MAZINGE AMWAMBIA MCHUNGAJI NDACHA ~ UMEINGIA CHA KIKE WENZAKO WANANIKIMBIA ~ AMTWANGA SWALI LA MWAKA

  Рет қаралды 377,210

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

Пікірлер: 665
@adamsalim587
@adamsalim587 3 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Allah awabariki masheikh ma daa'i wa kiislamu kwa kazi ngumu wanayofanya ya kuwaelimisha ngudu zetu katika ubinadam(wakristo). Katika maisha yangu nimemuomba sana Mungu amkutanishe mchungaji ndacha na Sheikh Al Habib Othman Mazinge katika mdahalo kwa maana huyu pastor huku kenya anawapotosha sana watu. Shk. Mazinge Allah akuhifadhi na akupambe kwa afya.. In shaa Allah mungu atawaongoza wakristo wote waione njia ya hakki na kuifata. Wabillah tawfiq.
@abuuaisha4738
@abuuaisha4738 3 жыл бұрын
Aaamin aamin aaamin
@marcbanyankirubusa135
@marcbanyankirubusa135 3 жыл бұрын
Mnapongeza , apo mazinge anasema kinyume na kinaco sababisha yesu aseme petro ni shetani , kwasababu mazinge anafahamu waislamu wanakalilishwa siwasomi, ndiomaana akawapotosha kwa maandiko, akasema yesu kusema petro nishetani nikwakusema yesu ni mwana wa Mungu akadanganya, ebu jisomee uwone kama walimu wenu niwaongo soma matyo 16:21-23 petro wakati aliposikia yesu atakufa musalabani na kufufuka Siku yatatu petro akakataa akasema asimpate Ayo mateso, yesu akamwambia toka nyuma yangu shetani wukikwazo kwangu yamungu huuataki bali ya wanadamu , wanao sema yesu hakufa niwale waliokuwa ndungu yashetani nao ni waislamu kwasababu mhamadi alimslimisha shetani akawa mwislamu, maneno ni yale yale shetani alipo nena ndani ya petro wakati petro bado haja okoka poleni sana waislamu ,lakini cungeni sana walimu wenu mujisomee vitabu wasiwasomee jisomee nyie wenyewe, yesu alisema mutapata ukweli ukweli nae utawakomboa.
@adamfundikira1620
@adamfundikira1620 3 жыл бұрын
@@abuuaisha4738 mazinge ni muongo mpaka anamzidi shetani kwa uongo duh yaani ni wakala wa ibilisi
@adamfundikira1620
@adamfundikira1620 3 жыл бұрын
@@marcbanyankirubusa135 ni muongo mbwa huyo
@abuuaisha4738
@abuuaisha4738 3 жыл бұрын
@@marcbanyankirubusa135 اللهم هدناالصراط المستقيم
@zainulabideen6955
@zainulabideen6955 3 жыл бұрын
Barakaallahu laka ya SHEIKH MAZINGUE.....we love you, from Mozambique.
@rhiophiri6857
@rhiophiri6857 3 жыл бұрын
Professor Mazinge is indeed fantastic, highly equipped with religious knowledge, congratulations Mazinge
@mohamedsimba5575
@mohamedsimba5575 3 жыл бұрын
You're absolutely right Mr Rhio Phiri, congratulations 🎊 sir
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 3 жыл бұрын
Mazinge ni muongo Yesu alikubaliana na Petro Ni vizuri kusema ukweli
@azizirubelwa2992
@azizirubelwa2992 3 жыл бұрын
@@noahwamalwa4385 tupe andiko
@issakawaya8315
@issakawaya8315 3 жыл бұрын
Mashaallah
@Rea254Pbg
@Rea254Pbg 3 жыл бұрын
@@noahwamalwa4385 mazinge ajui kitu, Soma Luka 1:35 St. Luke 1:35. The angel answered, "The Holy Spirit will come on you, and the power of the Most High will overshadow you. So the holy one to be born will be called the Son of God.
@mahamuduhassan8511
@mahamuduhassan8511 3 жыл бұрын
Maa shaa Allah professor hua hamalizi muda Ustaadhi mazinge Allah akulipe jazaa njema hapa duniani na kesho akhera!!!!!
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@bintmohamedmalevi3771
@bintmohamedmalevi3771 3 жыл бұрын
Maa Shaa Allah professor mazinge. Mola akupe umri mrefu wenye twaha
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 3 жыл бұрын
Allah awabariki masheikhe wetu azidi kuwazidishieni nguvu na afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 жыл бұрын
Aamiii
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/e5mUpYCKjJuDrLc Ukhty Guzalink ☝️ ufaidike
@nurudinamchome6852
@nurudinamchome6852 3 жыл бұрын
Aaaaammmmmiiiiiiiin
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@mfaumeseifu8058
@mfaumeseifu8058 3 жыл бұрын
@@mtokaboys2175 7
@muhammadfadhil9835
@muhammadfadhil9835 3 жыл бұрын
WEWE SIO MAZINGE WEWE NI MZINGA UNGURUMAPO WATU LAZIMA WAIPATEPATE HABARI YAKO.
@sophiasophia4668
@sophiasophia4668 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mzinga kweri
@jumakhamis226
@jumakhamis226 3 жыл бұрын
Jazaka Allah khaira shekh mazinge
@rizikibashiru4680
@rizikibashiru4680 3 жыл бұрын
Nakupenda ost wangu mazinge kwa ajili ya Allah, uwe na umri mrefu wenye manufaa na mwisho mwema
@njerithiongo7901
@njerithiongo7901 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishie shifaa na maarifa Professor, mapenzi ya dhati toka Nairobi, Kenya.
@mshengeli2449
@mshengeli2449 3 жыл бұрын
Maashallah fantastic replying
@cabylake2320
@cabylake2320 2 жыл бұрын
Mashaallah vizur mazing mungu akuzidishie umuri
@rbagha5280
@rbagha5280 2 жыл бұрын
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 2 жыл бұрын
Allahhumma Amiiini yaraabi. Call him professor mazinge
@fatimafa3434
@fatimafa3434 3 жыл бұрын
Professor mazinge maisha malefu kwako 💙💙💙💙
@deulemwangolo
@deulemwangolo Жыл бұрын
Mashekh wetu endeleeni kufunza umma,,,,, Pastor Ndacha Mwenyezi Mungu pia akuongoze uwe MUISLAMU
@Raya-em8wz
@Raya-em8wz 3 жыл бұрын
Nakipenda shekh kwa ajili ya Allah munguakuhifadhi
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 жыл бұрын
Amiin
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@saramss7262
@saramss7262 3 жыл бұрын
Yaani kiukweli Huyu Baba umepotokaaa UISLAM SIO DINI HATA MSEMEJEEEEE YESU NI BWANA NA MWOKOZI WETU UJIELEWIII UMEJAAA MAJINI MPKA MIGUUNI
@masala8099
@masala8099 3 жыл бұрын
asante mtume Muhammad Kwa Elimu uliyotuachia
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 жыл бұрын
Sahihi
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 жыл бұрын
Allah azid kuwapa nguvu mashekh wetu Allah akulinde na Shar za waja Mazinge. na wao Mungu awabadilishe awaongoe
@crisbrown5123
@crisbrown5123 5 ай бұрын
Massha Allah shekh Allah akupe maisha marefu
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 жыл бұрын
Maashaa ALLAH Tabaaraka Allah.
@ismailibrahim9365
@ismailibrahim9365 3 жыл бұрын
Duu MashAllah Allah ibarik shekh mazinge
@husseinsalum677
@husseinsalum677 3 жыл бұрын
Pppopppoppppppppppppppppppp
@omarshee7501
@omarshee7501 3 жыл бұрын
Allah awaongoze na a2fishe waislamu
@mmangammanga-dw2qn
@mmangammanga-dw2qn 4 ай бұрын
TAKbir uislamu rahaaa sana Allah akuwek shekhe mpka rahaaa
@johnmathew2769
@johnmathew2769 3 жыл бұрын
mazinge mungu akusamee kwa kubadilisha maandiko
@SAITOTILENATIRI
@SAITOTILENATIRI 6 ай бұрын
Mungu akusamehe kwa kubadilisha neno lake.
@previneyoung8290
@previneyoung8290 3 жыл бұрын
Mazinge Haujafunguliwa na Mungu wa Mbinguni , siku utafunguliwa . Utamkubali Yesu . amina
@petersulle1937
@petersulle1937 3 жыл бұрын
Mazinge anachanganya mada, Hakuna uhusiano kati ya jibu la Petro la kuwa Yesu ni Kristo mwana wa Mungu, na kauli ya Yesu ondoka nyuma yangu u shetani wewe.
@htvtanzania3483
@htvtanzania3483 3 жыл бұрын
Akili Kama haiwez kufanya Kaz vizuri huwez kuelewa una takiwa uwe na roho mtakatifu ndio uelewe maandio
@abdullatifyahya646
@abdullatifyahya646 2 жыл бұрын
Subiri ufe ndo utajua hujui
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 жыл бұрын
Yani anajibu kitoto sasa sana wakati Yesu anamwambia petro Toka nyuma yangu nipale Petro alipo mwambia Yesu hakika Bwana wangu haya hayatakupata kwaiyo Yesu aliona kilichondani ya Petro Nishetani anaemtumia Petro na sio kwamba Yesu kamwambia Petro kuwa ni Shetani apo anajibu kufiraisha uma tu
@RinoMajembe
@RinoMajembe 9 ай бұрын
Wewe hauna akili yakufikilia ndio mana huelew
@NasraKaneza
@NasraKaneza 9 ай бұрын
Twakupenda sana Sheikh Allah Ukujalie kila Lakher
@Zubaiba
@Zubaiba 6 ай бұрын
Mashaallah mashaallah Allah awabari mashehe weru
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 жыл бұрын
Maashallah
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/e5mUpYCKjJuDrLc Guzalink ☝️ tufaidike kiongozi
@MiskiyaRoho
@MiskiyaRoho 3 жыл бұрын
Masha Allah. Ongera sana ustaz Amzinge.
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 3 жыл бұрын
Ndacha kama petro vishetani hivi Shukran sheikh mazinge kwa elimu.
@KibokoNyamamayi
@KibokoNyamamayi 5 ай бұрын
Mazinge mungu aku zidishiye elimu ❤❤❤
@tumadhrahtwarik993
@tumadhrahtwarik993 2 жыл бұрын
Sheikh uthman mazinge ALLAH azidii kukupa moyo na ujasiri uzidi kuwaingiza katika njia iliyo ya haki nakupenda kwa ajili ya allah
@fuminozanzibar.6402
@fuminozanzibar.6402 2 жыл бұрын
Allah give more power Alhabiib Mazinge
@aishahmd2559
@aishahmd2559 2 жыл бұрын
Mazinge mashaallah hongera kwako Allah akupe umri mrefu akuepushie na hasadi uzdi kuitangaza dini ya haki
@pmekenye5050
@pmekenye5050 Жыл бұрын
Matthew 16:13-20 Matthew 16:13-20 NIV When Jesus came to the region of Caesarea Philippi, he asked his disciples, “Who do people say the Son of Man is?” They replied, “Some say John the Baptist; others say Elijah; and still others, Jeremiah or one of the prophets.” “But what about you?” he asked. “Who do you say I am?” Simon Peter answered, “You are the Messiah, the Son of the living God.” Jesus replied, “Blessed are you, Simon son of Jonah, for this was not revealed to you by flesh and blood, but by my Father in heaven. And I tell you that you are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of Hades will not overcome it. I will give you the keys of the kingdom of heaven; whatever you bind on earth will be bound in heaven, and whatever you loose on earth will be loosed in heaven.” Then he ordered his disciples not to tell anyone that he was the Messiah. Pro. Mazinge that's what is in the scripture Mambo mengine ni yako. Junga rahana ya mwenyezi Mungu isikwangukie kwa kuwapotosha watu wanao itaji ukweli. Barikiwa Nyote.
@godfreycosta8483
@godfreycosta8483 Жыл бұрын
Sure kabisa , Yan ameunganisha script mbili tofauti , wakati the story iliishia verse ya 20 ye kachukua verse ya 23 which is different scenario
@allyshomari7417
@allyshomari7417 Жыл бұрын
Ustaadh. Mazinge mwenyezi mungu muumba. Akupe nuur. Na mwisho mwema. Nakuombea duwaa!! Kwa ku ufikisha!! Ukweli kwa hojja zilizo hai!! Takbiir Allah Akbar!!
@sadahramadhani6046
@sadahramadhani6046 3 жыл бұрын
Huyu ndiyo PROFESSOR MAZINGE bana
@MakameSilima-g7k
@MakameSilima-g7k 10 ай бұрын
Allah akuongezee umri sheikh"Mazinge"
@majutomlaganile1581
@majutomlaganile1581 3 жыл бұрын
Hongera Sana shekhe kwa neno!!!
@islamic_tv_tanzania
@islamic_tv_tanzania Жыл бұрын
Takbiir, Allahuakbar
@khalidkhamis9195
@khalidkhamis9195 3 жыл бұрын
Kweli Clip amewekwa Mazinge Peke Yake...ila maelezo aliyotoa amejaribu kunukuu aya ambazo amezitumia Ndacha na akazitolea ufafanuzi mzuri na kuzichapa kwa muendelezo wa aya nyengine... Hii imefanya Sote tuelewe kwa Umakini zaidi na ikampa Credit 100% Mazinge.
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa
@delefantasticali8377
@delefantasticali8377 3 жыл бұрын
Mashaaallah
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/e5mUpYCKjJuDrLc Guzalink ☝️ tufaidike
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
@Yusuf Sahal mbona wacheka
@martinbarua9962
@martinbarua9962 Жыл бұрын
Ostazi mazinge anajuwa kiukwel 😅😅🇹🇿🇹🇿
@yusuphngonyani8964
@yusuphngonyani8964 3 жыл бұрын
Wakristo wa Tanzania wataingia Moroni Kwa uzembe , Mazinge Allaah akurehemu Kwa kazi unayoifanya ngumu ,
@victorianyange9281
@victorianyange9281 3 жыл бұрын
Pole kwa kufuata uongo wa mazinge na kuacha ukweli wa Mungu
@allyjumaallyjuma692
@allyjumaallyjuma692 3 жыл бұрын
@@victorianyange9281 Wewe mwendawazimu kweli hebu tupe huo ukweli wako maana hata wachungaji wenu wamechemka hapo wewe bdo2 unakua kiburi kuamini ukweli
@flova7022
@flova7022 3 жыл бұрын
@@allyjumaallyjuma692 hivi mchungaji ndio Mungu..hapo wate mnaoshadidiaa ukristu na uislamu wapumbavu ..Mungu Hana dini...hivi Kuna sehemu quran Una sema Allah ni muislamu au Kuna sehemu biblia inasema Mungu ni mkristu ..pendaneni wanadamu wote katuumba Mungu haya madini yameletwa na wazungu..fungukeni waafrika...Mimi mroman mke wangu muislam..tunaishi..vizuri na wale waliku WANASEMA OOH UMEOLEWA NA KAFIRI SASA TUMEONA WOTE WAMESHAAACHANA..SISI TWADUNDA TU SIJUI SASA NANI KAFIRI HAPO...kueni kifikra waafrika haya madini yameletwa na wazungu tu
@AAA-zu1vy
@AAA-zu1vy Жыл бұрын
Allahum Amiin
@EmmanuelFils-r8u
@EmmanuelFils-r8u 10 ай бұрын
Mungu akuremu sana mazinge macho ya watu yatakuingiza motoni' maana ukweli unaujuwa
@shuwenaghandi9253
@shuwenaghandi9253 3 жыл бұрын
LONG LIVE PROFESSOR MAZINGE
@qoslayekicheko4934
@qoslayekicheko4934 3 жыл бұрын
Masha allah bro waislamu mkuu
@qoslayekicheko4934
@qoslayekicheko4934 3 жыл бұрын
Madugu mosilamo mdugu mojo wislamu
@qoslayekicheko4934
@qoslayekicheko4934 3 жыл бұрын
Jisas cissa ni moslamu
@abubakardarema7050
@abubakardarema7050 3 жыл бұрын
Allah Akulipe kheri
@mjungatv8172
@mjungatv8172 2 жыл бұрын
Mazinge Allah akupe maisha marefu sana
@Mpogozi
@Mpogozi 3 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu wasamee waislam maana hawajui walitendaro Ameen🙏🏻🙏🏻
@swalahuomar5314
@swalahuomar5314 3 жыл бұрын
Mngu akuongoze SSI hatuwakashifu tunataka kuwafundisha na kuwaonesha dini ya kweli
@ramajuma1173
@ramajuma1173 2 жыл бұрын
Yani nyie ndo mmepoteya dhahirii,
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@RashidMadua-lp1vu
@RashidMadua-lp1vu 4 ай бұрын
Mtoto akiliki wembe mpe umtengeneze Allah azidi kukulinda profesa mazinge ❤
@victorianyange9281
@victorianyange9281 3 жыл бұрын
SHETANI ANAJUA YESU NI MWANA WA MUNGU: Mathayo 8:29 [29]Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya muhula wetu? BINADAMU WOOTE TUNAJUA YESU NI MWANA WA MUNGU:Mathayo 14:33 [33]Nao waliokuwamo ndani ya chombo wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu. Marko 1:1 [1]Mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. YESU KRISTO ALIKIRI YEYE NI MWANA WA MUNGU: Mathayo 27:43 [43]Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa, kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu.
@igasiradji1676
@igasiradji1676 3 жыл бұрын
Ni yohana alisema ,ebu niambie pahari mungu alisema yeye mwenyewe
@victorianyange9281
@victorianyange9281 3 жыл бұрын
@@igasiradji1676 Mungu mwenyewe alisemaje?
@victorianyange9281
@victorianyange9281 3 жыл бұрын
@@igasiradji1676 Yohana alisema Yesu ni Mwana wa Mungu katika ufunuo wa Roho Mtakatifu. Yohana alifunuliwa hilo ndipo akasema Yesu ni mwana wa Mungu. Sio Yohana tu aliyesema bali hata Yesu na Shetani walisema
@mohabro9521
@mohabro9521 3 жыл бұрын
Nyamazaa wewe
@mohabro9521
@mohabro9521 3 жыл бұрын
Yohana alisema si Mungu alisema
@najashkesi2892
@najashkesi2892 3 жыл бұрын
Mungu Umpemwishomwema
@sandalalutubija235
@sandalalutubija235 3 жыл бұрын
Mm namjua mungu nawahubili amana
@shabanadam9150
@shabanadam9150 3 жыл бұрын
Shekhe mazinge mungu akupe umri mrefu
@rahmah.k.aminah
@rahmah.k.aminah 3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
@zahrathassan5199
@zahrathassan5199 3 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu wenye mwisho mwema ust mazinge
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 жыл бұрын
Yesu mwenyewe alimuita Mungu Baba
@salwamohammed9218
@salwamohammed9218 2 жыл бұрын
Ushahidi tunaomba
@ommynako5587
@ommynako5587 3 жыл бұрын
Baba mazinge mungu akuweke sana sana akubarik sana
@innocentshilla8677
@innocentshilla8677 3 жыл бұрын
kaka mnazingua nyie
@akimanayusra4853
@akimanayusra4853 3 жыл бұрын
MashaAlllaah
@biramsakh9212
@biramsakh9212 3 жыл бұрын
Mazinge 👍👍👍🇹🇿😍
@hawaamkubwa2020
@hawaamkubwa2020 3 жыл бұрын
Allah akbar Allah akuzdshie elimu shekh mazinge Allah akuzdshie afia na umri mrefu 🤲
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/e5mUpYCKjJuDrLc Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@allymaliki5996
@allymaliki5996 3 жыл бұрын
Mazinge unanifurahisha sana
@hafsaali7976
@hafsaali7976 3 жыл бұрын
Mashaallah
@peacemwesiga
@peacemwesiga Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤pastor wefundishe
@CK-ii5cc
@CK-ii5cc 3 жыл бұрын
Furahisha wengi chomekeni pamoja. Mazinge anafurahisha tu waislamu ila anajua ukweli
@allyjumaallyjuma692
@allyjumaallyjuma692 3 жыл бұрын
Hahahaa!!Imekulakwako ikiwa hukuelewa hapooo!!!.Pole ndugu ktk Adamu
@martinbarua9962
@martinbarua9962 Жыл бұрын
Wewe Bado umelala
@hassanounAbdul
@hassanounAbdul 9 ай бұрын
Utakuja kufurahi vizuri siku ya hukumu wakati unachochewa kuni hujielewi ww😅😅😅
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 3 жыл бұрын
Mashallah Allah
@FranciscoAtanasioGabriel-eq4fj
@FranciscoAtanasioGabriel-eq4fj Жыл бұрын
Amen,Ndacha nguvu,mazinge ana kitu uyo.
@zainulabideen6955
@zainulabideen6955 3 жыл бұрын
Allah bless you with long life, only defendind islamic RELIGIAN
@rehemahassan4339
@rehemahassan4339 3 жыл бұрын
Mashallah mazinge Allah akuweke inshallah 🙏🙏🥰
@ramadhanihamidu5670
@ramadhanihamidu5670 19 күн бұрын
MashaAllaah mazinge
@mwahijahassani8022
@mwahijahassani8022 2 жыл бұрын
Shekhe Allah akupe uhai mrefu
@madogoentertainment2578
@madogoentertainment2578 Жыл бұрын
Sheikh Mazinge ubarikiwe sana
@ramadhanimzonge8217
@ramadhanimzonge8217 Жыл бұрын
Allah akibar
@GermaineBulenda
@GermaineBulenda 2 ай бұрын
Mazinge .mashallah
@jonahmburu9738
@jonahmburu9738 3 жыл бұрын
Mazinge jibu swari unakwepa
@mikyfosikama8752
@mikyfosikama8752 2 жыл бұрын
Mashallah mazinge
@jaaffarabuu6750
@jaaffarabuu6750 3 жыл бұрын
Mazingeeeeeeeeee
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 жыл бұрын
Professor,🙋🙋
@wemahamadi7847
@wemahamadi7847 3 жыл бұрын
Aminna
@kelvinmakala5338
@kelvinmakala5338 3 жыл бұрын
Mazinge kasoma Mathayo 16:13-17, then karukia mstari wa 23, akasema anayesema Yesu Mwana wa Mungu ni Shetani, halafu Waislamu wakashangilia. Yani kama hawana vichwa. Hapo Kati Kuna mstari wa 19-22 umemezwa,ambao unaonesha kwann Petro ameambiwa nenda nyuma yangu Shetani. Hawa watu kwa hii tabia ya kusoma maandiko nusu watawapa wengi mno wasiosoma maandiko, maana wapo tayari kudanganya.
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 3 жыл бұрын
Mashallahh Allah Akbar
@Mrbariye
@Mrbariye 3 жыл бұрын
Mathayo 3 17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
@maimunafzaka880
@maimunafzaka880 3 жыл бұрын
Alisikia sauti ya shetani... yesu alisema hujawai ata siku moja kusikia sauti ya mungu
@allykeita704
@allykeita704 3 жыл бұрын
Nani alisema kuwa tazama sauti kutoka mbinguni?
@georgemheluka3122
@georgemheluka3122 3 жыл бұрын
Maandiko ya Biblia ukitaka kuyatafsiri kama unavyopenda wewe ama akili yako inakopenda lazima upotoke, Mungu mwenyewe lazima akufunulie kuelewa ndo utapata maana sahihi ya kilichoandikwa. Mungu mwenyewe ameweka wazi sehemu nyingi tu kuwa Yesu ndie mwana wake na ndio njia ya kweli na uzima.mtu haendi Kwa Baba Ila kupitia kwake
@allykeita704
@allykeita704 3 жыл бұрын
@@georgemheluka3122 Kaka hahahaha nimecheka sana ebu tulia kuniletea Hadith za uongoo ilo Chaka ambali huwa mnapenda kujificha eti oooo bibilia sio Kama gazeti inatafasiri yake ebu nambie mapumbu Nini maanake imeendakwa
@georgemheluka3122
@georgemheluka3122 3 жыл бұрын
@@allykeita704 itoshe kusema tu Yesu yu hai na anatenda kazi hata sasa,,na uzuri wa Yesu yeye watu wote anawapenda wakimtafuta tu wanampata,ndio maana hata wengi walio waislam wanakuja kwetu mambo yaliyoshindikana kwenu lakini Kwa kupitia jina la Yesu kristo mwana wa Mungu alie hai wanapokea suluhisho la mateso yao,,Ameeen
@samirasadasalum5974
@samirasadasalum5974 2 жыл бұрын
Allllahu Aqbaru
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 3 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
@ismailmnyachi3665
@ismailmnyachi3665 3 жыл бұрын
Rahaaaaaaa sana
@nahimanawanjani9865
@nahimanawanjani9865 Жыл бұрын
Mazinge mola akupe maisha marefu
@jacksonmusyoka8837
@jacksonmusyoka8837 3 жыл бұрын
Ndacha uko vizuri
@saraabdulatif6171
@saraabdulatif6171 3 жыл бұрын
Kwakweli mjadala Yesu alitukuzwa sana mtabaki tu kuchaguwa vipande nakwavile dini yenu niyaushindani hakuna jina jengine zaidi ya Yesu pia nimegunduwa kitu muhamad kwao sawa na Mungu tafuta msahafu wa tafsir ya farsi usome majina ya Mungu wao halaf namajina ya Muhamad hayana tofaut
@masoudshaban6609
@masoudshaban6609 3 жыл бұрын
Kafie mbele hujui chochote...Allah ana majina mangapi...na mtume ana majina mangapi
@aishaiddy2192
@aishaiddy2192 3 жыл бұрын
🤣😂😂kafie mbele umepotea wew
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 9 ай бұрын
Mtazidi kuwa watumwa wa waarabu kisa Muhammad muaji 😅
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 3 жыл бұрын
Mazinge makafiri hawamuwezi.. Makafiri hata muwe Mia hapo hamchomoki
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/e5mUpYCKjJuDrLc Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
@davidkifalu6812
@davidkifalu6812 3 жыл бұрын
Siku ya mwisho uta jua kafili ninani
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
@@davidkifalu6812 atajulikana
@mohamedibrahim7732
@mohamedibrahim7732 3 жыл бұрын
Ndacha amepatikana leo ahsanta profesa mazinge
@mussatugulu1222
@mussatugulu1222 3 жыл бұрын
Very good only
@elizabethsidi5574
@elizabethsidi5574 2 жыл бұрын
Mazinge wew ni vichekesho tuu lakin acheni mzaha Dunia inaisha sije mkajuta
@jonahmburu9738
@jonahmburu9738 3 жыл бұрын
Ndacha professor
@kizibomikogo6915
@kizibomikogo6915 3 жыл бұрын
Mjadala mzuri Sana aiseeeeeeeeeeeee Kuna mengi Sana ya kujifunza
@tvfoa7115
@tvfoa7115 3 жыл бұрын
Ce très beau
@DaudEmmanuel-fy8hs
@DaudEmmanuel-fy8hs Жыл бұрын
Mwalimu ndacha barikiwa sana watoe matongotongo machoni wapate kuona nduzetu
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 3 жыл бұрын
ماشاءالله
@leonardamani4026
@leonardamani4026 3 жыл бұрын
Mazinge mbona unatumia nguvu sana.... huu ni mjadala toa point za kueleweka.....(umenitaka ndo nn)
DEBATE. Prof. Mazinge azima mbwembwe za Mch. Ndacha kutoka Kenya.
28:25
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
SAIDI JUMA Kinyogoli vs Ndacha
6:23
HOJA2
Рет қаралды 44 М.
MCH. NDACHA AWAKABA KOO WAHADHIRI WA KIISLAMU, UST SHAFII, BAKOZI, KINYOGORI
20:44
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 210 М.
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН