba unisaidie nkutumikie
@gradyskamwela6163
@gradyskamwela6163 2 жыл бұрын
Ameni Ubarikiwe mtumishi kupitia neno tunazidi kufunguliwa
@mpandawiliam5390
@mpandawiliam5390 2 жыл бұрын
Karibu Sana Arusha mtumishi Amiel na Tim yote, nawapenda sana, amina.
@yusterlucass
@yusterlucass 9 ай бұрын
Mungu naomba unipe mwsho mwema
@lilymwasi1221
@lilymwasi1221 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi emiel Mimi Niko Mombasa niombe
@RayKonk
@RayKonk 6 ай бұрын
Baba Karibu Morogoro nashukuru Kwa mafundisho
@malulamuhoja1692
@malulamuhoja1692 Жыл бұрын
Hakika Bwana amefanya jambo jipya ,smekuthibitisha umegusa wengi, Bwana akutunze, katika wewe tutashinda ba zaidi ya kushinda, barikiwa
@EvelineKalinga-c9q
@EvelineKalinga-c9q Жыл бұрын
AMEN karibu Mtwara Mtumwa wa Yesu
@sundayherrieth9460
@sundayherrieth9460 2 жыл бұрын
Ameen!! Nabarikiwa sana
@SarafinaSilvester
@SarafinaSilvester 9 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi. Mimi naomba number ya mtumishi.
@DIGNAJASTIN-dl8yj
@DIGNAJASTIN-dl8yj Жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana
@bintmwambapa7734
@bintmwambapa7734 2 жыл бұрын
Aminaaa Mtumishi wa MUNGU, MUNGU azidi kukutunza
@alice4720
@alice4720 2 жыл бұрын
Amen amen nimembalikiwa sana sana naomba maombi sana sana Kwa familia yangu Niko kenya
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 2 жыл бұрын
Mungu ndie alikutuma uende kumsaidia huyo mama kweli Mungu nimwema sana
@JaneKuyokwa
@JaneKuyokwa Жыл бұрын
Mungu akulinde Tena natena
@naikekangele7117
@naikekangele7117 Жыл бұрын
❤Ameeeeren
@Esther-Bri
@Esther-Bri 2 жыл бұрын
AMINA AMINA
@bebebebe9269
@bebebebe9269 2 жыл бұрын
Amen asante YESU CHRISTO 🙏🙏🙏
@nyasabatubae2875
@nyasabatubae2875 2 жыл бұрын
Ubarikie sana mtumishi wa mungu
@Share_theGospel
@Share_theGospel 2 жыл бұрын
Hallelujah 🙏🙏🙏
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Amen and Amen
@esterswepa4735
@esterswepa4735 2 жыл бұрын
Amina mtumishi
@Esther-Bri
@Esther-Bri 2 жыл бұрын
Mchungaji Ka mm imgn nko karibu kuchoka kukutafuta kwa sababu hupokei simu, unasoma voice unanyamanza aaaaaiiiii!
@hancymbarikiwa7975
@hancymbarikiwa7975 2 жыл бұрын
Msamehe Mtumishi Bure, mda mwingi anakuwa anahidumia watu, usichoke kumtafuta upo wakati utampata akiwa free, mda mzuri ni kuanzia saa 3 usiku anakuwa amemaliza huduma
@Share_theGospel
@Share_theGospel 2 жыл бұрын
Usichoke kumtafta Bwana anza Kujifunza kuomba kwanza maana hata ukimpata mchungaji kama ww mwenyewe hauko tayali itakuwa kazi bure.
@amosdaniel4596
@amosdaniel4596 2 жыл бұрын
Kuwa na subra tu wakat wako bado ....jua nae anatafuta sana
@williamchihami4763
@williamchihami4763 Жыл бұрын
@@amosdaniel4596 mtafute kanisani kwake tumia gharama yoyote kumpata
@florencemueni1183
@florencemueni1183 2 жыл бұрын
Una kazi mtumishi kweli
@ShadrackSelemani
@ShadrackSelemani 6 ай бұрын
Natamani sikumoja nikuone,najua nitabarikiwa sana
@Peace.2018
@Peace.2018 2 жыл бұрын
Amen
@fayanyembe9470
@fayanyembe9470 2 ай бұрын
The fact that huamini kwa uchawi is proof that your life is under very serious ATTACK on your destiny.. Why does the bible say, thou shall not suffer a witch to live??? May the Lord give you understanding!!!!
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 2 жыл бұрын
Zaburi 105mstari 37 hausemi hivvyo watumishi
@rabinzsinoya1434
@rabinzsinoya1434 2 жыл бұрын
Amen. Naomba number ya Mchungaji Emieli
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
0756275511 Mch.Amiel Katekela
@forhimchannel5965
@forhimchannel5965 6 ай бұрын
NAHUMUMU MADHABAHU ZA KICHAWI MA MHURI YA KICHAWI NA MAAGANO YOTE NA ROHO ZOYE ZA KICHAWI.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
anzisha kipindi cha maombi ya watu wa nje ya nchi
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 2 жыл бұрын
Ameeeeeeen mtumishi wa MUNGU
@marionoti5760
@marionoti5760 Жыл бұрын
Hivi mkristu wa leo pamoja na kuhubiriwa kweli ya Mungu wetu, Bado anaamini ktk uchawi hadithi za kufikirika na vitisho vya watu waongo, matapeli, wanaotafuta mkate wao wa kila siku kwa njia hizo danganyifu kana kwamba kazi ya Yesu kristo ilikuwa ni Bure! Tujitambue kuwa tulishakombolewa na Damu ya thamani, ili tunaijua kweli inayotuweka huru. Je kuugua au kufa, ni laana ya kulogwa na dawa za miti shamba, mapepo, au majini? Mbona hata hao wahubiri maarufu wa aina hiyo wa enzi hizo (Mosesi kulola, lazaro na wengine nisio wajua) waliugua, wakalazwa hospitalini na hatimaye kufa? Mbona watoto wachanga(wasio na hatia/watakatifu),akina Abrahamu, Musa Isaka, Yakobo, Daudi Elia, Elisha, Samsoni, Petro, Paulo, Tomasi, Yohana, Matayo, Luka na wengine waliugua,wakateseka kwa magonjwa hatimaye kufa? Hawakuwa na Mungu ndani Yao? Mbona tunawapa nafasi matapeli kuhangaisha nafsi na dhamiri zetu? Hivi Mungu/Yesu kristo anawasikiliza zaidi wao(wahubiri matapeli) kuliko sisi? Tusemeje basi? Pazia la Hekalu lilipasuka Bure? Hatutaki kufa? Kwa nini tuliletwa hapa Duniani? Mbona twayachunguza maandiko matakatifu kwa tafsiri potofu kana kwamba ndimo ulimo uzima wetu? Naomba mjadala huu uchukue nafasi mioyoni mwetu ili tuijue kweli na kujiweka huru. Nipo tayari kwa mahojiano ya ana kwa ana na yeyote. Na.yangu ya simu: 0754387546. 18:22 19:40
@DIGNAJASTIN-dl8yj
@DIGNAJASTIN-dl8yj Жыл бұрын
Wew tuache tumsikilize mtumishi wa Mungu kama hutaki usimfuatilie achana naye kabisa
@HellenSulle-m7t
@HellenSulle-m7t 6 ай бұрын
We amini kuwa hakuna uchawi acha walikuwa wachawi na Mungu akawaokoa kutoka na wao ndo walikuwa walogaji wazuri mpaka kanisani kuwaharibu waumini na wachungaji wao acha atufundishe namba wanafanyaga
@UpendoBarnoth
@UpendoBarnoth 2 ай бұрын
Mimi namsikiliza mtumishi wa mungu na bwana alimkomboa ili awe shuhuda ya wengi lakin kama wewe uamini kaa pemben usikengeushe akili zetu
@PelagiaMayengo
@PelagiaMayengo Ай бұрын
nani ahojiane na ww.ww hojiana na moyo wako au anzisha kanisa uhubili.kifo kiliumbwa mda wa mungu kukuchukua ukifika utaondoka haijalishi ulikuwa umesimamaje mbele za mungu.lakin pia mamlaka ya kuzim nayo ipo sasa unapobeza ckuelew
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 20 күн бұрын
Utapambana sana na ideology zako wacha sisi tusiojua kitu tukifunze
@Zawad-nd7yi
@Zawad-nd7yi Жыл бұрын
Baba hata Mimi mama yangu ni kichaa wa miaka mingi tangu mwaka 2000 mpaka Sasa ulipo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
yoo Mungu amfungue hakika
@veronicamwandembwa9042
@veronicamwandembwa9042 2 жыл бұрын
Naomba namba ya mchungaji wa ukonga
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
+255621010304
@sandeabacha7346
@sandeabacha7346 2 жыл бұрын
huyo jamaa anaepiga piga kinanda Anatutoa kwenye uwepo... kwanini asimuache mtumishi akahubiri kwa utulivu...
@niyonkuruobasanjo3304
@niyonkuruobasanjo3304 2 жыл бұрын
Msafili mbona image zinagandaganda
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Tumerekebisha sasa
@sarahbisendo5254
@sarahbisendo5254 2 жыл бұрын
Naomba namba yatumishi waukonga
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 2 жыл бұрын
Jacktan mbona picha inagandaganda
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Kumradhi,ni matatizo ya kiufundi, tutarekebisha leo itakuwa poa
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 2 жыл бұрын
@@PromovertvTz ok asante
@sarahchiwamba
@sarahchiwamba 2 жыл бұрын
Asante
@dadafrida9202
@dadafrida9202 2 жыл бұрын
Naomba number ya mtumishi katekela
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
ALHAMISI YA KUFUNGULIWA NA ROHO ZA MAJINI MAHABA | 04 04 2024 | FULL VIDEO  HD
1:33:01