Pamoja sana mkuu wa mkoa Arusha unafanya kazi sana Mungu akutunze
@patrickmukundichalamila3038Ай бұрын
Sema sio mpira wa miguu,mheshimiwa Makonda ungechukua uchezaji bora wa dunia mpaka ustaafu soka😊😊. Lindwa sana na Mungu,wakuombeao mabaya Mungu asimamishe hizo husda🙏
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Wazuri hawadumu maana makonda nilimchukia saivi namfulahia natamani awe mko wa songwe
@makongorowassira6593Ай бұрын
Hao sio wazembe, wanazitumia kwenye miradi yao binafsi wanapata faida na kurudisha mtaji wanapojisikia. Huo ndo ukweli wa mambo na sio wao tu.
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Makonda mafisadi wakupendi,mola akulinde sana
@apaikundambise1244Ай бұрын
Niipenda hiyo wamepata kiboko Yao ahsante nao wanaoneaga walimu wanaowasimamiaga kwa hyo ni kupatwa kwa zamu
@khatibkhatib2249Ай бұрын
Kuimba kupokezana
@assayusuph3295Ай бұрын
Kazi nzuli mweshimiwa
@ankoanko-zz7itАй бұрын
Watumishi wengi ndio wanaongoza kuchat na simu.
@obadiajuma436Ай бұрын
Roho ya magufuli ndani yamakonda MUNGU akubariki
@saimongilala893829 күн бұрын
Hiv mkuu wa mkoa Alie kuwepo hapo alikuwa haon madudu hayo nikama wakati wa kikwete na alipo ingia magufuli akaona mengi Mungu akulinde
@VeronikaKayombo-wf7dcАй бұрын
Mungu akulinde kiongozi upo vzur
@MohamedyOmary-cv6gkАй бұрын
Hongera mheshimiwa
@bishoparronmgaya1749Ай бұрын
Hongera MUNGU AKUTUNZE
@MichaelLudago-du2xbАй бұрын
hao watumishi ni wazembe hatar
@frankmlinda1181Ай бұрын
Fyatulia mbali shenzi zao pumbavu
@muhsinkimaro4283Ай бұрын
Tunataka watendaj mkuu, fyekelea mbali
@apaikundambise1244Ай бұрын
Hawa viongozi WA elimu wapate kibano tu
@zebedayondelwa4046Ай бұрын
Nakupongeza Sana mkuu fanya kazi
@eliudgathuthi8601Ай бұрын
Naona Jacho mpaka kwa kipara ikitiririka
@apaikundambise1244Ай бұрын
Hao maafisa wapate kibano tu
@aloyceponela3249Ай бұрын
Piga kazi mkuu wa mkoa. Ww ni jembe
@eliudgathuthi8601Ай бұрын
Sema kimeumana
@taurehassan7399Ай бұрын
Dah hyu Mzee wa shule ya msingi anatia mpaka huruma pngne Bdo miaka kdgo astaafu Apte mafao yke kizaazaa chamtokea duh?pole Mzee wangu hyo makonda mkiongea nae msitetemeke Hana noma unaweza ukapoteza kazi kizembe kw kutetemeka kwko,
@sundaystanley5322Ай бұрын
Msamehe huyo baba wa elim msingi,atakuwa amejifunza jameni
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Ameshindwa kusimamia wajibu wake
@YusufSasamalo-uz4iiАй бұрын
Wataalam wataalam wa nchi hii mnatia aibu
@cidewashington670Ай бұрын
Mzee kajiakaanga kwa maneno yake
@abdallahmmary8591Ай бұрын
Hawa viongoz elimu ni hongo wanataka ili waweze kupewa pesa
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Kwani hawo wakuu wawilaya wanafanyanini na samia anapeleka pesa na wao wapo kimya wote samia angetoa hawana kazi
@msafiriomary893Ай бұрын
Kra kiongozi Tanzania yupo kazin kwa ajili ya wizi tuuu
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Bila makonda arusha isingekaaa sawa
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Chamuhimu ujue kujieleza tu na uwe mkweli
@user-fu3hn1ms2jАй бұрын
Aisee Hawa watu wajinga sana
@bilid4128Ай бұрын
Kwanini walikuwa hafanyi hicho walichokuwa wanapaswa kufanya ? Kutofanya ilikuwa inaenda kuwapa Faida gani kwao ? Anaejua naomba majibu jamani
@frankeliakim2267Ай бұрын
Walitaka wasubilie bajet mpya ili wapige pesa za bajet iliyo pita