Kosa kubwa,Ni kutotaka mteja atoke bila kununua...unauza Bei yeyote...so thanks Broh# at the top# najiona Sasa.
@mpeularobart74973 жыл бұрын
dah yan hii ni kweli kabisa unakuta muuzaji naongeaa saaaaana mpaka unapata mashaka na bidhaa yenyewe.
@maasaieastafrica25562 жыл бұрын
Umenitoa usingizini mkuu,Asante sana
@samsonkiyeyeu8646 Жыл бұрын
kiukweli kiongozi ubarikiwe sana hapa umenigusa uwaga nipo hivo ila kuanzia leo nabadilika kaka asante sana mkuu
@charlesbabag14243 жыл бұрын
Uko sahihi kabisa Joel
@mohamedahmad31373 жыл бұрын
Ahsante sana Boss wang kwa upande wang nmekuelew Sana maana mmi ni salesman nmejifunza na nakuahidi kuifanyia kazi.
@hassanihassani71543 жыл бұрын
Kaka umenitoa mbal sana na hakika ntakuwa kalibu nae ili nifike mbal zaid
@BukelebeTv8 ай бұрын
Ubarikiwe kaka Joel
@ombeniestomih89343 жыл бұрын
Yes sir Kila siku tunapata mabadiliko kupitia elimu yako
@kubiyapp3567 Жыл бұрын
Kaka nashukuru sana maana nimejifunza kitu kikubwa mimi ni mmiliki wa kubiy app huwa nazunguka mtaani kuuza huduma yangu Asante sana
@mrpoulmidia7516 Жыл бұрын
Yes pambana
@doricyphillimonbikombo1059 Жыл бұрын
Nimekuelewa bro
@michaelsalumubasto19342 жыл бұрын
Daah shukran san ubarikiwe upo vizur kwel
@olivanooraladin5436 Жыл бұрын
Kwenye suara LA LA muda na uaminifu huqa watu hawazingatii hii kitu inakosti sna
@nestersanga74663 жыл бұрын
Mm pia naongeaga mpaka basi now nachange thanks see you at the top
@mikehjackson81463 жыл бұрын
Hahahahahhahhahah ww kama mm tu naongea kishenz yan sema inategemeana na biashara mm nafanya mambo ya pesa uwakala so mteje akija kabla hajaudumiwa lazima avunje mbavu kwanza namtumia uku naongea kinoma yan lakn wanaenjoy sana coz naongea sana lakn huku nafanya kaz najali muda wao
@lamayaniOlesaruniАй бұрын
Asante ubarikiwe je nitajiungaje kujifuza online
@chrismassawe3263 жыл бұрын
Nimejifunza kitu katika hili somo shukran sana( Dr joel nanauka)
@anisetaberi30933 жыл бұрын
Thank u
@popprinceslumby58023 жыл бұрын
Asante Sana kaka ang u mejifunza nitafanyia kazi..
@kisegeroryamera1327 Жыл бұрын
Nice Brother, may Allah bless you
@benjaminkimaro83483 жыл бұрын
Hii nikiwele brother👏👏
@user-os9nb8ub6k Жыл бұрын
Asante sana naiman nitafanikiwa sana nilikua nakosa wa kuongezea nguvu kahapa lazima nifanikiwe sana
@keniziomutungi71283 жыл бұрын
Nimefurahi na mbinu zake lakini ningependa kwa sisi tunaotoa huduma kama shule mbinu zipi nzuri kwa wateja wetu.ukizingatia wao ni watoa ada.na uchelewesha sana na upelekea kuhamisha wakidaiwa sana.
@olivanooraladin5436 Жыл бұрын
Tumia bunda bando
@joelamos57943 жыл бұрын
Kuna duka moja huwa lina mali ninazozihitaji huwa naenda baada ya kuwa nimenunua sehemu zote ninachokosa ndio naenda duka hilo wanakera sana anakuona umeshikilia karatasi la mahidaji wananichanganya wataka kunihamisha kwa maneno mengi na huwa siwasikilizi kwa kunichanganya kwao, duka lipo kariako Hili somo ni kweli kabisa hayo yote yapo
@shakirboy84753 жыл бұрын
Great knowledge that i get 💰
@johntaino64112 жыл бұрын
Natarajjiwa kuajiriwa kwenye kufanya mauzo ninapenda kujifunza zaidi
@nafrowalfred4730 Жыл бұрын
Asante San brow kwa knowledge yako kubwa niliyoipata
@lovenessbaynit10283 жыл бұрын
Naomba kujua namna yakupata hicho kitabu,niko mwanza
@michaelsalumubasto19342 жыл бұрын
Nimefunguk Akil nusu yakutosha kabix ubarikiwe san na MUNGU akuzidishie
@ShedDjeey-cn9tiАй бұрын
Iyo ya kumpgia boss wangu me ninayo iyo duuuuuuuu
@Mr.Highway7 Жыл бұрын
safi sana brother sorry, am very excited yaani dah natamani hata siku moja uongelee online marketing pia kwa sababu huwa nakuelewa sana
@miragmiragee96833 жыл бұрын
Shukran
@aliymbond56313 жыл бұрын
Asante sana kaka
@ronaldomselleronaldomselle62383 жыл бұрын
Thank you
@halifaiddy84973 жыл бұрын
Joeli Thanks
@emmanuellameck4572 Жыл бұрын
Nimejifunza mengi Sana katika mafundisho yako lakini naomba kujua napataje vitabu vyako katika hard copy.
@vituskabula47702 жыл бұрын
Thanks 🙏🙏🙏
@maigajohn7023 жыл бұрын
Joel thanks
@semdoweallyamiri67583 жыл бұрын
Sahihi
@preciousrobson33942 жыл бұрын
Nataka kuwasiliana nawe
@faridi8634 Жыл бұрын
Kosa lakumwambia mteja njoo kesho
@normanmapesa7266 Жыл бұрын
Hello Joel, napataje hard copy ya kitabu chako (Saikolojia ya mteja)
@dicksongadson22233 жыл бұрын
kosa linalowakabili wengi nikwamba kuuza kwasababu unahisi bidhaa itakudodea hata kwa bei ya asala
@user-rm7iw5sb6e11 ай бұрын
Nahitaji hicho kitabu mwalimu wangu
@gaspernicholaus93093 жыл бұрын
Hakika kaka erimu yako ndio mafanikio yangu so mung awe nawe
@hildahtemu90602 жыл бұрын
Kosa langu kubwa mara nyingi ni kuchelewa mweleza mteja thaman ya bidhaa na kuongea mda mrefu zaid
@isayasway68673 жыл бұрын
Sawa mkuu
@melodyanne32493 жыл бұрын
noted
@elmenciamawenya6053 Жыл бұрын
habar za saiz polee nakazii
@honestlazaro83853 жыл бұрын
Mi naitaji kitabu nipo Kigoma
@ufahamuthamani5252 Жыл бұрын
Kosa langu lilijuwa ni kutotimiza ahadi jwa mteja na pia kutuma ntu kuekezea bidhaa yangu akiwa hana uelewa wa kutosha kuhusu hiyo bidhaa
@directorsuntana49223 жыл бұрын
🙏
@sharonmutinda-vu6mh Жыл бұрын
Sasa, maneno yako Ni sahihi kabisa lakini ukionekana unauza Sana na majirani wanakuchukia Hadi wegine mnafight...as in, you find that unaserve wateja wako vizuri lakini huna amani kabisa.hao nao tuwabebe aje?
@juniorcx01143 жыл бұрын
Nakubal
@denissylvester5422 жыл бұрын
Mie huku kwingine niko sawa shida kwenye kujua vitu vyote bila kuangalia kwa daftari. Upande wa kumuelewesha mteja niko vizuri na apo nampaga nafasi ya kuchagua baada ya kumuelimisha bila kutia chumvi
@omarywaya3408 Жыл бұрын
KuwA na mazoea na watuu unaowauzia bidha especially ni wanyumbani dharau zinakua nyingi
@officialsureboe Жыл бұрын
Nahitaji hichi kitabu cha saikolojia ya mteje anakipataje
@user-si1lm1tc3w5 ай бұрын
😂😂😂yaani ww nimkali wawo
@christinaernest27913 жыл бұрын
Wanapenda kukopa hawaletipesa
@fatumaabduly455411 ай бұрын
Unapomtajia gharama wanasema ni kubwa
@user-ei6oh7vl8z9 ай бұрын
Nkipta je iko kitabu
@rajabusira4009 ай бұрын
Mkuu nakiomba hicho kitabu Kwa soft copy
@werematv851 Жыл бұрын
Nahitaji hicho kitabu kwa njia ya whatsap
@allyzillahi8315 Жыл бұрын
Nahitaji hicho kitabu kaka soft copy
@sabrinasoud31003 жыл бұрын
Hii course online ni how much
@husseinkareem80812 жыл бұрын
Kuongea sana
@timotheokiss64033 жыл бұрын
Joel
@frankmwanzi3912 Жыл бұрын
Nakipataje kk
@officialbntrasool5223 Жыл бұрын
Masomo yako yote ni matamu bro
@philbertmwanakusya80503 жыл бұрын
mteja anakunywa bia unamuuliza umejenga? wengi hawapendi swali hilo
@frankmtei30172 жыл бұрын
Hawalipendi kwasababu wameshakunywa nyumba nyingi sana....