🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 767 400402) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 21
@desiderihugo57047 күн бұрын
Pambaneni Makamanda na Mungu wa mbinguni awatangulie mapambano yenu yakazae matunda kwa jina la Yesu
@JeremiaholendikaMakeseni7 күн бұрын
Hogereni sana kiogozi tupo pamoja
@edsonkahesi86037 күн бұрын
Hii nchi wengi wetu tumeridhika na shida zetu, ila tunatakiwa tuiondoe ccm madarakani maana hela ya kodi inayokusanywa, wanaigawana haohao wenye dhamana na mamlaka, na ndo maana wako radhi kumpoteza yeyote wanayeona anataka kuwaharibia ulaji wao ili waendelee kujinufaisha wenyewe na kuzidi kumfanya maskini awe maskini kabisa.
@desiderihugo57047 күн бұрын
Ccm lazima waondoke .
@AbdallaJuma-tx5ck7 күн бұрын
Sababu rais kutoka zanzibar acheni ujinga machogo
@user-xh8kd9ze7o7 күн бұрын
Lema uko vzr
@elibarikimollel71497 күн бұрын
Sio Chakula,wala bidhaa yoyote,Madawa,Huduma,hakuna kilichosalia Waziri wa fedha Mh.Mwigulu hajaweka kodi juu ya kodi ndio ubunifu wa kisomi wa vyanzo vipya vya kodi kwa maendeleo ya nchi! Wao wanajitosheleza,sisi wananchi tunabangaiza siku kwa siku sio bure wana jambo lao...
@user-nn5oz4cn2g7 күн бұрын
Jamani hawajamaa wanaongea yaan mungu atusaidie
@user-hj3ky9zy6y4 күн бұрын
Pamoja sana
@kamalabuberwa20015 күн бұрын
CCM ni kikundi cha majambazi, tutakipiga mapema tuu!
@juliusmlula16587 күн бұрын
LEma Si muhuni wewe ndiyo muhuni na mjinga ambayo haujui lolote
@halimachadai8635 күн бұрын
Mapambano yaendelee
@IssaAlly-lp4uf5 күн бұрын
Apo nimekuerewa ndio mana maendereo uku mitaani akuna kilasiku tunaliatu izo pesa viasilimia ndio wanajenga mwendokasi basi imetoka
@KamwandaNzowa-eo4ur7 күн бұрын
Hata sisi wakulima tukilima Kahawa hawohawo Ccm ndiyo madalali wakubwa hivyo tunajikuta tumelipwa fedha kidogo sana
@user-tu2ne7so3b7 күн бұрын
Hapo hapo
@CostansiaKimaro3 күн бұрын
Muhuni ni wewe lema ni Kamanda mtetezi wa wanyonge
@clemencemkondya85617 күн бұрын
Lema niungovi au unasema sera Huna lolote mhuni tu wewe
@pueblo1487 күн бұрын
Kilaza
@elibarikimollel71497 күн бұрын
Mkondya wewe ni chawa wa kwanza kutoka mwisho nani hakujui?! Ndio mana wanyatu mnaongoza kwa umasikini nchi nzima
@shabanadam44767 күн бұрын
Stop your nonsense or go to hell lema his right why tanzanian were suffering katika nchi yenye rasilimali more than all countries in africa