Katika watu wote niliowahi kuwasikia huyu ameongelea kitu cha msingi. Bila kila nchi kujadili yenyewe inataka Muungano au la ikiwa nchi zote jibu ni ndio, hapo ndio tujadili tunataka katiba yetu iwe je. Vinginevyo ni kujidanganya na HAIWEZEKANI kupata Katiba mpya.
@chalokalunde9429Ай бұрын
Nchi zipo ni Tanganyika na Zanzibar Katiba ni ya chama kimoja bado. Hakuna katiba baada ya vya ma vingi.
@frankemmanuel6063Ай бұрын
Kaongea kitu cha msingi sana, tutatue swala la muungano kwanza, aiza ipitishwe referendum, watu tupige kura ni aina gani ya Muungano tunataka, sio wote tunapenda serikali tatu, wengine moja, kwa vile hii ni nchi ya kidemokrasia, itajulikana aiza iwe jamhuri moja, muungano wa serikali mbili au shirikisho la serikali tatu, baada ya hapo ndiyo katiba itarekebishwa kulingana na msingi uliowekwa, naona jibu la swali la muungano ni la muhimu sana, ndiyo msingi wa katiba inayohitajika.
@faustinebahenobi3412Ай бұрын
Pumbavu kabisa ww mgonjwa
@matiredms917Ай бұрын
Wewe nyamaza hujui unachosema. Unarudisha nyuma hoja ya msingi.
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Unaumwa mavi wew tume huru ni sas
@rasnchimbiАй бұрын
Katiba inayoongelewa ni ile ilokusanywa maoni na tume ya Warioba,usipoteze lengo😂