My brother ur still BLESSED 🙏🙏 FOREVER FROM GOD✨✨✨✨✨🌟🌟⭐✨✨⭐🌟🌟✨🌟🌟⭐⭐🌟
@coletashirima21933 жыл бұрын
Yaan sometimes unaeza kumwangalia mtu ukatamani angekuwa ata ndugu yako ... Much love to you Kaka Joel , nakuelewa sana .
@donkorosso87383 жыл бұрын
Na wewe unaweza ukawa ili wengine watamani hata ungekuwa ni Dada yao , unaweza ukawa mfano wa kuigwa
@sarachipando5391 Жыл бұрын
Asante sana life coach .Nikama kuchukua idea ileile mtu mwingne Anaya ifanyia kazi nakwenda mahari pengine kufanyia Kaz👏
@HamicChihuku7 ай бұрын
Kaka hongera sana nakuelewa! Ila maomba ushauri kuhusu biashara ya saroon ya kiume nmna ya kuiendesha au kuisimamia please.
@johnbanda66019 ай бұрын
Asante hii elimu
@davidmsubi26393 жыл бұрын
Asanteee Mwl nimeongeza maarifa mengine tena
@testarguy8609 Жыл бұрын
✍
@sahachi3972 жыл бұрын
Safi nimekupata
@alexbushishi83423 жыл бұрын
Five star for you!
@ErNesto-ty9yz3 жыл бұрын
Tuko pamoja kaka Joel
@chrispinejohn8155 Жыл бұрын
Asante bro
@hamisfesto93533 жыл бұрын
I appreciate Br thanks for proceeding to give us more knowledge especially business knowledge,God together with you.
@bonifaceanthony3093 жыл бұрын
Be blessed
@lifacharles10683 жыл бұрын
Thank you kk joel god bless you
@venturebown69833 жыл бұрын
Big up again bro..see you at the top zone
@Ufugaji3 жыл бұрын
Cool lessons always
@dudapaschal65473 жыл бұрын
Asante sana kaka
@mariamayoob87343 жыл бұрын
asante
@marymgore67143 жыл бұрын
Kaka naomba msaada,Mimi nimeanza biashara toka mwaka 2015,lakini sipigi hatua yoyote ktk hii biashara,ni Kama biashara yangu imedumaa,nafika wakati nahisi kukata tamaa,maana natumia nguvu nyingi Ila matokeo ni madogo saana,tafadhali naomba msaada
@SalomeDonath Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JasintaManingili13 күн бұрын
Bro nawezaje kujoin madarasa yako
@oseahmbembela-gi4du Жыл бұрын
Tunaomba uje hosipitali ya rufaa ya kanda mbeya(MZRH) nakufuatilia Sana training zako zimenipa matokeo mazuri,je Una mafunzo ambayo ni audio?
@christelle96903 жыл бұрын
Thank you brother
@ezekieljames74523 жыл бұрын
Nakufatiliaga sana uko vzr
@idrissandangwa5753 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇨🇵🇨🇵
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
Nauza handbag karibu tuwezi kupiga hatua
@joramjaphet30603 жыл бұрын
Bro mm napata utata nisaidie, ktk ktabu hatua 6 za kujiajiri umeshauri njia Moja wapo inayowafelisha wengi n kufanya mambo mengi (Lack of focus) sasa nawezaje kupanua biashara yang km sitaongeza matawi mengne?