MAKOSA 6 YA KUEPUKA UNAPOANZISHA BIASHARA - Victor Mwambene.

  Рет қаралды 6,528

Victor Mwambene

Victor Mwambene

Жыл бұрын

Kupitia somo hili utajifunza makosa 6 wanayofanya watu wengi wakati wa kuanzisha Biashara. Kwa kutokujua makosa haya biashara nyingi zimekufa ndani ya muda mfupi.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.

Пікірлер: 29
@NgomyakomyaKashumbi
@NgomyakomyaKashumbi 2 ай бұрын
Yeah nakupata vizuri sana
@barakakamsila499k
@barakakamsila499k 10 күн бұрын
Shukra brooo
@kanyikatzmg7228
@kanyikatzmg7228 7 ай бұрын
Ahsante
@SamsonHumbe
@SamsonHumbe Ай бұрын
Ni kweli kaka yangu, nakupata barabara.
@user-zs5ml7hz3y
@user-zs5ml7hz3y 3 ай бұрын
Nime kuelewa
@ENGINEER55.
@ENGINEER55. 7 ай бұрын
Asante kaka nimejua vingisana umenitoa Gizan nimepoteza biashala nyingi sana ningependa nipatate hivyo vitabu nipo dar
@aganokomba2423
@aganokomba2423 22 күн бұрын
Kweli Kweli wako wengi sana huku mtaani 😅😅😅
@user-yf3lq3hx9f
@user-yf3lq3hx9f 3 ай бұрын
Asante sana brother umenifundisha nimekuelewa
@EnockMahenge-yv2cd
@EnockMahenge-yv2cd 2 ай бұрын
Asante niko na maono makubwa Ila niligundua kubwa sina maarifa ya fedha na biashara sasa naweza kuingia vitani bila Hof asante sana mwalimu kikubwa lazima nipate vitabu vyako vyote ili niwe expart
@ShabanhasanShabanHasan-yc1gd
@ShabanhasanShabanHasan-yc1gd 9 ай бұрын
Big up brother endelea kurusha mawe
@harunipaschal513
@harunipaschal513 Ай бұрын
Hicho kitabu cha jinsi ya kujitofautisha ni shingapi.
@farajarogath196
@farajarogath196 Жыл бұрын
⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
@wilsonfanuel9642
@wilsonfanuel9642 Жыл бұрын
Appriciated sana 👊
@UgaliDagaa-gu2vp
@UgaliDagaa-gu2vp Жыл бұрын
Safi teacher
@omarmahirizi
@omarmahirizi Жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
@harunaathumani1672
@harunaathumani1672 Жыл бұрын
Somo zuri na nimejfunz kitu
@user-de9iz1os6z
@user-de9iz1os6z 11 ай бұрын
Nimeependa sana Husia wako
@FaidaShija
@FaidaShija 2 ай бұрын
Kaka mm sped kuajiliwa nijitowe vp Ili na mm nifanikiwe kibishaara
@JumaAli-cf4qw
@JumaAli-cf4qw 8 ай бұрын
habari kka
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 8 ай бұрын
Asante sana kaka ,nimefunga mengi
@user-xv1pj3wq5b
@user-xv1pj3wq5b Жыл бұрын
😮kaka kutoa tang fetha n kvp
@RaheliMichael-st2tc
@RaheliMichael-st2tc 8 ай бұрын
Kaka unazo Akili mnoo
@harunaathumani1672
@harunaathumani1672 Жыл бұрын
Teacher liwepo hilo somo la maswali ya kuuliza kwenye Interview
@benedictaustard5583
@benedictaustard5583 3 ай бұрын
Tufindishe jinsi ya kupata Capital na kutumia Mkopo to your advantage!
@victormwambene
@victormwambene 3 ай бұрын
Somo la Jinsi ya Kupata Mtaji Nitaliweka wiki ijayo, Tayari Nilisha shoot
@benedictaustard5583
@benedictaustard5583 3 ай бұрын
@@victormwambene Asante
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 Жыл бұрын
boss we umeanzisha biashara gan ikafanikiwa??
@MohamedSaid-dz7ci
@MohamedSaid-dz7ci 2 ай бұрын
Hhhhh
@ashamnyanga3397
@ashamnyanga3397 4 ай бұрын
Ahsante
MBINU 7 ZA KUONGEZA MAUZO KATIKA BIASHARA - Victor Mwambene.
11:25
Victor Mwambene
Рет қаралды 8 М.
TOFAUTI KUBWA 6 KATI YA MATAJIRI NA MASIKINI | Victor Mwambene.
16:04
Victor Mwambene
Рет қаралды 3,7 М.
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 8 МЛН
KANUNI 10 ZA KUTENGENEZA FEDHA - Victor Mwambene.
21:41
Victor Mwambene
Рет қаралды 3,7 М.
MAMBO 10 YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUAJIRI MFANYAKAZI - Victor Mwambene.
16:49
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 28 М.
SABABU ZA KWANINI WATU WENGI WANASHINDWA KUWEKA AKIBA  | Victor Mwambene
18:47
FAHAMU UMUHIMU WA MIKATABA YA AJIRA KAZINI
12:09
WAKILI TV
Рет қаралды 928
TUMIA KANUNI HII YA OPM KUPATA UTAJIRI MKUBWA | Victor Mwambene.
10:03
Victor Mwambene
Рет қаралды 3,7 М.
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
14:27