Yeah, Luhaga Mpina yuko vizuri sana sana. Nashangaa anaongea mambo makubwa ya nchi wenzake wanamwangalia tu kama mtu ametoka sayari nyingine huko. Wala hawamuungi mkono kwa makofi. Sielewi tumefikaje hapa...vikiongewa vitu vya kawaida watu makofiiiiii na vitu serious watu hawana muda navyo. Ndugu zangu tuendako hatuendi. Inabidi tubadilike kwa hiari au tulazimishe mabadiliko.
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Tena Mpina anapongea mambo ya maana hakuna anayepiga makofi, lakini ysle ya kupiga makofi yanatufanya kuziba masikio
@edwarddaniel5683 Жыл бұрын
Huyu jamaa kabaki mpweke anaongea sense katika wrong audience