MZEE WA KIKOSI KAZI, SISI TUNAENDELEA KUJIFUNZA TOKA KWAKO, USITUCHOKE, HATA WEWE HAUKUANZIA HAPO, ASANTE KWA UTAYARI NA KUKUBALI KUFANYIKA MWALIMU! NAKUHAKIKISHIA TUNAMALIZA KAZI KWA HESHIMA💪🏽
Пікірлер: 111
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Binafsi niyaonapo haya najuwa YESU yu karibu kuja, Mungu awabariki watumishi. Lisaidieni kanisa lipone liwe takatifu Yesu ajapo aikute IMANI ile aliyowaachia mitume. ✝️🛐😭
@felsonsanga8502Ай бұрын
Ubarikiwe baba askofu emmanuel
@amosimichael2084 жыл бұрын
Amen mch.masanja mabadiliko ni hatua moja baada ya nyingine huyo pastor anawokovu mgumu lakini ndo inayohitajika kwa sasa so wokovu wa sasa umebumbuliwa NB.maombi ndo iwe tabia ako mpaka mwisho achana na comment za watu huwezi kubadilika nipo India now wokovu wake nipo nae ni kam nipo Tanzania mfuate hasa.amen be blessed
@KashumbaMshanzi11 ай бұрын
Agaria sana watu kuwamakin
@setholivier48624 жыл бұрын
Inapendeza sana watoto wa MUNGU wakiwa pamoja ❤❤. . Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo. 1 Wakorintho 16:14 . Salimianeni kwa ishara ya upendo. 2 Wakorintho 13:12 .
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
christ olivier Ni kweli kabisaaa
@cliftonmahande93584 жыл бұрын
Mbarikiwa ni miongoni mwa watumishi wanaofundisha kweli yaani maisha ya Toba Mfuate huyu Emmanuel na umsikilize na kuyafuata maagizo yake kama Yoshua alivyomsikiliza Musa hautojuta. Injili ya kweli isiyo na mizaha ndiyo yenye mamlaka ya kubadili tabia zetu.
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Amina
@mrmhenipm4 жыл бұрын
Masanja umenifurahisha kiukweli ! Uendelee kubarikiwa mpaka wenye Wivu wabadilike wawe wema !Nawatakia kazi njema
@godfreykawibesele85454 жыл бұрын
Yani bro nashukuru Sana binafsi nabalikiwa kupitia ww so Mungu akulinde uenende sawasawa na mapenzi yake
@mwalongojames15074 жыл бұрын
Tunakukalibisha kwenye kikosi kazi Bwana masanja
@mwachamwacha55384 жыл бұрын
Mbarikiwa mzee wa gombo .injili isiyogoshiwa inapatikana hapo ..nakujua hukopeshi
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Huyu mzee anapiga gombo lileee la nyakati za biblia
@bartolomeuhenrique157411 ай бұрын
Kwa mchugaji mbalikiwa,anawokovu mgumu ata kuhumeza shida,ila ukivumilia kukaha naye duh,kwanini usiokoke,...amen
@amockkalinga1520 Жыл бұрын
Kwa kweli kaka Emmanuel mungu azidi kukutunza ainue huduma yako wewe ni mfano wa kuingwa👈💪💪🔥👏🙌🤩🤩🤩🤩🤩🙏
@ernestinamgeni63294 жыл бұрын
Mungu awabariki sana katika kazi zako
@natifasmith34684 жыл бұрын
Usipokubali kufundishwa huwezi kuwa mwalimu msanja mungu akubariki kwa kujishusha
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
natifa Smith Very True
@johnlearnmaths.25384 жыл бұрын
Kikosi kazi mbarikiwe
@josephhizza80042 жыл бұрын
Mch. Masanja ubarikiwe sana kwa unyenyekevu huu. Mungu atakupeleka mbali. Wana wa Mungu yatupasa kutokuwa wepesi katika kuhukumu. Na zaidi ya yote kutokuhukumu kabisa. Tuwe wanyenyekevu kwa kuwa Mungu ana watu wake.
@innocentmwangosi1997 Жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote mbarikiwe watumishi wa Mungu
@prayalways94164 жыл бұрын
Amina. Mbarikiweee 😍
@gauedwin19604 жыл бұрын
Woow..I looked and saw PAUL & TIMOTHY..Dady Emmanuel I Love Ur God,you are a blessed generation🙏
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Gaudenciar Edwin AMEN my Daughter 🙏🏾
@benardsamwelministry70244 жыл бұрын
Kwa yesu kumenoga hako katishet mtumishi nimekaelewa
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Benard samwel ministry Amen Asante sanaaa
@teeanna20604 жыл бұрын
Mungu nipe Mume mcha MUNGU kama Masanjaa🙏🙏 furaha kama yote
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Tee Anna Pokea sawasawa na haja ya Moyo wako
@teeanna20604 жыл бұрын
@@Feelfreechurch Amen napokea kwa jina la YESU
@kitasyajohn60334 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Dada hebu nakusihi nitafute kwenye namba hii 0764597887
@kitasyajohn60334 жыл бұрын
Tee
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Mungu akubariki umeomba lililo jema machoni pa Mungu amini imekuwa ivyo. Wengine tuliangukiaga ktk mikono ya wanyang'anyi ndoa zikafa tupo tunahangaika na dunia. Ninamachozi yasiyo kauka machoni maisha yote.
@medadiissa3244 жыл бұрын
Kazi isonge mbele Yesu Kristo ahubiriwe kwa nguvu zote
@cliftonmahande93584 жыл бұрын
Naomba daima adumu Mbarikiwa katika unyenyekevu asije akayaacha maagizo ya Bwana Yesu. Katika waimbaji anaongoza kwa nyimbo zenye nguvu za Mungu na zenye jumbe za kweli
@ericksuleiman96192 жыл бұрын
Mungu awakumbuke kwa kazi nzuri
@ev.eng.enockl.mwakapalila24994 жыл бұрын
Dah ni neema ya namna gani watu kukaa pamoja na kukubali kujifunza kwa waliowatangulia. Kaka Emmanuel na mchungaji niseme tu Mungu akubaliki sana kwa moyo wa namna hiyo.
@revinaimani68465 ай бұрын
Mtumishi wa mungu masanja mbona ili la mbarikiwa upo kimya jaman kuna nn hujui kuwa alifungwa? Na mwanae alikufa! Inapendeza saba ndg kukaa pamoja kwa umoja
@evangelistgideon69174 жыл бұрын
Mungu akubarikiwe sana
@josegambi71494 жыл бұрын
God may bless you Emanuel
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Kwa Yesu kuna raha Armani,Mungu azidi kuwa bariki kila iitwapo leo
@christophermgoli12364 жыл бұрын
Barikiwa Sana. Mchungaji Masanja kazi ndio kwanza imeamka panda mbegu za uzima.
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Christopher Mgoli Amen Amen
@samuelnduati97924 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwema.
@jackyluns82244 жыл бұрын
Ukipata wa hivi kama mch Emmanuel hujutii mahusiano unaona kama alikuwa wap toka zamani hongera mtumishi one day naiombea siku utupatie darasa daah i swear Mungu atatenda
@sabinagerold99624 жыл бұрын
Mungu awe nanyi, karibuni na kwangu
@iluminathawilliam65494 жыл бұрын
Waoooooo nimefurahi kumuona mwakipesile kwa mwasanja
@sillassaid3257 Жыл бұрын
Safi sana balikiwa
@gracelutumo6911 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi.
@servantjosiahtv31294 жыл бұрын
Nimefrahi sana... Nimebarikwa pia
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
servant Josiah TV Amen Asante sanaaa
@esterbarinaba58914 жыл бұрын
Mungu awainue ila siku nyingine sauti ifanyiwe marekebisho
@fanuelngambiye13424 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua watumishi
@yohanamlagala86084 жыл бұрын
Nawapenda sanaa watumishi wa mugu...nimefurah kwamkwli kuona mnakumbuka kutembeleana
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Yohana Mlagala Amen Amen
@OmariJuma-su6fz2 ай бұрын
Nikweli kbs
@sabinagerold99624 жыл бұрын
Sijui lin nitakutana nanyi Watumishi, Kaka Ema naomba namba
@maryemanuel52634 жыл бұрын
Kaka Masanja wewe ni watofauti sana napenda maisha unayoishi ya kumtanguliza Mungu maishani wacha Mungu aendelee kukubariki Na kukupeleka mbali kwa viwango.
@lucykanuti61384 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana MBARIKIWA MCHUNGAJI
@lucykanuti61384 жыл бұрын
Ameeeeen
@lucykanuti61384 жыл бұрын
Kweli kaka Immanuel
@kedricksiame61672 жыл бұрын
Hongera kwa kupokea ugeni mkubwa
@ezekieljolam39614 жыл бұрын
Mahali mlipo ni sehem sahihi mungu awabariki
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
ezekiel jolam Amen
@felsonsanga8502Ай бұрын
Emmanul ni humble sanq
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Askof umenipa rahaaa jinsi tu unavyotabasamu hivi na unavyoitikia amen askof haya bwana
@virginiakibe18464 жыл бұрын
One day iwill be in Tz will such you mchunganji masanja
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
virginia kibe anytime my friend
@florapeudy39632 жыл бұрын
Amina kubwa
@naomijohn12734 жыл бұрын
Vizur sana
@manmaster536 Жыл бұрын
Sawaaa masanja
@sillassaid3257 Жыл бұрын
Balikiwa Sana sana
@m.amanitv85344 жыл бұрын
Sauti iko chini Sana Masanja
@OmariJuma-su6fz2 ай бұрын
Naitazama nikiwa ujerumani
@magrethsanga9424 жыл бұрын
Amen
@salvatorymasaki47584 жыл бұрын
Wao God bless you
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
salvatory masaki Amen Asante sana
@emmosilver60392 ай бұрын
Baada ya masumbufu naiyona faraja ya MUNGU mwenye Rehema ikikujia,utabiri pokea kutoka kwa Bwana,naona badiliko la fanaka hutalia Tena Nuru naikujie,Pokea bubujiko la faraja na'am na usahau yote.Ili makusudi mema ya MUNGU ya timie kwako..
@jumakitandu54384 жыл бұрын
Kujifunza kutoka kwa waliopita ndiyo maarifa mema
@mercyjesus66372 жыл бұрын
Njoo na kwetu jmn
@felistasabuni42852 жыл бұрын
Amina
@gabrielenocygabriel46232 жыл бұрын
dah ebwana ubarikiwe mwakipesile
@naomioman97944 жыл бұрын
AmeeeN
@godfreymbuya-go5zd Жыл бұрын
Mrudishe njia kuu alianza nae kupoteza ngudu yetu huyo kukandamiza ilikuwa Kwa upande wa comedy ila Kwa upande wa Imani naona Kwa upande wangu angesema kubembeleza coz watu wanahitaji maandalizi kama hayo na sio vitisho maana automatical ukisema kukandamiza inamaana zakuendelea kudiskasi kitaalam niseme hii kukandamiza ilikaa kule original comedy Kwa ukomedy barikiwa mtumishi wa Mungu mtoto akiunyea mkono elewa.
@kitasyajohn60334 жыл бұрын
Huyo mwakipesile ni mchungaji wa kweli ambae anakagua mpaka kijiko Cha wali umekiwekaje mdomoni yaani namaanisha anakagua Kila tendo ufanyalo
@mariamswedi11402 жыл бұрын
Mh!!!
@ligthinessfilipo6475 Жыл бұрын
Masanja ninaamini hapo umekutana na upako .
@isackjrmedia67814 жыл бұрын
This is amazing
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
IZ_THINKER TV 🙏🏾
@rachelemmanuel62444 жыл бұрын
wakaribishe ndani wageni
@neemamwakasaje2801 Жыл бұрын
Kalambo national Park
@mjakaziveronicalucas2 жыл бұрын
Mke wa masanja 1 Timotheo 2:9,1petro 3:3-4
@mangakwigema2 жыл бұрын
Leo masanja mpole km nini
@angelantony53564 жыл бұрын
masanja na mbarikiwa????? Mungu atusaidie tuwe na mwisho mzuri. wawili hawawezi kwenda pamoja kama hawajapatana. sina imani saaana na muunganiko huu. mwenye jicho la roho ataona kitu hapo , walio waombaji watapata kitu cha kufanyia kazi na watu wa mwilini hawataona chochote. Roho wa Mungu atusaidie katika kila huduma anayotupa itufanye tuzidi kushuka zaidi kuliko kuinuka. shetani mbaya jamani....
@lubatikoseme94122 жыл бұрын
Next stop Kwa mwamposya mkakanyage mafuta
@princeemmamunda42864 жыл бұрын
Nakataka hako kashati kalikoandikwa kwa Yesu kumenoga Mchango wake ili nikapate ni shingap
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Prince Emma Munda Sawa wala hamna neno UTAKAPATA KABISAA
@tusajigwemathias37584 жыл бұрын
@@Feelfreechurch mi pia masanja ila nipo mbeya naomba nikapatee pleaseeee
@hellenimmaculate59534 жыл бұрын
Hicho kigae kilichopasuka mkeo hakioni
@sophiamduma73974 жыл бұрын
Mhhh kila mtu Ana mtazam wako.... Big up mchg ema
@tunukiwamahenge15494 жыл бұрын
Barikiwa sana
@happynyahoro73344 жыл бұрын
Nampenda sana Masanja na mke wake wana upendo wakutoka ndani wako wazi, Mungu awabariki sana hamna roho yakujikweza.
@elicalyimo85924 жыл бұрын
Mungu awabariki
@mwasamwasomola71382 жыл бұрын
Pastor masanja Mungu azidi kukuinua kwa unyenyekevu wako tunajifunza mengi
@hawashedrack9592 жыл бұрын
Uwiiii kaka Masanja jmn chunguza Kwanza .wakuachie kitabu chake yale nimaono yk
@bilioneabichwa4 жыл бұрын
Masanja ni mtu mwenye akili sana,, ana uwezo wa kubadilika kulingana Na mazingira Na kuishi Na mtu wa aina yeyote.
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Blionea Bichwa Ndivyo itupasavyo kuwa🙏🏾
@shushan11134 жыл бұрын
Paulo anasema nilikuwa Kama myahudi ili niwapate wayahudi nilikuwa Kama mtumwa ili niwapate watumwa...nilikuwa kama chini ya Sheria ili niwapate walioouwa chini sheria ingawa sipo chini ya Sheria
@evangelistmagadula65094 жыл бұрын
Njoo Lumo huku
@jackyluns82244 жыл бұрын
Ukipata wa hivi kama mch Emmanuel hujutii mahusiano unaona kama alikuwa wap toka zamani hongera mtumishi one day naiombea siku utupatie darasa daah i swear Mungu atatenda