TANGAZA NASI MASANJA TV: SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 / @masanjatvgospel
Пікірлер: 236
@AtuganileGodsonАй бұрын
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
@atuganileagrey5041Ай бұрын
Yaan Mungu aturehemu
@aderanderwa7623Ай бұрын
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
@JosephKingwereАй бұрын
Mimi nilivyo muona uyo kiboko ya wachawi mhmhmh nimeshangaa sana daaaah hapo kuna namuna jmn 😢 Yesu chrsto atusaidie sana
@EngelLameck-nz5nkАй бұрын
Unapotea sana Kaka Angu masanja hebu mwambie Mungu akupe amacho uone kuhusu hao watumish unao wasifia unako enda sio kabisa
@focusernest5610Ай бұрын
Watu wako after maokoto macho ya rohoni hayaoni@@EngelLameck-nz5nk
@GodfridMbele-sb1ks25 күн бұрын
Hawa ni mawakala wa shetani wote hawa
@SifaelaYoramАй бұрын
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
@selegioelias9076Ай бұрын
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
@PaclasLeo19 күн бұрын
Mungu nifumbue macho niyajue ya rohoni
@chrispinkyaruzi1110Ай бұрын
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
@mossyfimbo3577Ай бұрын
Mazingaombwe
@williamrite604912 күн бұрын
Asante YESU KRISTO kwakuwa ulishatuweka wazi juu ya watumishi kama hawa..mkristo kuwa makini hizi ni siku za mwisho..
@nicksonlyimo1562Ай бұрын
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
@SifaelaYoramАй бұрын
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
@user-ph4ch9qx5p18 күн бұрын
Mungu haketi miongoni mwa wenye mizaha...
@eliasselemani1963Ай бұрын
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
@eliasselemani1963Ай бұрын
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
@JoyceisakaАй бұрын
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
@marrynaftali7969Ай бұрын
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
@MonicaBeniАй бұрын
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
@EmanuelBlassy-uz4gm19 күн бұрын
Kweli Mbarikwa na CAssian Paschal Kiboko Yao
@LesianaBizimana9 күн бұрын
Surely,mbarikiwa anapingwa vikali but yeye ndo ana injili ya kweli na watu hawajui
@doreenkahunde318614 күн бұрын
May God have mercy on these people. Repent Repent before its too late
@manaseliberatus1347Ай бұрын
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
@richardmanirabona978716 күн бұрын
Ni hatari sana. Yesu Kristu aliponye kanisa lake Tanzania.
@bonifasiemanueli21Ай бұрын
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
@user-nx5og4cz7bАй бұрын
Kwishaa iyo
@denismugisha2Ай бұрын
Hivi nyie mnapataga shida sana kuwatambua hawa eh Basi mwenzenu hata kwa mavazi tu nawaelewaga
@marthadaniel4904Ай бұрын
Kwenye madhabahu unalet comedy 😢😢Mungu atusaidie atupe macho ya kiroho, nyakat za mwisho kutakuw na manabii wa uongo
@user-zw7ln4iy3g26 күн бұрын
mwanangu mmoja alishanigomea huyu alishachukuliwa kitambo walivyoona anakiu ya mafanikio wakatumia njia hiyo kumchukua 😢😢 leo ndo nimemkoma masanja
@joune14 күн бұрын
Kweli ukiwa na kiu ya mafanikio huwezi kwepa mitego ya shetani kukuvuta umtumikie kama nabii wa uongo
@HappyWilaganu9 күн бұрын
Mungu atulehem na atufumbuwe macho ya lohon kuyaona haya ya duniani juu ya watumishi wasaivi wapotoshaji mungu tusaidue😢😢
@user-qg5sc7ie3qАй бұрын
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
@user-wc6yw1or4nАй бұрын
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
@MartiniEnock-e2e15 күн бұрын
Mungu akurehemu
@victorcephas3618Ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi
@josephgnzunda5631Ай бұрын
Pole sana masanja
@dorahisinika7576Ай бұрын
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
@roseriwa6951Ай бұрын
Mungu wetu sijui kawa mpole....why! Inauma sana
@MAONYOTVTANZANIAАй бұрын
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
@thestkim6625Ай бұрын
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
@AyubuHeshimaАй бұрын
Ninaona wahuni watupu tu.
@moseshaule586Ай бұрын
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
@rayisadesigns264618 күн бұрын
@@moseshaule586 WAHUNI KWA WANACHOKIFANYA, INJILI HAIHUBIRIWI HIVYO HAO NI WAPIGAJI TU NA NDIYO MAANA WANAITWA WAHUNI!!
@MusaMsami-yh9cgКүн бұрын
Mbarikiwe watumishi
@january_Tattoo27 күн бұрын
Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma
@magdalenapeter6106Ай бұрын
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya
@GaudanceYasinta13 күн бұрын
Kifo ni kilekile 1 na mlango ni 1 sisi tu mavumbi ,pesa itakuheshimisha duniani na si mbele za mungu, Sio wote wanaosema bwana bwana watauona ufalme wa mbinguni
@PaskariaSuwiАй бұрын
Naomba unipe mwisho mwema Mungu wangu
@KatRobertАй бұрын
Hizo nguo zao zinatisha kwanza😅😅😅
@user-od2mc4mj4e12 күн бұрын
Ni kweli kabisa za Tisha huyu dogo kapotea jaman
@andreauisso32259 күн бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndiyo hii yaani hizi ni nyakati za mwisho kweli
@kipkemoicheruiyot4315Ай бұрын
Ghaai huku ni wapi , may the light of the Holy scripture sound absolute truth till the end of the edge😢
@kelvinchaula4 күн бұрын
Mungu ni mvumilivu saaaana nyieeee
@costofamily486111 күн бұрын
Wewe usemae hizi ni nyakati za mwisho hazijaanza leo zimeabza longtime tangu Yohana aliwahubiri waru akiwaambia tubuni kwa maana ufalme wa Mungu umekaribia so bado tupo kwa neema tu
@Kelvinchristopher072Ай бұрын
Stendi ya kuzimu.
@user-qn6rs7km3zАй бұрын
Hatari sana
@AtuganileGodsonАй бұрын
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
@@Kelvinchristopher072 duuuu
@user-vk6so5bb7uАй бұрын
Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢
@bensonmgaya5693Ай бұрын
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
@user-jc1do5gf3wАй бұрын
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
@andrewkissava9184Ай бұрын
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
@Matogwa-ts1wl22 күн бұрын
Tusitangulize maslahi kwenye kazi ya Mungu,,,,,badala yake tutaishia kufanya ushirika na watu ambao ni darkness supporter,,,,,,,Heri uwe masikini unamtumikia Mungu kuliko utafute maslahi na watu wasiofaa ambao kazi yao ni kupoteza kondoo wa Mungu aliye hai!
@samuelakanga5586Ай бұрын
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
@sarahkeivaly3351Ай бұрын
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
@lusungungimbudzi4265Ай бұрын
We Jamaa bwana Commed all the time
@prchMichaelАй бұрын
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
@ismaelgadiye4488Ай бұрын
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
@DennisFandi25 күн бұрын
Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe
@JosephTherathini25 күн бұрын
Mungu utusaidie
@HellenLemilyaАй бұрын
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
@VeronicaMungureАй бұрын
Amen
@agnesmbula5261Ай бұрын
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
@kakakuonamprubenikakakuona138716 күн бұрын
Jicho lenyewe lilishafunguliwa tu 😂😂😂
@FabiolaTemba-kz2sq27 күн бұрын
Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂
@kmotivation1130Ай бұрын
wazee wa kazi kazi
@Nyukiliabingwa5 күн бұрын
Zile vifaa zao tu zinakutambulisha ya kwamba hawa ni nini kwa mtu aliyeokoka anafahamu kila kitu hapa
@ellymunisi8749Ай бұрын
Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli
@SamooTz-pi5okАй бұрын
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
@ednakawau9842Ай бұрын
Kumbe masanja ni wale wale
@barakanatus5676Ай бұрын
Ulikuwa ujui ni wale wale
@hosannakamwela9286Ай бұрын
Hakika ni walewale
@jacklinakinabo6479Ай бұрын
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
@TravisScortКүн бұрын
E MUNGU nini hiki Tena,haya maigizo mpaka lini jamani
@verroallex9144Ай бұрын
Muda ni mwalimu mzuri sana.. Mtawatambua kwa matendo. Kwa matunda yao mtawatambua. Lilikua ni suala la Muda tu kuwatambua hawa. Bwana Yesu atupe maarifa ya Neno lake.
@josephgnzunda5631Ай бұрын
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
@user-nx5nz4zg2g21 күн бұрын
Nimepita kuangalia angali kwani wakristo hayo maneno mmetoa Kwa Akili zenu au Kwa roho Mtakatifu Je, hamkumbuki Mathayo 7:1-14 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii? Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako
@merabKitunduАй бұрын
Kweli mbinguni ni mbali
@merabKitunduАй бұрын
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
@raymondwilliam3042Ай бұрын
Bodyguard sasa 😂
@peterrichard9644Ай бұрын
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
@hosannakamwela9286Ай бұрын
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
@HellenLemilyaАй бұрын
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
@user-zs7eq8up5sАй бұрын
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
@iddimohammed7536Күн бұрын
Nyakati zingine usanii haufai jamani
@user-xl5xi1uq9zАй бұрын
Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie
@fredrickmikera5998Ай бұрын
Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli
@andrewkissava9184Ай бұрын
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
@FabiolaTemba-kz2sq27 күн бұрын
Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya
@user-im7vi2yf2dАй бұрын
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
@user-dy4pw8ts9p17 күн бұрын
Wasenge tu ndio wanao muinamiaaaaa , ukristo wameuona kama kitu cha kuchezea
@paulmkaztv28664 күн бұрын
Wachawi wote weko apa
@user-kz5en5tq2zАй бұрын
Vipofu wana wa majoka
@user-yv1dw6cu9k17 күн бұрын
😂😂😂😂😂ohoooooooo mmekutana kumbe
@ombendaud5938Ай бұрын
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
@mwanawamfalmetzАй бұрын
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
@FamtamAli-vl2wxАй бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭 kweli hii ni Feremason kabisa yani Mungu tusaidie Walahi 😢😢😢😢
@LoycierMabenga-ij6bj18 күн бұрын
FANYENI YOTE ILA KUMBUKENI TU BWANA YESU AJAWAI KUDHIAKIWA ATA SIKU MOJA,SEMA TU UWA NI MVUMILIVU SANA.
@user-sm7gj4mn5n13 күн бұрын
Hapo maandiko yanatimia wakristo wenzangu ila tuombe sana hizi nyakati ni hatari kama una macho ya rohon ona hapo
@user-qw8tm3jz2uАй бұрын
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
@jacklinejohn5727Ай бұрын
Mtatubu kwa lazima
@IssaPara-bt9hgАй бұрын
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@chrisdeoglatias8665Ай бұрын
@@IssaPara-bt9hg mh
@eliakefas930026 күн бұрын
Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!
@fredrickmikera5998Ай бұрын
Yaani watu wanatambulishwa na vyeo vyao vya kuzimu ila wahumini hawaelewi.inaumiza sana
@RumbakwekaАй бұрын
Masanga ndo simwamini kabisa uyu ni komedian sio mchungj
@EstaDaffi-wg5cr12 күн бұрын
Adi roling ni wale wale piah
@valenakomba9218Ай бұрын
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
@aloismwenda897517 күн бұрын
Kwanini nchi yetu imeruhusu kusajili vimakanisa vingi hadi vingine ni vya kichawi na vingine ni kuharibu imani ya Kristo? Lawama kwa serikali kwakweli
@dorahkaruma9299Ай бұрын
Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂
@ellymunisi8749Ай бұрын
Wote hawana Mungu ndani yao
@graceyamado85782 күн бұрын
😢😢😢
@edouardnsengiyumva114528 күн бұрын
Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi
@TheofiloKihongosiАй бұрын
Pole myawe kweugenda
@annambembela6661Ай бұрын
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame