Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/ DONATE TO EBM SCHOLARS 1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC... 2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS
Пікірлер: 23
@lovemagunda8583Ай бұрын
Ebm nimekutumia sms siku nyingi sana kam nna mshind wa DV Lotary 2025 but hujibu sms .
@alfrednjimbwi3936Ай бұрын
unafanya kazi kubwa sana Mzee makurilo
@yahyaali3951Ай бұрын
❤❤❤❤
@lijonjo21 күн бұрын
Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako. Niwe na Documents gani? Ada bei rahisi ni kiasi gani? Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
@YUSUPHUMARWA29 күн бұрын
Brother mm naomb kujua juu ya DV loterry
@yahyaali3951Ай бұрын
Tupo pamoja na subir kwa hamu sana mwalimu
@oliviaseth4652Ай бұрын
25 September
@rosejambi2713Ай бұрын
Bona umekua na arama nyeusi,dani ya usho wako kira,bahari hukai fire nirikuona mwaka jana hapa kenya
@SalimAhmed-vx3nrАй бұрын
Bro ni Mimi apa Salim Ahmed from ndlnds, nakuona mkuu.
@alfrednjimbwi3936Ай бұрын
mm binafsi umenifunua vitu vingi Sana ubarikiwe Sana
@alijumamohamedАй бұрын
Habari..ulipo nipo
@NassaniMussaАй бұрын
Naomba kelewa nauli yakufika usa
@tahiyasaidi6532Ай бұрын
Laki na nusu😊
@lijonjoАй бұрын
@@tahiyasaidi6532😂Una Roho ngumu wewe. Ungekuwa EBM wala usingetupa madini haya
@josephatjosephat4269Ай бұрын
Mimi naitwa jose swali langu nauliza je kama mtu ni muajiliwa kutoka nchi nyingine labda kama jeshini akaomba green card akashinda je ataruhusiwa kuingia marekani au kutokana na sifa za jeshi ni ngumu kukubaliwa nilitaka nijue
@albertseneth704Ай бұрын
Brother ofisi zenu zipo wp mtu akihitaj kuja kupiga picha na kufanya process za DV lottery
@user-cz3cf5wl7kАй бұрын
Swali langu EBM ni kwamba ukiomba DV lottery ukiwa unayo vyeti vya form four inakuwaje???
@user-cz3cf5wl7kАй бұрын
Nahitaji kujua process za DV lottery
@NassaniMussaАй бұрын
Naomba kujuzwa nauli ya kufika usa
@ELIZABETH-uz6dvАй бұрын
Me too
@alfrednjimbwi3936Ай бұрын
nauli ya ndege aiko permanent inategemea na company uliyo booking pia muda wa booking mtu anayebooking week moja kabla ya safari ni tofauti na anayebooking mwezi mmoja kabla ya safari pia ticket ya ndege kuna low season na high season kwaiyo high season nauli inakuwa juu lkn kwaiyo kuna muda unaweza ukasafiri ata kwa 1M lkn kuna muda unaweza ukasafiri ata kwa 3M adi 4M kwaiyo inategemea company,muda wa kusafiri ukiomba miezi minne kabla ya safari nauli uwa chini Sana
@estherkiema3569Ай бұрын
Hujambo mimi ni mshindi 2024 nishafika USA niko na maswali kadha je naeza wasiliana nawe kivipi tafadhali