Huyu ndio mchungaji Daniel ndacha jifunzeni kwake Ubarikiwe sana mchungaji
@Joh-j9sКүн бұрын
SIMLIZ LEO UMECHEMKA yani unaenda kumhoji mtu ambae hata kwa mwonekano tu anaonekana mvuta ...... hiv. afu huo uchungaji kaupata wapi huyu yani mtu kujua mistali miwili mitatu tayali unamwita mchungaji !!! Aibu sana.😢😢😢
@SaidiNyanga-k2q4 сағат бұрын
Wewe ni legion Hakuna Mungu Kristo Hapo
@Msemakweli05823 сағат бұрын
Kwanza bwana simulizi, huyu sio nabii wa mungu ni mshirikina na mungu hamjui
@wakeshojanaКүн бұрын
Ati Malawi 17 ???? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mkristo yupi hajui ni WALAWI na sio Malawi???? SIMULIZI watu sio wajinga bwana 😂😂😂
@hashirali4587Күн бұрын
Watu wasome na wafahami maandiko na waache mabishano na ubishi wa imani aliyoaminishwa na kusoma baadhi ya maandiko na kuacha baadhi ya maandiko
@KelliusPapa22 сағат бұрын
Ningependa sana niweze kukutana nahuyu mchungaji tupige nae mada kuhusu watu waliokufa,,,waganga,,,, wachawi tutumie andiko pasipo manano makavu.
@alerts9917Күн бұрын
Mtu mwenye anadai kuwa kuna jinn nzuri na jinn mbaya uyo si mkristo
@ZayyanaBamuni23 сағат бұрын
@@alerts9917 ukiona jinni kamuingia binaadamu basi huyo ni jinni mbaya,jinni mzuri hamuingii mtu kwa namna yeyote,jinni ili awe mwema anabaki katika ulimwengu wake wa kijinni bila kujihusisha na binaadamu kwa namna yeyote ile
@YohanaMsekefuКүн бұрын
Simulizi leo umechemka unamsikiliza huyo mtu bila maandi hakika hii ni ajabu mbona akinandacha huwaomba maandiko?
@shepherd1x84Күн бұрын
Huyu anamdudu kea kichwa😂😂😂😂
@godwinkileo7702Күн бұрын
Hakuna jini mzuri wote wabaya
@SaxidyMud-gd4bqКүн бұрын
Lete andiko linalosema jini wote wabaya
@SaxidyMud-gd4bqКүн бұрын
Kwa andiko lipi
@SabihaibrahimRajabuКүн бұрын
Wapo wema kwa mungu kuliko wewe
@brothermuadhwam890Күн бұрын
Huna akili ata kidogo
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
Ni Malaika pekee ndio maasum yaani hawamuasi Mlmungu,majjini na binaadamu wapo wanaoasi na wapo wanaotii
@ChandeDaudiКүн бұрын
Mtu yeyote anae mponya mgonjwa ni mganga hata wachungaji ni waganga wanaponya
@moriskadungula935319 сағат бұрын
Huyo siyo mchungaji au mkristo coz hata vaa yake tu anaonekana wa upande wa pili.
@SaidiNyanga-k2q4 сағат бұрын
Unamasha tanaomba Kwa jina LA yesu tunatumia majini
@MsuyaJeremiaКүн бұрын
Hapa namkumbuka yule msanii Mchungaji DOMINIC aliyesilimu...., huyu ni muislamu.
@interiorpaintingdesign9307Күн бұрын
Huyu na ni Sule
@fettymcharuko7341Күн бұрын
Huyu mchungaji anajielewa hata sauti yake haina pepo mchafu kama wagalatia wengine ,mungu amuongoze kwenye dini ya yesu ya ki islamu
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
@@fettymcharuko7341 😃 nimecheka kwa sauti wallah ALLAHUMMA AMYN YAARABY
@triuneapologeticsevangelis5912Күн бұрын
😂😂😂huyu ni mjakazi wa sule
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Simulizi pengine anahisi huyu ana uhusiano na uislam
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
Muislam hawezi kuwa na mahusiano ya kiibada na mtu anaemuabudu binaadamu mwenzake
@alerts9917Күн бұрын
@@ZayyanaBamuni nkama haujaelewa juu Mohammed alifanya majinn kuwa waislamu na mkuu wa majinn ni shetani na uyu jamaa anatetea majinn na ukristo haungiani na majinn kwa sababu hakuna jinn nzuri na mambaya yote ni mbaya ila shetani anaeza jifanya malaika wa nuru
@ZayyanaBamuni23 сағат бұрын
@@alerts9917 kwani farao alikuwa binaadamu au jinni?km alikuwa binaadamu so unamaanisha binaadamu wote wanaenda jahannam km binaadamu mwenzao farao
@hamishatibu100720 сағат бұрын
Hahaaa kisu kimegonga kwenye mfupa
@alerts9917Күн бұрын
Huyu anafanyia shetani juu jinn ni malaika walio mwasi Mungu akuna nzuri na suleiman alikua mchanga mungu hakutumia majinn ila Mohammed.
@AbuAdnazminКүн бұрын
Heeeheee wewe sikia tu Jinni na Malaika ni majina mawili tofauti. Kwa ufupi ni viumbe havifanani. Hebu taka sifa za Jinni na za malaika tuone uelewa wako katika jambo hili. Swali tu
@adamcharo9327Күн бұрын
We ni mlemavu WA kufikria.....
@chikuiddy9946Күн бұрын
Wew huna tofauti na katoto kachanga huelew chochote, jaribu kuwa mfuatliaji ili ujue usikalie ubishhih
@alerts9917Күн бұрын
@@AbuAdnazmin shetani ni jinn kubwa kulingana na quran 18:50 but ukisoma bibilia inasema shetani alikua malaika mkubwa aliye mwasi mungu ndo manake alitupwa kutoka mbinguni Ezekiel 28:12-15, kwa uislamu wanachanganyikiwa hawajui shetani kuwa alikua malaika kerubi mbunguni juu Mohammed alisilimisha mashetani kuwa waislamu na kudanganywa nayo ilikupofusha wafuasi wake
@alerts9917Күн бұрын
@@adamcharo9327 uislamu haukufunzi kuwa matusi ni dhambi ndo manake mlipofushwa na majinn kuwa wao si malaika na kusahau shetani alitupwa kutoka mbinguni na alikua mlaghai akadanganya Mohammed kuwa wamefurahishwa na quran kumbe ameslimisha shetani na mungu mwenyewe anatuonya hawezi tumikia shetani na yeye
@Charles-jf8mqКүн бұрын
Huyu mtu anaongea nini kweli?
@moshantojКүн бұрын
Hii ni nini 😂😂
@joseaugust280520 сағат бұрын
ELIMU YA ULIMWENGU WA ROHO KATIKA UISLAM NA UKRISTO UNATOFAUTIANA , NDO MAANA IMANI NAYO INATOFAUTIANA
@byamashshaban9246Күн бұрын
Simulizi aje uongeya na mtu ana indiko,akwoneshe kwenye biblia,kwenye biblia akuna indiko lenye limeongelea Suleman umetumiya majini.akuna mwezi mzuri na mwizi mbaya
@PendoKalama-rn8pf13 сағат бұрын
😂😂😂😂 simulizi leo kajutana na pastor asie jua jini nikiumbe gani..et kuna jini mzuri na mbaya,,,huyo mzuri mbona asiitwe malaika
@MwasabuniSuleimanКүн бұрын
Kwenye bibilia hakuna agano jipya bwana yesu alisema nilikuja kukamilisha torati pia aliongeza lakini hakutaja injili bali alisema mbingu na inchi zitaondoka lakini torati itabaki. Tafuteni agano jipya.
@SabihaibrahimRajabuКүн бұрын
Kwa iyo kumbe hakuna injili
@FadhilZaharan12 сағат бұрын
Simulizi kama hujui usibishe unabisha vitu ambavyo huvijui unaniboa Sasa uyo nimchungaji wako nae pia humuamini kama hujui kaa chini ufundishwe Acha kuasikiliz a akina Daniel na ndacha hao hamnakitu
@@GeraldMswazi-bp2kw mnamkataa kwakuwaambia kweli,mleteni kwetu sisi tunamkaribisha
@justinemisigaro147115 сағат бұрын
Wewe ni mganga wa kienyeji tu
@SabihaibrahimRajabuКүн бұрын
Kuna watu wajinga tu kwani hata ukikataa kiumbe cha mungu yeye ndo keshakiumba wewe itakusaidia nini majini ni viumbe hai vimeumbwa na mungu anawapa pumzi na riziki kama viumbe vyengine wewe unayekataa ni nanii
@onasisthegreat1946Күн бұрын
Akili ndogo hiyo, hata shetani ni kiumbe so tumukubali
@JeanMuzaliwa-bs6qhКүн бұрын
@@onasisthegreat1946Asante sana mpendwa swali nzuri sana ilo umempiga!
@badruseif1318Күн бұрын
@@onasisthegreat1946shetani Ni sifa, wako majini wachafu Ni mashetani na binadamu pia akiwa muovu Ni shetani, Kwa iyo Mwenyezi Mungu hajaumba kiumbe kinaitwa shetani Bali hiyo Ni sifa ya kiumbe muovu
@onasisthegreat1946Күн бұрын
@badruseif1318 hiyo ni mambo tu ya Qur'an tu, according to the Bible Satan was an Angel created by God but he defied God
@onasisthegreat1946Күн бұрын
Do you know the difference btwn recognising and accepting
@Skeletonking2116Күн бұрын
Mbona anaongea bila kutoa maandiko
@MosesKubo23 сағат бұрын
hao ndoo wamevaa ngozi ya kondoo kumbe chui
@JosephChai-u1hКүн бұрын
Hawa n wachokonozi akidai n mchungaji
@kennah03m21 сағат бұрын
Kisa cha suleiman na majini kipo kwenye Quran pekee 😅😅 inakuaje anakiamini.
@MwasabuniSuleimanКүн бұрын
Sasa kristo ni roho ama ni mtu
@Nehemiaayo-b8cКүн бұрын
pepo akija aji kama mbaya kamwe ila mwisho wake ni kiliyo na kusanga meno kasome bible ya Ethiopia aijaguswa iyo
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
@@Nehemiaayo-b8c usichokijuwa kuna mapepo wengi yaani majini wanaishi katika ulimwengu wao wa majjini wala hawamjii mtu wala hawajiusishi na mambo ya binaadamu,kwa mujibu wa uislamu hao ndio wema,ila nyinyi mkitajiwa majini mnaona km wote wanawaripukia watu kichwani,laahasha sio hivo wengine wapo kivyao hawatangamani kabisa na binaadamu
@samxx411Күн бұрын
Kwahivyo hii yenu imechakachuliwa??😅😅😅
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
@@samxx411 😃 lakini waseme wenyewe tu,ukisema wewe kinachofata ni matusi
@chaco1466Күн бұрын
Apo akuna mchungaji 😂😂😂uyo ni wamchongo
@SabihaibrahimRajabuКүн бұрын
Unamkataa hahahaaaa
@JosembisКүн бұрын
Ndungu huna hoja ila stories,umekosa elimi . Hivi wamaanisha diviner wagaga, majini misikistiki na pengine pote wanekua Kuna wema? Majini wote ni malaika walioasi waliobaki katika utakatifu wao wamebaki kwa Ile jina malaika ila walioasi ndio hao majini
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Majini wameumbwa vipi?
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Huna elimu kabisaaaa.
@dwsamuel9279Күн бұрын
Huyu katumwa
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Na nani
@dwsamuel9279Күн бұрын
Na wapinga kristo
@JosembisКүн бұрын
Huyu mtu muongo ,amesoma haya ikamuonya,sasa anayumba hapa na pale
@charlesmapunda-g5lКүн бұрын
Huyu ni Muislam sio mkristo tena ibilisi mkubwa hakuna mkristo wa kweli wanaabudu Mizimu hakuna Jini mzuri Majini wote Baba yao ni Lusifa ni Malaika tu ndio wasaidizi wa Mungu huyu ni tapeli aseme kanisa lake ni lipi? Huyu Mbwa katumwa.
@hashirali4587Күн бұрын
Huyu jamaa wakiristo watamchukia na watamkana kwasababu anafahamu ukweli wa bible
@interiorpaintingdesign9307Күн бұрын
Uyu mtu amechanganyikiwa ametia andiko na haelezi anaanza kueleza utafauti wa bibilia hana elimu kabisa
@SaxidyMud-gd4bqКүн бұрын
Kwa hoja ipi
@jumanjenga7682Күн бұрын
Majini waloumbwa na Mungu ili wamuabudu.King Solomon alitumia Majini kufanya kazi zake za ujenzi kujenga Temple na ukulima.Alifahamu lugha ya Majini.
@byamashshaban9246Күн бұрын
Uyo atumihi biblia anatumiya coran
@FadhilZaharan12 сағат бұрын
Duuh huo niuongo eti Adam alikua namke mwingine hayo ndounayo yapenda kudanganywa ukweli huutaki Sasa pokea uongo huo
@chapchap-oz1ouКүн бұрын
MWIZI NI MWIZI....HAKUNA MWIZI MZURI NA MWIZI MBAYA.....HAKUNA MAJINI WABAYA NA WAZURI...SHETANI NI SHETANI TU....MCHUNGAJI WA MCHONGO HUYU HANA TOFAUTI NA YULE MCHUNGAJI DOMINIC ALOLETWA NA SHAFII KUDANGANYA UMA NAYE!!
@SaxidyMud-gd4bqКүн бұрын
Kwani mungu aliumba mwizi ??😂
@SaxidyMud-gd4bqКүн бұрын
Kama shetani ni shetani inamaana Petro na yuda wanaenda motoni😂😂😂
@chapchap-oz1ouКүн бұрын
@@SaxidyMud-gd4bq PETRO HAPANA....NI AKILI ZAKO!! TOA ANDIKO
@chapchap-oz1ouКүн бұрын
@ PETRO HAPANA SIO SHETANI..
@chapchap-oz1ouКүн бұрын
@ Kwani mungu aliumba mwizi ??😂 NAAM... MUNGU ALIUMBA VYOTE.....HAKUKUSUDIA UWE MWIZI....NI MAPENZI YAKO!!
@chazgunda5823Күн бұрын
Uyu ni muislam kama waislam wengine tu
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Mnamkataa leo
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Kasome bibilia. Tena zote. Maana kila bibilia imeandikwa kivyake
@barakavalencendola1117Күн бұрын
Yaani tumeingiliwa na huyu ni nabii,huyu amepangwa ujinga huu
@JohnNgige-r9yКүн бұрын
Huyu ni mchungaji kweli? Alisoma Bible gani??? HAKUNA uhusiano wowote ule kati ya Wafu na walio Hai. Yeye atendae haya yani aombae wafu kama ibada ni chukizo sana kwa Mungu.""Torati 18:9-12, mhubiri 9:5, mathayo 22 :32"". Efe 5:7-11 SUV Basi msishirikiane nao. Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika Bwana; enendeni kama watoto wa nuru, kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli; mkihakiki ni nini impendezayo Bwana. Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee
@charlesmapunda-g5lКүн бұрын
Amkeni wapendwa huyu anafundisha mafundisho ya Biblia ya Freemason ndio maana anasema watakatifu ni wazungu kama sio Pumbavu huyu Musa au Samweli au Elia au Yesu mwenyewe na wengine wengi ndani ya Biblia ni wazungu? Mbona Biblia imeandika? Kuhusu hao watu?iko wazi?
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Malaika wameumbwa vipi?
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Tatizo hujuwi mungu nani?, malaika nani?, jini nani? Na hao wote hujuwi wameumbwaje . Kama unajuwa nieleze
@charlesmapunda-g5lКүн бұрын
@Catherine-mh8sw Mungu sifa yake ni mwanzo na mwisho na ni Neno. Hiyo utaipata kwenye vitabu Biblia na Quran. Malaika wameumbwa kwa Moto ambao ndani yake wakatoka wachache wakampinga Mungu ambaye ni Lusifa Aliekuwa Malaika mkubwa, wakatupwa kuzimu na wenzake walio muasi Mungu ndio wakawa Majini walaaniwa ndio wakaanza kuharibu maisha ya watu kwa kutaka kumkomoa Mungu. Malaika ndio walinzi wa binadamu mpaka leo sio Majini.
@charlesmapunda-g5lКүн бұрын
@Catherine-mh8sw Mungu sifa yake ni mwanzo na mwisho na ni Neno. Hiyo utaipata kwenye vitabu Biblia na Quran. Malaika wameumbwa kwa Moto ambao ndani yake wakatoka wachache wakampinga Mungu ambaye ni Lusifa Aliekuwa Malaika mkubwa, wakatupwa kuzimu na wenzake walio muasi Mungu ndio wakawa Majini walaaniwa ndio wakaanza kuharibu maisha ya watu kwa kutaka kumkomoa Mungu. Malaika ndio walinzi wa binadamu mpaka leo sio Majini.
@Catherine-mh8swКүн бұрын
@charlesmapunda-g5l andiko linalosema majini walikuwa malaika
@justinemisigaro147115 сағат бұрын
Wewe si Mtumishi wa Mungu wa kweli kama unakubali na kuamini majini hakuna sehemu yeyote Bible inasema Sulemani alitumia majini thibitisha kwa maandiko toa ushahidi hayo usemayo wewe ni mwongo na wakala wa shetani mkubwa
@danielkamau2987Күн бұрын
Huyu ni mbwa mwitu mkali amefaa ngozi ya kodoo,huyu ni mwislamu amenjificha kwa wakristo..
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
@@danielkamau2987 uwiii 😃
@badruseif1318Күн бұрын
Muislamu ajifiche Kwa ukristo anatafuta nini?
@danielkamau2987Күн бұрын
@badruseif1318 kuwa potosha wakristo na uongo yake ati Sulemani na majini na kwa bibilia hakuna, hataweza brother
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Mnamkataa mchungaji wenu leo
@Catherine-mh8swКүн бұрын
@@badruseif1318kabisa
@prochesernest5439Күн бұрын
Wewe dogo hacha ujinga mbona umengangania wazungu basi acha kuitumia hiyo biblia basi kama wazungu walikosea wewe ni kipofu ujielewi wewe unamacho ya kipepo roho za utambuzi
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Ndiyo maana mnaambiwa bibilia imeharibiwa mnabisha. Kila bibilia imeandikwa kivyake
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
@@Catherine-mh8sw tena wakikaa wenyewe wanasema voo lakini neno hili akisema Muislam linakuwa kosa
@Catherine-mh8swКүн бұрын
@ZayyanaBamuni pia wangine hawaamini kama bibilia imechafulialiwa
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
😂simulizi wewe mchonganishi,leo umewachonganisha kondoo na mchungaji wao
@danielkamau2987Күн бұрын
Haaaaaaa
@ZakariaJacksonКүн бұрын
Hajui ata kujielezea mpumbavu mkubwa uyo
@SabihaibrahimRajabuКүн бұрын
Nabii wenu unamtukanaa
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
@@SabihaibrahimRajabu😂wao wanamtukana nabii wa Mlmungu lbrahim na wengine unashangaa kumtukana huyo
@badruseif1318Күн бұрын
Nabii wenu uyo Leo mnamkataa
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Tatizo simulizi haelewi nini jini , nini malaika , nani Mungu. Na hajuwi malaika, binaadam na majini wameumbwaje hilo ni tatizo
@ZayyanaBamuniКүн бұрын
@@Catherine-mh8sw na ndio tunawaona ni wakaidi kumbe wenzetu wamefundishwa jjini ni malaika alieasi,wakati kwetu sisi jjini ni kiumbe chengine na malaika ni kiumbe chengine
@prochesernest5439Күн бұрын
Huyu dogo anachembechembe za uislamu ndiomaana kangangania Suleiman alituambia majini wakati kwenye biblia hakuna kitu kama hicho Wala andiko yeye kabaki na biblia nipana biblia ni Pana simurizi safi sana tuletee Hawa watu waliojifucha kwenye ukristo kati ni wanganga WA matunguri ni mjinga heti Suleiman Kwakuwa ameandikwa kwenye biblia ndo huyo WA Quran aliyetumia majini Mungu WA kwenye biblia sio mungu WA kwenye Quran huyo nabii feki ni muongo ajielewi na anayatumia majini huyo ndiomaana anayapigia debe wewe jiweke wazi tu Kama goodlevo anavyosema yeye anatumia mizimu kutajiri anayaita jicho la tatu wakristo hatupati tabu kwake kaacha ukristo kaamua kuabudu mizimu ya Babu yake wewe ukija hadhalani njoo na maandiko ya biblia yanayokusapoti kwenye unabii wako unaokuluusu kuamini mizimu majini mapepo wachafu mashetani
@Catherine-mh8swКүн бұрын
Waislam wameumbwa na nani?
@prochesernest543923 сағат бұрын
@Catherine-mh8sw Hilo sio swali uliza swali ? Kuhusu kuumbwa
@ZengoSimonКүн бұрын
wewe jamaa wapi maandiko yanaonyesha watakatifu ni wazungu? pia wafu hawajui lolote (mhubiriri 9:5-6), bilbilia gani unatumia ndugu? toa ushahidi wa maandiko, acha stori.