Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze
@clemenceernestshooga4 сағат бұрын
MCH..JI Hananja Mzee wa michano ya ukwer nakukubari sana haunaga vya kufichaficha mwenyez Mungu akutangulie katika huduma zako..❤
@amosmwangela187821 күн бұрын
kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana
@Fred-Ma21 күн бұрын
Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅
@Rashid-vm1fk21 күн бұрын
Umesema kweli Rev: Hananja
@privaushaki739521 күн бұрын
Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana
@myself41287 сағат бұрын
Umenena Kweli Mtumishi ...
@NkindaOnen21 күн бұрын
Hananja professional Bible study
@victorombay662514 күн бұрын
Very good Pastor. Ubarikiwe Pastor
@aliabdallah845621 күн бұрын
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
@henryj330421 күн бұрын
Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤
@user-lz7rh1vr2y7 сағат бұрын
Mungu wetu ni waupendo naunyenyekevi nimungu wa fraha Asante mtumishi hananja Kila roho iliyojikana hutii neno la jumbe zako, Atakuongea chemchemi rohoni mwako kilafundisho likawe mbegu kwa mioyo ya waaminio ishikwaamani ukidhmu katika kufundisha
@ShukraniChomolla21 күн бұрын
Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi
@abdallahalwardi5884 сағат бұрын
Mzungu Alifanya Utafiti Biashara
@zamalisaide320921 күн бұрын
MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah
@neemakalugila767414 күн бұрын
May the Living God bless you abundantly Pastor, from Holland 🇳🇱
@gastonmbarila945821 күн бұрын
I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko
@RubenMtuwaMungu-bz8ee21 күн бұрын
Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi
@mbalilax16221 күн бұрын
huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh
@eliasilwimba18721 күн бұрын
Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.