Matumizi Sahihi Ya Muda - Joel Nanauka

  Рет қаралды 89,203

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 297
@edsonlaurencemwagamasasi9074
@edsonlaurencemwagamasasi9074 5 жыл бұрын
Learning to say No....here is where my challenge is... and I need to work on it.... you know what Brother? Sometimes I fail to say no for avoiding what people will talk about me behind..... that I don't care... That I have no sympathy ... that I am not social oriented person... But for the purpose of 2019... today I have learned something... Learning to say no and value my time.... I think this will increase my potentiality... Thanks so much brother Joel... and May God bless you #See you at the top
@kulwaloketa6413
@kulwaloketa6413 5 жыл бұрын
Thankyou so much Nanauka,,Focus,, determination!!..
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
@@kulwaloketa6413 #SeeYouAtTheTop
@SunsetHunter4526
@SunsetHunter4526 5 жыл бұрын
Tatizo kubwa sana hili mkuuu
@ruthmoses6565
@ruthmoses6565 Жыл бұрын
Kwakwel nimejifunza kitu kikubwa sana namwomba Mungu anipe wepes WA kuweza kuyafanyia kazi haya be blessed kakaangu uishi sana
@judithmbwilo7470
@judithmbwilo7470 5 жыл бұрын
Brother mbinu zote ni nzuri sana, nitazifanyia kazi moja baada ya nyingine, asante sana na MUNGU akubariki sana!
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@MarcoPeter-y5n
@MarcoPeter-y5n 3 ай бұрын
Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki Sana
@komboomar8275
@komboomar8275 5 жыл бұрын
Mwanafunzi wa kwanza leo nimetua darasani na kujifunza thanks mwalimu. Hapo kwenye muda ndio tunapoteza kweli kweli
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@edwardgodfrey6283
@edwardgodfrey6283 5 жыл бұрын
Mbinu yakwanza kwangu nikufanya vitu ndani yampangilio wa muda sahihi nasio kufanya kilakitu kinachopita mbele ya macho yangu.Pia nimejifunza uthamani wa mtu ukondani ya mudawake sahihi.Asante kwa Somo zuri na Mungu akibariki
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@bonzo3047
@bonzo3047 5 жыл бұрын
batching
@PascalHermas-gg5dx
@PascalHermas-gg5dx 2 ай бұрын
@@joelnanauka kaka naomba namba zako
@mwachumkhamis6360
@mwachumkhamis6360 5 жыл бұрын
Shukran kaka Joel Nanauka. Mm niko pamoja na ww kaka haujawahi kukosea kila siku nazidi kujivunia vitu vipya kutoka kwako.. Kanuni zote 7 nitazifanyia kazi ipaswavyo kama ulivo tuelekeza. Allah akupe umri mrefu wenye neema tele. 😘😘
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@MosesFikiriIbrahimu
@MosesFikiriIbrahimu 4 ай бұрын
Ameni sana Hongera kwa Masomo Manzuri Sana Nashukuru Sana Maana leo nimepata Jambo la TOFAUTI sana
@mwambauliohai5043
@mwambauliohai5043 5 жыл бұрын
akili yangu kusema hapana kwenye kitu ambacho Niko nje ya malengo,hiyo naanza Kupoteza muda kwenye simu badala kutumia kwenye malengo ya muhimu hiyo naanza.kama vyote vimenigusa kwenye Gari kujibweteka tu hiyo ninayo najirekebisha thanks My teacher Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joycedamares9085
@joycedamares9085 5 жыл бұрын
Asante I'm the kind of person sijui kutumia mda wangu ila kuanzia ss nimebadilika.Nitapataje kitabu chako cha timaza malengo yako.
@danielkwilemba4715
@danielkwilemba4715 5 жыл бұрын
Asante zote ni nzuri ! Ninakuangalia toka Zanzibar.... napenda mafundisho yako...maranyingi kila asubuhi Baada ya kusoma biblia na maombi huwa naangalia vipindi vyako na vimenikuwa vya baraka sana Ninaomba uniunganishe kwenye whatsapp group yako.
@anitucciamuvurwaneza8579
@anitucciamuvurwaneza8579 4 жыл бұрын
Samaani jamani niitaji Num ya watsap ajili nikuwe napata mafundisho ya Nplz
@emmyfurenho1663
@emmyfurenho1663 5 жыл бұрын
Aiseeee kuanzia nw ntasema No.. Ctak kupoteza muda Wang Teeeeeenaa... Ubarikiwe brooo
@frankonesmo280
@frankonesmo280 5 жыл бұрын
Hi
@boniphacemgolozi9417
@boniphacemgolozi9417 5 жыл бұрын
nimekuerewa!!!
@emmyfurenho1663
@emmyfurenho1663 5 жыл бұрын
Frank Onesmo hiii
@emmyfurenho1663
@emmyfurenho1663 5 жыл бұрын
Boniphace Mgolozi Ubarikiwe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ubarikiwe Pia #SeeYouAtTheTop
@justinmmbando5386
@justinmmbando5386 5 жыл бұрын
Jifunze kusema hapana imenisaidia sana mwaka 2018 Asante Mwalimu ambaye tunasoma bila kulipa ada
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@nusrashaaban7407
@nusrashaaban7407 Жыл бұрын
Asante Mwalimu kwa somo zuri. Mimi hii mbinu ya kuorganize day task nitaanza nayo kuifanyia kazi
@danielmerere99
@danielmerere99 Жыл бұрын
Mbinu nayojipanga kuanza nayo ni ya 7.., ya kupanga ratiba ya siku nzima , asante.
@chrizantkibogoyo6772
@chrizantkibogoyo6772 5 жыл бұрын
Baada ya kutambua umuhimu wa sub conscious mind nimetafuta masomo hayo kwa lugha ya kiswahili ili niwasaidie vijana wangu hadi nilipokutana na mafunzo yako. Kwa hakika nimeanza kuyatumia. Ni masomo ya muhimu sana. Mungu akuongezee nguvu
@saluwayne9535
@saluwayne9535 5 жыл бұрын
Nakukubali sn Joel una2fundsha v2 muhim xn ktk maisha ye2 thank u so much bro
@ndayizeyedesire8767
@ndayizeyedesire8767 5 жыл бұрын
Kitu ca muhim sna time is very important mu maisha kabisa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@andreamlwafu3844
@andreamlwafu3844 5 жыл бұрын
Nataka nianze sasa kujifunza kutumia vzr mda wangu na kuwekeza mda wangu...barikiwa sana broangu.
@isackpius250
@isackpius250 2 жыл бұрын
Mbinu ninayojipanga kuanza nayo ni kufanya Batching. Asante sana. Ubarikiwe
@salumabdulla
@salumabdulla Жыл бұрын
Excellent Presentation Thank you in advance Salum Abdalla
@christinarobert8535
@christinarobert8535 5 жыл бұрын
Nina miaka 21 namshukuru Mungu nipo salama nimekuwa nikikutana na scenario ya kuongea na watu hasa wazima lakini wakabarikiwa na mm nazidi kujifunza naamini u will se me at the top b'coz l may , l Will , l can and l am happy new year bro Joel
@tungaraza7794
@tungaraza7794 5 жыл бұрын
Totally huwa nafeli kwenye time management i need ushauri wa kisaikolojia
@hasanijumannemlande2792
@hasanijumannemlande2792 5 жыл бұрын
mwalim joel nakuelewa sana kaka
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@sakinalamadhani8117
@sakinalamadhani8117 5 жыл бұрын
Asante sana brother tumekua tukipoteza mda sana hasa kwenye kutenda mambo zaid ya moja kwa wakati mmoja aisee nimejifinza sana asante mungu akujaalie
@dadawakwetu6953
@dadawakwetu6953 5 жыл бұрын
Aiseeh Mimi ni mwenzio huwa nafeli sana kwenye muda Japo sina majukumu wengi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@mwanaidimohamed6972
@mwanaidimohamed6972 5 жыл бұрын
Kupangilia nifanyacho kwa siku ndio kitu nitakachoanza nacho leo..asante bro
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Asante nimesha amua nitaendelea kujifunza hadi mwisho wa maisha yangu
@luciewajesus731
@luciewajesus731 5 жыл бұрын
Specific time limit, Hili niki rekebisha nianze kuizingatia najuwa nina ufanisi,thanks for great video 🙏💕
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@petrosabore2694
@petrosabore2694 Жыл бұрын
Shukran sana Broo nilichojifunza na kimenigusa sana kama Mwanafunzi ni point ya kwanza isemayo FOCUS on the task
@sadraibra7958
@sadraibra7958 5 жыл бұрын
Mbinu kama zote hizo ulizozieleza zimenigusa kwa kweli ila sasa nmejifunza jinsi ya kupangilia mda wangu asante sana kaka Joel
@talibrashid8817
@talibrashid8817 5 жыл бұрын
Kaka umeongea true muda nikila kitu ktk maisha na ukiutumia vibaya utaujutia badae na haurud tena
@nehemiamminza4663
@nehemiamminza4663 10 ай бұрын
Mim hapo nitaanza na specific time limit on my duties, be blessed for your good lesson
@markbenedict1777
@markbenedict1777 5 жыл бұрын
learn to say no nashukuru sana kwa kujua hilo kwa maan m ni m2 ninayeshindwa kukataa kila ki2 kwa hili nitalitendea kazi
@samwelmwaijumba6018
@samwelmwaijumba6018 5 жыл бұрын
Muda kweli kwangu ni tatzo Mungu anisaidie 2019 nibadilike... Asante
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Kweli Inawezekana #SeeYouAtTheeTop
@irakozemaissarah4325
@irakozemaissarah4325 5 жыл бұрын
jambo la sita linanihusu sana kaka na nimeligundua leo kama vile umeniona.asante sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@samweldaniel3774
@samweldaniel3774 Жыл бұрын
Mungu akubarik Sana umezungumza ukwel brother napenda mafundisho yako
@czakilumanga7060
@czakilumanga7060 5 жыл бұрын
Leo naanza na batching/ grouping Asante kaka joe
@hamzalibingai3227
@hamzalibingai3227 5 жыл бұрын
Nitaanza na kutofanya vitu viwili tofauti kwa wakati mmoja
@mercywanjiku3740
@mercywanjiku3740 5 жыл бұрын
Asante Sana kwa mafunzo mazuri. Nitaweka mpangilio katika Kila shugli ninayoifanya
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@giftsam8458
@giftsam8458 5 жыл бұрын
Mi Kwangu kupangaratibanzima yasikuu ndyoo lakuanzanaloo mungu akubariki Sana'a broo
@festorymlekwas4050
@festorymlekwas4050 5 жыл бұрын
Organize time,ni mbinu nzuri sana ambayo niweza kujifunza asnte sana na ubarikiwe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ubarikiwe Pia #SeeYouAtTheTop
@jemomandua6141
@jemomandua6141 4 жыл бұрын
Nakufatilia san pia nafanyia kaz zaid kwakila utach kisema
@daniellepari4525
@daniellepari4525 4 жыл бұрын
Ahsante sana brother kwa elimu yako mungu akuongoze akuonyeshe njia pasipo kua na njia kama unapo nionyesha mimi ubarikiwe sana
@alihassanhaiba6937
@alihassanhaiba6937 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel kwa somo zuri,mm nipo katika point ya mwisho organize mpaka sasa ivi nashukuru naenda vizur na muda na kazi zangu hata jamii inafurahia huduma kutoka kwangu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Vizuri Sana Endelea Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 5 жыл бұрын
Thnx najiona km nimechele maana kuna miez kum toka watu wakoment bt naona kama na mm ninazaidi ya miez hyo kumk i thnx i cn mr thn others ....abt time tatzo sana japo kidogo nalimeji ila siyo kihivyo i need 2 do mr thnx my blood wa faida God bless ur mr
@jomeejooo3717
@jomeejooo3717 5 жыл бұрын
Nimejifunza kusema no Asnte sana kwa mafundisho mazuri i
@ibrahimhassan5141
@ibrahimhassan5141 4 жыл бұрын
Focus to the one thing,untill you finish it. That's my new study,maliza jambo moja ndipo tufanye lengine.asante.mr.nanauka kwa muongozo
@oseahmbembela-gi4du
@oseahmbembela-gi4du Жыл бұрын
Kaka upo vizuri Sana nashukuru mungu tangia nmeanza kukufuatlia nimeanza kujiamini Sana sana
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Umeniongezea tena ujuzi Mungu akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@clemencehaule3857
@clemencehaule3857 Жыл бұрын
Asante Sana kwa ujumbe Mzuri Kufanya Kazi moja kwa wakati mmoja
@deogratiasndeonio637
@deogratiasndeonio637 5 жыл бұрын
Asante sana kwa mbinu zote muhimu.Naamini kila MTU kuna inayomgusa sana.Mimi naanza na kusema hapana. Uzidi kutuelimisha brother..
@papakefa2201
@papakefa2201 4 жыл бұрын
Ubalikiwe mwalim wetu
@JanvierVenas-ro9us
@JanvierVenas-ro9us 11 ай бұрын
asante kk Joel kwasomo hili uzidi kubarikiwa
@marykisima1
@marykisima1 3 жыл бұрын
Kufanya kazi kwa spirit ile ya deadline.Nahitaji msaada hapa
@ednaedward3512
@ednaedward3512 5 жыл бұрын
Asante kaka joel hakika Mungu alikuleta duniani kwa kusudi kubwa sana Ubarikiwe kwa elimu unayotuptia.kupnga ratiba ya siku nzima ni nzurii sana😇
@careenwasonga
@careenwasonga 3 жыл бұрын
1. Focus on the task - I’m that person who tries to multi task but end up not doing anything productive for HOURS... I will FOCUS ON THE TASK I SET TO DO!
@anordtz
@anordtz 5 жыл бұрын
kuipanga siku yako, nimeipenda zaidi japo pia ziko nyingi nilizo jifunza kupitia vdeo hii nashukuru kaka kwa kunikumbusha mungu akusaidie ili kurudisha thaman iliyo potea kwa mtu ali kata tamaa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@lugikoenterpriseslugiko3050
@lugikoenterpriseslugiko3050 5 жыл бұрын
umenifunza sana Leo nitaanza na organization
@rchrismbarikiwa
@rchrismbarikiwa 5 жыл бұрын
Asante sana Sir Joel najifunz mengi sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@saidseif7469
@saidseif7469 5 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo yako.Kaka Joel natak kile kitabu cha wanafunzi nitakipataje npo Tanga.
@dandebossxakara9939
@dandebossxakara9939 3 жыл бұрын
Blessed bro Mungu akupe miaka mingi uendelee kutufundisha na kuwafundisha wengine
@maryvineakondowe1249
@maryvineakondowe1249 4 жыл бұрын
Uncle... Asanteh sana... Umenisaidia ... Kunishaur na mm nitaanza na time
@michaelramadhan9466
@michaelramadhan9466 3 жыл бұрын
najipanga kupanga muda wangu. kuanzia asubui mpaka jioni
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 3 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akubarik daima uendelee kutuelimisha
@magrethkimweri5454
@magrethkimweri5454 5 жыл бұрын
Thank you, kupanga majukumu ya siku ni tatizo kwa sisi wamama wa nyumbani na uku bado tunamajukumu ya chuo,shule inakua ngumu
@kingnews9132
@kingnews9132 5 жыл бұрын
nmejifunza kusema hapana and to focus on the task. asante sana na MUNGU akubariki sana
@zakiakayanda1444
@zakiakayanda1444 5 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako imenifunza sana na nitaanza kutumia muda ili kufanikisha malengo,hakika mungu akubariki sana
@biubwaahmadi40
@biubwaahmadi40 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka. Kwa upande wangu naona nianze na mbinu ya Batching.
@telesiamkumbwa8888
@telesiamkumbwa8888 5 жыл бұрын
asante hiii naanza nayo mwaka mpya
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@eliasayasini1466
@eliasayasini1466 5 жыл бұрын
upo mkn sana kk
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Asante Kwa Kujifunza
@giftkelvin7
@giftkelvin7 5 жыл бұрын
Thank you Brother, Leo pia umenifundisha na kuniongezea kitu cha mhimu sana ambacho nilikuwa sikijui, God bless you
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@Manimajura
@Manimajura 5 жыл бұрын
Nafikiri ni kupangilia siku yangu na kazi zangu
@mekujose8532
@mekujose8532 3 жыл бұрын
Nashukuru boss naisi mbinu ya 2 na 7 kwangu natakiwa kuanza nazo.
@neemaonesmo7642
@neemaonesmo7642 5 жыл бұрын
Thanks ,hiyo ya mwisho ni nzuri kuanza nayo
@godlistenkweka149
@godlistenkweka149 5 жыл бұрын
Kwa kweli kaka Mungu akubariki najifunza mengi kutoka kwako
@naomishayo3628
@naomishayo3628 5 жыл бұрын
learn to say NO - this is the first to me.THANKS MUCH.
@mariajustuce8918
@mariajustuce8918 3 жыл бұрын
Thanks bro kwa elimu ulioyo toa
@obedntiruhoka9905
@obedntiruhoka9905 3 жыл бұрын
Umeniongezea tena ujuzi mungu akubariki.🙏
@Moteswa
@Moteswa 5 жыл бұрын
Kaka uko vizuri sana. Nakufuatilia sana. You are changing lives. Welldone
@talibrashid8817
@talibrashid8817 5 жыл бұрын
Bila ya muda hakuna maisha na bila ya maisha hakuna uhai na bila ya uhai hakuna kiumbe hai na bila ya kiumbe hai hakuna maisha yani yote yanatokana na muda ndo kila kitu ........
@mickdaduhuru9191
@mickdaduhuru9191 3 жыл бұрын
Passive time this is one of my favourite
@thuwaibawadi9672
@thuwaibawadi9672 2 жыл бұрын
Thank u kaka....unatuelimisha kwa kweli
@eugenfredrick2328
@eugenfredrick2328 5 жыл бұрын
NAAMUNI hii organize time itanisaidia sana!! thanks sana bro! God bless?
@mlyamkushi353
@mlyamkushi353 5 жыл бұрын
Matumizi ya mda nipo nyuma sana
@gradypeter8053
@gradypeter8053 5 жыл бұрын
Mda ni ishu
@rebecaalbertmillanzi5882
@rebecaalbertmillanzi5882 5 жыл бұрын
tuko wengi apo
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@cheddykipingu8087
@cheddykipingu8087 5 жыл бұрын
Daah! Am proud to win u as my doct in my life thk u more mr Joh... 2018 successfully I hope 2019 it'll be dobble..
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@PatrickButamo
@PatrickButamo 7 ай бұрын
Zote naona nzuri san
@alimambabazi3666
@alimambabazi3666 5 жыл бұрын
thank you so much for your teaching l have learned something new thank you.😁
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@hakimuzelamula4719
@hakimuzelamula4719 5 жыл бұрын
Time management sante brother nimepata Kitu muhimu Sana kutokana na somo lako la leo
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@emotionalvoice972
@emotionalvoice972 5 жыл бұрын
Nakupata sana kk, nimebadilika sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hongera Kwa Kubadilika #SeeYouAtTheTop
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 5 жыл бұрын
mbinu ya kwanza kuanza nayo naona ni FOCUS. Ukishaweza focus basi zingine zitakuja automatically
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@Moteswa
@Moteswa 5 жыл бұрын
Teach also on investment na mbinu ZA kuwekeza. Wish you all the beat
@Shabani-hc6xz
@Shabani-hc6xz 4 ай бұрын
Thanks sana your blessed
@victorymfungo416
@victorymfungo416 5 жыл бұрын
naendelea kujifunza na mafundisho
@yoshuasaiba4652
@yoshuasaiba4652 3 жыл бұрын
Asante Sana🙏
@valentinamruma680
@valentinamruma680 3 жыл бұрын
Learn to say no ....... Thanks
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Ahsante Sana kwa somo Safi. See u at the top!
@aleckngoshani8898
@aleckngoshani8898 3 жыл бұрын
Very insightful brother
@philbertchaula3638
@philbertchaula3638 3 жыл бұрын
Nilikuwa naenda kwa brother
@dandebossxakara9939
@dandebossxakara9939 3 жыл бұрын
Tatizo langu nashindwa kusemaa no thus my challenge is the big one
@frankdaniel9815
@frankdaniel9815 4 жыл бұрын
Somo zuri sanaaaa kiongozi
@fridayndimbwa5719
@fridayndimbwa5719 5 жыл бұрын
Batching Ntaanza na hii strategy maana I usually mix things... Be blessed brother Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Asante Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@fridayndimbwa5719
@fridayndimbwa5719 5 жыл бұрын
@@joelnanauka Thanks brother
Njia Saba (7) Za Kugundua Kipaji Chako - Joel Nanauka.
13:13
Joel Nanauka
Рет қаралды 44 М.
Yay, My Dad Is a Vending Machine! 🛍️😆 #funny #prank #comedy
00:17
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 3 МЛН
MAMBO 4 YANAYOSHIKILIA KESHO YAKO - JOEL NANAUKA
7:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 5 М.
Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka
17:05
JINSI YA KUTUMIA MUDA WAKO ILI UFANIKIWE KWA HARAKA | Victor Mwambene.
16:15
KUJIAMINI NI SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA | Ezden Jumanne
14:14
Success Path Network
Рет қаралды 31 М.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 55 М.
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 70 М.
EPUKA  HAYA KWENYE  ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA
10:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 60 М.
Dr. Chris Mauki: Mambo tano (5) wengi huyasahau katika uchumba
10:21