Mashallah hongera yake wema nyumba nzuri mno🔥🔥🥰🥰🤜🤜
@salhaadam3492 жыл бұрын
Ppppp
@alineumutoni99213 жыл бұрын
Jamani kama anakodi haina shida ipo siku atanunua au ajenge ya kwake tu love you my wema sepetu from Rwanda
@molelly18032 жыл бұрын
Yake au kiki tu
@hadijarajabu73062 жыл бұрын
Mashaallah ilove you dada ake ongera sana
@astridamahundi50823 жыл бұрын
Honger dad nyumb HK vzr
@augustusrwabuyongo18862 жыл бұрын
Nyumba nzuri
@Patrickpatrick3533 жыл бұрын
Pole Sana umenifulahisha ✓✓Mjegejo tena😄😄😄
@fatmamakwinja45512 жыл бұрын
Mh hemu mie nisitoe sir za watu bora niendelee kukaa kmy duh ila nashindwa wema dada angu utapanga mpaka lini mh bora nisiseme sana watu mnadanganywa sana na hao wasanii
@happynelson58563 жыл бұрын
Mbona kuna watu matajiri Ulaya wameuza nyumba zao wamehamia kwenye flat za kupanga sabatu kutunza nyumba Ulaya ni kazi ngumu sana Ulaya kitu kikiharibika unatengeneza mwenyewe lakini kupanga kwenye flat kitu kikiharibika unatengenezewa bure
@mohamedimtinga73913 жыл бұрын
Ongela sana dada wema
@khadijakamus28503 жыл бұрын
Mashallah Allah amzididhia ile muache umbea mwacheni kumsema wema wa watu
@wennceslausmushi23563 жыл бұрын
Amina
@angelraymond83 жыл бұрын
Amen Mungu hana choyo
@mwajumaselemani41262 жыл бұрын
Naomba.kazi.wema.ninashida..naomba.unisaidie.
@ruffinsafari48473 жыл бұрын
Wema you are the best my sis♥️♥️♥️♥️
@danielkioge22743 жыл бұрын
Wema anakiri sana mana. Masada wengu awajitambui uwezi kumlinganisha na wema
@LinaMariange-vc4ym Жыл бұрын
waoo my dear hongera cn mami
@janethedward53812 жыл бұрын
Km kajenga Mungu am,bariki ila km anapanga daaah sio pw ufahari wakipumbavu maana umri aurudi nyuma
@jafarfarhan77492 жыл бұрын
Kumbe kupanga
@tabumpate97623 жыл бұрын
Mashallah.
@ezekieljetam89472 жыл бұрын
Hongera yake kwa status alio nayo inakuwa haipendezi kuishi kwenye nyumba za kupanga
Nyumba kaburi tu ila linahitaji maandalizi ukifuzu peponi na ukifeli motoni allah atujalie makuburi yetu yawe miongoni mwa nyumba za peponi" mhhhhh pumzi mtihani tumelewa na dunia
@naimamunishi12413 жыл бұрын
kbs my
@ireraaudrine25163 жыл бұрын
Mnaumbea sana
@maryjohn2161 Жыл бұрын
❤❤🎉
@tatumashauri38913 жыл бұрын
Wadishi wa habari wa tanzania wanaogoza kwa umbea
@maimunaabdalla71463 жыл бұрын
Ma ashaallah,wema good work,🇰🇪
@yytfhh62473 жыл бұрын
pazuli kbs💯🇹🇿
@ahmeddhinho59093 жыл бұрын
Kwni unautaka umarufu piyA we
@AshaJuma-k5j11 күн бұрын
Ongers sepetu mjengo sio wa kitoto
@mukaipeter21862 жыл бұрын
Mbarikiwa Sana wema mungu
@mercypeter1622 жыл бұрын
Tangu waanze kua master ingekua viziri kama ni nyumba yake. Sijui kwanini hawajengi
@annakimwasi75692 жыл бұрын
Nyumba nzur
@mercypeter1622 жыл бұрын
@@annakimwasi7569 ingekua yake angemejenga ingependa. Ya kupanga usifie nzuri wasanii ni watu wa ajabu sana
@surujajwie47683 жыл бұрын
mmezidi ubeya 😀😀honger sweetheart TZ 😘😘
@kingveveadmire84123 жыл бұрын
Kajitahidi hatakama kapanga kwakuwa anauwezo wakulipakodi good sana
@vannyboy31843 жыл бұрын
WEMA UKO POWA MAMA NAKUKUBARRRRI
@bakariomari24omar213 жыл бұрын
Ndio maana wakifa nikuchangiwa. Tuambie nyumba aliojenga wema.
@suzyemmanuel60302 жыл бұрын
Hyo ndo nyumba yake og hajapanga jmn kama ukafatilia post zake alinunuaga shamba hapo ndo kajenga huo mjengo
@athmanmwanaisha45593 жыл бұрын
Wema Sana wema Nakupenda
@carepayscanner95645 ай бұрын
Sio vyema kuweka nyumba ya mtu kwenye mitandao bila yeye kukuba kibali hapa kwetu kenya 🇰🇪 👌 🤣
@felistetcharles2009 Жыл бұрын
Waoo
@omarymdegela8673 жыл бұрын
Ikopoa
@lillianmwamwiri11513 жыл бұрын
Good job!
@godymussa19193 жыл бұрын
Goood house
@naomikadenge23193 жыл бұрын
wema umefanya kazi mda mrefu mbona usijenge nyumba yako utabaki kupanga mpka lini
Huyu mtangazaji au muigizaji disco limeingia mmasai Nani ameskia jamaaa akisema amezoea kuonekana ofisini tujuane
@abedyomary24533 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@yamkikorofi18123 жыл бұрын
Hujambo
@yamkikorofi18123 жыл бұрын
Sijambo
@mamafatu70543 жыл бұрын
Nymba nzur hongera sana!!
@joycemlangale26543 жыл бұрын
Duuu mungu akusimamie msimamo ndo jambo La msingi
@AmerdaKavishe-pu3cf4 ай бұрын
Anaishi au kwake
@rajabkiti8962 жыл бұрын
Mis.wema geto limetulia
@mamuwatanga85663 жыл бұрын
Hongera dada wema
@jamilasadiki55812 жыл бұрын
Nanikwel wanamuongerea vibay sana wema eti ananyumba
@mumspencernleah80373 жыл бұрын
Mlinshamba wema mkisema eti amefilicka.... but hamjui wait the behind
@annkamolo21063 жыл бұрын
HEWALA ALWAYS MY ROLE MODEL
@danieljoseph16102 жыл бұрын
Sio nyumba yake wema hio! Na hata kama ingekuwa ya kwake, Hio ni nyumba ya kawaida sana! Hata za huku gongo la mboto zinaizidi mbali! Bora hata asiwafungulie, Mna mambo ya ajabu sana! Nyumba ya 5 milioni tano ndo mkamtangaze mtoto wawatu!
@pendoyese44522 жыл бұрын
Nyumba ya milioni tano acha dharau wewe ujui garama ya ujenzi wewe
@bahatimustafa25853 жыл бұрын
Mmh sio kwa mjeng huo wa. Sepetu
@mashaallhmkonokwakwamkonog48453 жыл бұрын
Mashaallah
@husnaharuna16623 жыл бұрын
ongela😅
@ronnykid14842 жыл бұрын
❤❤❤
@marionraphael21913 жыл бұрын
Dah sisi wadaku tutajuaje niyake ama kakodi?🙄🙄🙄
@تبيعهجوسيف3 жыл бұрын
Si mlisema kahamia mbagala
@amynahally67623 жыл бұрын
Mashallah
@abduljaffar5023 жыл бұрын
Wema nyumba nzur xn ila shepu yako mbn imeondoka ss
@lovenessbanda53613 жыл бұрын
Safi
@pilitumba90903 жыл бұрын
Kama yake ok na kama si yake na afanye ajenge yake ndo maisha ya mjini
@hadijajibaba20612 жыл бұрын
Mi naimba naomba kampani yake
@amynahally67623 жыл бұрын
Mashallaah
@kenethpoul91693 жыл бұрын
Kuixhi nyumba nzuli ainamana watoto ndodili mjini
@ashakandenya97443 жыл бұрын
Kuzaa majaaliwa
@deejaynahramadhani74843 жыл бұрын
Mungu akusaidy inshallah
@janethmkude23973 жыл бұрын
Hongera wema
@jacksnomolle38023 жыл бұрын
Mambo
@brendahnyerere21903 жыл бұрын
Umewafuga mendomo ulikusema sana 🇰🇪
@paschaziamathias50902 жыл бұрын
Hogera dada wema,mungu aendelee kuwa nawe
@bimumaulid11713 жыл бұрын
UMBEA TUU HATA LA KUULIZA HUNA
@saidingabunjwa11673 жыл бұрын
Anatumia uridhi wa bibi vizuri😀😁😂
@adamakyoo30033 жыл бұрын
Mtangazaji unazingua
@constanciapeter24973 жыл бұрын
Soo nyumba yake
@zamdabkr-278 Жыл бұрын
shilole
@khadijadula18733 жыл бұрын
Wama wacha kujifaharisha duniani he kwa mungu uko na hisabu gani
@johanessmwitamwita17233 жыл бұрын
Mmmmmmh jamn mbona hyo nyumba ya kawaida Sana
@sauliaugustin29663 жыл бұрын
Kama yakawaida Jenga yako tuione
@crimildoatanasioernestoern93363 жыл бұрын
Má ashaaalah dada nyumba zuri
@ramadhanmnyomoka56433 жыл бұрын
Mtangazaj unazingua iyo nyumba sio yakwake ndo Mana ajafuriwa
@zuwenahamis14943 жыл бұрын
Mpz unajialibu bwana uzuli wako umeondka usijipunguze sana
@maryomogo32083 жыл бұрын
Why do you post a failed interview....
@felixjulian82073 жыл бұрын
Noma sana
@mkatunzikabelinde23823 жыл бұрын
We nikuma tu
@jacobclavelly52733 жыл бұрын
Mwenye wivu ajinyonge
@antonymangu34583 жыл бұрын
Life is hard here don't try lie Africans come and experience what am talking about
@fredymachaba2233 жыл бұрын
Hii Wema ameanza kujenga lin kama sio uwongo mtupu
@pillyolsen83773 жыл бұрын
Ndugu zangu mnampongeza kwenye Nyumba ya kupanga ustaa wake wote huu mikaaa yoye hiyo amesshindwa kujega ata nyumba yake anaishia kupanga pole yake 3😜😝😝 akili ni nyule kila mtu anazake
@wennceslausmushi23563 жыл бұрын
Unauhakika sio yaje?
@zainabmakame11813 жыл бұрын
Kma ni yke kwnn akatae kufungua mlango
@caashamacalini38873 жыл бұрын
Kajenga saa ngapi,?hamumjui hapo nikupanga sio yake analipa kodi kwa kwenda mbele nyumba ya sinza mlisema yake
@pamelaemmy81803 жыл бұрын
Siyo sinza tu hadi pale kwa kopa walisema yake
@wennceslausmushi23563 жыл бұрын
Kajenga hutaki?
@caashamacalini38873 жыл бұрын
Sitaki kwa herufi kubwa unalingine?
@wennceslausmushi23563 жыл бұрын
@@caashamacalini3887 endelea kuishi na mambo ya miaka ishirini iliyopita ndio hivyo anaishi kwake endelea kufura ukiwa na hela unajenga kwa mwezi tu biashara kushney.
@janekanuti8033 жыл бұрын
Haushia kukodi nyumba tu
@asiaismail19073 жыл бұрын
Vikunai si mgeni nani mbele huko
@fatumamtungi10573 жыл бұрын
Mashaallhaaaaa
@gracesiwale70663 жыл бұрын
Mm nikajua yake kumbe niyakupanga
@sophiamacdonald27113 жыл бұрын
Tafuta wema kapata mtu mwingne 🤣🤣🤣
@sophiajuliuss83333 жыл бұрын
Iyo nyumba yakwake au amepangaa
@janeisrael34743 жыл бұрын
Hiyo nyumba niyakwake jamani Wala hajapanga ameinunua
@kimsamir9653 жыл бұрын
Ujinga mtupu ndio nini sasa shuwain
@kessynurutajiri49403 жыл бұрын
Msitudanganye. Hiyo Nyumba Wema alipanga maeneo mengine. Sasa anaishi Kijichi Uswahilini. Hizo ni saga tu. Wema haishi hapo. Tulishaonyeshwa Nyumba anayoishi. Wema siamini kama amejenga. Hizi ndo Channel za kufungiwa, zinatoa habari za uongo.
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Unakujua kijichi wewe? nenda kaone mijengo huko!!
@kessynurutajiri49403 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 Kijichi naijua vizuri mno. Kijichi ina sehemu mbili, moja wanaishi wenye nazo na maeneo mengine wanaishi akina Wema Sepetu na wengine ni Kijichi Uswahilini. Hiyo Nyumba iliyoonyeshwa sio anayoushi Wema, hilo ulijue.
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@kessynurutajiri4940sasa kwani wema kuishi kwa wenye nazo hawezi?
@kessynurutajiri49403 жыл бұрын
@@jumakapilima5674Kwa sasa uchumi wa Wema umeshuka, hawezi. Hapo mwanzo Wema alikuwa anaishi maeneo yenye hadhi zaidi na si Mbagala Kijichi.