Asnte sanaaaa bro kila kukichaa napata kitu Kupitia wewe
@daniellaizer2260 Жыл бұрын
Dah nakupata Sana mkuu
@rollahngimbwa6978 Жыл бұрын
Asant sn br Joel🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@joelmollel8320 Жыл бұрын
Ahsante sana hakika nimejifunza kitu
@URIO_urio Жыл бұрын
Ahsante kaka hii ya Leo imenigusa sana
@omanjalan582 Жыл бұрын
Nmekielewa sana kaka
@binflory Жыл бұрын
Barikiwa san
@stellasandi-th7rz Жыл бұрын
God bless you Mr.Joel Nanauka Huwa najifunza mengi sana kutoka kwako. Asante sana 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@saumuhassan977711 ай бұрын
L
@saumuhassan977711 ай бұрын
Loo
@richardmartin6429 Жыл бұрын
Ahsante Kaka kwa Mawazo mazuri.
@shijandobehe4953 Жыл бұрын
asante sana kaka 🤝
@user-gp2mr8hh4k Жыл бұрын
🙏thenk u bro kwa ujumbe mzuri
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Yeah brother Ubarikiwe sana
@obadiatweve2006 Жыл бұрын
Mungu akubarik kaka 🙏🙏🙏
@PeterMangazi9 ай бұрын
Thanks
@jeremiahkisinza7095 Жыл бұрын
Be Blessed Mr Joel Arthur Nanauka 🙏🏾
@prisca4612 Жыл бұрын
Wow!!!👌🙏🏿
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Asantesana
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante sana
@erickmakeja413 Жыл бұрын
Huu Ni ukweli ,kwani mwka Jana Kuna rafiki angu mwanafunzi wa chuo alisimamisha masomo kwa kisingizio Cha kukosa ada kwa wazazi lakni baada ya mda kidgo akiwa amesimama masomo akapata ajari tukamupeleka Hospital gharama yake ya matibabu haikutofautiana Sana na Ada yake ya Masomo na wazazi walipambana wakaipata hiyo hela ya hospital kwa mda mfupi sana😢.Hakika Nimejifunza kitu Hapa Mr.Joel God Bless you.Najitahidi Sana niiishi hii Kanuni.Amen❤
@mucci_AI Жыл бұрын
Kitu ambacho hujajua watu wanaweza kupambana pale wakiona unatatizo huon watu wanajaa msiban huon chakula kinakua kingi wazaz huenda walikosa ada kweli
@mucci_AI Жыл бұрын
Kitu ambacho hujajua watu wanaweza kupambana pale wakiona unatatizo huon watu wanajaa msiban huon chakula kinakua kingi wazaz huenda walikosa ada kweli
@mucci_AI Жыл бұрын
Kitu ambacho hujajua watu wanaweza kupambana pale wakiona unatatizo huon watu wanajaa msiban huon chakula kinakua kingi wazaz huenda walikosa ada kweli
@erickmakeja413 Жыл бұрын
@@mucci_AI nachozungumuzia nikwamba wangetumia jitihda zile zile kijana angesoma