Mbunge wa Geita Mhe. Joseph Musukuma ameelezea namna alivyoupata utajiri wake, anachukizwa na wachezaji wanaocheza hovyo na amezitaja ngoma tatu anazozipenda rais Dkt. John Magufuli....tazama hapa.
Пікірлер: 102
@mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын
Nakukubali sana katika wabunge ninao wakubali ni wew.
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
nakukubali sana msukuma ulikua umeajiliwa korogwe kwa mcharo lakini huku kata tamaa nakupongeza mungu akuinue
@ramadhaniadamu59936 жыл бұрын
mtangazaji una kipaji kaka...big up.. msukuma unamaono positive ...may God bless u
@mbagaumeolewambaga40065 жыл бұрын
mbeya matukio
@24habari6 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri. Hongera brother. Nimependa mtiririko wa Interview yako
@juliassembeo29046 жыл бұрын
katika.wabunge.wote.nakuaminia.ww.mh.msukuma.ata.juzi.ulivokuja kata.ya.sambasha.ukiandamana.na.Dc.wa hai mh.lengai.sabaya.uliongea.maneno.yaliyotujenga.ss.vijana.godbless.u
@denismakweba38706 жыл бұрын
"Kazi ya ofisin aiwezi kukufanya ukaendelea ila itaku-keep busy......" Ahsant kaka
@mikematangira55466 жыл бұрын
denis makweba ,m
@AliM-di8dz6 жыл бұрын
Musukuma napenda akiwa bungeni yaani acha tu , na anajiamini baba wala haogopagi bg up sana
@polesananampala83184 жыл бұрын
Namkubali sana msuma
@nkwabitz2336 жыл бұрын
Msukuma.. Nicee
@shukurukihwelo30846 жыл бұрын
Safi nakushukuru kwakukumbuka fadhira za watu
@lightnesscharles50313 жыл бұрын
Nakupenda xn ww
@jeremiahmwegamo59545 жыл бұрын
Nakukubali sana musukuma piga kazi baba
@beautyibrahim84286 жыл бұрын
Yaan katika wabunge ninao wakubal wa kwanza ni huyu mheshimiwa msukuma kiboko kabisaa👏👏👏👏👏mungu aendelee kukuweka
@hasionshekiondo66804 жыл бұрын
Kaka nakukubar sana
@elivtv.baseafrica39886 жыл бұрын
Msukuma ana mabasi bukoba zaidi ya 40 yameandikwa king msukuma yanatoka mwanza yanaenda bukoba na kila siku ya ijumaa nauli sh 12000 . jumapili nauli bule mpaka bihalamulo . .alafu yote yana picha ya magufuli. Shikamoo pesa
@edmundedward43656 жыл бұрын
Askof Wa dar umejitahidi kupsmba uwongo Mabasi 40 Bo to Mz 😁😁
@elivtv.baseafrica39886 жыл бұрын
edmund edward we boya nn kama nadanganya ana mangapi? Wahaya mlivo na misifa ulitaka amiliki muhaya mwenzio .pita kushoto bana
@rostamkamazima10126 жыл бұрын
Askof Wa dar yote mabovu tu
@elivtv.baseafrica39886 жыл бұрын
Rostam Kamazima apana mbona mapya
@injili905 жыл бұрын
Wewe unazo ngapi
@emmanueljuliusmanyakenda3914 жыл бұрын
Wasukuma tupo juuuuu saana
@josephmlela97576 жыл бұрын
upo vzuri mh. msukuma
@mangwesimringi67614 жыл бұрын
Nc
@queenkhalimaqueenkhalima31746 жыл бұрын
Namkubali sana huyo mzee baba msukuma
@augustinopius28026 жыл бұрын
Ww si ulisema bangi Ni mzuri inaleta mzuka
@dismasstanslaus59852 жыл бұрын
Jamaa anaakili mno
@consesamallya43276 жыл бұрын
nakupenda bure
@josephumwekela86176 жыл бұрын
msukuma anajitahidi Sana katika utendaji kaz nmkubali sana
@josephmwile85945 жыл бұрын
pamoja mh. msukuma hakika bro
@madamcolethaa6415 жыл бұрын
Msukuma mpaka raha jamani
@sehemunzuri6 жыл бұрын
Mgenius ni Sukuma 😊
@michaeljova13976 жыл бұрын
Mwanaume mashine 😂😂😂😂 Tisha mwanakwetu ole hasawa gete nkoi
@gbconline20066 жыл бұрын
Team Ronaldo 🔥🔥💪
@pundetv61446 жыл бұрын
Uyu tei jamaa anajua sana clouds mpeni nafasi bhana pale choice apati nafasi
@lovefisima80104 жыл бұрын
Yuko vzr kwa kweli
@viniaskadunda57686 жыл бұрын
Safi
@bhtbundala34196 жыл бұрын
haha mwanaume machine ama kweli imeuza
@aduramaduram87884 жыл бұрын
yakweli
@piarasendeu23356 жыл бұрын
anakukubali cn msukuma
@jainahshabani40016 жыл бұрын
Natamani uwe Rais jmn daaah
@boazmtileghe3786 жыл бұрын
Kwaiyo huyo hana Nina lake official mpka mnamuita msukuma
@shinjegeorge76214 жыл бұрын
Ndo jina lake halisi kaka,Joseph Kasheku Msukuma
@barackramadhan14194 жыл бұрын
hahahaha eti kaglasi kamoja ka waini
@gosaizaka14956 жыл бұрын
kazi ya kuajiriwa inakukipu bizeeee dawaaa kwa hali hiii acha nipambane nimechoa kuajiriwaa
@josephmateru88926 жыл бұрын
Umetisha Cna Cr7
@rosemarybenjamin43336 жыл бұрын
😂😂😂wasukum bn
@lucaschicongoye56386 жыл бұрын
Kwa mpira wa bongo ni kweli
@Saniamunguatujaliyemwishomwema6 жыл бұрын
Umeongea ukweri kabisa musukuma kujiajiri nibola zaidi
@shaxmtanashati45466 жыл бұрын
Fresh
@aduramaduram87884 жыл бұрын
uko vizuli sana
@andreafransisi17024 жыл бұрын
Kiukweli kunamajimbo yanapata wabunge nahazi yajimbo inaonekana ata kibaka hawezi kutamani kugombea kwenye hilojimbo
@dtherockguy90036 жыл бұрын
Big gup msukumah
@kelvinshaban57215 жыл бұрын
aminiaaa saana msukumaaa!!
@stevenmaligo47026 жыл бұрын
mh msukuma safi sana
@christophamusa66846 жыл бұрын
noma xana ss wasukuma tuachen nchi tuiweke pazuli uchumi kama kawaida vyuma vimeachia.
@neltone Жыл бұрын
Miak 64,ila km 35 huyu n alien
@mnyamachui97716 жыл бұрын
pow pow Rs7
@lusungugatemile10465 жыл бұрын
nakukubalisana
@fubanjenjele5216 жыл бұрын
Kazi yako naifahamu mh, Mimi ni mpiga kura wako, ww ni mtetezi wa wanyonge, Ambulance tunaisubiri kwa hamu kwaajili ya nzera, nyamboge, na Jimbo kwa ujumla
@josephmpemba89516 жыл бұрын
Msjkuma jembe kbsa
@richmondzakaria84236 жыл бұрын
Msukuma mbunge mwadhili mawazo yake huwa yanajenga
@Knowledge_and_Understanding.6 жыл бұрын
NAFASI ZA MAOMBI, FURSA ZA KIBIASHARA DAR ES SALAAM *ONLINE BUSINESS OPPORTUNITY* Kampuni inatafuta watu walio makini na utayari watakaojiunga na online social network business platform, watakaofanya kazi full time ama part time na kulipwa Tsh 50,000-100,000 kwa siku, kutumia simu yako ya mkononi ama laptop kwa kuweka tu system ya kampuni. *MAHITAJI* 1.Uwe na smart phone, ama laptop iliyounganishwa Internet. 2. Uwe tayari kufanya kazi bila usimamizi wowote na ujitume. 3. Uwe na maono yaliyo chanya ( positive). 4. Uwe na umri wa miaka 18 na kuendelea. 5.Uwe mkazi wa DAR ES SALAAM na VIUNGA VYAKE. 6.Uwe tayari kufika ofisini siku na muda utakao hitajika. ✔kama unahitaji kuwa miogoni mwa fursa hii Tuma neno *NAHITAJI* ukiambatanisha -majina yako kamili -mahali unapokaa -na nambari ya simu. Kwenda namba:- +255 755 753 662 , kwajili ya kujumuishwa ndani ya list ya kampuni na kupewa mafunzo na Siku,tarehe, na mahali utakapoitwa ofisini kwa ajili ya usaili. IMETOLEWA NA:- Mardion Vedasto +255 755 753 662 OSD DIRECTOR. Dar Es Salaam.
@kyungualbetina24526 жыл бұрын
Shikamoo msukuma nakupenda bure tu
@lizysamson37226 жыл бұрын
uchaguzi.was.udiwani.arusha
@samueljemus64446 жыл бұрын
Xawa ngoxha yanga daima
@boazimbwaga87716 жыл бұрын
rais 2030 msukuma nakukubar miaka mia
@muhsinhafidh54906 жыл бұрын
nice
@emmanuelzephania72665 жыл бұрын
Aise wew ni mmoja Kati ya wabunge ninao wakubalia, kiasi kwamba nimekuwa mfuatiliaj wa mambo yako mengi ikiwemo hotuba n.k nakukubalia kinoma
@jamilahmuolage86636 жыл бұрын
Daaa nampenda huyu msukuma
@jeremiahmwasapilicharlie29266 жыл бұрын
Pala hilo ni sheeegda
@allymkamba11156 жыл бұрын
Msukuma mkataba wakoukisha njogombe rufiji kwasababu unangea Sana Bingen pwet
@franksonmzunya69656 жыл бұрын
Sipend mizik ila napend kuskiliza mizik!! 😨😨😷 wasukuma tabu ya kiswahili bado iko palepale
@samwelrobert63195 жыл бұрын
Frankson mzunya acha ujinga
@hkmeme54376 жыл бұрын
Ronaldo alvyo tolewa ata mimi pia morali tena
@rasijoackim38396 жыл бұрын
Hilary Kinyua
@rasijoackim38396 жыл бұрын
kwakwe. msukuma. namkubali. sana
@sebastianngassa20505 жыл бұрын
Mtangazaji ukovizuli
@husnajohn74666 жыл бұрын
Msukuma huwa ananikosha balaaa anajielewa
@s.adrianoone6266 жыл бұрын
Husna John ndo jina lake hill...Joseph msukuma....
@mbwanamtessa86076 жыл бұрын
Gudi
@hellenmassawe83566 жыл бұрын
Mbwana Mtessa msukuma katika ubora wake
@yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын
ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV DUDU BAYA YUPO PABAYA ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI
@shabanisambala68935 жыл бұрын
Sawa msukuma tumekusoma
@iammusic34046 жыл бұрын
Why don't u settle your disputes with WCB if your goal is to raise Tanzanian talents and economy altogether #mnayumba asee I feel pity for ya
@josephmpemba89516 жыл бұрын
Mwanaume mashine
@lobalobaanase4386 жыл бұрын
Km alivyosema sio mpnz wa MPR na Mimi msukuma yupo vzr japo sio wa chama changu napenda makeke yake,