Nikweli kabisa nandomana jackma alisema nibora ufe ukiwa ufukweni mwa bahari kuliko ufe ukiwa ofisini
@AbbasAbdul-hamid-em3lv Жыл бұрын
Vitabu vyako vinapatkana wap
@leoncealex73432 ай бұрын
Nimecheka😂 video editor aliyechanganya cuts ya secleton ambayo imekufa kwenye laptop aiseee🤣. Kuna kitu nimejifunza , HATA UFANYE KAZI VIP HAKUNA SIJU MAMBO YATAKAA SAWA TENGA MUDA UPUMZIKE THANKS
@benekatare39482 ай бұрын
Ila Dr. Joel kwanini utuseme kwamba tuna replacement? Ukweli mchungu huooooooo 😂😂😂
@agnessruben7427 Жыл бұрын
Hakika umenigusa...mie ndo... huwa sipumzki ...KAZ KAZ ..ila kwanzia leo ntajipa day off
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Kwahakika lazima tujihurumiye maana hakuna wakutuhurumia .napia tunapo haribu huu mwili tujikumbushe haukuna duka la speya pat za mwili kwahii dunia tujihurumiye
@PascalHaule-sv1wy Жыл бұрын
Napenda ukifundisha kwa video kuliko audio😅
@LAZAROKAPANGA Жыл бұрын
Naenda kumchana ikifika 15:00 nachomoka kazin
@khadijashabaninimba7890 Жыл бұрын
Kweli kabisa katika haya maisha km uwez kujionea huruma ww mwenyew hakuna atakaye kuonea huruma ✊
@umememusicindustry7164 Жыл бұрын
Sasa tutumie mda gan katika kufanya kazi ndio tupumzike maybe after every week au
somo zuri sana kwenye misiba kumbe pengo halizibiki kumbe bunda umekwenda kazi umemwachia nani huku tukivimaliza twajidai mapumziko na lawama usipojiongeza jembe tena linangoka ubarikiwe mwl ongezeka kimo kila upande
@MairooGideon5 ай бұрын
Ooooo something to congratulate is you are very fantastic man becoz you real have good intentions
@kharifasiraji3446 Жыл бұрын
6:11tatizo br joel inategemea unafanya kazi Gani sasa mfano ambao tumeajiliwa madukani inakuwa ni ngumu yani!! Ni kwer kuna muda mwingne unajiisi utaki kuendelea tena unajiisi upumuzike lakini utaanzaje kusema sasa mi naona maisha2 na je tufanyeje najua wapo wengi!! Tufanyeje
@luhanyamipawantobi6888 Жыл бұрын
Omba hata cku 1 kwa wik upumzike
@HamisiKianga18 күн бұрын
Duuuh!! Huyu mwamba ni shida kapiga palex2
@joharissa2020 Жыл бұрын
Kaka Joel nataka kitabu ujibu wassp 😢
@MlekwaMasilamba Жыл бұрын
Truth!
@yvesniyongabo9437 Жыл бұрын
Ilinitokea hui kipindi fulani, ila kwa sasa nimeanza kupumzika
@StevenGalusi-t8m10 ай бұрын
Lete vitambu uku mara ndo nyumban
@ashaidd2912 Жыл бұрын
,😂😂 balaa huyu ni Mimi kbs asante sana now nitaanza
@HamadSaid-g9j11 ай бұрын
Nikweli watu wingi hawana muda kupumzika mpaka linamfika kubwa zaid kwenye afya Asante ubarikiwe sana
@erickathanas Жыл бұрын
Nikweli bro maana Kuna watu ni wavivu na wanategea sana pindi unapokuwa mchapakaz utapata Kaz nying kutoka kwao
@niriacatering172 Жыл бұрын
Shukrani sana
@mahambagislain96182 ай бұрын
Asante Kaka M🎉🎉✍️🇨🇩
@frenkfarm1139 Жыл бұрын
uko sahihiiiiiiii kabisa ukipumzika kwaza unapata akili mpya nanguvu mpya unasonga mbele 💪
@AliyPius9 ай бұрын
Bro asante
@josephatkiliko25468 ай бұрын
Sahihi Kbs mkuu.
@alextzatv Жыл бұрын
Ukishidwa kupat mda wa kupumzika unaweza ukapumzishwa na wao
@isabellahwepukhulu6744 Жыл бұрын
Very true bro
@vickykwembe5842 Жыл бұрын
Nakuelewa sana mtumishi wa MUNGU
@nassoromussa2423 Жыл бұрын
Hapo penye pengo kuzibika ndio watu wengi nibudi kufahamu ma'na tunajidanganya sana! Mara oh nikifa ww utanikumbuka! Utapata shida sana...
@joshuajackson382710 ай бұрын
Uko sawa
@mosesfrancis8495 Жыл бұрын
Kabisa
@JumlaMbulu10 ай бұрын
Yes
@frankmsangi Жыл бұрын
Asante san broo Mungu akubariki sana nimejifunza kitu kizuri san kupitia wewe broo🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@saidalhabsi9257 Жыл бұрын
🇴🇲🤣🤣🤣huku baraa zito from Tanzania hakuna juma mos wala juma kumi
@StevenGalusi-t8m10 ай бұрын
🙏🏻🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mohamedkudura8114 Жыл бұрын
Asante wewe ndo kocha wangu MUNGU akupe umri mrefu wenye mafanikio
@robertkastam9247 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa, pengo la mtu kuzibika ni rahisi tu, kikubwa kujijali mwenyewe sio kuwafurahisha wengine tu
@Georgemorisiamani-oy3hf Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@rukiakishar1155 Жыл бұрын
Kaka naona kama unanisema Mimi maana mm nikipumzika naona kama napoteza muda Asante kaka nimejifunza kitu kikubwa sana
@twaalibkeya859 Жыл бұрын
❤🙏🏻
@KhadijSimai-xr5zu Жыл бұрын
✌️
@FanuelIsaya-b1y8 ай бұрын
🎉
@pikanaauntzuu1466 Жыл бұрын
Asante mi ndio maana huwa km nimechoka sipendi kufanya kitu na nikiamua kupimzika napumzika sipendi kabisa kuji overwork abadani lazima nipate kupumzika
@gchalijabiri3845 Жыл бұрын
Usipokua na muda wakupumzika pengine utapumzika na siku ukipumzika utapumzika mazima,,utapumzika moja kwa moja
@yusuphmwaigomole3104 Жыл бұрын
Kupumzika muhimu hapo kwenye pengo lako linazibika nimependa sana . kaka Joel hii imeenda hii
@jenniffermumo6327 Жыл бұрын
TRUE TO THIS. ESPECIALLY TO EMPLOYERS. THEY SUBSTITUTE THE GAP IMMEDIATELY. KOS THE COMPANY OPERATION HAS TO RUN WITH OR WITH OUT U
@onnex90 Жыл бұрын
Waiting
@stanleyandrea5153 Жыл бұрын
Mda wa kupumzika ni mzur unapata mda wa kutafakar maisha yako
@WapekeeMwashua-oo9fv Жыл бұрын
Upo vzuri kaka endelea nakz zuri unatuamashisha vjanawako nunaoota kazitu
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Thanks brother the best video🇹🇿🙏.
@yolandasebastian685 Жыл бұрын
Kweli kabsa unachosema ni sahihi Sana bila kujiulumia hamna anayekuhurumia.
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana kaka kwa elimu uliotupatia ubarikiwe
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Uta kuja na vitabu sumbawanga?
@leonardgeorge3244 Жыл бұрын
nimepata funzo kubwa hapa
@evaristfabian6125 Жыл бұрын
Bookshop yako iko maeneo gani hapa dar?
@EzekieliManyama-re7qg Жыл бұрын
Nimekuelewa Sana,ni kweli
@DEBORAMUNISI-fn1sr Жыл бұрын
True speaking brother
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Ubarikuwe baba mungu akulinde,,una kweli kabisa
@abdirizakrashid8769 Жыл бұрын
hii nimeona binafsi
@edisonjoseph4087 Жыл бұрын
AHSANTE NIMEJIFUNZA
@juliusjohnii7823 Жыл бұрын
Shukran sana kaka .
@loyceakuku6019 Жыл бұрын
ukweli kabisa joel
@Saumbish1606 Жыл бұрын
Kwel kabsa mkuu❤
@ednaednamillanzinia2826 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@johnbanda6601 Жыл бұрын
Kaka hii ni kweli
@jemimasibonike-gn8gh Жыл бұрын
Asant mungu akubariki
@EmmanuelSimukonda-n6o Жыл бұрын
Thank you brother jeol
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante sana
@paultibula3536 Жыл бұрын
Yamenikuta😢😢😢
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
🙌🏿☑️
@bertinaafonsorapaz8345 Жыл бұрын
Asante Sana kaka Joel
@elishafesto3185 Жыл бұрын
Thanks brother
@ngendakumanasalumdiki2847 Жыл бұрын
Nikweli kabisa.
@janetfrancis7180 Жыл бұрын
Asante sana kaka
@julianalaly2095 Жыл бұрын
Kweli
@imanimbuki Жыл бұрын
Be blessed
@abeidmbarouk6280 Жыл бұрын
See u at the top
@ruwaidamabrouk1797 Жыл бұрын
Fact 100%
@sunrisetv6110 Жыл бұрын
Kutoka 18:14-24 Yethro na Musa
@sunrisetv6110 Жыл бұрын
Pia ndiyo maana Mungu akaweka Siku Moja ya sabato ya jumamosi kwa Ajili ya kupumzika
@jumasalumu6449 Жыл бұрын
Well done ,
@baboudeira9249 Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@godlizenmolla2192 Жыл бұрын
Can't wait
@ponsianaprotas8990 Жыл бұрын
Asante sana Joel Nanauka.
@ponsianaprotas8990 Жыл бұрын
Leo nimefurahi sana Joel umeona comment yangu. Natamani uone na nyingine niliyocomment kuhusu kuchukiwa na watu