MFANYABIASHARA ARUSHA AWAVUNJA MBAVU WATU HAJUI kwa NINI WANAGOMA - VIONGOZI WAMEFUNGUA MADUKA YAO..

  Рет қаралды 28,778

Global TV  Online

Global TV Online

18 күн бұрын

MFANYABIASHARA ARUSHA AWAVUNJA MBAVU WATU HAJUI kwa NINI WANAGOMA - VIONGOZI WAMEFUNGUA MADUKA YAO..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 108
@globaltv_online
@globaltv_online 16 күн бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@marceljohnkimaty4986
@marceljohnkimaty4986 16 күн бұрын
Huyu sio mfanya biashara. Mkitaka kujua muulizeni ofisi yake iko wapi. Yeye angeendelea na shughuli zake awaache wenye jambo lao waendelee.
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 16 күн бұрын
Huyu jamaa watu wa usa mnamjua huwa anapandaga costa zinaenda kikatiti anahubiri injili akifika tengeru anakusanya sadaka anapanda gari lingine
@marylaizer
@marylaizer 16 күн бұрын
Huyu kaka ni mganya biashara sawa niulize mm namfaham vizuri sana ni mhubiri lkn pia ni mfanyabiashara biashara Arusha ana saloon barabarani ya stend Arusha anachora wanja pia anasuka pia kuna muda anahubiri
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 16 күн бұрын
Chawa wao TRA wafungue Duka lao tuone,wanatishia raia na mi police
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 16 күн бұрын
Ntilema hauna hata ofice utajuaje umegomea nini??
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 16 күн бұрын
hahaha kumbe unamjua
@drtheresiakaruhanga3543
@drtheresiakaruhanga3543 16 күн бұрын
ndo utajua watanzania tuna ubongo wa aina tofauti
@marylaizer
@marylaizer 16 күн бұрын
Huyu kaka ana saloon anasuka na anachora wanja
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 16 күн бұрын
TRA wafungue maduka yao tuone hayatoboi,kutesa raia,tu kufilisi rai bila katiba haki hakuna vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu
@thomasmichaellukumai-ny7se
@thomasmichaellukumai-ny7se 16 күн бұрын
We'we mvuta bangi ya arusha
@saadyusuph6554
@saadyusuph6554 16 күн бұрын
Jamaa hajielewi
@ernestamos8949
@ernestamos8949 16 күн бұрын
uyu mwalimu angu wa.kanisan kigoma kasulu lini amekua mfanyabiashara
@Leahmjohn
@Leahmjohn 16 күн бұрын
😂😂😂
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo 16 күн бұрын
Wee kinyozi kanyolee kwako,unajua maana ya mgomo tunahitaji kodi za kijinga zitolewe,,,
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 16 күн бұрын
Kabisa kaka
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 16 күн бұрын
T RA wafungue ma Duka yao ili tununue kwao, watoe hizo f d c walishindwa kuendesha RTC,wanatesa rai kisa mi police na wabunge hawana jipya wote CCM, mpina,kawaimbua wametoa bungeni,ili waendelee kupiga mwingi,ubabe una mwisho bila KATIBA itazuia ubabe,, ndiomaana wana kataa katiba,
@lilyshayo761
@lilyshayo761 16 күн бұрын
Akachore Wanja uko Pumbavu mtumishi acha ujinga FREM hauna ,huu mgomo utaujua vip unapanyuka,embu Chukua frem Kama rahisi ulipe utoboe heshimu mgomo wawafanyabiashara
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 16 күн бұрын
Sasa mbona huyo boss hapo kafungua duka na ni kati ya viongozi? Hili jambo lina namna
@marylaizer
@marylaizer 16 күн бұрын
Ww hufahamu ofisi yake mbona ana ofisi kitambo tuu mtumishi apo apo barabara ya stend kama unaelekea chini ya mti
@sokoinetvonline
@sokoinetvonline 16 күн бұрын
Huyu Lini kawa mfanyabiashara Muimbaji wa gospel music kwann kaingia mkumbo wa uongo kwann lakin ?
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 16 күн бұрын
Enheee hii ndo Tanzania sasa kweli tutafika tumechoka sana
@davidjohn9535
@davidjohn9535 16 күн бұрын
Jamaa anaakili sana
@judyngowi391
@judyngowi391 16 күн бұрын
Akili ipo aliyo nayo, mgomo unawahusu wafanyabiashara wanaolipa kodi
@LovelyCello-xm9gn
@LovelyCello-xm9gn 16 күн бұрын
Huyu alipi Kodi za TRA ndo maana ajui kituu
@user-rh5iy3ei3g
@user-rh5iy3ei3g 16 күн бұрын
Huyu mbn km mchora wanja pale kati hana ht frem 😢
@onehouronlinetv1893
@onehouronlinetv1893 16 күн бұрын
Huyu mpumbavu kabisa hyo Hali ya kwenda kutafuta Hela ya kula Kwa siku hiyo ndo inasababishwa na mlundikano wa gharama za uendeshaji ikiwa ni pamoja na Kodi nyingi tunazorundikiwa
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 16 күн бұрын
Itoshe kusema HANA AKILI
@prettygirl8325
@prettygirl8325 15 күн бұрын
Uyo anapakaga wanja anabiashara gn...hana ata ofisi anazunguka anapaka wanja
@janethjonas1700
@janethjonas1700 16 күн бұрын
Arusha niwakweli sana😅😅😅I love you
@SylvesterAmbokile-ur2vd
@SylvesterAmbokile-ur2vd 16 күн бұрын
Kwa nini sasa hukufungua kama humjui nani kahamasisha. Huyu mwehu.
@joycesanga4378
@joycesanga4378 16 күн бұрын
Tena siyo Mtanzania huyo akamatwe ni wa Nch jiran
@user-tt9bp2id5p
@user-tt9bp2id5p 16 күн бұрын
Uo siyo mgomo wa wanyoa vuzi
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 15 күн бұрын
Huyo anaonekana anatokea Ngorongoro 😅
@lilylema5292
@lilylema5292 16 күн бұрын
Hamna kitu wameshafungua kitambo sana Arusha njaa Kali sana
@user-vv5pf4rj9w
@user-vv5pf4rj9w 16 күн бұрын
Mnmuhoji kinyozi real tafuteni mfanyabiashar
@katemachanda7035
@katemachanda7035 16 күн бұрын
Mbona ameongea vizuri sana...
@mohammededy7086
@mohammededy7086 16 күн бұрын
ameongea vzur sana
@silivestatesha9262
@silivestatesha9262 16 күн бұрын
Bangi oyeeee
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 16 күн бұрын
Akili zako mbaya kama mdomo wako huna hakili
@francisgodian6216
@francisgodian6216 16 күн бұрын
Huu ni mtambo wakisukuma kabisa😅😅
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 16 күн бұрын
hlf huyu immigration wamfatilie sio mtanzania
@omeganthale3220
@omeganthale3220 16 күн бұрын
Hana akili
@user-vv5pf4rj9w
@user-vv5pf4rj9w 16 күн бұрын
Huyu anachezeaha mikono kwenye vichwa vya wanaume wenzie
@MandoliiMoshi
@MandoliiMoshi 16 күн бұрын
kwendaa arusha saivi mshatufelisha mshakuwa kama wazaramo makonda ashawateka akili ckia watz ee kueni kama wachaga cyo lazima kuishi tz kama mm hapa nko zambia natafuta pesaa tukutane moshi desc wachaga wenzangu og og sna
@roseafrael75
@roseafrael75 16 күн бұрын
Huyu jamani hana office anachoraga watu wanja tena kibarazani haelewi kinachoendelea.
@user-lx7ez3rq4c
@user-lx7ez3rq4c 16 күн бұрын
We mbanga huna akili pimbi
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 16 күн бұрын
Kaongea ukweli
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 16 күн бұрын
Huyo aliyefungua hajipendi ama siku hizi wadudu hakuna😂😂
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l 16 күн бұрын
Mmmmh kavurugwa jamaa mwongo sana utakuta kwao wameshamfukuza kwa tabia za kigeugeu na uongo
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 16 күн бұрын
Wewe nimlopokaji unaejifanya mjuaji mpumbavu mkubwa
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 15 күн бұрын
uyu kenge kweli
@davidsillo916
@davidsillo916 16 күн бұрын
Nimegundua Arusha wameambiwa wagome Afu hawajui wanagomea nn
@judyngowi391
@judyngowi391 16 күн бұрын
Wanagoma wafanyabbishara wanaolipa kodi,
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 16 күн бұрын
Mbona kama sio mtanzania
@denisyohana8104
@denisyohana8104 16 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@kazumbelive1987
@kazumbelive1987 16 күн бұрын
mfanya biashara bumunda
@fhugghi4109
@fhugghi4109 16 күн бұрын
😂😂😂Uwiiii jaman mbn huyo ni bangi kabisa 😂😂
@janifajani8875
@janifajani8875 16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂alafu hawa ndouwambiee wandamaneeeee
@shabanimadobe972
@shabanimadobe972 16 күн бұрын
😂😂😂😂 ajui
@victoremanuel29
@victoremanuel29 16 күн бұрын
Jamn huy kaka anaoffic wap mbona namuonaga anazinguka tu
@jonasamos555
@jonasamos555 16 күн бұрын
Huyu hajui anachoongea
@lilylema5292
@lilylema5292 16 күн бұрын
Kwanza umetokea nchi Gani? Unakibali?
@user-wr7io8lh6j
@user-wr7io8lh6j 16 күн бұрын
Watu wako serious alafu Kuna pimbi Moja anakuja kuleta masihara bana .....so stupid
@kajentanmjeuri104
@kajentanmjeuri104 16 күн бұрын
watu wanatafuta pesa yy anawaza chakula
@sadamissa5687
@sadamissa5687 16 күн бұрын
Mungu fundi huyu jamaa ana mdomo mkubwa balaaa
@ChekSanga-po2mv
@ChekSanga-po2mv 16 күн бұрын
Jamani. Uyu. Anafanya. Biashara gan. Muuulizeniii😅
@magretkijanga6038
@magretkijanga6038 16 күн бұрын
Wewe ni mmachinga uelewi kitu,nyamaza
@mirzah117
@mirzah117 15 күн бұрын
Domo kama beseni unakalia ujinga ujinga tu
@ayubunelson130
@ayubunelson130 16 күн бұрын
Acha wagome Kuna mtu yupo nyuma yao hao wagomaji alafu huu mgomo unarushwa ndani yake
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje 16 күн бұрын
FOLEKIZAMPO😂😂😂😅😅
@CharlesAlly-jp1ms
@CharlesAlly-jp1ms 16 күн бұрын
Ukiona hivyo halipi kodi ndiyo maana hajui mgomo ni wa nini?
@cdeegwau551
@cdeegwau551 16 күн бұрын
😂😂😂 uyu aelewi ata alichokigomeaa 🚮
@lucasgwido129
@lucasgwido129 15 күн бұрын
huyu ni saa Mbovu
@tucasashycom1072
@tucasashycom1072 16 күн бұрын
Mtu wa system utu
@HappyMoleli
@HappyMoleli 12 күн бұрын
Mwamba katisha kinyama minimemwelewa ni ukweli mtupu.
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 16 күн бұрын
Tuwe na umoja kama kenya makodi yamekua nyingi halafu huyu ng,ombe anaongea ujinga nyambavu huyu
@joycesanga4378
@joycesanga4378 16 күн бұрын
Halafu siyo msawahili
@user-kd7nr1ii1o
@user-kd7nr1ii1o 16 күн бұрын
Ana duka la nini
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 16 күн бұрын
wengi mnamuona kama mwehu iya aliyoongea maneno mazima sana kama ila ameshindwa kufafanua kwa uzuri tu
@nasrachaya
@nasrachaya 16 күн бұрын
😂😂😂
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 16 күн бұрын
Msafara wa mamba na kenge wamo huyu nae ni kenge
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 16 күн бұрын
😂😂😂
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 16 күн бұрын
@@saidimkwinzu9106 😅😅 yaani ni shidaaa
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 16 күн бұрын
@@shijandobehe4953 kweli bana sisi hapa handeni Kuna siku tulifunga maduka tukafanya mgomo lakin Kuna kenge zinauza biashara za kutembeza Bado zinasema wafanya biashara wanazingua kumbe yee ni kenge hajui tunayopitia
@abakibibi9917
@abakibibi9917 16 күн бұрын
HUYO ITAKUWA HALIPI KODI ITABIDI AFUATILIWE
@MartinLaban
@MartinLaban 16 күн бұрын
Wewe si fara tu kwasababu unajua kwanini harafu kwenye midia unasema hujui 😏😏😏kama sisi tuko Kenya na tunajua kwanini maduka yamefungwa, huoni wewe ni fara tu
@prosperitymaarifa3324
@prosperitymaarifa3324 16 күн бұрын
fara kabisa huyu hana mwelekeo
@SelinaChares
@SelinaChares 16 күн бұрын
Hahaha hahah hahaha
@amosmsihi1393
@amosmsihi1393 16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 16 күн бұрын
Mlevi huyu hajui alichogomea😮
@jemimadeus1169
@jemimadeus1169 9 күн бұрын
5:12 to be
@nurumwashinga3662
@nurumwashinga3662 16 күн бұрын
Wandishi wa TZ wajinga unamuliza mtu ambaye hajui chochote ni kinyozi ambaye na fala tu
@richkaja3317
@richkaja3317 16 күн бұрын
Makonda tupo jayati atawanyosha otee apoo
@godfredkimaro3292
@godfredkimaro3292 16 күн бұрын
Uyu katumwa
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 16 күн бұрын
PsyOp
@chriskimuto1425
@chriskimuto1425 16 күн бұрын
Hajielewi mpumbavu huyu
@ernestamos8949
@ernestamos8949 16 күн бұрын
Uyu wakupigwa
@dianachami6768
@dianachami6768 16 күн бұрын
Bange mokoooo😂
@robertphilip385
@robertphilip385 16 күн бұрын
Huyu mpumbavu kwl
@ElishaOisso
@ElishaOisso 16 күн бұрын
0-0=brain ,tzania kila kona comedy
@lusajomwakalinga5813
@lusajomwakalinga5813 16 күн бұрын
Mkenya wewe rudi kwenu
@issashekh4726
@issashekh4726 16 күн бұрын
Wahuni wamewaingiza kingi😂
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 16 күн бұрын
Brain wash
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 16 күн бұрын
Huyu amesubiri nini Kuvaaar chupi kichwani???
@allymahmudu464
@allymahmudu464 16 күн бұрын
Uyo siomtazania uyo nimkenya
@neemamacha7481
@neemamacha7481 16 күн бұрын
😂😂😂
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 16 күн бұрын
mdomo kama madenge
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 52 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
🔴Taarifa ya Habari ya Asubuhi, 13..Julai, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 238
WAKILI MADELEKA NA JEBRA KAMBOLE WAINGILIA KATI WANAOTUHUMIWA UKAHABA
4:32
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 52 МЛН