Imani ni kuwa na hakikana mambo yatarajiwayo. Inaonyesha Spika wa sasa ana neema ya imani kutokana na ngazi anazo/na anavyopanda. Mungu mtunze spika wetu atuletee matumaini kwa kusimamia vema muhimili wetu wa Bunge la Tanzania. Mungu ibariki 🇹🇿
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Mama sijui nini kitamlipaga mtu anayeitwa mama nothing can replace her forever
@samuelmanota53662 жыл бұрын
Nikichopenda maisha ya mama na ww spika wangu ,hata mama angu hajuikiswahili na mavazi ya mama ,hongera spika mungu akubaliki
@vailethpatson47325 жыл бұрын
Uwiiiiih! Mungu akupe maisha marefu mama yang kipenz nkundwe ngabeck
@linahmlingi76965 жыл бұрын
Jina Tulia lafanana na tabia yake hongera sana bibi,mama tulia Mungu azidi kukutunza
@roseamos28125 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu mjalie mama huyu afya njema pamoja na family yake
@jamesjulieth72582 жыл бұрын
Sasa nimetambua kuwa Tulia ni mtoto wa makusudi ya Mungu Yer 1:4 kweli Mbeba maono hafi. Hongera sana dada Tulia Mungu pamoja nawe daima, ukalitende kusudi la Mungu katika majira na nyakati zako.
@ashamganga66365 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akutunzie mama yako sisi wengine wazazi wetu waliotangulia mbele za haki mungu awapunguzie adhabu ya kubur amina😫😫
@magreth79814 жыл бұрын
😢😢🤦🏾♀️😢😢
@jacksonkanzira97892 жыл бұрын
Pole sana Asha. Mama yetu apumzike kwa amani
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Mpka raha jamani wamefanana,kuwa na mama raha sana.Mungu muhifadhi mama yangu huko aliko.
@Amneamne-qi2du5 жыл бұрын
Mimi nampendea hapo 2lia anavo thamini mila za kiafrika na Destur zetu Big Up
@eliasmwakijebele69785 жыл бұрын
Cathereen Exzavery dah sorry for mother BT haupo pk ako,,Mungu ataendelea kutupa moyo mkuu
@zakayomwamasagezakayomwama17374 жыл бұрын
Pole sana
@upendorobert72985 жыл бұрын
like mother, like daughter, watu wanajizaa wajameni
@rehemaaithumani30765 жыл бұрын
Hakika mungu nimwema mungu akuwekee mama Mh Tulia
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana na MAMA apewe maisha marefu.
@wangwemseti75925 жыл бұрын
Nakukubali unakutabiria mazuri ni kati ya wanawake wenye busara na wenye misimamo isoyumbishwa wewe ni kiongozi safi
@marthamasue40095 жыл бұрын
Baada ya dhiki faraja. Hongera sana mama Tulia. Mungu awatunze daima
@margaretmbongo34402 жыл бұрын
Umefanana na mama waaaaooo yaaaaani mungu ni mwema.
@fadhilplatnumz62094 жыл бұрын
Good- namkubaali sana huyu Dadaetu TULIA mbeya One
@angelsalum24155 жыл бұрын
jaman nimemic na mama chisunga Mungu ampe maisha mama yangu kuwa na mama raha sana
@erastofocus15875 жыл бұрын
Dr Tulia, mwalimu mwenzangu nakupongeza sana. Nakuomba zidi kutulia hii nchi inakuhitaji. Kwa umri huu ulonao hakika utafika mbali. Tulia
@saidseleman60045 жыл бұрын
Siko kisiaasa wala kichama hongera Mama hongera naibu spika
@margaretmbongo34402 жыл бұрын
Asante mungu ni mwema ni washashe sana wanaowaleta wazazi wao kwenye mitandayo waaayo asante.
@selemanimasatu24215 жыл бұрын
TULIENI TU MSIPIGE MAKELELE IPO SIKU WOTOTO WENU WATAWAKWAMUA KWENYE SHIDA ZENU. "NANI KAMA MAMA?
@kiazikitamu39855 жыл бұрын
I love it, nani kama mama
@timboxlee9199 ай бұрын
Mama mwanao anasura mbaya na Roho mbaya, katuuza watanganyika kwa waarabu maisha huyu fisadi
@petermwantole6165 жыл бұрын
Ha ha haaaa,,kyala gwa maka bwila,,, mama kiswahili kimegoma,, huyo ndo mnyakyusa halisi..
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Napenda sana kinyakyusa
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Napenda sana kinyakyusa
@kingswebe32515 жыл бұрын
Asante bibi yetu...historia ya bibi imenigusa sana.
@japhetdaud38895 жыл бұрын
Kweli kitu chenye thamani huwa kinapingwa lakina kile MUNGU alichokusudia sharti kitimie saafi
@zakiamaungazakia7205 жыл бұрын
Safi sana hakuna kama mama
@stellaaladini25815 жыл бұрын
Ndanga tulia kyala akutulege uendelee kumuenzi mama yako
@emmanuelsiwale61605 жыл бұрын
Kwangu niliemuelewa moja kwa moja mama yake Tulia kinyakyusa imenisisimua history ya Tulia Akson
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Ntakutafsilia
@mwajabumussa48604 жыл бұрын
Raha ya kusomesha hiyo mama hongera sana
@roseshauri54932 жыл бұрын
Familia iliyotulia hawana majivuno wale wenzangu na mimi leo mama angepaka visivyopakwa lakini kaja kiasilia hongera Dr Tulia
@asiangoge14794 жыл бұрын
Nimekapenda saaana mama
@nasmaomar59225 жыл бұрын
Mama ni mama tuu !!!
@sosomsangalufu20775 жыл бұрын
Ndagha fijo mama gwangu
@LusajoMwajeka-tf1nj8 ай бұрын
Kangi mama mfwene na kukumaso mwe mma popapo,,
@robertjunior99165 жыл бұрын
Dr.Tulia mbunge mtarajiwa mbeya mjini 2020
@Chemba675 жыл бұрын
Inaelekea kua hivyo ila Sugu nae si kitoto keshajua kitambo hila na figisu zote hizi hivyo patakua hapatoshi....
@devybernardlaizer77135 жыл бұрын
Pole mummy kyala mnunuuu
@mkombozikiratv.97335 жыл бұрын
Hongera sana
@sheryphamwenevalley61245 жыл бұрын
Hakuna km mama❤
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
duh wamefanana sana pongezi bibi
@oscarkasalile81464 жыл бұрын
Ndagha mama ukyala akutule. Tulia dada ghwangu ghuketeghe umama. Mama kyala akutule.
@ahdahmed83835 жыл бұрын
Mashaallah
@user-bg1yb1xu8d8 ай бұрын
Nani kama mama Hakuna kama mama hingera
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Napenda Muheshimiwa unavyovaaa
@edinamutakyawa68725 жыл бұрын
hongera mama
@tarmoealoyt48355 жыл бұрын
Mungu tuwezeshe baba yetu wazazi wetu wayaone makuu yako ee mfalme wa ushindi
@edinawilliam29432 жыл бұрын
Wabarki wanangu wakuwe kwa wema mungu🙏
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Mashallah, nice
@sabihimngetuka69715 жыл бұрын
Momboka mama usiwaze kinyakiusa kama kimakondeee
@hassanisaimon15312 жыл бұрын
Gud mama tulia
@dismastesha25055 жыл бұрын
Kuna mda wanajisahau hawa watoto waliofanikiwa
@nasmaomar59225 жыл бұрын
MuheshmiWa ana umbo zuRi wallahii !!
@aishajeshemtengea98845 жыл бұрын
Mashaalla mungu akukinge na wabaya
@dismassmariki69853 жыл бұрын
Mmefanaa haswa 🙏
@petercosmas43765 жыл бұрын
Mwakyembe balaa kwa kucheza
@jonemoshi40805 жыл бұрын
Mwaaaaaaah
@michaeltuingilegewaubaridi85704 жыл бұрын
Mwakyembeeeeee aaaaah !!!!!!!! Uko vizur
@gedionkalumbu19955 жыл бұрын
Aya bhana
@Clement-px8eg10 ай бұрын
Mhhhhh!!!!
@zulfaissa78142 жыл бұрын
Kwan huyu bib kabila gan ambayo hadi leo haijui kiswahili
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Mungu mkubwaa
@imanuelzakayo87035 жыл бұрын
jaman uyu dada ni mrefu
@kyambarungwematv68284 жыл бұрын
Hakuna Kama Mama ongera Mama tulia
@josephchacha97975 жыл бұрын
tulia we we in mfano wakuigwa
@sanlygeneralservicesltdsgs44965 жыл бұрын
was so happy
@margaretmbongo34402 жыл бұрын
Ndiyo maana ukamwita tulia na.ametulia saaaaaaaaana