mashaAllah! Mungu abariki ma shiekh wetu... ... Sisi waislamu tunayo masimba(ma shiekh)
@fatmasalim82933 жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الرحمن جزاك الله خيرا 🥰🥰🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹👌
@zou74703 жыл бұрын
Mazinge allah akupe umri murefu uweze kuitetea dini ya allah 👏👏👏
@khadijabintmohammadbintmoh80263 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe umri ulomrefu sheikh mazinge
@kawtharalbarwani13373 жыл бұрын
Amiin
@amourmtungo6233 жыл бұрын
🤔Haya majadiliano ya KIDINI kupitia waumini tafauti ni elimu nzuri sana na demokrasia halisi. Nafurahi kuona mijadala inaenda vizuri na kwa amani kabisa. Hongera waumini wote mliohudhuria.
@haydarhamad65323 жыл бұрын
Natamani siku moja kufanyike kongamano huku Zanzibar na Mazinge pia awepo Mana huku pia wapo tena wakaidi mno
@saadanswaleh22133 жыл бұрын
Mazinge kiboko mashllah Allah barik
@RatifaHamisi-um1vq2 ай бұрын
Mashaallah mwenyezimungu awajalie kheri ❤💞💞💞💞💞💞
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓💓💓💓 mazing mungu akuzidishie umri
@rahimaan64813 жыл бұрын
Allah atuwekee mazinge bado tunakuhitaji
@mohameeddoaan22963 жыл бұрын
Aamin yaarab
@anitanahimana21152 жыл бұрын
Mashaa Allah
@SalumBabu-su9fm Жыл бұрын
Mashallah ALLAH awape afya njema na umri mrefu mashehe wetu muendelee kutufundisha zaid
@khalfanmudibo33563 жыл бұрын
In Shaa Allah Allah akupe hapa nakesho malipo Adhwim
@rajabushaibu82392 жыл бұрын
Safi sana waislam kwa helimu bora
@omanbarka20533 жыл бұрын
Mashaallah mazinge Allah akupe umri mrefu
@user-rt5vq5vc3k11 ай бұрын
Maasha.Allha shehe mazinge Allha akulinde uzid kuelimisha wasio kuwa waislam
@mathiaspmashibe56963 жыл бұрын
Usipompokea Yesu Kama bwana na mwokozi wa maisha yako unajilisha upepo
@gracenoah92393 жыл бұрын
Jaman me ni muislam nlie slim najiuliza nlikuwa nachelewa WAP kuijua din hii ya haki Mazinge nampenda buree M/Mungu amlipe kheri
@denismgalah92193 жыл бұрын
Umesilimu bila kujifunza
@dulividuli5237 Жыл бұрын
@@denismgalah9219 kuna mambo sio hata ya kujifunz ni kutumia akili yko vizur tu hususan ukristo
@dulividuli5237 Жыл бұрын
Hongera sana Dada uislamu ni raha sna
@makenakendi90143 жыл бұрын
Mashallah ALLAH BARIIK always my brother
@andrewtupa38353 жыл бұрын
Waislamu wafate sheria ya dini yao na wakiristo wafate sheria ya dini yao, hakuna haja ya kuongelea dini mbili kwa wakati mmoja, mnahalibu Imani
@salehsuleiman12183 жыл бұрын
Tunajua kwa nn wamekunyima mda wanakuogopa Allah akuongoze she Mazinge uzidi kutuletea wageni kwenye uislam
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Umeonaeeh
@maherzain6153 жыл бұрын
Ye mwenye nae badili kwnda moja kwa moja aleta mambo ya salamu
@moza65603 жыл бұрын
Mazinge Allah amuweke masha allah
@mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын
Jazaakumullahu khaira 🙏
@stormediaproductions21703 жыл бұрын
Mimi namuamini mungu mkuu, mungu wa ibrahimu, isaka na yakobo...
@maherzain6153 жыл бұрын
Mungu wa Ibrahim,isaka, yakobo na yesu
@mohamedomar69443 жыл бұрын
Jinalake Allah(s.w)
@maherzain6153 жыл бұрын
Eloi eloi (Allah Allah) why u leave me alone.
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@maherzain615 hapo na yesu mir sina mbavu. Mwenzio anaona yesu ndiyo mungu mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maherzain6153 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Hahahaha
@mansooronlinetv5353 жыл бұрын
Allhamdulilah waislam tunapendeza saana
@kateloelcastromsapere10403 жыл бұрын
tutazidi kupendeza kabisa
@fatumazuberi47553 жыл бұрын
Muhadhiri wetu mazinge mungu atakulinda navijana wako wote wahadhiri
@pascasmathew4243 жыл бұрын
Dini ni nni? Mbona hata shetani ana dini . Ishi kitakatifu ukizingatia Sheria za Mungu. sio dini itakayokupeleka mbinguni bali ni utakatifu.
@shabaninuhu36163 жыл бұрын
Duh
@Yu-jr9uf3 жыл бұрын
Hizo sheria za Mungu utazijuaje bila dini
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
Innahillahih wainnalillah rajhun
@jamalathman62192 жыл бұрын
Mashallah jazakallah kheir
@samweliolengaya99423 жыл бұрын
Mmekosa kazi za kufanya hamjaitwa kwa ajili ya hiyo kazi mmeitwa kuwahubiria watu wamjue Mungu acheni kujichanganya na kuwachanganya kondoo wenu
@yusuphmashallah37323 жыл бұрын
We kondoo kwelii
@onesmoelias85093 жыл бұрын
Kabisa ss kondoo wanatuchanganya
@dulividuli5237 Жыл бұрын
Sas nyie ndo kondoo mliopotea na nd tunatk tukurudishen hapa
waislamu mnajidanganya yesu ndiyo njia ya kweli na uzima mwanzo na mwisho ole Wako msioamini mtatupwa jehanamu maana Zina kuja siku mwana waadam atakapo kuja kila goti litapigwa
@aliidrisahmad57973 жыл бұрын
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
@hamissimba5970 Жыл бұрын
Waleikum ssalam warakhamatullah wabarakatu
@yahyakuchi75013 жыл бұрын
mazinge kwa dunia yaleo ww huna mfano unajuwa unajuwa kutangaza dini ya allah kwa kikamilifu
@kikongajoel51723 жыл бұрын
Yesu ni muokozi wa dunia ukiamua kumfata yesu nafsi yako utaiona
@fatumaabdallah10643 жыл бұрын
Mmmmmh pole sana
@kikongajoel51723 жыл бұрын
@@fatumaabdallah1064 hakika maneno yangu utakuja kuya kumbuka Sana yes u ni muokozi wa ulimwengu
@abdallahmzava17983 жыл бұрын
Allah akupe umri mlefu wenye mafanikio
@faustienealexi22683 жыл бұрын
Mi najua hao sio hawo mapasta waliomba uo muhazara ila najua ni sehemu ya kupunguza nja ni dili ta watu hoa ju hakuna mwanadamu anayeweza kutangaza dini ya Mungu Mungu anajitangaza mwenyewe haitaji musaadada wa mwanadamu anajizihilisha mwenyewe tu hao wanasema kama wanafanya kazi yake aliwatuma lini waache kujipendekeza na uo upuuzi uko East africa tu acha izo bwana hakuna asiyemujuwa Mungu
@martinchansamwinyi25082 жыл бұрын
Maa Shaa Allah! 🌹🌹🌹🌹
@bakariluhala73323 жыл бұрын
Allah akbar Mungu awazidishie yaliyo ya kher
@mrishokalamba3 жыл бұрын
Allah awape umri mrefu masheikh zetu 😂👌
@minabuelysee83 жыл бұрын
Amin
@severinemabirika22493 жыл бұрын
Sioni afya ya mjadala huu ktk kuitafuta pepo ....kwa nn kila mmoja wetu asibaki na imani yake ?
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
Ww una Imani gn bila ya kumfundishwa na mashekh wp utafamu
@kibatofinest88403 жыл бұрын
Mamy mdogo hasa kwa kubishana kutasaidia nini
@fatmasalim82933 жыл бұрын
الله اكبر الله اكبر الله اكبر
@eliabuedward87553 жыл бұрын
Naimani madhumuni ya kuanzisha midaharo si dhana ya kuondoa uovu duniani au kueneza habari za uzima,upendo,amani n.k.Embu tujikite kuutangaza wokovu wa kweli watu wamjue Mungu wa kweli. Dini haitampeleka mtu mbinguni
@shakilanyani18403 жыл бұрын
Allah Akbar,,,
@AshaMohamed-cy3oh4 ай бұрын
Mazinge upo sahihi Sana wafundishe makafiri hao
@kelvincray23453 жыл бұрын
Angaikeni kumtafuta MUNGU na kumjuwa wala sio kubishana na kujifanya mnamjuwa saana MUNGU
@aminasalum58643 жыл бұрын
Mashallah.
@rahimwaziri10873 жыл бұрын
Masha Allah
@mustaphahemedy94473 жыл бұрын
Allah akbr
@mashallahroook76373 жыл бұрын
MashaAllah
@livefans59143 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Ukifuatilia muhadhara ya Kenya ,halafu ulinganishe n Tanzania,Tanzania hamna kitu,kabisA,tunajitahidi, Kwa wahaziri WA tz ni watu wa mtaani ,makao makuu Yao sijui yako wapi,,,na jee michango itachangishwa mpaka siku ya kiama,au vip,natafuta mtu anieleweshe
@africayetutv3393 жыл бұрын
Mazinge unajifanya unajua sana hamna lolote
@fatumaabdallah10643 жыл бұрын
Ww ndoo ujui chochote kwenye dini mbona amjampa mdaa wake mume gongaa kegere
@officialyohanamalisa18733 жыл бұрын
Ninyi jadilianeni tu, ila mtambue Quruani inanena kwa Habari ya Kristo Yesu, kuwa mkombozi wa Ulimwengu, na Hakuna aendaye peponi pasipo kumkiri yeye. Naye amesema. Wajainuladhina tabauka, faukaladhina kafaru. Ole wenu
@salmasaid66393 жыл бұрын
Yo nitafute
@ismailjuma36923 жыл бұрын
Mazinge mashaallah uko vizuri
@labanjoseph93073 жыл бұрын
Mizinge mbona sababu nyingi ona sasa kilicho kukuta....hata swali haujajibu. Haujawatendea haki hauja tutendea haki
@imash04tv203 жыл бұрын
ww moga sana kuna mtu anamuweza huyo hapo tatizo hujasoma ungesoma ungejua kama suali si la elimu nq halina maana ya yy aliouliza
@hanashhanash5353 жыл бұрын
Allah ampee umri n afya
@user-ei3iy5fu1i4 ай бұрын
Yesu arikuwa mupangani wanyubani kwa mama yake muzazizi munahangahikabure
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Allah Akbar
@rinompemba59263 жыл бұрын
Mazinge utabaki kuwa mazinge tuu . In sha Allah . Allah zaidi kukuongoza vyema
@abdulyshaib21763 жыл бұрын
Mashallah
@AliMohamed-ng5ps4 ай бұрын
Mashaallah
@kitwanauhakika593 жыл бұрын
الله اکبر الله اکبر الله اکبر
@issmuking39873 жыл бұрын
Sh mazinge nooma
@dimosoalfani213 жыл бұрын
Mbona ikowazi kuwa wiisilam ndiyo dini yakweli nayamwezi mungu
@kelvinmakala53383 жыл бұрын
Hata Jina la Mungu unaandika kwa heruf ndogo, mnafuata upepo tu
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@kelvinmakala5338 😂😂 pumbuani huyu
@fatumamwantumu40813 жыл бұрын
Mashalla Allah
@emmanuelwiva71032 жыл бұрын
habari ya kiroho haimo ndani yenu enyi umma uliyopotoshwa,,,,,,,,,,,,,, kristo yesu ni adui yenu, mnampinga YESU dini yenu ni ya mpinga kristo JABARI.
@raziaidd23923 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@ellon52393 жыл бұрын
Mazinge akikutana na Mwalimu Ndacha ataaibika
@usajiliusajili65113 жыл бұрын
Mazinge kama unauheshimu uislamu basi usikashfu UKRISTO maana unayemkashfu naye anakashfu UISLAMU, sasa sijui unajenga au unabomoa
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
Mashekh waongea na kujibu kupitia kwenye Quran wala sio kama nyinyi mnao okota vitabu vya story books
@kibatofinest88403 жыл бұрын
Una uhakika gani mamy mdogo kuwa wakristo wanaokota vistory book????Mamy ishi maisha ya kumpendeza Mungu kusema kuwa wakristo wanaokota vistory book ni kukashifu dini ya kikristo na ni kama unajiona righteous mbele ya wakristo
@mustafamasaibu96453 жыл бұрын
Uislaam ni dini ya haqqi.
@fridageorge28093 жыл бұрын
Mi najiulizaga sana lkn huwa sipati jibu! Kwani haiwezekani kufanya kazi ya Mwenyezi Mungu ya kuwahubiria au na kuwaongoa watu pasipo kuingilia dini na kukashifu dini nyingine tena watu wanashangilia baada ya kuutafuta Uso wa Mwenyezi Mungu!!!?
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
Sasa MTU anahubirije bila kuambiwa Dini flani ni uongo ,Watu wanabudu moto masanamu na mizimu na Dini zingine za kutengenzwa ,kwaiyo ili uhubiri lazima useme ukweli
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
IPI Dini yaki IPI ya uongo
@mhogomchungu71683 жыл бұрын
hapo wameitana na kualikana kirafiki kujadili neno la Mwenyezi Mungu . Tambua waisilamu hawakuvamia kanisani bali wamealikwa , na ingekua hawataki wasingewaalika
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
Kujadiliana na kuambina haki ni IPI IFATWE!!@Muhogo mchungu
@kibatofinest88403 жыл бұрын
Fakiih so tuseme dini ya kikristo ni ya uongo????
@kingarthur46343 жыл бұрын
It's hard to imagine how the strapping the word of God in front of People like this ( This man he call himself Mazinge is a corn Artist ) his training to impose himself to the Muslim community that is right and Christian their wrong I think the coverment the should not allow this kind of habit to happen coz some people the will take in a wrong way n, someone will get hurt here... Trust me am telling u,
@gggg89463 жыл бұрын
Mashaallaah mashaallaah
@ramadhanchenga46063 жыл бұрын
Mazinge kashindwa kujibu swali
@isharabella2123 жыл бұрын
Dini ya kweli isiyosanamu. Ni Mashahidi wa Yehova
@faustinemussa68423 жыл бұрын
Asallaam aleiko!! naombeni niwakumbushe Tusikae tukijifurahisha kusikia maneneno ambayo siku yatihama hautahukumiwa kwadini uliosali au ww ulikuwa mutu marufu sana wauvishani katika dini, Tukumbuke ile siku yatihama utahukumiwa kwamatendo yako ulioyatenda wakati wauhaiwako .
@mrgeorgeisdory52773 жыл бұрын
Mungu hawagitaji wanao leta mizozo kuhusu Dini Mungu anahitaji wanao fuata maadili yake wenye himani ya matendo mema..... Kingine nawasaidia tuuu Dini ni Himani Acheni hivi vitu vinaleta uhasama fundisheni watu kumcha Mungu
@allymtungunyu24253 жыл бұрын
Mrgeorge ni kweli wafundishe watu kumcha mungu. Lakini tatizo hawamchi mungu ipasavyo anavyotaka mungu
@faustinemussa68423 жыл бұрын
kweli kabisa hao viongozi wanaoleta hiyo.mijadara hawatumii hakiri kwasababu ki2 dini nimani xx kunahajagani yakuleta ushindani wadini , Naunazani nani ambae anaushahidi kuwa dini anayoiamini ndio dini sahihi kwamaana watu wote tumekuta maandishi hatumjui kwasura mu2 alioyandika kunahaja gani yakuweka asilimia.zote. kikubwa kwamtazamo wangu naona huo niupumbavu ambao viongozi wamekosa kazi zakufanya nakuandaa mjadara wakijinga ambao hawajui utareta fitina..!!!
@allymtungunyu24253 жыл бұрын
@@faustinemussa6842 umezingua inamaana wewe kumbe hujui km dini yako ya haki au sio ya haki?
@faustinemussa68423 жыл бұрын
@@allymtungunyu2425 Dini yahaki ipo moyoni mwako2 sio mrango unaoingilia kwenda kwenyeibada ndo uamini et ndio dini sahihi, hadi ujisahau nakuzarau imani yam2 mwingine anayoiamini. ila niwakumbushe2 kuwa huo ubishani wadini hautatupeleka popote zaidi yakutupotezea muda nakutuletea uhasama. Ahasante!
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
@@faustinemussa6842 Hivi wajuwa makafiri wa gp wame slimu kupitia hii miadhara??? Mwenyezi mungu ametuambia tukatazaneni maovu tuamrishianeni mema haya jee ukabaki nayo kwenye moyo wako ndio utakaa ufefwata maneno ya Allah???
@daud87853 жыл бұрын
Ni vizuri mkaweka debate mwanzo hadi mwisho .
@aminagia29382 жыл бұрын
Mashallaah
@feisalomar-hr3hq7 ай бұрын
Wakiristo hawana akili wameambiwa dini za masanamu wanafurahi wakati yule mzungu aloigiza flamu wametengenezea Sanam na picha ndie mungu wao
@frankmpembu25052 жыл бұрын
Waislamu mmeshindwa,,,, DINI ZILIZO TANGULIA🤣🤣🤣ZAMANI UISLAMU HAUKUWEPO
@mohamedimafuluka64143 жыл бұрын
Alhamdulilah
@nicolashardy4785 Жыл бұрын
Mwalimu mazinge nakupenda Sana tena sana
@jumakhamis2263 жыл бұрын
Jazakamu ALLAH khaira mashekh wetu
@alfaqeera54983 жыл бұрын
amiin
@liwageboys47343 жыл бұрын
Waubir allh awazidishie daima
@frankalphayo12943 жыл бұрын
Mwenyekiti ww ndo umemuangusha Mazinge walau hata angesema hakuelewa swali sasa limerudiwa,na Mazinge kazamisha jahazi
@yohanaleopoldleopold25723 жыл бұрын
Acheni uchochez nyie
@allymtungunyu24253 жыл бұрын
@@yohanaleopoldleopold2572 uchochozi gani ndugu wakati hao wamekubaliana wenyewe wakae wazungumze na wala hawagombani
@bensonlangat6403 жыл бұрын
Yesu leo kaonyesha waislamu mahala pa sala ni kanisani,
@nyatya1993 жыл бұрын
Bali tumewaonyesha kuwa uislamu ni dini rahisi saana ibada popote mda wakuwa ni pasafi
@bensonlangat6403 жыл бұрын
@@nyatya199 Okay Kanisani ni pa safi.na shukuru kwa hiyo.
@nyatya1993 жыл бұрын
@@bensonlangat640 mpaka pakaswaliwa hapo ni pasaf pangekuwa na masanamu basi wasingeswali happy palikuwa safi kabisa hamna uchafu
@bensonlangat6403 жыл бұрын
@@nyatya199 hapo unakuja vizuri.naamini kama kungekua na Mwezi na nyota hawangeingia.ndio maana kawacha mahali penye nyota na Mwezi.kaitwa Kanisani.
@nyatya1993 жыл бұрын
@@bensonlangat640 inaonekana hujui maana ya sanamu
@OmarAli-go7dj3 жыл бұрын
kweli wewe ni professor
@partnersah88022 жыл бұрын
Kuna vitu vingi vya kuubili watu tuache uovu na sio kugombania nani mwenye haki. Allah peke yake anajua kwann aliacha haya yatokee.
@SamLamek-wk5ft Жыл бұрын
Nice
@lucaskasonde45582 жыл бұрын
Mazinge karuka swali, sijamelewa kabixa
@nohatredbutlove57863 жыл бұрын
Kwanza hakuna aya inasema hivyo. Sijui kasoma tafsiri gani huyu, lakini 5:47 haisemi hivyo, wala 16:125 haisemi hivyo.
@oscarpatrick38203 жыл бұрын
Hakuna ukristo kabla ya Yesu Kristo, ukristo ulianza baada ya Yesu Kristo
@dulividuli5237 Жыл бұрын
Baada ya Kufa ndo ulipoanzishwa Ukristo
@mohameeddoaan22963 жыл бұрын
MashaaAllah MashaaAllah
@yasafasalimu62173 жыл бұрын
Ma shall a mshallaa
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Mazinge nakupenda
@jeanmuzaliwa40543 жыл бұрын
kwanza dawa lauyo mazinge yupo kenya anaitwa mwalimu francis ndacha.
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Hhhhhhhhh mazinge tiba ya makafiri msomi huyo hamumuwez
@arthurnuhu85703 жыл бұрын
@@jeanmuzaliwa4054 ngo ndacha hhhh uyo anajuwa tu kuweka birak 🤣🤣🤣🤣
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
@@arthurnuhu8570 Kiboko cha makafiri
@arthurnuhu85703 жыл бұрын
@@mamymdogomamy3670 hhhh niatar kwel
@deusnzeran47523 жыл бұрын
Mbona vitu hivi vilinuwmazishwa kwsnini tena vimerudi hawa ndo wsnssabsbisha wenzao wanakaa gerezani Tanzania ni nchi ya Imani hatuki haya mama
@stormediaproductions21703 жыл бұрын
Huyu shekhee ni mpumbavu ...maana anahusisha dini na lugha...halafu kitu kingine Imani ni suala kubwa sana kwani hakuna atayekiri kwamba mungu wake ni muongo...!!!