Unajua alivyo sepa yule jamaa akamuachia professor,nikaanza kuumia sana, mwanzo sikuwa nakukubali professor ila sasa niseme wewe ni 🔥🔥🔥🔥
@roncliff50503 жыл бұрын
Hi
@damianrambau72353 жыл бұрын
🤟⛑️
@geofreykaisi65663 жыл бұрын
Wanao sikiliza na kusoma comment tujuane kwa like
@asmamohd38323 жыл бұрын
😂😂😂
@lexmalolo61893 жыл бұрын
Brother unatuelimisha sana kaka Mwenyezi Mungu akubariki na akupe miaka mingi uzidi kuzikomboa fikra za watu weusi Africa
@elishadesela2693 жыл бұрын
Hivi huyu jamali si wampe tuzo tu ,zikishindikan mpe like
@saidimussa55463 жыл бұрын
Mandela,kwangu.miongoni mwa. Mashuja.nawapenda sana 1)Mandela,2)Samnijoma. wa Namibia. 3)Nyerere 4)Patrick Lumumba 5)Kwame nkuluma 6)Samora Mashell 7)Robert Mugabe na shujaa wa kizazi akina. Karume Kanali Gaddafi, Magufuli hawa. Wazee warikua kweli MASHuja wetu mungu awaifadhi
@emanuelrichard39023 жыл бұрын
Leo nimechelewa kidg kua wa kwanza lkn sio mbaya nimewah kidg. like zenu wanangu wote wana wcb na wana man U tz
@iammusic34043 жыл бұрын
Kama unasubiria Hiroshima and Nagasaki Hydrogen bomb attack by US TUJUANE😳
@brobabuu39733 жыл бұрын
Tubasubiri yeyote next
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
Thinking the same
@tasenjaipan52303 жыл бұрын
hiii nataka kuisikiaaa
@luifdls62173 жыл бұрын
asante sana the story book🙌..nimeguswaa i love Nelson mandela too much❤
@hassantindwa80743 жыл бұрын
Kuna ukweli kuwa mandera walimuua gerezani xio uyu yunaejua ukweli ukoje? Jamal
@chebelafrank6563 жыл бұрын
Daaaaah! History Book hakika imempata mtu sahihi 👏🏽👏🏽👏🏽
@Mabarre2263 жыл бұрын
Ahh Nani kasema mwenyew has mtiga bana wee
@fadhilisanga33843 жыл бұрын
Jamal wewe ni zaidi ya wajumbe safi sana bro unatufanya kujua historia za viongozi na mambo mbalimbali
@bongotv71203 жыл бұрын
BIG UP PROFFESOR JAMALI,🌍 MEME SIKUFOKEI HATA KIDOGO MZEE,👇 KAZI NJEMA.😌😌
@ramadhanimsangitzdigita3 жыл бұрын
Aisee hjamaa anajua
@bongotv71203 жыл бұрын
@@ramadhanimsangitzdigita sana kaka
@athumaniramadhani49753 жыл бұрын
Usawa kwa mwana CCM na Mmwa Chadema kwenye aridhi Tanzania 💪🏿💪🏿 na siyo chuki za kichama
@Nzinyangwa3 жыл бұрын
Prof mwenyew#jamal the best,, talented sana uyu#akili kubwa hii
@faridkibavu20283 жыл бұрын
Good job proffessor
@jaxonduke52142 жыл бұрын
instaBlaster.
@homeoflyrics62203 жыл бұрын
Naam like 3 tu naomba hapa
@official_marley093 жыл бұрын
Kuna watu walikuwa wanakubeza mwanzo wakat inaingia kuisimulia mwenyewe the story book but mm nilivokusikiloza Mara ya Kwanza kilichokuja kichwan kwangu kwa haraka ilikuwa no swala la muda tu ila u are the best kamwe kumbe sikuwa najidanganya now naona YOUR ARE THE BEST PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥🔥
@faustineilembile75363 жыл бұрын
Professor nakukubali 💪💪
@derickmgeni3 жыл бұрын
Wakwanza leo naombeni like zenu
@kingballoh16653 жыл бұрын
Simba wa Africa ni Mwalimu Nyerere na Kwame Nkruma
@dasilvajunior30163 жыл бұрын
ni nyerere tuu ,na ndio aliowapa ujanja
@abuyizedon3 жыл бұрын
Professor katika Ubora wake,Sijawahi kupata like 100k like tafadhali tuende sawa na Professor
@iammusic34043 жыл бұрын
100K Likes?😡 are u Diamond????😂😂😂
@gka91473 жыл бұрын
Buyi ze don
@petromvinge15213 жыл бұрын
Duuu
@abuyizedon3 жыл бұрын
@@gka9147 Naam
@abuyizedon3 жыл бұрын
@@iammusic3404 😀😀😀
@ismailnamtuma18303 жыл бұрын
big up sana kwa mama mandela,,bila kukichafua kisinge eleweka,,
@magrethjohn49293 жыл бұрын
Hi wana The story book enx to our God 2mekutana tena anyways Magreth loves u guys ming ming 🙏🙏😘😘
@frederickfridoline41633 жыл бұрын
Tnx
@josephmdendemi32223 жыл бұрын
We love you Madame
@nallaboy23 жыл бұрын
Me love u 2 au nitume naur 0673786665
@arifismael56093 жыл бұрын
Wanomukubali jamal mustafa gonga like hapa 😍
@hamzamwinyiheri80503 жыл бұрын
Kama na ww umeamua kufutiria history ya Africa kama mm like plz
@diamondplatnumz55983 жыл бұрын
siku nelson mandera alipokufa pia alikufa na kijana aliyekuw anaitwa nelsoni kijijin kwetu kwaga R I P NERRY WA KWAGA😭😭😭
The story book is always fireeeee🔥🔥🔥 Big up Professor💪💪
@noxlosingida23693 жыл бұрын
Na shukuru Mungu nilipata nafasi ya kumtembelea gereza alilo fungwa Tata Madiba niliona sehem aliyo kuwa akilala,blacket, ndoo na kikombe ndiyo vitu vyake alivyo kuwa anavitumia na pia na shukuru Mungu kwa kuniwezesha kufanya kazi na Mtoto wa Oliver Tabo.
@riksonforever11693 жыл бұрын
Aikuwa rais wakat unaanza kusimulia lakin now you are the best brother keep it up natamani Nickie cku umeenda sayar ingine tofaut na dunia yetu
@hassanimubarak74473 жыл бұрын
The story book #Jamari mustaph #professor
@ramafrica90163 жыл бұрын
Nelson Mandela The Lion of Africa alifanya yake,pumzika kwa amani shujaa wetu...
@janefastephano7762 жыл бұрын
Your the best professor Jamaal
@imanijeremiah35113 жыл бұрын
The real professor @jamal_april I always adore you brother keep it up
@andreab70633 жыл бұрын
Saf professor 👏👏👏
@beataadam84413 жыл бұрын
Dah Asante Jamal nimejua mengi kuhusu Mandela
@arsgaik58153 жыл бұрын
I Love this story.thanks wasafi media.
@shaabansaid88423 жыл бұрын
Thank you bro, Nice work, keep goin 👍
@ztownofficially63973 жыл бұрын
Keep giving us
@minzarobert90853 жыл бұрын
Saiv waafrika tongekua na sehem ye2 ya kucoment
@bradtunya27263 жыл бұрын
Great work, am flowing from Denmark🇩🇰.
@omarymwita58903 жыл бұрын
Madiba,daa!! Just remember gorilla war
@aminandune91083 жыл бұрын
The story book 🔥Jamal April uko Sawa broo👌🙏
@jacksonbuzingo66013 жыл бұрын
Hongera Jamal upo vizuri kuliko Mtiga. Wewe ndio fundi, nilikuwa sijakuzoea tu
@fatmafeisal4423 жыл бұрын
Mmmh! Mtiga hana mpinzani wewe, tena huyu hata hamfikii mtiga kwa usimuliaji.
@jacksonbuzingo66013 жыл бұрын
@@fatmafeisal442 Hata iweje Mtoto atabaki kuwa Mtoto na Baba atabaki kuwa Baba!
@shadracktilla26563 жыл бұрын
Wasafi media keep it up men and never give up
@issufocussupi72623 жыл бұрын
Uma autêntica aula de história. Bom programa.
@abedibanzi59862 жыл бұрын
Ee
@abedibanzi59862 жыл бұрын
Rreuiqr
@abedibanzi59862 жыл бұрын
Wtpqt
@allpotentials84203 жыл бұрын
Simba na baba wa Africa NI mwal nyerere sema Basi hamna noma fresh.
@mohdchande30583 жыл бұрын
kwann msifanye utaratibu wa kuweka epsd 2 kila wiki😂
*Nice 4 everybody Mr professeur please Story book ya mansa musa*
@abdillahimakame64342 жыл бұрын
Nakukubali sana broo
@officialtgeniusmusic24523 жыл бұрын
Kama umesikia mangala ngala ukacheka gusa like apa😂
@bboymeshh29653 жыл бұрын
👏🔥🔥🔥🔥🔥Bado Ya Nyerere Sasa
@seifmeja60563 жыл бұрын
Ya Nyerere Ishatoka Mzee
@dullayohamza71123 жыл бұрын
MNAO KUBARI STORY BOOK LIKE APO
@LearntowinLTN7 ай бұрын
Nakukubali sana MUNGU hakutunze sana profesa Jamali
@localzone18303 жыл бұрын
I'm the coming Mandela
@chibunews56423 жыл бұрын
Wewe ni moto love from mogadishu
@msafirimadanya33403 жыл бұрын
Mambo vipi asee
@chibunews56423 жыл бұрын
@@msafirimadanya3340 poa sana
@petromlwafu69223 жыл бұрын
Mwanasayans no 1 Tanzania Jamal April hakika tunakula matunda mazur sana nataman niwe mwanafunz wako nijifunze baadh ya mamb mazur kwako
@abdulymwinyimkuu99713 жыл бұрын
Dah unajua kk bado ya Christopher Columbus
@abdulnaseermrisho43423 жыл бұрын
Alafu unakuta mtu anamlaumu Hushpup kwa kuwanyoosha,
@fisjaykitamuliko11833 жыл бұрын
😄😄😄
@periskwicha3421 Жыл бұрын
Napenda sana hzi simulizi....zinanfngua akili n kunpea upeo wa wtu tofauti tofauti waliofnya vtu ....asnt sna
@donomar68763 жыл бұрын
Jamaaaaal ni hatareeeee
@shivotv49313 жыл бұрын
JAMAL APRIL GENIUS LIKE KWA WING KWA GENIUS WETU
@Met3Dots3 жыл бұрын
kwa wale tulio ipenda hii story tujuane kwa ku like
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
Very classic mtunzi nlijua utacha kitu 🚴🚴
@barnier023 Жыл бұрын
I honestly love your stories✨️
@emmanuelyraphaely33433 жыл бұрын
Ila #Mandela alikua muun sana maana iwo mstari alioweka kichwan sio poa 😂
@balomjeshi38273 жыл бұрын
🤣😂😂 duh
@shabanomary36003 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@blankakecy24642 жыл бұрын
Nahisi kama Nelson Mandela Kwa miaka yote aliyoitumia gerezan angekua uraiani angetengeneza historia kubwa zaidi ya hiii aliyotuachia,mungu akupunzishe pahala pema Shujaa wa Africa Nelson Mandela
@ramadhanimwanandege78353 жыл бұрын
Naangalia baada ya varane kutufokea.
@khadijavassardanis31783 жыл бұрын
Mungu ampumzishe kwa amani
@buthaynarashid94203 жыл бұрын
Gonga like nyingi kama na ww ni mpenz wa the story book
@user-qq6mv6vh3e Жыл бұрын
I love history the book
@uwurukundoethienne15711 ай бұрын
Wow Asante
@franklineshidende42153 жыл бұрын
Great bro I like your storys they have some great impression
@mustafamunde77923 жыл бұрын
Weuweeeee🔥🔥🔥
@ambasonkalenga20473 жыл бұрын
Heri kubaguliwa na mtu mweupe kuliko kubaguliwa na mweusi mwenzako kwa itikadi ya vyama mbaya sana
@salmaayub613 жыл бұрын
NITAKUKUMBUKA DAIMA ROLILALA
@mjuajimpumbavu55373 жыл бұрын
Mandela one love
@ramadhancharles70233 жыл бұрын
LE PROFESSOR JAMAL MUSTAPH YOUR ARE THE BEST 🔥🔥🔥
@chiefkaitaba.m.94663 жыл бұрын
Professor Jamal 🔥🔥🔥🔥🙌
@veronicadaniel11223 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amwangizie mwanga wamilele shujaa WA africa
@ibnismail88313 жыл бұрын
Nakbali Prof.jamal
@cyrabrown86093 жыл бұрын
Nimegoja Sana story book
@samorajustofurahafuraha89043 жыл бұрын
Mstafer anatizhaa saana👏👏💥
@kakamkubwa32103 жыл бұрын
Ukisikiliza na kusoma comments like hapa twende sawa
@subrynerysegerow13233 жыл бұрын
Lakin ujagusia mchango wa Nyerere kwenye kupigania uhuru jamen