Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"

  Рет қаралды 33,877

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba akichangia bungeni amejikuta akiwafurahisha wabunge wengi mara baada ya kuhoji kwanini polisi wamekuwa wakisimamia mitihani akihoji kwamba akili ya mtu siyo bando hivyo akiitaka serikali kuwa inaangalia wale ambao hawana akili wakifaulu mtihani wa mwisho ndio wachukuliwe hatua

Пікірлер: 34
@MuhibuChaka
@MuhibuChaka 4 ай бұрын
Kishimba una akili nyimgi sana hongera
@MuhibuChaka
@MuhibuChaka 4 ай бұрын
Una mawazo super mheshimiwa
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 Жыл бұрын
Uko vizuri sana watu kama nyinyi nd'o munafaa kua viongozi
@victormwakidunda3694
@victormwakidunda3694 2 жыл бұрын
Mawazo yako ni ya ki profesa yadumu
@carloscasmir2363
@carloscasmir2363 Жыл бұрын
Huyu mzee anaonekana wa kawaida ila amesheheni elimu ya maisha! Shortly speech zake nyingi anakuwa na logic sana
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 2 жыл бұрын
Huyu mwamba ni Profesa
@sephania8085
@sephania8085 2 жыл бұрын
Kuna wabunge wanajichekesha tuhapo Hawana kitu kichwan uyu mzeee yupo vzr
@mathayomkumbuchile1569
@mathayomkumbuchile1569 2 жыл бұрын
Huyu mzee ana akili sanaaaaa
@ariifrazakh9371
@ariifrazakh9371 Жыл бұрын
Yaani huyuuu ni genious
@AnjelinaMwamahonje
@AnjelinaMwamahonje Ай бұрын
Huyu ndiye mbunge anayeoongea vitu vya kujenga nchi tuuu!!!
@KulwaEdwardKatan
@KulwaEdwardKatan 24 күн бұрын
Kichwa chako mzee kinamadin ya kila aina
@kenethmwangoka4590
@kenethmwangoka4590 4 ай бұрын
huyu kishimba ingekua Mimi ndie na nachagua viongozi kishimba angekua makamu wa laisi yupo vizuli mama raisi Samia tuwekee huyu mtu ikulu
@Razkenya001
@Razkenya001 2 жыл бұрын
Nimependa hoja lake 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 Ай бұрын
The big kishimba
@victoriarwerengera4831
@victoriarwerengera4831 5 ай бұрын
🙏🙏🙏👍👍👍👍💪💪💪💪💅💅💅 Mzee umenipiga panapoumaaaaa!
@joachimgolola1086
@joachimgolola1086 Жыл бұрын
Big up
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Kishimba hongera baba
@Bill_afrika
@Bill_afrika 2 жыл бұрын
Waoh
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 2 жыл бұрын
Huyo anaakili mia
@hamisimbatyan5875
@hamisimbatyan5875 Жыл бұрын
Sjajuwa michango ya mawazo ya wabunge huwa wanatumiya kigezo gani kuyaingiza kwenye utekelezaji.
@paulinaswalehe5298
@paulinaswalehe5298 2 жыл бұрын
Professor
@adriankiponda7308
@adriankiponda7308 2 жыл бұрын
Unaakili sana kishimba
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 4 ай бұрын
Viongozi ngekuwa kama kishimba tungekuwa mbali
@edwinnzigo4670
@edwinnzigo4670 Жыл бұрын
Yani hao wanajiita wasomi inaonekana ndio km hawajasoma kabisa maana hakuna kitu kabisa
@stephanomwandule
@stephanomwandule Жыл бұрын
Mhe naomba namba yako ya simu japo nikusalimu tu
@stephanomwandule
@stephanomwandule Жыл бұрын
Mhe mbunge ninakuelewa na ninatamani siku moja nionane nawe ana kwa ana
@ElibarikiBee-vr6jg
@ElibarikiBee-vr6jg Жыл бұрын
Kishimba bomba
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 2 жыл бұрын
Ameongea vizuri sana lkn Polisi kazi yao sio kulinda wanafunzi ni kwa ajili ya usalama wa mitihani. Siku za nyuma mitihani ilikuwa inaporwa na majambazi au sijui tuwaiteje....kama tuna hakika wasimamizi watakuwa salama, waondolewe lkn sidhani
@mathayomkumbuchile1569
@mathayomkumbuchile1569 2 жыл бұрын
Siyo kweli, ni mwaka gani jambazi alipora mitihani? Mzee ana logic
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 2 жыл бұрын
@@mathayomkumbuchile1569 inaonesha wewe ni mdogo kwa umri, hujui mambo, mfano 2006, askari mmoja alipigwa risasi ya paja na watu waliotaka kuiba mitihani
@sifamanyori-kf9vq
@sifamanyori-kf9vq Жыл бұрын
Kaka unauwa uchawi kifikira nakushuru sana umaongea ya moyoni
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 2 жыл бұрын
Safi upo na wana nch
Mbunge aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi
5:41
Azam TV
Рет қаралды 155 М.
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 11 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 30 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Funny superhero siblings
Рет қаралды 10 МЛН
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 208 М.
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 11 МЛН