Рет қаралды 3,066
Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Festo Dugange, amewasimamisha kazi mganga mfawidhi wa Wilaya ya Bagamoyo, matroni wa hospitali hiyo baada ya kubaini madudu mengi kwenye hospitali hiyo kuanzia kwenye mapato yatokanayo na huduma za bima ya afya, huduma mbovu, uchafu wa mazingira na kutoweza kusimamia majukumu yao vizuri.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz