Dada wema vuta Subira ipo siku Muombe mungu sana ishallaah mungu yupo usikate taama
@vailetmponji85485 жыл бұрын
Mungu yupo anatenda kanzi ndaniyako my dada utapona
@neemakatemi40565 жыл бұрын
Dada utazaa mungu yupo ndie kila kitu katika. Maisha yet omba mung
@goldenson13405 жыл бұрын
Pole sana Wema my dear hayo ni maneno tu ila Uzima wa milele ni wako kuna watu sasa kaz imekua yao kutumia nafas yako kutengeneza kiki hakuna jipya hapo Muamini Mungu tu ndo mshindi wa maisha yako
@haminahamisi80365 жыл бұрын
Pole my mungu atakusaidia tyu matatizo yako
@nemangowi14185 жыл бұрын
Msikilize Mungu Wema achana na wanadamu
@sirlanka44555 жыл бұрын
Wema dada'ngu pole Sana Allah yu nawe.,Usia wng kwko"Fanya yoooote ktk huu ulimwengu lkn USITHUBUTU kwnd kanisan au kuritadi(kutoka kwny uislam kwnd kwny ukristo/ukafiri) ukifa ujue ww ni motoni milele,Wakristo watatumia maneno mazr km kukupa pole au kukutetea kwa Jambo lolote baya ulilolitenda/utakalolitenda ili uwaone ni watu wazr kwko na hatimae uwafuate wakuingize kwny ukafiri na hiyo ndio SHABAHA yao kwko,NB:shirikiana nao lkn utahadhari nao wana mengi waliofch ktk nyoyo zao,pia fanya Istighfaar kwa Allah kwani milango ya Toba ipo wazi na Allah atakusamehe,lakini mh! dada'ngu mambo yko mbona yanachupa mipaka ya Allah nakusihi punguza au acha kabisa mambo yasiomridhisha Allah kumbuka wewe ni bint wa KIISLAM huoni km unautukansha uislam?,Nakupenda sn dada'ngu Wema nitfrh sn nikiona umebdlk na kufuata mfumo wa maisha tuliofndshw na mtume wetu Muhammad(swallallaahu 'alaihi wasallam).NB:iwapo DINI hujaisoma Mimi nko tyr kukufndsh bila malipo yoyote ktk kwko maana najua ntalpw na Allah hpa duniani na akhera
@anusiatalusambo57035 жыл бұрын
mungu akurehemu my sister ,amini hivo sawa Dada,
@angelmirindi22345 жыл бұрын
Pole sana mungu akupiganie "don't lose hopo God is the Good God he will fight for u I love u sister
@ndabarinzesamuel93335 жыл бұрын
Wewe si mtumishi wa mungu unamtumikiya shetani acha kudanganya watu.
@fatumaramadhan16905 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@jellysmaarifa11725 жыл бұрын
fatuma Ramadhan Amina
@zainabukhalifa39675 жыл бұрын
acha zako mchungaji hadi sauti imekauka wema na mashekhe sasa ww wap na wap iyo kazi ya mungu sio yako
@rabeccashabani87855 жыл бұрын
Pole Mamie Mungu atakusaidiya
@mbojemwajasi23215 жыл бұрын
Wema sepetu I as an individual admire and love you kitu kimoja hujatambua any beautfull woman in a human eye is an enemy God loves you and thats why he gave u that torch to be popular and people love and listen to u but know most of the time men are mostly a reason to our downfall sikiza Dada hakuna kile MTU yeyote yule atakae kuambia kuhusu mwanamume tulia Mungu anaona na kusukia kila ombi inshaallah atakupa alive na kheir na wewe your heart will tell you mbo ya mapenzi usikubali MTU au team wema whatever airport u have kukuelekeza kufanya au kukubali listen to ur heart and dear it never lies. Cheers keshi ushashinda MUngu anakupenda sana.
@evelynemathew98775 жыл бұрын
Yap c* wema ue hv 2 fight xo that ue can succed in ur lyf and don't care which people say tc me ley i real real love ue God is with ue forever and he will help ue nothng impossible under the sun
@aminaabdu11005 жыл бұрын
Mboje Mwajasi mmm
@alamoudy58945 жыл бұрын
Mungu yuko pmj na ww dada yng usikate tamaa mungu hashindwi na chochote muombe mungu you pmj na ww
@kunjilnithomas92885 жыл бұрын
Fantastic
@mauwamjigija63295 жыл бұрын
Pole mpendwa
@suleimanrahil46015 жыл бұрын
Daaaa haya maneno ni kweli au munatupotezea GB zetu tu na muda wetu
@antishuu9585 жыл бұрын
mmmmhh pole sana tena umuombe msamaha mola tena hasa usk wa manane usipuuze na uache mambo yote mabaya Allah yupo pamoja na waja wake omba mungu ndugu
@eshaesha25715 жыл бұрын
pole maadam
@fatumamkuzi41925 жыл бұрын
Pole mummy mungu atakusaidia
@frankmalimba55395 жыл бұрын
Wewe mchungaji mungu yupo atamponya
@mmaahsayyid18585 жыл бұрын
Pastor mmmmmmh mbna usimtahadharishe mapema
@AizackWay5 жыл бұрын
Huyo mchungaji ni kiazi mbatata mungu wake eti
@mwajuma65a5 жыл бұрын
Hivi kwa nin hwamwachi kuwachanganya watu? Wema na familia yake ni waislamu, wataamua kama kwa sheikh, kuomba wenyewe na kama wataamua kama wataenda kwa mchungaji
@ipyanamwambona41515 жыл бұрын
ampelekee Wema Neno la Mungu na sio maombi, acha kumchafua Mungu usije ukafa wewe badala ya Wema.
Ndo hapo hao wachungany sijui wakoje,,,,,wanakera kakosa wakuombea huko mpka wema mxuuuuuu,,,,kwan mkiristu wema jamni
@rukiamatora3315 жыл бұрын
Mungu akusaidie dada angu pore
@romanregend26115 жыл бұрын
Kabisa kwa mungu akuna kinacho shindikana
@eneah.steven33315 жыл бұрын
pole kwake
@veromarengesi99415 жыл бұрын
Pole sana Na usikate tama mungu atakuponya my dear
@ayshaaysha96505 жыл бұрын
MLUDIE MUNGU BAKI KUWA N.A. IMANI YAKO WE WE NIMUISLAAMU BAK KUWA MUISLAAMU MAMA YAKO BABA YAKO WOTE NI WAISLAAMU BAK UWISALIMUNI DEAR N.A. USIHOFU MUNGU YUPO DADA HAKUNA MAISHA YASIOKUWA N.A. MISUKO SUKO TUNANAKOOMBEA MWAYA DADA WAPO WANAOKUPENDA N.A. WAPO WASIOKUPENDA ILA USIHOFU MHUKUMU NIMUNGU TO NAMKOSEFU SIO WE WE TO MBONA WENGI SANA TUNAMUWASI ALAH KIKUBWA USIMTUPE ALAH LAKINI PIA USHAUR WANGU USIKUBALI WAKAKUBADILISHA DINI
@abdulsamadabdulkheir16525 жыл бұрын
Huyo anatakiwa arudi kwa mungu kwa makosa aliyoyafanya ili ajuwe kuwa kuna mungu sio kujiona kuwa yeye ni star
@halimahalili8825 жыл бұрын
Dada wema pole sana mungu yupo utapona
@jasminntarambechannel5 жыл бұрын
bora afe akiwa ktk dini ake hyo n mitihan tu Jmn mungu antupatia
@luckybenladen69085 жыл бұрын
pole my
@kassimlimo95095 жыл бұрын
Na aendelee tu kumuasi mungu mjinga huyo
@0716-n4n5 жыл бұрын
pole dada utapona
@christinenkirote51295 жыл бұрын
Get well soon sweet😘😘
@nurdinhassanamuly4355 жыл бұрын
Samtaimu Taarifa Zenu Munawazingua Watu Siyo Za Uhakika
@majaliwajob18085 жыл бұрын
Dada wema pole naumia sana kuona unatatzo ww jaman mung msimamie huyu mdada kwan kukosa raha yeye me naumia malatano yke
@oliviawagner61335 жыл бұрын
Oh oh oh wema pôle sana dada mungu yupo🙏🙏
@leticiaelias80595 жыл бұрын
Pole sana my
@rukiachaula47615 жыл бұрын
mungu in wawote acha kujigamba we wema Mdogo Wang mtumainie mungu kwan yy ashindwi na cho2te
@joycemashikolo90965 жыл бұрын
wewe tafuta waumini kwa njia unayojua wewe sio kutumia jina la wema.kwanini afe !wewe ni Allah?muacheni wema atulie na akikaa vizuri mtu asijisifu eti yeye ndie kamuombea!ni Allah ndie atakaemtengeneza sio Binadamu.hao tunaojiita waombezi tujiombee wenyewe 😌
@jimmymarwamatjr4915 жыл бұрын
upuuzi mtupu. maskini bando langu
@emeryhastamanirambona13305 жыл бұрын
Wema God atakuponyesha usjali
@shanimpenike75685 жыл бұрын
Mungu wa wema yupo hai mchungaji acha kazi ya mungu
@sultanaswaleh88925 жыл бұрын
Ajabu ana mtabiria kifo wakati yeye roho take iko katika himaya ya Allah! Alive muumba yeye..hee ! Vituko..
@magdalenaezekiel85005 жыл бұрын
kiukweli Dada wema nakupenda xana ila tabia zako tu huwa zinanichosha eb jilekebishe Dada jaman
@sharifambaruk95765 жыл бұрын
Mungu ndiomwenye kumponya nasiowewe
@fatumafashiondesigner14615 жыл бұрын
Akufe Malaya sanaa
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Allah amsaidie ln Shaa Allah aache tabia tamaa abadilike awe bint mzuri hakuna mkamilifu. Ametubu muacheni atulize akili amekubali makosa.
@angelstacy75925 жыл бұрын
Kweli daa umesema hki
@mlasiespe20495 жыл бұрын
mungu anaweza kufanya makuu kama wewe unaweza kuomba bila kutangaza kwa watu, una muahibisha hivyo, amekuwa mtu mzima.
@aisharehani12525 жыл бұрын
asirei
@antonymenza98355 жыл бұрын
Hana hekima ya kuongea huyo paster unajiabisha mtumish fanya kazi uliyo itiwa acha kujishobokesh ungeomba bc asiitishwe dhamna uliku wpi
@neemaissa50635 жыл бұрын
Imani tu kwan wote twamtafuta mung huyu huyu mmoja utapona usijar wara nn
@ummkolthumkoalthum32715 жыл бұрын
Sasa hyu mchungaji vipiii kwani kn mtu atakayebaki ktk hii duniya.. Kila mmoja atakufa n yy ikifika wkt wke atakufa hkn wa kuzuia...
@anusiatalusambo57035 жыл бұрын
na huyo mchungaji yeye ni nani Hadi ahukumu kifo??? acheni mungu ndo mwenye mamlaka yote
@princeesssalma96225 жыл бұрын
Huyo sio mchungaji nimganga huyo
@laittamnisi98025 жыл бұрын
uzalo wow
@yayesalim17145 жыл бұрын
hio ni Adhabu ya Allah yuaidhalilisha dini
@tylerlizz28155 жыл бұрын
Wat is Allah now,,, only God is a living testimony
@zamzamifra77695 жыл бұрын
wema weka moyo yako kwa mungu si kwa mtu hiyo mchungaji ni binadamu kama we so acha kuogopa
@عايشهااا-ع2ه5 жыл бұрын
Subhanallah
@nasrayahaya86985 жыл бұрын
huo upumbavu kama kufa si afeee
@theresiasingano44845 жыл бұрын
Get well soon my dear
@marykangai44275 жыл бұрын
Pole Sana wema mungu hako nawewe ni m. K from Kenya
@rukiachaula47615 жыл бұрын
kaz ya uchungaji aikufai.anza kuuza karang
@aidansichalwe835 жыл бұрын
daaah rafk kipenzi mrudie mungu wako mama
@josephjohn80195 жыл бұрын
wema quick recovery..
@lizzynkanabalaaasan62465 жыл бұрын
pole dada utapona tu mungu ndio kila kitu
@laymapeace45385 жыл бұрын
mchungaji msenge sana wewe
@saidasaidisaida92305 жыл бұрын
Pole sana dadangu nimitihani lkn mungu yuko pamoja na ww usijali yataisha
@gloryvicent8135 жыл бұрын
Mungu atambadilisha
@uwamahoroemanneul45275 жыл бұрын
Pole wema utapona
@تكراانزانيا5 жыл бұрын
Pesa zako zote zitakuwa zinaishia mahakamani kila sk sjawahi ona mtoto wa kiislam anae fanya uchafu hadharan huo ustaa ndo unakuchanganya
@aboutuppa22875 жыл бұрын
Omba mungu akupende ila asikupende zaid
@yaelvictor58095 жыл бұрын
Jamani bila wema hamna habari? Media mna bore
@mariamali12445 жыл бұрын
Wakati Wa manabii umekwisha asipotoshe watu wema amekosa na amekiri nahakika mungu atamsameha 7+70
@fauziakassim3235 жыл бұрын
Jamani rudi kwa Allah ww dada dah mitihan
@uwekezajitzno15 жыл бұрын
Habar njema kwa wote wanao sumbuliwa na chunus sugu mikunjo yangoz naweus makwapan nasehem yoyote
@janesarah67115 жыл бұрын
Sasa Hiyo repot ya hali mbaya mbona huja sema we wataka na viewers na ma subscribers na ma comments 😡😡😡🥵👎👎👎
@mwatimaali19325 жыл бұрын
Pole sanaa wema mungu atakup afya njema usikate tamaaa by unguja
@colethalilungulu87475 жыл бұрын
Maputo tu hayo
@birungihalimabigupguys14035 жыл бұрын
We still love you more than Allah is great
@zainabbahri45745 жыл бұрын
🤨🤨🤨
@ndaukanjello52745 жыл бұрын
Mungu yu pamoja nanyi.
@margaretostwald69755 жыл бұрын
Armen. Mungu amlinde wema. Bado tunampenda sana!
@machubaby23285 жыл бұрын
Mchungaji hana ata aibu anaongopa peupe
@firdausabdullah63155 жыл бұрын
Heri ufe na dini yako ya uislam kuliko huyo mchungaji halafu huyo pester akutaka aleteposa ila njia.haioni mbinja hizo.ataka Kia future hasband hukumbuka paster
@zainabuhmbabazi49285 жыл бұрын
Dini ya uislam si yawakosefu wa adabu samahani mwace akutane na Mungu wake
@nadimmebu90915 жыл бұрын
Bado aubili ana ongea vitu va kipumbavu
@Dallas3045 жыл бұрын
muislam akaombewa kanisani?
@zainabuhmbabazi49285 жыл бұрын
Iyo ni adhabu dunia na angoje adhabulqaburi
@shufaamasika59095 жыл бұрын
rudi kwenye dini dada.
@nzaromshana35805 жыл бұрын
W
@mahrooqsuleiman72165 жыл бұрын
Ntumie namba ya wema
@amosimushi27515 жыл бұрын
A uyomalaya anatuhusunin ataukinipabure uyo pasta kashalalanay
@ramadhanenzimbali1685 жыл бұрын
amosi mushi duu
@khadijanyoni24575 жыл бұрын
Msitutuchoshe na kubwa jinga kama ili lisilo kuwa na akili
@haithamabdalla39605 жыл бұрын
Muachen wema wng jmn mungu anamsaidie uyo
@denisylukosy5 жыл бұрын
Khadija Nyoni .
@agnessevarist4995 жыл бұрын
wasoma comment wenzangu mpoooo?!!!
@romanregend26115 жыл бұрын
This is not fair to wema sepetu
@rashidmasoud40835 жыл бұрын
pole dawema
@sharifamfaume40835 жыл бұрын
nanyie mnaotoa pole hamjitambui maana iko wazi kabisa humwi niuwongo sasa uyo mchungaji au maadili katumwa pumbavu zake afe tuone laana tu fyuuuuuuuuu
@nacyluizer37345 жыл бұрын
Yaan kanikera San huyo mchungaji mie sijui njaa inamsumbua
@beatricepaul69345 жыл бұрын
Kama wewe ni mwema au mtakatifu basi ubarikiwe
@zainabbahri45745 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@merrimerri7995 жыл бұрын
kwahyo alimlazimishwa kumpiga mabusu
@bettymsani97375 жыл бұрын
ET lile denda lakulazimishwa jaman wema alitaka mwenyew
@ayshaaysha96505 жыл бұрын
MY DEAR USIJE KUBADILI DINI ETI KWAKUDANGANYWA N.A. WATU KUWA KUOKOKA NDIO SULUHISHO UKAIYACHA DINI YA KHAKI ETI KUOKOKA NDIO SUHULISHO
@makasittt165 жыл бұрын
Yote kuminambili wema wewe n muisilamu msukumizie yote allah atakusaidia
@everlynemutuku46845 жыл бұрын
ghai jamani!! eti usipo muombea atakufa????? jamani!! Oh Lord ave mercy!!!!!!🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Joze-ko9he5 жыл бұрын
Nenda zako. Ni wema alopost alinyonywa midomo hamkumuona loooo ni yeye mwenyewe kabisa ni yeye. Yende zake
@regnandikivinge53265 жыл бұрын
Chungaji hilo halina lolote, linatafuta kiki Kama sio kumpenda wema
@yustinasebastiani9725 жыл бұрын
mungu atakusaidia utapona
@celinemakokha69155 жыл бұрын
Wema I still love you na natarajia tuzo Tz sweet hat
@alimwamasumbo75355 жыл бұрын
Ma pastor nao pia wanatafuta kiki duh wa tz mna mambo,,ucjaribu kuingia church,,tafuta mashee wewe mtoto wa kiislamu eti,,,!!!!
@silazimaunijuwesilazima10515 жыл бұрын
Hata akiingia ni sawa kwani wema ana uislam gani ? Mlevi ni yy mtembea uchi ni yy hana haya mzinifu ni yy yuko sawa na wanaoingia kanisani sioni tafauti nao hana swala wala nn shenz huyu
@alimwamasumbo75355 жыл бұрын
Kweli lakini hapo umegonga ndipo hatuwezi mtetea huyu mshenzi kweli,,uchafu anaoufanya ni sawa asilimishwe tena tu coz hakuna tofauti na kafiri
@silazimaunijuwesilazima10515 жыл бұрын
Kabisaa kaka anauaibisha uislam mshenzi huyu sana
@alimwamasumbo75355 жыл бұрын
Yap
@mariakayuni57825 жыл бұрын
Nyooo uyo wenu tuuu looo eti hanatofauti na wanao enda kanisani kunakanisa gan latetea ujinga
@christabella57365 жыл бұрын
Dhaaaaaaaaaaa
@zakiazakia42745 жыл бұрын
Kwel lkn
@aristidimassawe98705 жыл бұрын
Usimhukumu mtu kwa matendo yake mwenyewe hujijui umemnyooshea wema kidole kimoja vitatu vinakurudia. Jitambue usie lazima ujulikane
@silazimaunijuwesilazima10515 жыл бұрын
Hana uislamu wema mlevi mbwa ni yy mzinifu mkubwa mtembea uchi ni yy hana kumsujudia mola wake yy pombe tu ndio lake kubwa
@hyungtae3185 жыл бұрын
Pombe na bangi
@malkiabintmfalme86825 жыл бұрын
Unaonekana wewe ni mkamilifu sanaeee
@nduwimanafatma99485 жыл бұрын
Usumuhukum mwenzio kwakuwa haujuwi mwishowe niwapi kwan allah ndio anaeongoza mtu usioni mwanzo mbaya allah anaweza akampa mwisho mwema na ww unajiona uk perfect ukawa na mwisho sio mzuri kwaiy muachie allah ndio anaejuwa zaid
@tiffahbby36975 жыл бұрын
@@nduwimanafatma9948 swadaqta ndugu yangu mie nawashangaa sana
@silazimaunijuwesilazima10515 жыл бұрын
Hatujamuhukumu ajihukumu yy mwenyewe kwa vitendo vyake vichafu vinavomuudhi Allah pakubwa
@qulthumameir74805 жыл бұрын
kwani wema asife yee nani ? simuombei mauti muislam mwenzangu but kufa ni haki ikiwa wamekufa mitume wa Mungu bsa wema yee nani ? na afe maana ht mama na baba yng hawapo na watoto zng nishazika wawili so who's wema by da way ?
@qulthumameir74805 жыл бұрын
@@shafyamiry6236 umeona enh
@rizikimwambusi40415 жыл бұрын
Wewe ni mwislamu Kweli, unatakiwa umuombee Sio kumuhukumu mtu. Hakuna a ajuae kesho.i awezekana hiyo fimbo nayosema inaweza ikawa ndio njia ya kurudi kwa mungu wake muhimu ni kumuombea. Ukamilifu ni WA mungu pekee