Kaka Joel wewe Ni tunu tuliyopewa na Mungu.nakushukuru kwa mafundisho.
@joelnanauka10 ай бұрын
Ameen Ameen
@mpwapwanewstv820410 ай бұрын
Fact that is true thank u
@SophyMeshack9 ай бұрын
Habari kaka joel , samahani ninapitia changamoto mbali mbal sana kwenye maisha yangu hadi nahisi nmepoteza muelekeo kwenye maisha , samahani naomba unisaidie namba zako walau unisaidie
@Kiswahilifasaha10 ай бұрын
Kaka Joel A Nanauka nashukuru mno maneno zako amabazo zinatilika na hekima mimi nipo Uganda Kampala naomba Mwenye Mungu mwenyezi aendelee kutia nguvu daima katika hii wito yako jamani neno ambalo nitaanza kijiambia kuaanzia leo ni Furaha yangu ni wajibu wangu mwenyewe .
@lilianwilfred327110 ай бұрын
Self talk; Leo ni siku njema na nzuri sana , nitaifurahia na kuishangalia zab 118:24
@annasaye878210 ай бұрын
Jamani, brother Nanauka may God bless you.
@enockjoel92306 ай бұрын
You always make me happy,and always am keep on winning, be blessed bro
@rashidsalum937510 ай бұрын
Naenda kuwa Bora kwa mafundisho yako
@sixberthcostantini929010 ай бұрын
Joel tunajivunia sana kukujua mapema kwasababu Vipo vitu na mambo mengi sana tunapata tafsiri kupitia wewe.tupo pamoja sana Maneno ninayopenda kujiambia SIWEZ KUSHINDWA hata kama nijambo kubwa litachukua muda kufanikiwa ila nitakufanya ty
@joelnanauka10 ай бұрын
Nashukuru sana
@fawziyahassan57149 ай бұрын
Thanks ❤ Naamini mimi ni mfanya biashara mzuri na muwekezaji bora kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu....Amenipa mafundisho mengi sana kupitia video zako. Nakushukuru sana kaka JOEL kwa elimu yako Mungu akubariki zaidi na akutimizie Hitajio la Moyo wako EnshaAllah.❤❤❤
@omanjalan58210 ай бұрын
Mimi najiamini nitafikia malengo nimejiwelea kwa uwezo wa ALLAH kupitia wewe Mr joeli
@johnsoka723910 ай бұрын
Thank broo, tunaombaaa utuandalieee statement na full story of his life za Albert esteeen Zi na zo motivateee ku struggle
@HaibaSalum-l5o23 сағат бұрын
Umeongea neno zur naend kufanya kaz asant mung akubarik
@emmanuelmashaka176910 ай бұрын
Anhsantee sana kaka joel #see you at the top🙏
@McMadata-sw2hy10 ай бұрын
Waoooo, swala ambalo kwakweli nililokua nakosa katika wakati wa mawazo ilikua ni kusakujiambia positive point, hichotu ,nakimenisumbua sana nashukruleo nimepata solitons
@user-yy3ml3yo4o10 ай бұрын
Samahan Joel nlikua na shida binafs naomb unishaur sjajua nakupataje
@musankya634410 ай бұрын
Mungu aendelee kukuweka kaka
@doreenkimbusu510010 ай бұрын
Mm ni Muimbaji wa kimataifa...Nyimbo za injil ❤
@CharlesMabula-u5o9 ай бұрын
Hogera sana kaka
@user-rd5gg2fs5t10 ай бұрын
Nilipitia changamoto kubwa sana nikajikuta nadumu kwenye mawazo Hadi niliugua presha na vidonda vya tumbo, vinanitesa Hadi Leo, nashukuru sana kukufahamu
@amedeuskimario889510 ай бұрын
Ntakua mwanasiasa Bora Sana ambae nntakua naupendo na watu wangu sana
@194summer10 ай бұрын
I am the best thankyou verymuch
@ZawadiMbatta-lt3yh10 ай бұрын
Mimi ni the best kwenye hii dunia,mimi ni tajiri mimi ni mke bora na mama bora
@shukranjulius952610 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@kuruthumukondo714910 ай бұрын
Kaka uko vzr shukrani
@bensontemu93569 ай бұрын
Ahsantee
@anselmonsumba390010 ай бұрын
😂umetisha sana Brother, I am the best Husband🎉
@jennymwakibasi20695 ай бұрын
Kaka Joel nashukuru kwa mazungumzo yako kupitia mitandao ya kijamii ombi langu sio kila kitu naweza kukiweka wazi hapa naomba tusaidiwe namba ya cm yakuwezesha kuongea na wewe
@mauadumba784210 ай бұрын
Mimi ni mfanya biashara mkubwa sanaa,,tangu nianze kukufatilia niko na mabadilikoo yanayoonekana kwa machoo 🙏🙏
@mawandayalughatv10 ай бұрын
Ushauri mzuri sana. Barikiwa. Bw. Nyandwaro, Kenya.
@leticiampeka148810 ай бұрын
You are a blessing brother, thanks🙏
@user-yv2dx2ml8q3 ай бұрын
Andika maandishi kaka wengine viziwi
@LameckMbembati-gd2rk9 ай бұрын
Nyundo tamu
@emanuelavaleriani86469 ай бұрын
Amen
@StevePhilemon10 ай бұрын
Thenks brother
@elishamkumbwa615810 ай бұрын
Be blessed Man of God
@user-fv7mi7qx9j9 ай бұрын
Asante
@jacksontumaini48910 ай бұрын
I'm going to win
@Udindigwa10 ай бұрын
Naming Katika Kuto Kata Tamaa Naamini Katika Kujaribu Na Kujifunza Naamini Katika Ushindi
@abdalahnanga667810 ай бұрын
Asante kaka ubarikiwe sana
@Mama-A10 ай бұрын
Am happy and feeling very wealthy
@FanuelIsaya-b1y10 ай бұрын
Nataka kujiamini na furahaa sina
@jesusgospelunitytv453210 ай бұрын
Thanks
@Lazaro-tq9fp8 ай бұрын
Mimi ni hadali sikuzote na katika kila jambo
@abrahammwambije276910 ай бұрын
Barikiwa kaka joel
@bonifaceferdinand5669 ай бұрын
Mimi ni mfanyabiashara mkubwa na nitafika mbali
@FidelisBanga10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@user-sh8xp5dn3w10 ай бұрын
Mimi ni mtu mkuu
@user-zl2zj1tw1u10 ай бұрын
Mm najiamini,
@nasraathman867810 ай бұрын
Mm najiamini
@Maulidfundi10 ай бұрын
🧐
@yustermayenga69919 ай бұрын
Mimi Ni mwanamke mfanyabiashara
@judithgodfrey650310 ай бұрын
Mimi naweza kujisimamia mwenyewe
@emanuelavaleriani86469 ай бұрын
I am CEO in my own company
@mahonayoramu50839 ай бұрын
Joel nikushauri kitu Kuna huduma wateja wako tunazikosa Kwa mfano Mimi nilikuwa namatatizo rafiki yangu akanitumia clip yako inayosema vitu 4 vinavyodumisha mahusiano ilinosaidia sana pia nikawa namatamanio ya kuzungumza nawe nikapiga simu akapokea mdada mmoja nikamueleza nataka huduma ya kuongea na Nauka akasema huduma hiyo Bado haipo , tuwekee hiyo huduma maana video zako zinasaidia ila iliutusaidie vizuri huduma ya kuongea na wewe Kwa matatizo binafsi ni muhimu sio tu Kwa ajiri ya mafunzo hapana naamini ata kwenye hii video Kuna mtu imemsaidia ila Wenda anataka kusaidiwa zaidi weka namba tulipie gharama kama tunavyo nunua vitabu Mimi hapa wa kwanza nilihitaji sana ufafanuzi wavideo ilionisaidia ilinitatue nilipo kwama lakini imekuwa ngumu kukupata
@alicenice171110 ай бұрын
I need your number teacher Joel plz
@mushicat128810 ай бұрын
Hakika unanibariki sana kaka Joel
@jennymwakibasi20695 ай бұрын
Kaka Joel nashukuru kwa mazungumzo yako kupitia mitandao ya kijamii ombi langu sio kila kitu naweza kukiweka wazi hapa naomba tusaidiwe namba ya cm yakuwezesha kuongea na wewe
@aderiderkihupi724010 ай бұрын
Asante
@jennymwakibasi20695 ай бұрын
Kaka Joel nashukuru kwa mazungumzo yako kupitia mitandao ya kijamii ombi langu sio kila kitu naweza kukiweka wazi hapa naomba tusaidiwe namba ya cm yakuwezesha kuongea na wewe