Mgomo Kariakoo. Kwa nini Serikali Inahitaji Uthubutu Kufanya Mageuzi ya Kikodi | Mtazamo Wa Pili

  Рет қаралды 3,585

The Chanzo

The Chanzo

12 күн бұрын

Leo Juni 24,2024, wafanyabiashara kariakoo walifunga maduka yao kwa sababu mbalimbali walizozitaja ikiwemo usumbufu wa kikodi na masuala mengine. Sakata hili limeishia na serikali na wafanyabiashara hao kufikia muafaka katika mambo sita.
Fuatilia uchambuzi huu unaongalia kwa nini serikali inaweza kwenda mbali zaidi.
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 19
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 10 күн бұрын
SHIDA SIO KULIPA KODI IMMAGINE NAPAMBANA USIKU NA MCHANA KUHAHIKISHA NAPIGA ATUA PAMOJA NA NCHI KUPIGA HATUA MARA UNASIKIA BILION IMEPIGWA NA HAKUNA SHERIA INAYOWASHIKILIA HAWA VIONGOZI KESI INAISHIA JUU KWA JUU, HAWA WATU WAPIGWE RISASI KAMA TUNATAKA NCHI IKAE SAWA ISHAKUWA TATIZO
@drallan6879
@drallan6879 7 күн бұрын
uchumi WA nchi utaparalyse plz government sct urgently on this
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 10 күн бұрын
..Dialogue with govt is just a waste of time. there is no political will at this time to resolve the challenges on hand.
@UncleBigi
@UncleBigi 9 күн бұрын
So we just give up then, i’m really moved with what kenya is doing
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 9 күн бұрын
@@UncleBigi it is way overdue that is the path we need to take to bring real change in Tz.
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 10 күн бұрын
Huyu chalamila alitudanganya ameongea na Magufuli wakati skies tiari amekufa tunamshangaa kwenye uongozi leo.. Mama India huu ujinga
@bakariulimwengu8533
@bakariulimwengu8533 9 күн бұрын
Sehemu za wazawa ni za serikalini... kwenye biashara mtu kama documents zake zimekamilika kwanini asifanye biashara
@eliaezekiel6766
@eliaezekiel6766 5 күн бұрын
Safisana Tony
@amanijampion3045
@amanijampion3045 10 күн бұрын
Tusing'ate maneno; mfumo wa kodi wa serikali ni kandamizi, kuna multiple taxation
@UncleBigi
@UncleBigi 9 күн бұрын
Tuingie barabarani 😂
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 8 күн бұрын
​@@UncleBigitangulia wewe uonyeshe mfano kuliko kupiga umbea mtandaoni
@eliaezekiel6766
@eliaezekiel6766 5 күн бұрын
Miongoni mwa makala ninazozielewa zaidi
@jayjay4313
@jayjay4313 8 күн бұрын
Wachina wanauziwa mji huo. Watanzania wamewashtukia.
@drallan6879
@drallan6879 7 күн бұрын
mgomo unaenea nch I mzima mbona mku WA nchi uko kimya?
@hassankidilikia5566
@hassankidilikia5566 8 күн бұрын
Hamakwambia TENGENEZA TATIZO KISHA TATUA TATIZO watu watakupenda sana😅tutaasahau10ten?
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 10 күн бұрын
HAPA KAMSEMA MO DIRECT
@user-fe8tx5bo2f
@user-fe8tx5bo2f 10 күн бұрын
Ww unatumika
@bakariulimwengu8533
@bakariulimwengu8533 9 күн бұрын
Mnataka mlete ya south africa ukiulizwa wageni wanachukua kazi zenu wakati flame zingine ziko wazi
@UncleBigi
@UncleBigi 9 күн бұрын
Xenophobia 😂 kibongo kibongo i don’t think so
Jamhuri ya Uchawa. Muongozo wa Kujenga Taifa Lisilojiamini
22:24
Каха ограбил банк
01:00
К-Media
Рет қаралды 11 МЛН
Wafanyabiashara wa Maduka Jijini Mbeya Wagoma Kupinga Manyanyaso ya TRA
14:30