MAISHA YA ALLY SYKES

  Рет қаралды 30,079

Mwanahistoria MohamedSaid

Mwanahistoria MohamedSaid

Күн бұрын

Пікірлер: 39
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 5 ай бұрын
History nzur sana,wazee wamepigania nchi wanakuja kula nchi wengine kabisa
@Do-it-yourself_at_home
@Do-it-yourself_at_home 5 ай бұрын
MASHAALLAH
@SulemanKhan-lr1mu
@SulemanKhan-lr1mu 5 жыл бұрын
I have a lot of respect and good memories of Ali Sykes and his younger brother Abbas Sykes. Ali Sykes use to be our market master at Kariakoo. His office was behind the book store. My father use to send me to see Ali Sykes in his office to pay our rent which sometimes use to be late. I use to see a very slim man sitting in his office reading a newspaper. I did not know who he was, but later on I came to know he was Malimu, how can one get hold of Ali Sykes book and who is the publisher. Many Thanks.
@SEBASTIANBEKKO-ni8nn
@SEBASTIANBEKKO-ni8nn 19 күн бұрын
Safi sana
@TZEOnline
@TZEOnline 9 жыл бұрын
Safi sana napenda story zenu na simulizi za historia za wapigania uhuru
@ferimariam
@ferimariam 9 жыл бұрын
Mashallah I am so proud to meet the Son Of AbdulWahid Sykes give me all the back ground of our history about Muslim People InTanzania Please Everyone need to Know the real history about our Country Tanzania East Africa Mashallah
@muhssinmshangama6180
@muhssinmshangama6180 7 жыл бұрын
Kwa kuwa zipo shule za kiislam historia hii iwekwe kwenye masomo ya shule hizo ili wajue namna gani Nyerere alipotosha historia ya uhuru na namna gani waislam waliumizwa kupigania uhuru wa nchi hii inayowanufaisha makafiri na kuwavujisha damu waislam walioumia na kufungwa jela bila hatia
@kingosman9311
@kingosman9311 7 жыл бұрын
Allah amuweke peponi sheikh SULEIMAN TAKADIR ameen.
@rajabkassongo9774
@rajabkassongo9774 6 жыл бұрын
Ni hitoria nzuri za wapigania Uhuru Wa Tanganyika yetu tunafanyaje kuwaenzi wazee wetu
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 18 күн бұрын
Kwa Mimi binafsi siamini kwamba tatizo Ni udini,Ila Naona tu tatizo niwazee wenyewe,Kwa sababu kama Kuna upendo nasisi wote niwamoja hapawezi kuwa nakutoelewana!!,Dini kila mtu anaweza kuamini anavyotaka,Ila Mzee Abdul Sykes nimtu mkubwa Sana,mwenye mchango mkubwa katika taifa la Tanzania,hawezi kuwekwa pembeni hata siku moja,Kumtaja mtu mmoja Tu katika history hiyo haikubaliki kabisa,Lakini ukweli utajulikana Tu.
@mwalimuchatta4294
@mwalimuchatta4294 3 жыл бұрын
Mungu atatulipia to
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 2 жыл бұрын
Nyerere alikuwa msomi Sana.wao hawakuaoma.kumlinganisha na watu wengine sio
@edwinbernard3289
@edwinbernard3289 6 ай бұрын
alikuwa msomi kumshinda chief Kidaha, nyerere alikuwa mwalimu tu,,, huyo Hamza mwapachu alikutana na nyerere wakiwa makelele , nyerere anasomea ualimu, Hamza anachukua medicine
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Aa babu yangu wee waislam si wapo bakwataaa
@sk-wj9or
@sk-wj9or 5 жыл бұрын
Naomba uwataje walio uwawa na Nyerere. Zanni ,Tabora, Stephen Muhando ,Muheza, sokoeni nk Leo wapiga kelele tulio dhulumiwa wazazi wala hatujaaliwi.@ mwana historia mohamed said
@allyiddi5866
@allyiddi5866 3 жыл бұрын
Katika hili hatutakiwi waislam kuwa wanyonge . Hawa wamadhehebu mengine ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa Sana kutaka chama kikngine kinacho tokana na mtu wa dhehebu nyingine tofauti na c c m inayotokana na kuanzishwa tanu ambao waanzilishi wake ni waumini wa dini ya kiislam
@ffahima2010
@ffahima2010 6 жыл бұрын
Dah inasikitisha sana, nataman wange fight enz hizo hizo, coz kweli haingiii akilin ukilinganisha enz hizo dar wenyej wake wengi ni waislam hasa kariakoo
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Uyoo alikuja kuwazimaa wote akijifanya peke yake ndio master
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Kilio Tena kilio tumeumiaa
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Yeye aliwazima wote wote kabissa ili waislam wasiojuilikane wasisikike na yeye pia alitumika ukatoliki uwe mbele
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Minadhani tuamue Sasa kumbe sio wazanzibari t wa nasema na kudai ukweli kuleta Haki usawa hata watanganyika
@chazylben7711
@chazylben7711 5 жыл бұрын
Hapo nimejifunza kitu kumbe historia ya TAA ilianza kabla ya Bwana Abdul na Ally bali wao ndio waliongeza nguvu, kwahiyo ningependa kujua zaidi TAA ilianzishwa na nani au wazee gani hadi TAA akafahamika imeundwa
@salumkanju1732
@salumkanju1732 5 жыл бұрын
ni baba yao mzee kleist sykes alikua katibu mkuu wa TAA na rais wake akiwa ceclia matola walioiongoza tangu kuundwa mpaka 1948 waliowaachia fedasto kyaruzi kama rais na abdulwaid sykes akiwa katib kama ilivyokuw kwa baba yake mzee kleist sykes na hawa ndio wakikabiz madaraka ya chama kwa nyerere ndipo TANU ilianza hata hivyo mawazo yakubadilisha TAA kuwa TANU yalianza tangu memoranda1950 pindi hiyo nyerere yuwasoma edinbugh scotland huko uingereza ambako nako alikaribishwa na hamza mwapachu mtanzania alikuw akisomea mambo ya medical enzi hizo
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Jamani eee emu sikilizeni hayaa maneno emu amkeni kuweni na akili timamu huyo Mt alinatumia akili yake kusema nyeupe ni nyeusi na watu walikubali nakucheka huku wakipiga makofi
@MpumaLanga-vc4zh
@MpumaLanga-vc4zh 8 күн бұрын
@@salumkanju1732 ahaante
@siyaluggajo1625
@siyaluggajo1625 Жыл бұрын
Chief Makwaia kukataa kuchukua Urais wa Tanu kwa kigezo cha kuogopa wazungu na kwa maslahi yake mwenyewe kwa lugha nyepesi tunaweza kusema alikuwa Kibaraka mnaona ni SAWA. Lakini kwa Nyerere kukubali kuacha kazi yake ali risk na kukubali kupewa Urais usio na ofisini wala nguvu yeyote na kuendelea kukijenga chama cha TANU kisiwe na msingi wowote wa kidini mnaona ni TATIZO aisee mna matatizo makubwa sana.
@edwinbernard3289
@edwinbernard3289 6 ай бұрын
aliacha kazi lakin nani alikuwa anamfadhil kama siyo Ali sykes, na ndiyo alileta udini kwenye chama
@mkambotv5418
@mkambotv5418 5 жыл бұрын
wadau nauliza, Ally sykes na Duli Sykes wana uhusiono wa kidamu?
@rajabumasoud9954
@rajabumasoud9954 5 жыл бұрын
Mababu zake hao, ni ukoo mkubwa wenye historia MashaAllah
@mwalimuchatta4294
@mwalimuchatta4294 3 жыл бұрын
Ndio mjuku wao
@allyiddi5866
@allyiddi5866 3 жыл бұрын
Ally saikes ni baba wa fully Sykes
@allyiddi5866
@allyiddi5866 3 жыл бұрын
Dully mjukuu kabisa ally skyes
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 7 ай бұрын
Ni KAKA YAKE NDIO ABDUL SKILS
@aasykesful
@aasykesful 4 жыл бұрын
TANU History - @t
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 18 күн бұрын
Kwa Mimi binafsi siamini kwamba tatizo Ni udini,Ila Naona tu tatizo niwazee wenyewe,Kwa sababu kama Kuna upendo nasisi wote niwamoja hapawezi kuwa nakutoelewana!!,Dini kila mtu anaweza kuamini anavyotaka,Ila Mzee Abdul Sykes nimtu mkubwa Sana,mwenye mchango mkubwa katika taifa la Tanzania,hawezi kuwekwa pembeni hata siku moja,Kumtaja mtu mmoja Tu katika history hiyo haikubaliki kabisa,Lakini ukweli utajulikana Tu.
Waislam, Bakwata na Mfumokristo
1:27:33
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 52 М.
Miaka 53 ya Mapinduzi ya ZNZ na Mohamed Said Radio Kheri
1:02:35
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 7 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 102 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 127 МЛН
Maisha ya Lawi Nangwanda Sijaona (1928 - 2005)
47:34
Mohamed Said
Рет қаралды 8 М.
Kumbukumbu ya Sheikh Abeid Karume 2016
1:01:16
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 33 М.
Mashujaa 10 Wasiotajwa: #3 Ally Abdullah Sykes
1:23:14
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 7 М.
ZUMARI || Mohamed Said na historia ya Malkia Elizabeth II
52:26
MOHAMED SAID MUHADHARA MUM
51:52
Mohamed Said
Рет қаралды 4 М.
Wazalendo Waliopigania Uhuru
57:20
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 9 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 102 МЛН