Makonda umerudi kwa watu maskini.. wanyonge.. waliochwa bila mlezi karibu sana katika harakat za kumpambania mnyonge.. mungu akupe nguvu tunajua wema ulifanya kwa magufuli.. japo hatuambiwi safali ya mwisho ya filikunjombe alitakiwa kuwepo lakini kwa uwezo wa mungu hakusafili..kwaiyo ukiwa na nguvu ya mungu hauhitaji mashabiki weng km simba na yanga ili wa kupambanie..
@user-my5nu8sd7p8 ай бұрын
Baba makonda mm nakupendeaga apa dar mpaka Leo tunaingia mjini nakupenda Sanaa nataka siku moja uwe wazili wa mambo ya ndani uinyooshe nchi Barabara
@ustadhisimbula86228 ай бұрын
Makonda kama makonda tulikumisss mzeee Asante mama kwa kumrejesha mwamba kazin wacha kaz iendeeleeeeeee
@user-wf3dh1nv6m8 ай бұрын
Nimependa makonda Asante kwa kutetea watanzania
@jumasaid60738 ай бұрын
Mungu Akujaalie uwe Rais Nakupenda had naumwa.
@Hancymtembo8 ай бұрын
Yuko sawa kabisa makonda, maisha ni siasa huyu anapooza machungu ya watu serikali haitoi hajira bodaboda mama lishe na wamachinga watafanya kazi gani? yuko sawa sana kwa sababu serikari inaongozwa na chama cha mapinduzi jeshi likiburuza wanainchi chama kitakosa hatamu 2025 piga kz makonda
@hashimchaoga95668 ай бұрын
Hizo ni porojo tu za kisiasa ni usanii tu . Aende na Loliondo watu wanakonyanyaswa
@aud5488 ай бұрын
Utumishi wa Umma ni moja ya kazi za ovyo basi tu ni vile umasikini aseee ...
@mohamedally52258 ай бұрын
Kwan hata huyo police ni chini ya cm sio serekal tena
@elvisoscar99128 ай бұрын
Police department inabidi msimame kukemea ili uyu jamaa anawaitaje wakati Ni mtu wa chama na police aitakiwi kuwa na mambo ya chama asee
@michaelbigvai11998 ай бұрын
Ni ungese sana acha tuu
@aud5488 ай бұрын
@@elvisoscar9912 Nchi hii anafukuzwa kaka au kutengenezewa zengwe🙌
@kulwastima39938 ай бұрын
Sana tu
@jumanyanda57618 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu ili kuitumikia taifa leti
@sultanramadhan52698 ай бұрын
Umeongea umeacha gap simamieni sheria, hapo kwenye sheria, na sheria zenyewe wao ndiyo watungaji waziri anapitisha ktk utekelezaji ni biashara mfano tukiwafukua driver's zote za bodaboda tukiwauliza mmekufa sbbu hamkuvaa element wengi watakanusha kifupi element haizuii kifo ktk safari ya bodaboda Kuna watu hawapandi boda hata km Kuna nini lkn wakubwa wa polisi weshapitisha sheria km taifa lazuia ajali wafunge road zote kwa sbbu kila jambo Sasa hivi ni chanzo cha ajali duniani.
@grobwairo7918 ай бұрын
Jeshi la polisi limepoteza mwelekeo kabisaa linaingiliwaje na chama sjawai kuona nchi Kama hii ya ccm ndio inalipangia jeshi namna ya kufanya kazi au ni kiherehere Cha bashite
@ChristerShao8 ай бұрын
Makonda mmm umeujua ubaya mungu akusaidie .
@user-xn3gs9qc8u8 ай бұрын
Hongera Sana Makonda natamani nikuone nikupe kadhia tunayoipata.
@aristideskilawe50248 ай бұрын
Kazi njema brother. MUNGU akuongoze
@MBATINOFILMS8 ай бұрын
Makonda we noma sana nakubali mwamba
@ibrahimucharlessatto34498 ай бұрын
Hongera Makonda
@sengeremaxleo92958 ай бұрын
❤ i see the sprit of magu
@ManuuNgingo-dm1vs8 ай бұрын
Hongera makonda mungu aendelee kukuongoza hakuna kiongozi anaye kuja kwa bahati mbaya ni mungu kakuweka hapo wakosoaji wapo lakini wewe Songa mbelee mtazame mungu
@ramadhanmaulid40888 ай бұрын
Mzee amekua kiongoz safi sana. Good
@moha90438 ай бұрын
Good talking from experience 😅😅
@williamsamwel17158 ай бұрын
May God bless you..
@lucasmhagama81668 ай бұрын
Hii sio sawa upuuzi na sifa za kipuuzi,kiongozi wa chama anamshighulisha kiongozi au afisa wa Serikali upuuzi huu
@jasperluoga67888 ай бұрын
Huu ni upuuzi sana siasa na utendaji wa serekali with individual professionalism ni vitu tofauti sana. Watu wajifunze sio Kwa sababu umepewa kipaza sauti ndo umuinglie kila mtu kwenye kazi yake this is wrong kabisa Kua na mipaka ukitambua na kuheshimu watu na kazi zao.kila mtu ana faham kitu fulali hakuna mtu anae faham kila kitu isipokua mungu pekee
@clustermqsir98408 ай бұрын
Sasa kaka umesema hakuna mtu anayefahamu kila kitu, kwanini umuite mpuuzi aliyekosea kwa kutojua.. Hajatoa amri ila ameshauri ndio maana OCD hajapiga saluti kwa Makonda kwa maana hiyo hafanyi kazi kwa maelekezo ya Makonda/kiongozi wa chama, pili angalia ujumbe Wa Makonda kama ni chanya au hasi kwa jamii husika... Tatu na mwisho ni serikali sio serekali.
@user-ou7pg1tx9x8 ай бұрын
Ila OCD ni chuma anajielewa, HAJAMPIGIA SALUTI, alicho ongea makonda hapo ni Ushauri tu, sio maelekezo,. 😅😅😅
@AbdalahMussa-xo6fh8 ай бұрын
Mwenyizi mungu hakutie nguvu katika shughuli za ujenz wa taifA
@tryc_5798 ай бұрын
Mungu tukumbuke Watanzania hii nchi imeisha kifalafala Nyerere pumzika kwa aman lakini juwa nchi ulio ipigania ni Bora ungeachaga tu tukafa kifala😢
@kisanduBarafu-bp4rm8 ай бұрын
Kwanza wewe ni msenge na maoni yako ni ya kifala vilevile
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Umeirudisha Ccm kwenye wakati Makonda oyeeeee Mama Samia umefanya vizuri kumrudisha Makonda utapata kura kwa wingi sana kwa Wasukuma waliyokushauri wamekusaidia sanaaaa
@bahatitumaini3478 ай бұрын
Good saana kuzungumuza point
@MwanashaZahabu-vf9vv8 ай бұрын
Munguakutangulie kilaiitwapoleo
@user-ss2hz9zs9n8 ай бұрын
Thanks
@kassimkassim63868 ай бұрын
Chama kilipoteza iman kwa wananchi makonda anajaribu kuludisha iman kwa wananchi kwa ccm Ila.kwa haraka haraka uwez kuelewa
@IvonJasson-ww2ij8 ай бұрын
Nimeelewa bro
@lucasmapunduone46168 ай бұрын
makonda ulikuwa wap unajua ww unakuja kwenye nyao za magufuli kabsa kaza dingi naamini magufuri amekupika sawasawa acha haowanao kaaa kwenye viti kama vivuli hawana lolote lakusemea wananchi wao ili mradi familia zao zinashiba basi hawana habari na sisi💪💪💪💪🤜🤜
@Zenny898 ай бұрын
Kwani Chama cha Nchi Ndo serikali??? Inakuaje Chama kinamhoji Polisi???
@user-ls1ki7fl7y8 ай бұрын
Hongera
@sankajoseph46278 ай бұрын
Safi kaka yetu
@Frazztraveller8 ай бұрын
Makonda sizani kama ana ulewa mzuri kuhusu urban planning, maana kuruhusu bodaboda na machinga mjini ni kufanya miji yetu iwe soko kila mahali leo hii ukitembelea posta dar yote ni uchafu jiji chafu sana na makelele tu ya machinga na bodaboda
@michaeltuingilegewaubaridi85708 ай бұрын
Safiii Sana makonda waonyesheee
@SamwelJr-go6iy7 ай бұрын
Asante babaaa
@musanzowa89888 ай бұрын
Huyu Makonda binafsi sijawahi muelewa!
@gustavompemba17818 ай бұрын
Ww ushajielewa kwanza
@user-ds8lg4xd4l8 ай бұрын
Safi sana mkuu
@rajabulipongo55958 ай бұрын
Kwa hutuba hii hongera sna
@mathiasmatiku94448 ай бұрын
😢mmmmh! Kama ninamuona Magufuli 😭
@johnjulius69868 ай бұрын
Hahaha...tuko wote alafu anaongea kama magu vile
@donaldmsery78568 ай бұрын
Mh. Makonda tafadhali tafadhali njoo Bunju ulipoondoka tu na Kituo Cha Police hakikujengwa Tena njoo tuzaidie ee mtetezi wa wanyonge.
@user-jj4kj9zt7k8 ай бұрын
safi sana mzalendo ww
@ThobiasMarandu3 ай бұрын
OCD Unamtetemekea Mpuuzi Mwenezi wa CCM? Mwenezi wa CCM na Mwenezi wa TLP Tanzania Wana Nafasi Hii Moja.. Hana Uwezo wa Kumwamrisha OCD
@julianapatrick79118 ай бұрын
Aisee Brother
@itanzaniaAS8 ай бұрын
Mhm😂😂😂HAKUNA MWALIMU MZURI KAMA MAISHA
@amrymhina86498 ай бұрын
Inasikitisha sana
@user-fr2pf5eg2g8 ай бұрын
❤❤❤❤ makonda JPM daima
@davidsuleman-eu4mc8 ай бұрын
Kazi kazi
@sadickshedrack50668 ай бұрын
We makonda tulia Muda wa kampeni bado acha kuja na mbwembwe kwa kuwazalilisha watu wanaokuzidi elimu we ni paka tu.
@ABBASIKANDULU-kl8zc8 ай бұрын
Ndio Kiongoz sasa utaki unatakaa ndio kashapewaa
@maswamills31618 ай бұрын
Hapa kazi tu.
@stephanokanyika63218 ай бұрын
Mama kweri hapo amechagua jembe ni kama angekuwa katibu mkuu vile wanaunga mkono makonda kuwa katibu mkuu gonga like hapa kuunga mkono hoja
@jumarajab53168 ай бұрын
sasa mambo ya RTO unamuelekeza OCD hujui kama OCD ni mdogo kwa RTO hawezi kuelekeza hayo mambo labda ajionee mtandaoni
@Gamba1778 ай бұрын
Anafirwa huyu makonda.
@mbagaherbal47968 ай бұрын
Anatoa ziro kweliii??
@AdamFundikira-jb9vq8 ай бұрын
@@Gamba177 wewe unamtukana makonda wewe unafirwa na baba yako
@badiomary8228 ай бұрын
Vunga tu za Kisiasa kuwalewesha Wananchi wa Kada za Chini ambao ndio wengi na ndo Wapiga Kura hakuna Jipya !!
@nicodemmabala19048 ай бұрын
Inategemea RTO anaweza kuwa na madaraka ya level ya mkoa lakini akawa na cheo kidogo cha kijeshi akazidiwa na OCD
@liberatusjackson50458 ай бұрын
Kweli makonda mmmh.
@user-lb6ke2lo3f8 ай бұрын
Swali, Makonda ni kiongozi wa serikali au wa chama!!!
@Gamba1778 ай бұрын
Ni msenge kumamake mwizi.
@israelkisaila84018 ай бұрын
Mwenyewe sielewi natamani kujuwa majukumu ya katibu mwenezi
@jovinjones47778 ай бұрын
polisi anapokea maelekezo ya katibu mwenezi wa chama!!???
@mwanagwakyala32138 ай бұрын
Neno kubwa sana hilo kwa wanaojitambua tu,hongera makonda cheo dhamana
@MwigaKatumpula-mi3zt8 ай бұрын
Yaani Tanzania 🇹🇿 ndio nchi pekee yenye wana siasa ambao humwona mtu mwenye professional aonekane haja soma au haja enda shule.visit Tanzania ujionee professor ana tukanwa hadharani na mwana siasa oh 😃😀🙌
@calvinpaul21718 ай бұрын
Sure
@sadickshedrack50668 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimesoma comment yako kwa umakini sana adi nafurai ni kama nilichotaka kuongea tayari ushakimaliza akili moja
@Jeremiahlukumay8 ай бұрын
hebu ona anavyomthalilisha mwenzake.
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs8 ай бұрын
Asikudanganye mtu mwanasiasa ananguvu sana kuliko mwenye taaluma
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs8 ай бұрын
Asikudanganye mtu mwanasiasa ananguvu sana kuliko mwenye taaluma
@nafutarymajogoro308 ай бұрын
Makonda ni chaguo la mungu
@Nesrev958 ай бұрын
hii nnchi ukijaribu elewa sana mambo utajiona wewe ndio mwehu 😅
@husseinmtima61068 ай бұрын
Kamanda kamanda kamanda !dooh
@roxboy448 ай бұрын
Kumbe Magufuli amerudi kwa kupitia mwili wa makonda😂😂
@vincentcharles43858 ай бұрын
Sasa nimeanza kuamini maneno ya Gwajima dhidi ya Makonda
@petermatabwa21338 ай бұрын
Umeonaeee!!!
@user-og4ox5jb4v5 ай бұрын
Kweli dar ulitutetea
@jumahassan2738 ай бұрын
Safi makonda
@vickylupemba60555 ай бұрын
Jmn wananchi wao kwa wao hawana bifurcation, tatizo ni wananchi vs polisi, Uhamiaji, ardhi, diwani n.k. Inatisha sana
@MorganFred18 ай бұрын
Magu mtupu😢😢❤❤❤
@victorjames37308 ай бұрын
Ngoja ninyamaze tuu
@sifuelinyaki33418 ай бұрын
Mgh!!! Ivi si makonda aliwahi kusema kama mtu hajaoga asikanyage mjini mbona watanzania tunasahau sana
@LovegodMinja-vi8ky8 ай бұрын
Siasa inaweza ingilia Taaluma za Watu na kuweza kujinasibu mbele ya umati ili tu uwin hadhira iliyokusudiwa ifike mahali Siasa ikome kuingilia vyombo vya ULINZI na USALAMA !!! 🙆
@kikongajoel51728 ай бұрын
Makonda.safi
@ransonlema39168 ай бұрын
Makonda, asante baba wewe na Magufuli mmeacha alama mioyoni mwa watanzania wa hali ya chini, mtakumbukwa daima, mioyo yetu imejaa shukrani kubwa kwa ajili yenu mbele za Mungu
@fidemgonja19668 ай бұрын
Nimeipenda Sana hiyo maisha yanatabia ya kubadkika
@fidemgonja19668 ай бұрын
Nimeipenda Sana hiyo maisha yanatabia ya kubadkika
@fidemgonja19668 ай бұрын
Ila haya maelekezo ya kwenye majukwaa hayazingatiwi wakidai niyakisiasa
@victordanistan74708 ай бұрын
Aiseeeee...
@user-kh4vd9jw2s8 ай бұрын
Bado hujasema..😂😂
@swalehemchora31678 ай бұрын
Kila la kheri ❤❤
@ustawiwetu8 ай бұрын
Huyo ni Kiongozi wq chama, kwanjni anajikweza kama kiongozi wa Serikali. Kuwe na mipaka. Makonda hatakiwi kutoa maelekezo yeyote kwa wafanyakazi wa Serikali. Atambue mipaka yake
@BenderaRulenge-er7wx8 ай бұрын
Mmmmh.kwahiyo wakivunja sheria wawache au?.kila kiongozi ni kambale baba shurubu watoto shurubu!
@user-ch2xi5zm8y8 ай бұрын
Sana baba
@floramarinyo35178 ай бұрын
Kazi iendelee Sasa ndo hiii ,kwishaaa
@MrTop-wj7no8 ай бұрын
Huyo ndo MAKONDA the 2nd JPM
@mohamedmwinjuma8 ай бұрын
Huyu ndo anaweza kuvaa viatu vya magufuli
@user-fy9lo9bw7p8 ай бұрын
Kazi ipoo
@merinankullua58748 ай бұрын
Mmmmh ,hii ndio Tanzania .
@user-zx3he3lp3o8 ай бұрын
Hi bwana Makinda muenszi tattizo la nchi ni umemd wa mgao hali ni ngumu sana solution ni umeme wa bwawa l a nyerere
@suleimansalym75378 ай бұрын
Kisheria sio sahihi makonda kumpa maelekezo police direct namna hiyo lkn hao police wenyewe wengine wapo wapo tu hawajui hata hizo sheria nilishawahi kumwona police ktk mitandao ameishika ilani ya CCM na kijinasbisha nayo so tuseme tu police wanatumikia hawa watu Alitakiwa tu kutoa ushaur kma Mzee Kinana aliposema traffic police wapunguzwe barabarani kupitia Wazir anaehusika lkn kumpa maelekezo police haipo sawa yeye sio mtumishi wa umma ni mtumishi wa chama cha siasa
@Abdul-zx9vn8 ай бұрын
Elezea ametumwa na rais
@Avit_khan8 ай бұрын
Meza wembe
@suleimansalym75378 ай бұрын
@@Avit_khan Wewe ndo meza wembe maana sijaongea hayo labda ukadhani nimeongea kwa chuki maelezo aliyotoa Makonda kwa police ni msaada mkubwa sana kwa wananchi sisi tumeongea sheria Sasa inaonekana ww ndo umeumia Sasa ww ndo wakumeza wembe kma yamekuuma lkn ndo ukweli na ukweli unauma sio😂😂😂😂😂😂
@jonasmyala12688 ай бұрын
Bongo fikra zetu zimeegemea kwenye nani hatakiwi kumwambia kitu nani...nani yupo juu au chini ya nani. Kwa kifupi tunawaza kuvimbiana TU. Lakini ukweli ni kwamba kila mtu hata awe na cheo gani unayohaki ya kumpa maoni, mawazo na hata maelekezo muhimu usivunje Sheria. Hajakosea mahali huyo jamaa. Hebu tulegeze fuvu mambo yawe yanaenda na sio kuwa negative kwenye kila kitu
@jonasmyala12688 ай бұрын
Lakini unaweza kutusaidia hicho kifungu cha sheria pia ili tuelimike.
@PaskaliCharles-pz8ds8 ай бұрын
Umeongea ukweli mh
@uwembatvonline8 ай бұрын
Sasa 0CD unakubali vip kuitwa na mtu sio wa Serikali 😅😅et njoo hapa na yeye anaenda kabisa, mwambie pita hivi
@getrudainolelo99928 ай бұрын
Majukum ya katib wa chama jamn
@user-xe8xv6so6s8 ай бұрын
Unamaanisha kweli! Hao mnaotaka kuwavunja miguu wanaichi wa nani!
@user-yz8nh4px5v8 ай бұрын
Sisi hapa oyeeeee
@user-sl2hk8wp1p8 ай бұрын
Tatizo sio kukamatwa jee wanajua sheria za barabaarani bodaboda wengi wao wanaendesha hawana leseni mulikuwa muwaekee shule km wanavojifundisha magari lkn km kila 1 ajifunidishe vichochoroni kisha aingie barabarani mutawaonea bure asikari
@shebbyelphonce85148 ай бұрын
We like you brother akuna kamata kamata kwa boda boda ad raha nasisi boda tuwe wastaarabu sasa
@muzafarsharif94658 ай бұрын
huyu Yuko na jukumu gani Kwa serikali ya mama Samia??? ,,wakati WA magufuli alikuwa mkuu WA mkoa
@costasendama1138 ай бұрын
OCD siyo mtumishi wa C.C.M, unamlaka gani ya kumhoji namna hiyo . Shida nchi yetu huwezi kutofautisha kati ya chama na serikali, hata kama chama kiko madarakani haimaanishi kuwa viongozi wote wa chama wana mamlaka na waajiliwa wa Serikali.
@nabosedward48368 ай бұрын
Serikali ya ccm ndo wanaongoza nchi kwahiyo katibu mwenezi anauwezo wa kumhoji mpaka waziri
@ramsonhudson40138 ай бұрын
Ukienda ofisini kwa IGP Leo utakuta Ilani ya CCM ndiyo ujue CCM iko Hadi kila mahali
@emmanueljoseph38128 ай бұрын
SERIKALI YA CCM INAMAMLAKA MPAKA VYOMBO YA SHERIA NA UJUE KUWA CCM NDYO FINAL SAY
@ibrahimubakarisuhuzwa47378 ай бұрын
@@nabosedward4836 halafu ajuwe kwamba makonda ametumwa na raisi afanye hayo
@majaliwabwitonde69008 ай бұрын
We hujui kitu kabisa
@allythabiti81508 ай бұрын
Makonda kazi Kazi
@emmanueljoseph38128 ай бұрын
NCHI YETU NI KAMA NCHI YA KUSADIKIKA KTK RIWAYA FURANI NILIYOWAHI KUISOMA!
@butotanto8 ай бұрын
Serikali ni tofauti na chama, huyu mi mfanyakazi wa chama na siyo serikali. huu ni upumbavu
@butotanto8 ай бұрын
Makonda ni mfanyakazi wa chama na siyo serikali. serikali ni muhimili unaojitegemea
@user-tn3cv9eg9l8 ай бұрын
Kweli umejifunza
@mrjeyjamal62888 ай бұрын
He supposed to be prime minister
@edwardmaguluko65418 ай бұрын
Huyu jamaa mwamba sana
@user-ok3ws8jl2s8 ай бұрын
Mwaka huu tutayaona mengi magu mwenyewe sikuwahi ona akifanya haya kwa kweli
@fristonactary13718 ай бұрын
M kuniambia Makonda Cheo alichopewa Huko ccm Ndy CHEO Chake Nakataa!,,Polepole Cjawai kumuona Anaongea Kwa Ujasir Kama Hivi😂😂😂 kuna kingine Anajivunia huyu,,