MJENGO ANAOISHI WEMA SEPETU mbagala SIO WA KITOTO/MAJIRANI ZAKE WAMWAGA UBUYU

  Рет қаралды 381,305

SYLI CLASSIC TV

SYLI CLASSIC TV

Күн бұрын

#wemasepetu

Пікірлер: 164
@nassramohammed5374
@nassramohammed5374 3 жыл бұрын
Mashallah hongera yake wema nyumba nzuri mno🔥🔥🥰🥰🤜🤜
@salhaadam349
@salhaadam349 3 жыл бұрын
Ppppp
@anjelamwashiuya6538
@anjelamwashiuya6538 3 жыл бұрын
Nyumba nzuri dada
@astridamahundi5082
@astridamahundi5082 3 жыл бұрын
Honger dad nyumb HK vzr
@alineumutoni9921
@alineumutoni9921 3 жыл бұрын
Jamani kama anakodi haina shida ipo siku atanunua au ajenge ya kwake tu love you my wema sepetu from Rwanda
@molelly1803
@molelly1803 3 жыл бұрын
Yake au kiki tu
@Patrickpatrick353
@Patrickpatrick353 3 жыл бұрын
Pole Sana umenifulahisha ✓✓Mjegejo tena😄😄😄
@augustusrwabuyongo1886
@augustusrwabuyongo1886 3 жыл бұрын
Nyumba nzuri
@khadijakamus2850
@khadijakamus2850 3 жыл бұрын
Mashallah Allah amzididhia ile muache umbea mwacheni kumsema wema wa watu
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 3 жыл бұрын
Amina
@angelraymond8
@angelraymond8 3 жыл бұрын
Amen Mungu hana choyo
@happynelson5856
@happynelson5856 3 жыл бұрын
Mbona kuna watu matajiri Ulaya wameuza nyumba zao wamehamia kwenye flat za kupanga sabatu kutunza nyumba Ulaya ni kazi ngumu sana Ulaya kitu kikiharibika unatengeneza mwenyewe lakini kupanga kwenye flat kitu kikiharibika unatengenezewa bure
@mohamedimtinga7391
@mohamedimtinga7391 3 жыл бұрын
Ongela sana dada wema
@mwajumaselemani4126
@mwajumaselemani4126 2 жыл бұрын
Naomba.kazi.wema.ninashida..naomba.unisaidie.
@hadijarajabu7306
@hadijarajabu7306 2 жыл бұрын
Mashaallah ilove you dada ake ongera sana
@danielkioge2274
@danielkioge2274 3 жыл бұрын
Wema anakiri sana mana. Masada wengu awajitambui uwezi kumlinganisha na wema
@shaniamwarabu4618
@shaniamwarabu4618 3 жыл бұрын
Dah yuko poa wema nakupenda waja unawajibu kwavitendo
@kishepuonlinetv
@kishepuonlinetv 3 жыл бұрын
Mm naomba unitafute unipeleke kwa wema nampenda tu
@neemaelisha7689
@neemaelisha7689 3 жыл бұрын
Hongera sana dada angu kwa mjengo mzur sana
@surujajwie4768
@surujajwie4768 3 жыл бұрын
mmezidi ubeya 😀😀honger sweetheart TZ 😘😘
@kingveveadmire8412
@kingveveadmire8412 3 жыл бұрын
Kajitahidi hatakama kapanga kwakuwa anauwezo wakulipakodi good sana
@LinaMariange-vc4ym
@LinaMariange-vc4ym Жыл бұрын
waoo my dear hongera cn mami
@barakasaimon2396
@barakasaimon2396 3 жыл бұрын
Nyumba nzuri sana brother
@ruffinsafari4847
@ruffinsafari4847 3 жыл бұрын
Wema you are the best my sis♥️♥️♥️♥️
@witnessmsokwe9241
@witnessmsokwe9241 3 жыл бұрын
Hata kama kapanga pia hongera amepanga nyumba nzuri
@suzyemmanuel6030
@suzyemmanuel6030 2 жыл бұрын
Hyo ni nyumba yake alinunua hapo shamba natulionyeshwa hakupanga hapo huo ni mjengo wake jaman
@fatmamakwinja4551
@fatmamakwinja4551 3 жыл бұрын
Mh hemu mie nisitoe sir za watu bora niendelee kukaa kmy duh ila nashindwa wema dada angu utapanga mpaka lini mh bora nisiseme sana watu mnadanganywa sana na hao wasanii
@aishakatandula3124
@aishakatandula3124 3 жыл бұрын
Mashallah hongera wema.
@ezekieljetam8947
@ezekieljetam8947 2 жыл бұрын
Hongera yake kwa status alio nayo inakuwa haipendezi kuishi kwenye nyumba za kupanga
@jafarfarhan7749
@jafarfarhan7749 3 жыл бұрын
Kumbe kupanga
@janethedward5381
@janethedward5381 2 жыл бұрын
Km kajenga Mungu am,bariki ila km anapanga daaah sio pw ufahari wakipumbavu maana umri aurudi nyuma
@husnaharuna1662
@husnaharuna1662 3 жыл бұрын
ongela😅
@marcelinkalambaybavon8492
@marcelinkalambaybavon8492 3 жыл бұрын
Nice house
@mukaipeter2186
@mukaipeter2186 2 жыл бұрын
Mbarikiwa Sana wema mungu
@tabumpate9762
@tabumpate9762 3 жыл бұрын
Mashallah.
@linetmokua6604
@linetmokua6604 3 жыл бұрын
Gai wema congrates wenye wivu wajinyonge,wewe ni bidii yako hujanunuliwa na mwanaume mwingine kama Zari.
@pamelaemmy8180
@pamelaemmy8180 3 жыл бұрын
Yani wewe ni senge kweli uwezi koment bila zari usinifananishe zari na wema
@emilychichi7517
@emilychichi7517 3 жыл бұрын
hapo nakunga mkono😅
@رحمهتنزانيا
@رحمهتنزانيا 3 жыл бұрын
@@pamelaemmy8180 zar ana nini mbaka asifananishwe
@sofiasuleiman8474
@sofiasuleiman8474 3 жыл бұрын
Kapanga bhana jiran yangu huku kijichi nyoo sio yake
@gainamwatiamwa3282
@gainamwatiamwa3282 3 жыл бұрын
Jmn kwetu huku
@AshaJuma-k5j
@AshaJuma-k5j 3 ай бұрын
Ongers sepetu mjengo sio wa kitoto
@simonmdune9066
@simonmdune9066 3 жыл бұрын
Mnakazi kweli nyie wtz aiseee duh !🤣😂yaaani ukiwa napesa lazima utembelewe nyumbani
@mwanahamisiaujen803
@mwanahamisiaujen803 3 жыл бұрын
Njaa
@athmanmwanaisha4559
@athmanmwanaisha4559 3 жыл бұрын
Wema Sana wema Nakupenda
@AshaJuma-k5j
@AshaJuma-k5j 3 ай бұрын
Weema naomba unisaidie kias Cha pesa inikidhi maitaji nijenge kibanda
@carepayscanner9564
@carepayscanner9564 9 ай бұрын
Sio vyema kuweka nyumba ya mtu kwenye mitandao bila yeye kukuba kibali hapa kwetu kenya 🇰🇪 👌 🤣
@mamuwatanga8566
@mamuwatanga8566 3 жыл бұрын
Hongera dada wema
@jamilasadiki5581
@jamilasadiki5581 2 жыл бұрын
Nanikwel wanamuongerea vibay sana wema eti ananyumba
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 жыл бұрын
Ma ashaallah,wema good work,🇰🇪
@yytfhh6247
@yytfhh6247 3 жыл бұрын
pazuli kbs💯🇹🇿
@ahmeddhinho5909
@ahmeddhinho5909 3 жыл бұрын
Kwni unautaka umarufu piyA we
@faridasalum2019
@faridasalum2019 3 жыл бұрын
Nyumba kaburi tu ila linahitaji maandalizi ukifuzu peponi na ukifeli motoni allah atujalie makuburi yetu yawe miongoni mwa nyumba za peponi" mhhhhh pumzi mtihani tumelewa na dunia
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 3 жыл бұрын
kbs my
@mercypeter162
@mercypeter162 3 жыл бұрын
Tangu waanze kua master ingekua viziri kama ni nyumba yake. Sijui kwanini hawajengi
@annakimwasi7569
@annakimwasi7569 2 жыл бұрын
Nyumba nzur
@mercypeter162
@mercypeter162 2 жыл бұрын
@@annakimwasi7569 ingekua yake angemejenga ingependa. Ya kupanga usifie nzuri wasanii ni watu wa ajabu sana
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 7 ай бұрын
Anaishi au kwake
@lillianmwamwiri1151
@lillianmwamwiri1151 3 жыл бұрын
Good job!
@ireraaudrine2516
@ireraaudrine2516 3 жыл бұрын
Mnaumbea sana
@vannyboy3184
@vannyboy3184 3 жыл бұрын
WEMA UKO POWA MAMA NAKUKUBARRRRI
@godymussa1919
@godymussa1919 3 жыл бұрын
Goood house
@joycemlangale2654
@joycemlangale2654 3 жыл бұрын
Duuu mungu akusimamie msimamo ndo jambo La msingi
@bahatimustafa2585
@bahatimustafa2585 3 жыл бұрын
Mmh sio kwa mjeng huo wa. Sepetu
@rajabkiti896
@rajabkiti896 2 жыл бұрын
Mis.wema geto limetulia
@tatumashauri3891
@tatumashauri3891 3 жыл бұрын
Wadishi wa habari wa tanzania wanaogoza kwa umbea
@husseinhassan7208
@husseinhassan7208 3 жыл бұрын
Huyu mtangazaji au muigizaji disco limeingia mmasai Nani ameskia jamaaa akisema amezoea kuonekana ofisini tujuane
@abedyomary2453
@abedyomary2453 3 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@yamkikorofi1812
@yamkikorofi1812 3 жыл бұрын
Hujambo
@yamkikorofi1812
@yamkikorofi1812 3 жыл бұрын
Sijambo
@mamafatu7054
@mamafatu7054 3 жыл бұрын
Nymba nzur hongera sana!!
@omarymdegela867
@omarymdegela867 3 жыл бұрын
Ikopoa
@felistetcharles2009
@felistetcharles2009 2 жыл бұрын
Waoo
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 3 жыл бұрын
Ndio maana wakifa nikuchangiwa. Tuambie nyumba aliojenga wema.
@suzyemmanuel6030
@suzyemmanuel6030 2 жыл бұрын
Hyo ndo nyumba yake og hajapanga jmn kama ukafatilia post zake alinunuaga shamba hapo ndo kajenga huo mjengo
@maryjohn2161
@maryjohn2161 Жыл бұрын
❤❤🎉
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 2 жыл бұрын
Sio nyumba yake wema hio! Na hata kama ingekuwa ya kwake, Hio ni nyumba ya kawaida sana! Hata za huku gongo la mboto zinaizidi mbali! Bora hata asiwafungulie, Mna mambo ya ajabu sana! Nyumba ya 5 milioni tano ndo mkamtangaze mtoto wawatu!
@pendoyese4452
@pendoyese4452 2 жыл бұрын
Nyumba ya milioni tano acha dharau wewe ujui garama ya ujenzi wewe
@mumspencernleah8037
@mumspencernleah8037 3 жыл бұрын
Mlinshamba wema mkisema eti amefilicka.... but hamjui wait the behind
@crimildoatanasioernestoern9336
@crimildoatanasioernestoern9336 3 жыл бұрын
Má ashaaalah dada nyumba zuri
@mashaallhmkonokwakwamkonog4845
@mashaallhmkonokwakwamkonog4845 3 жыл бұрын
Mashaallah
@hadijajibaba2061
@hadijajibaba2061 3 жыл бұрын
Mi naimba naomba kampani yake
@annkamolo2106
@annkamolo2106 3 жыл бұрын
HEWALA ALWAYS MY ROLE MODEL
@janethmkude2397
@janethmkude2397 3 жыл бұрын
Hongera wema
@jacksnomolle3802
@jacksnomolle3802 3 жыл бұрын
Mambo
@pilitumba9090
@pilitumba9090 3 жыл бұрын
Kama yake ok na kama si yake na afanye ajenge yake ndo maisha ya mjini
@zamdabkr-278
@zamdabkr-278 Жыл бұрын
shilole
@adamakyoo3003
@adamakyoo3003 3 жыл бұрын
Mtangazaji unazingua
@ronnykid1484
@ronnykid1484 3 жыл бұрын
❤❤❤
@felixjulian8207
@felixjulian8207 3 жыл бұрын
Noma sana
@abduljaffar502
@abduljaffar502 3 жыл бұрын
Wema nyumba nzur xn ila shepu yako mbn imeondoka ss
@saidingabunjwa1167
@saidingabunjwa1167 3 жыл бұрын
Anatumia uridhi wa bibi vizuri😀😁😂
@تبيعهجوسيف
@تبيعهجوسيف 3 жыл бұрын
Si mlisema kahamia mbagala
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 3 жыл бұрын
Soo nyumba yake
@kenethpoul9169
@kenethpoul9169 3 жыл бұрын
Kuixhi nyumba nzuli ainamana watoto ndodili mjini
@ashakandenya9744
@ashakandenya9744 3 жыл бұрын
Kuzaa majaaliwa
@amynahally6762
@amynahally6762 3 жыл бұрын
Mashallaah
@deejaynahramadhani7484
@deejaynahramadhani7484 3 жыл бұрын
Mungu akusaidy inshallah
@naomikadenge2319
@naomikadenge2319 3 жыл бұрын
wema umefanya kazi mda mrefu mbona usijenge nyumba yako utabaki kupanga mpka lini
@emilychichi7517
@emilychichi7517 3 жыл бұрын
wema amechenga nakumbuka vizuri akionyesha
@mwajumaomar3648
@mwajumaomar3648 3 жыл бұрын
Ilakweli amekaa kwenyegemu kitambo sijui wanakwama wapi
@paschaziamathias5090
@paschaziamathias5090 3 жыл бұрын
Hogera dada wema,mungu aendelee kuwa nawe
@sophiajuliuss8333
@sophiajuliuss8333 3 жыл бұрын
Iyo nyumba yakwake au amepangaa
@janeisrael3474
@janeisrael3474 3 жыл бұрын
Hiyo nyumba niyakwake jamani Wala hajapanga ameinunua
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 3 жыл бұрын
UMBEA TUU HATA LA KUULIZA HUNA
@sumol9586
@sumol9586 3 жыл бұрын
Mashallah
@marionraphael2191
@marionraphael2191 3 жыл бұрын
Dah sisi wadaku tutajuaje niyake ama kakodi?🙄🙄🙄
@brendahnyerere2190
@brendahnyerere2190 3 жыл бұрын
Umewafuga mendomo ulikusema sana 🇰🇪
@janekanuti803
@janekanuti803 3 жыл бұрын
Haushia kukodi nyumba tu
@zuwenahamis1494
@zuwenahamis1494 3 жыл бұрын
Mpz unajialibu bwana uzuli wako umeondka usijipunguze sana
@mkatunzikabelinde2382
@mkatunzikabelinde2382 3 жыл бұрын
We nikuma tu
@jacobclavelly5273
@jacobclavelly5273 3 жыл бұрын
Mwenye wivu ajinyonge
@Monelaa
@Monelaa 3 жыл бұрын
Safi
@williamrichard8479
@williamrichard8479 3 жыл бұрын
Inapendeza hongera zako wema
@georgebongi4844
@georgebongi4844 2 жыл бұрын
Wattu wengine ovyo kabisa. Nyumba ni yake au kapanga yanahusu nini Si anaishi au vipi
@pillyolsen8377
@pillyolsen8377 3 жыл бұрын
Ndugu zangu mnampongeza kwenye Nyumba ya kupanga ustaa wake wote huu mikaaa yoye hiyo amesshindwa kujega ata nyumba yake anaishia kupanga pole yake 3😜😝😝 akili ni nyule kila mtu anazake
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 3 жыл бұрын
Unauhakika sio yaje?
@khadijadula1873
@khadijadula1873 3 жыл бұрын
Wama wacha kujifaharisha duniani he kwa mungu uko na hisabu gani
@asiaismail1907
@asiaismail1907 3 жыл бұрын
Vikunai si mgeni nani mbele huko
@johanessmwitamwita1723
@johanessmwitamwita1723 3 жыл бұрын
Mmmmmmh jamn mbona hyo nyumba ya kawaida Sana
@sauliaugustin2966
@sauliaugustin2966 3 жыл бұрын
Kama yakawaida Jenga yako tuione
@maryomogo3208
@maryomogo3208 3 жыл бұрын
Why do you post a failed interview....
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 3 жыл бұрын
Msitudanganye. Hiyo Nyumba Wema alipanga maeneo mengine. Sasa anaishi Kijichi Uswahilini. Hizo ni saga tu. Wema haishi hapo. Tulishaonyeshwa Nyumba anayoishi. Wema siamini kama amejenga. Hizi ndo Channel za kufungiwa, zinatoa habari za uongo.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Unakujua kijichi wewe? nenda kaone mijengo huko!!
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 Kijichi naijua vizuri mno. Kijichi ina sehemu mbili, moja wanaishi wenye nazo na maeneo mengine wanaishi akina Wema Sepetu na wengine ni Kijichi Uswahilini. Hiyo Nyumba iliyoonyeshwa sio anayoushi Wema, hilo ulijue.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
@@kessynurutajiri4940sasa kwani wema kuishi kwa wenye nazo hawezi?
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674Kwa sasa uchumi wa Wema umeshuka, hawezi. Hapo mwanzo Wema alikuwa anaishi maeneo yenye hadhi zaidi na si Mbagala Kijichi.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
@@kessynurutajiri4940 hahahaa,,,,,,,,,,,,!!!
@ramadhanmnyomoka5643
@ramadhanmnyomoka5643 3 жыл бұрын
Mtangazaj unazingua iyo nyumba sio yakwake ndo Mana ajafuriwa
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 3 жыл бұрын
Kajenga saa ngapi,?hamumjui hapo nikupanga sio yake analipa kodi kwa kwenda mbele nyumba ya sinza mlisema yake
@pamelaemmy8180
@pamelaemmy8180 3 жыл бұрын
Siyo sinza tu hadi pale kwa kopa walisema yake
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 3 жыл бұрын
Kajenga hutaki?
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 3 жыл бұрын
Sitaki kwa herufi kubwa unalingine?
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 3 жыл бұрын
@@caashamacalini3887 endelea kuishi na mambo ya miaka ishirini iliyopita ndio hivyo anaishi kwake endelea kufura ukiwa na hela unajenga kwa mwezi tu biashara kushney.
@sophiamacdonald2711
@sophiamacdonald2711 3 жыл бұрын
Tafuta wema kapata mtu mwingne 🤣🤣🤣
@abubakaranzuruni2093
@abubakaranzuruni2093 3 жыл бұрын
Kwani mjengo so wake
@abissafaouzane6853
@abissafaouzane6853 3 жыл бұрын
Je in
@kimsamir965
@kimsamir965 3 жыл бұрын
Ujinga mtupu ndio nini sasa shuwain
@midimao4199
@midimao4199 3 жыл бұрын
nyumba kali
@antonymangu3458
@antonymangu3458 3 жыл бұрын
Life is hard here don't try lie Africans come and experience what am talking about
@fredymachaba223
@fredymachaba223 3 жыл бұрын
Hii Wema ameanza kujenga lin kama sio uwongo mtupu
@zainabmakame1181
@zainabmakame1181 3 жыл бұрын
Kma ni yke kwnn akatae kufungua mlango
@gracesiwale7066
@gracesiwale7066 3 жыл бұрын
Mm nikajua yake kumbe niyakupanga
@salimamalongo8832
@salimamalongo8832 3 жыл бұрын
Mdaku
@fatumamtungi1057
@fatumamtungi1057 3 жыл бұрын
Mashaallhaaaaa
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 3 жыл бұрын
Sio nyumba yake
@sauliaugustin2966
@sauliaugustin2966 3 жыл бұрын
Sio yake yako wewe au
Cook with Wema Sepetu S03E08 Whozu & Tunda
8:10
Wema Sepetu
Рет қаралды 710 М.
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
Послезавтра
Рет қаралды 2 МЛН
Their Boat Engine Fell Off
0:13
Newsflare
Рет қаралды 15 МЛН
Mpaka Home MAISHA YA RAYVANNY NA JUMBA LEKE LA KIFAHARI UTAPENDA
10:32