Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake

  Рет қаралды 561,872

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

3 жыл бұрын

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Пікірлер: 297
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 7 ай бұрын
Anayeangalia hizi clip za JPM mpaka leo tujuane kwa like.
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 4 ай бұрын
MAGU Wee 🙏🙏
@victorkamau5716
@victorkamau5716 3 ай бұрын
𝑵𝒌𝒐 𝒂𝒑𝒂 𝒇𝒓𝒐𝒎 𝒌𝒆𝒏𝒚𝒂
@abdallahsidudu3438
@abdallahsidudu3438 Жыл бұрын
Nawapenda wote mnaempenda maguful
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 5 ай бұрын
Kabisa
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 ай бұрын
Nami nakupenda pia
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 ай бұрын
Nami nakupenda pia ❤
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 3 ай бұрын
@@halimamasai2234 Asante kwa kunipenda
@saidrashid5972
@saidrashid5972 Жыл бұрын
Kama kuna chuo cha Uongozi na utumishi bora basi Magufuli ni best institute of leadership
@chubakamirindijean-pierre5261
@chubakamirindijean-pierre5261 Жыл бұрын
Kiongozi wa Afrika tofauti kabisa, ulikuwa mutu wa maana sana, hatutakusahau kamwe, kutoka Bukavu Congo ,drc 🇨🇩😭😭😭😭.
@samwelmushi6162
@samwelmushi6162 Жыл бұрын
Chadema na ccm wote wale wale wanasiasa lkn huyu alikuwa kiongozi mwenye maono ya mbali jpm tutakumumbuka baba
@msafirimwambela8887
@msafirimwambela8887 Жыл бұрын
Mungu tupe rais Tena kama huyu,
@saimonjoseph4663
@saimonjoseph4663 Жыл бұрын
Hawez tokea
@user-rw5uw9jq5b
@user-rw5uw9jq5b 6 ай бұрын
Baada ya miaka mia 7
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 ай бұрын
Inshaallah
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 ай бұрын
​@@saimonjoseph4663kwa nini
@David-if6nk
@David-if6nk 5 ай бұрын
Labda makonda
@allymwadi2815
@allymwadi2815 Жыл бұрын
Ulale salamaa mzee wetuuu
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 3 жыл бұрын
Man of the people
@funnymoments5393
@funnymoments5393 3 жыл бұрын
Alikua kiongozi asiye yumbishwa, hapendi mzaa kwenye issue serious, utadumu daima Shujaa wetu, umeacha alama 😭😭
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Daa kaka nakukumbuka kwa ujasiri wako kaka
@denissiedisoni-lk7xm
@denissiedisoni-lk7xm Жыл бұрын
Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@flightclubtanzania1638
@flightclubtanzania1638 3 жыл бұрын
Nenda kwa Aman Mwamba wetu
@KuntukumuSadam
@KuntukumuSadam Жыл бұрын
Moja ya watu muhimu kuwahi kutokea 😢😢😢😢😢
@getrudecharles8689
@getrudecharles8689 11 ай бұрын
Hakika,
@ferdinandshisanya7216
@ferdinandshisanya7216 Жыл бұрын
It's only Magufuli spirits that can liberate Africa. Continue Rip a True liberator🇰🇪🇰🇪
@simonjongoja
@simonjongoja Жыл бұрын
Kizur hakidumu 1 of the fdssertrsg people...
@saidndimbo2738
@saidndimbo2738 Жыл бұрын
A true leader of Africa, Rest in peace
@user-rt7rl6ki1r
@user-rt7rl6ki1r 5 ай бұрын
GOOD
@husseinnkuna6401
@husseinnkuna6401 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭
@tajiriadamu41
@tajiriadamu41 Жыл бұрын
You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿
@samidohsam-fj1lo
@samidohsam-fj1lo Жыл бұрын
He was a man a man with mercy wisdom
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.
@yohanaamon5182
@yohanaamon5182 Жыл бұрын
Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.
@Abneruwezaeliyaad2
@Abneruwezaeliyaad2 10 ай бұрын
Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 5 ай бұрын
Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024
@thomaskubini8116
@thomaskubini8116 Жыл бұрын
Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana
@Stanley.kapumbira
@Stanley.kapumbira Жыл бұрын
Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman
@shaffihsiraji3141
@shaffihsiraji3141 5 ай бұрын
Kabisa
@mwingadulle7400
@mwingadulle7400 4 ай бұрын
Mnoooo
@faizatmfaume9051
@faizatmfaume9051 Жыл бұрын
Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee
@testarguy8609
@testarguy8609 Жыл бұрын
Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 Жыл бұрын
Itakuwa ngumu sana
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 9 ай бұрын
Tumempata mwabukusi
@maryamjumah
@maryamjumah Жыл бұрын
Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa
@Mobmob2013
@Mobmob2013 Жыл бұрын
Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi
@jnote9283
@jnote9283 Жыл бұрын
Hujui kitu
@n_onlinetv91
@n_onlinetv91 Жыл бұрын
Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa
@faustinamahenge2250
@faustinamahenge2250 8 ай бұрын
Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais
@johanesbagenzi2486
@johanesbagenzi2486 10 ай бұрын
Mungu akupe uzima wa milele.
@dr.djshigongo4927
@dr.djshigongo4927 Жыл бұрын
Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Жыл бұрын
Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma
@nawandafamito500
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Ni huzuni kwakweli
@newadibalozi8773
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo
@omaryramadhani290
@omaryramadhani290 Жыл бұрын
Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea
@christophermontelo2518
@christophermontelo2518 Жыл бұрын
Una uhakika gani?
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 Жыл бұрын
Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌
@magrethcolestine2880
@magrethcolestine2880 Жыл бұрын
Pumuzika kwa amani
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Kweli KABISA
@charlesmihayo1275
@charlesmihayo1275 Жыл бұрын
Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba
@davismakundi1700
@davismakundi1700 Жыл бұрын
Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU
@dbarrik4108
@dbarrik4108 5 ай бұрын
Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people
@kelvinbernard5453
@kelvinbernard5453 Жыл бұрын
Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu
@lukindombuleti8174
@lukindombuleti8174 Жыл бұрын
Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 Жыл бұрын
Rest in power Ngosha
@zenajsalehe5341
@zenajsalehe5341 5 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu
@bennie7239
@bennie7239 Жыл бұрын
Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...
@newadibalozi8773
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 umetisha
@user-uu7mg3ff8l
@user-uu7mg3ff8l 6 ай бұрын
m.mungu akuekee mahar pema peponi
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.
@husseinbakari123
@husseinbakari123 Жыл бұрын
Really
@doricemitanto7481
@doricemitanto7481 Жыл бұрын
KABISA .😭
@malcomg1004
@malcomg1004 5 ай бұрын
Hakika
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu
@eriminahmshai
@eriminahmshai Жыл бұрын
Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu
@godfreyndole4706
@godfreyndole4706 Жыл бұрын
Tutakukumbu sanaa😭
@nyamwekomatoke9951
@nyamwekomatoke9951 Жыл бұрын
Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa
@raymondalfred8540
@raymondalfred8540 Жыл бұрын
We love you for ever 😥😥
@jeremiamuro7670
@jeremiamuro7670 Жыл бұрын
Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli
@lukandaomary6347
@lukandaomary6347 Жыл бұрын
Magufuli chuma chetu,,,dah
@VenanceEphraim-hr2cc
@VenanceEphraim-hr2cc 5 ай бұрын
l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 Жыл бұрын
Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana
@casmirymusic
@casmirymusic Жыл бұрын
R.i.p baba
@mwananjesafari2547
@mwananjesafari2547 Жыл бұрын
Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Never
@ElishaDaBestPrince
@ElishaDaBestPrince 4 ай бұрын
We miss you daddy of nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@AzizSultan-fc7rn
@AzizSultan-fc7rn 4 күн бұрын
Nani twend ssw 2024
@boazjohn558
@boazjohn558 Жыл бұрын
Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee
@adelaudarutagwela5070
@adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын
Jembe utabaki kuwa jembe JPM
@leahsamson9354
@leahsamson9354 Жыл бұрын
WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA
@drabaainc9250
@drabaainc9250 Ай бұрын
Roho Inaniuma kila nikisikia Sauti Yake😢😢😢
@user-mx7ur9hf9q
@user-mx7ur9hf9q 5 ай бұрын
A true legend
@ms123ru
@ms123ru Жыл бұрын
Daah mzee anatuliza wengii sanaa
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 3 ай бұрын
AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga
@EmanuelMalkiadi-qt5ye
@EmanuelMalkiadi-qt5ye 25 күн бұрын
Sema kwel baba yetu na upumzike Kwa aman😢😢😢😢😢
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee
@swaggzhighlights527
@swaggzhighlights527 Жыл бұрын
kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?
@mudymudy6410
@mudymudy6410 Жыл бұрын
Mwamba huyoo
@user-rl3ou5rg4p
@user-rl3ou5rg4p 4 ай бұрын
2024 nafatilia❤
@mr.qareembrown4473
@mr.qareembrown4473 Жыл бұрын
Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u
@maulidibrahim9665
@maulidibrahim9665 4 ай бұрын
Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani
@karibubongo-tv636
@karibubongo-tv636 Жыл бұрын
Exactly
@chidodoozkid1122
@chidodoozkid1122 Жыл бұрын
Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎
@malcomg1004
@malcomg1004 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@yusuphmarcelmasinde7263
@yusuphmarcelmasinde7263 5 ай бұрын
Mungu amlinde Kiongozi wetu huyo. Hayati Rais JPM Mungu mlinde ka uzima wa milele na umpe Ufalme milele.
@nollyboy8438
@nollyboy8438 Жыл бұрын
He was good leader, tutakukumbuka daima ,, r.i.p JPM
@hamisimzungu6823
@hamisimzungu6823 Жыл бұрын
Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv
@mgazaabeid5873
@mgazaabeid5873 9 ай бұрын
Mzee wetu Bado upo mioyoni mwetu! Pumzika kwa amani legendary
@shabanimungazija7272
@shabanimungazija7272 Жыл бұрын
Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano
@danielgerevas3837
@danielgerevas3837 Жыл бұрын
Da mungu akutangulie
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm
@georgemtipa6424
@georgemtipa6424 Жыл бұрын
Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 5 ай бұрын
Fikra zake Hayati Rais Magufuli bado zinaishi. Tutaendeleza fikra zako. Pumzika kwa amani.
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 Жыл бұрын
Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma
@pilisonje8944
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Jembe
@MsigalaAman-qb7vu
@MsigalaAman-qb7vu Жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawew
@nestoryhaule6600
@nestoryhaule6600 Жыл бұрын
Naipenda sana hiyo!
@maryamjumah
@maryamjumah Жыл бұрын
Huyu ndo rais wetu bado anatuongoza kupitia hotuba zake
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Жыл бұрын
Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?
@kulwamathias7680
@kulwamathias7680 16 күн бұрын
nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli
@josephigogomsemakweli8711
@josephigogomsemakweli8711 Жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema Amina
@BonfaceKiage
@BonfaceKiage 8 ай бұрын
GOD Bless u
@eliudjamess4231
@eliudjamess4231 Жыл бұрын
Leo hii tunaungua bila huyu mwamba
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 Жыл бұрын
Viongozi wa Tanzania igeni mfano kama wa rais Magufu. Tanzania itakua kama Japanes
@izackimrema1369
@izackimrema1369 10 ай бұрын
Ivi saiv Tanzania kunara hisi ama kutawahi tokea kuwa narahis kama huyu
@edmundphilemon3054
@edmundphilemon3054 Жыл бұрын
Pumzika Kwa amani JPM one day tutampata mtu kawewe
@michaelangelbert8352
@michaelangelbert8352 Жыл бұрын
Had leo nkimwangalia Rais Maguful naumia mno. Ataish moyon mwangu had leo
@burundibujumbura2078
@burundibujumbura2078 Жыл бұрын
RIP BABA!
@amockkalinga1520
@amockkalinga1520 Жыл бұрын
😭😭💚💛🖤💙🇹🇿
@ElizabethJoseph-vj7zr
@ElizabethJoseph-vj7zr 11 ай бұрын
Kweli ilikuwa na maamuzi makali mungu akuweke mahalo pema peponi
@evanstum5032
@evanstum5032 10 ай бұрын
Rest in peace legend
@jameschengwali1051
@jameschengwali1051 Жыл бұрын
Hii ilikua nyundo kamili ya kuharibu mafisadi
@josephatalphonce4474
@josephatalphonce4474 4 ай бұрын
Still my beloved president until now
@timothalex3249
@timothalex3249 Жыл бұрын
RIP COMRADE..
@user-rw5uw9jq5b
@user-rw5uw9jq5b 6 ай бұрын
Aiseee Bado tunakupenda sana kamanda Magu
@barakawisdom9326
@barakawisdom9326 Жыл бұрын
R i p mwamba hakika utakaa kwny mioyon mwetu milel
@BilalShingwa
@BilalShingwa 5 ай бұрын
Hakika. Nimtu wa maamuzi. Mungu amsamehe. Mazambi yake. Alijitaidi sana
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 43 МЛН
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
35:46
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
makabidhiano ya ofisi kati ya Rais Magufuli na JK Novemba 12,2015
6:39
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 345 М.
Hotuba ya Askofu Gwajima 'iliyomvunja mbavu' Rais Magufuli bungeni
9:30
Daily News Digital
Рет қаралды 485 М.
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00