Neukuru kwa ujumbe, Mimi pia Nina changamoto nilibadili mawazo ya biashara, nikajikuta biashara hiyo ikawa na ugumu wa kurejesha fedha Kwa wakati kwenye kikundi na uzalishaji aujaanza nikaanza kurejesha kupitia ule mtaji. Sijui hii inakaaje nisaidie, usipojali sana unibip nipige tuonee kwa zaidi, Mimi nakufatilia sana ila sijawa na utulivu kwenye kuzalisha.!
@mahambagislain96183 ай бұрын
Ndio Kaka Mungu azidi Kuku Linda Na elewa viziri 🎉🎉✍️🇨🇩
@alexanderkiberiti12823 ай бұрын
Mjomba mungu akubariki sanaaaaaa! naona kabisa umenitoa sehemu ya hatari nilipo kuwa.namani sanaaaaaa niwasiliane nawewe kwa kina kama itakupendeza kwa sasa nimemia mkoa wa katavi mpanda mjini.
@hamisaramadhan46282 ай бұрын
Mwenyeezimungu akupe umri mrefu.
@MerlinaKubadesha2 ай бұрын
Asante mungu akubaliki anko angu nanauka
@mchattachattanoga77953 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka elimu nzuri sana
@SaudaSaidi-e3h3 ай бұрын
Brother umeniokoa sana
@winfridaadam79513 ай бұрын
THANK GOD BLESSING YOU
@hamisaramadhan46282 ай бұрын
Habari ya wakati huu kaka,nashukuru sana kwa vidio zako zenye mafunzo yanayo gusa nyanja zote ,za kiuchumi,biashara na mahusiano pia mwenyeezi mungu akubariki,akupe afya na umri mrefu
@NaomiUmburi-lj8wn3 ай бұрын
thanks bro
@speciozakaloli2 ай бұрын
Asante sana
@matrida.lunyilija51963 ай бұрын
Asante kaka kwa ushauri,umenifungua macho
@japehtkakamba17263 ай бұрын
Asante sana kaka
@MashauriFransis2 ай бұрын
Asante kaka
@tinarimisho84823 ай бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri
@GORETHKALEMERA2 ай бұрын
Asante
@janetmbwana5533 ай бұрын
Barikiwa sana 🙏
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante sana coach Joel nimejifunza 🙏
@kuruthumukondo71493 ай бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@magrethmeena3 ай бұрын
Daa unatusaidia sana coach
@zahramakota21983 ай бұрын
Nimekuelewa mno
@hadidjaissa91543 ай бұрын
Asante🙏
@aliceSamson-de6br3 ай бұрын
Mimi nafanya kazi mwez wa kumi sijalipwa ukidai unaonekana mwiz inanipa wakat mgumu
@Yoshuakikasiga-r3g3 ай бұрын
🙌 🙌 🔥 🔥
@manoahjoseph52833 ай бұрын
Sauti mkuu
@cornerbrezz1207-lc6rg3 ай бұрын
Ubalikiwe sana Joel nanauka Mimi sikahi kusema shida inayo nisibu ila nitasema kifupi ila nilitamani kupata number yako utanisaidia sana Mimi nafanya biashala ya duka nimeajiliwa ila hiyo biashala imeshuka sana kiasi kwamba Mimi mwenyewe sinilipi hela 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰
@FaricevitusiNkane2 ай бұрын
kk uko vizul sana na n msaada mkubwa namba yako npataj
@Wazirydohela3 ай бұрын
mjomb joel kunatatizo la sauti kweny content zako za sas
@NoelMremi-w5e3 ай бұрын
.Tupo Pamoja kiongozi 🤝,Asante
@osmankisibo51843 ай бұрын
Kaka Kuna soda yako hapa😊
@MasungaGahima-es5ei3 ай бұрын
Itakuwa simu yako tu
@hamisaramadhan46282 ай бұрын
Kama hautojali kaka,nilitamani kupata namba yako ya simu ili niongee nawe uweze kunipa ushauri,nahitaji sana ushauri wako kaka.
@NORVESASUNGA3 ай бұрын
sasa kaka mi ndio nimeanza kukusikiliza na nina 40 yrs hivi naweza anza biashara au n imechelewa
@RonaJumanne3 ай бұрын
Haina sauti au ni cm yangu😢😢
@eliastanda98253 ай бұрын
Simu yako
@AndersonMbuya3 ай бұрын
Sim t unaskia tu kam instrumental
@AndersonMbuya3 ай бұрын
Tafut earphone org za oraimo au akg samsung na ujaribie kwanz hii scene
@MasungaGahima-es5ei3 ай бұрын
Sim yako tu
@aliceSamson-de6br3 ай бұрын
Kaka n ukweli unaongea lkn Kuna wakat unakutana n mambo magum