Tozo Kwenye Gesi. Ni Nani Aliyetuloga Watanzania? | Mtazamo wa Pili

  Рет қаралды 2,505

The Chanzo

The Chanzo

18 күн бұрын

Karibu kwenye Mtazamo wa Pili (Ep 04), katika kipindi hiki tumeangalia Tozo ambayo serikali imependekeza kwenye bajeti yake ya mwaka 2024/25 kwa ajili ya gesi inayotumika kwenye magari
Tanzania ina takribani futi za ujazo za gesi Trilioni 57, hata hivyo ni asilimia moja tu imeweza kutumika katika kipindi cha miaka 20,serikali imependekeza kuweka tozo ya 382 kwa kila kilogramu inayotumika kwenye magari, haya ni maendeleo au la? fuatilia kwenye uchambuzi huu.
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 32
@Mpakele
@Mpakele 16 күн бұрын
Huku Wanasema nishati safi, Huku wanaongeza bei ya gesi ili watu washindwe kuitumia
@UncleBigi
@UncleBigi 12 күн бұрын
Cjui wanaona tunafaidi sana au lengo ni turudi kwenye mafuta 😢
@wilesadatare6866
@wilesadatare6866 16 күн бұрын
Yaani Tanzania kweli tumepigwa sana hawa watu walituingiza kwenye majanga sana
@dullyjabri8393
@dullyjabri8393 9 күн бұрын
Kwa kifupi toka tumpoteze Magufuli sitaki tena kusikiliza Habari. Kwa mambo kama hayo vìongozi wa nchi wanapiga dili. Hawana huruma
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 14 күн бұрын
Hii nchi inawanufaisha familia fulani fulani maana haya mambo yangetokea nchi fulani wananchi wangefanya challenge kujua undani wake. Mfano kama yangetokea Kenya viongozi wangeshikishwa adabu lakini hapa kwetu Tanzania Kila wananchi tu wapole. Maana kiongozi akiamka anaota tozo nyingine na nyingine zisizo na tija Kwa maisha ya watanzania. hata hao wanaojiita wapinzani hawawezi tena kuhoji maana wameshapewa mafungu yao
@yusuphmark3257
@yusuphmark3257 14 күн бұрын
Kaka kaka hongera sana kaka nakuelewa snaa MUNGU aendelee kubariki kazi ya mikono yako unanifanya sasa naielewa nchi yangu vizur sana
@victoreleonardmdee9158
@victoreleonardmdee9158 16 күн бұрын
Ubinafsi Ndo Tatizo letu Hatuwazi Vizazi na Vizazi Tunajifikiria sisi Tu
@BusokeloTV
@BusokeloTV 16 күн бұрын
Daah uchambuzi jadidi. Ahsante sana Tony
@reginas1832
@reginas1832 16 күн бұрын
KENYA HOYEEE
@UncleBigi
@UncleBigi 11 күн бұрын
Hoyee❤
@KanyanaGerald
@KanyanaGerald 16 күн бұрын
Umetisha sana brother for more explanation, tumelogwa na viongozi ambao sio wazalendo wanaotanguliza maslahi yao mbele kuliko taifa.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 10 күн бұрын
Ni mekupa hongera kwa kumkumbuka Jpm. Kwa kweli pamoja na mapungufu yake alikuwa jembe
@stevensteve7519
@stevensteve7519 15 күн бұрын
Kwakweli Kwahili Mwigulu hayuko sahihi. Tunatafuta kupromote clean and safe energy. Hapa tulipaswa kuwagawia wananchi bure. Bei ya mauzo ingetosha. Kuweka tozo juu ya gesi nikuzuia tusiende kwenye clean energy. Nimesikia kwamba mheshimiwa Mwigulu ni Daktari! Is it true?
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 16 күн бұрын
Safi kwa uchambuzi huu niwakati wa watanzania kuamka Serikali ya CCM imeshindwa kusaidia wanainchi wake kwa kuwaongezea zigo la tozo lukuki wanainchi wake.
@magesadani9058
@magesadani9058 14 күн бұрын
Walioko mbele yetu ndio hawapo kwa ajili yetu wapo kwa ajili yao na mamafya mabeberu shida iko hapo mpaka siku wabunge wetu wakiwa ni wawakilishi wa wananchi kiuhalisia
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 15 күн бұрын
Munauliza Nan kawaroga.. umemsahau muingereza na marekan hao ndio wameturoga nduguyangu.. kune mengi yanakuja mbona hayo bado.. mlisema tutaisoma sasa tunaisoma pamoja😂😂😂😂😂😂😂😂
@allymganga3223
@allymganga3223 10 күн бұрын
Kishelia nchi izi za galf wenzetu wanaingia ubia lakini kama unavyo sema mkataba utakapotekelezwa na kuisha mali mitambo vinaludi kwa serekali nchi yetu tuna umaskini wa viongozi
@bilid4128
@bilid4128 16 күн бұрын
Daaah 🔥🔥🔥
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 15 күн бұрын
Ccm haijawahi kuwafikilia wananchi wa tanganyika juu ya kuwa punguza ghalama za maisha wanaona wakipunguza maisha kwa watanganyika hao wananchi watafaidi sana maisha
@bobwangwe748
@bobwangwe748 16 күн бұрын
🔥🔥🔥
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 10 күн бұрын
Ndo maana wakenya wanachoka nikitu kibaya sana tunaomba viongozi wasitufikishe huko kwa wakenya
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 14 күн бұрын
Tupunguze magari ya kifahari na matumizi yasiyolazima kuliko kupandisha gas.
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 11 күн бұрын
Aliyewaroga aliisha fariki huyo ndo mtihani ambao mnayo
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 16 күн бұрын
Mi sijui ni waziri sijui ni serikali lakini mambo wanayofanya ni ya hovyo ni hatusikii mkataba umeisha kwa sababu ni siri ili warudishie ufisadi JPM alisema bwawa likikamilika unit itauzwa sh 50 sisikii tena hicho kitu yaani ni shida
@ibrahimaboker9086
@ibrahimaboker9086 15 күн бұрын
Kaka wacha kuharibu lugha yetu ni kuroga na sio kuloga nenda Tanga ukafundishwe kiswahili fasaha.
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 15 күн бұрын
Tuna ichi yeti au ya wachache tu
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 9 күн бұрын
Tanzania mafya ni viongozi..
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes 15 күн бұрын
Wakenya wanaandamana waTanzania mnasemea majumbani tu acha serikali iongeze tena tena msitumalizie bandos zetu wajinga ndo waliwao 2025 mitano tena😂😂😂
@Worldunite
@Worldunite 13 күн бұрын
Bandari tumemkabidhi mwekezaji DP kwamba tutapata faida, migodi nayo tumeingia mikataba, na maeneo mengi tumeingia mikataba, sasa kupitia mikataba yooote hiyo,ina maana wananchi tumepata ahueni gani zaidi ya kupigwa tozo kwenye simu na sasa gesi jmn?????
@YekoniaKusiluka-jt2ju
@YekoniaKusiluka-jt2ju 16 күн бұрын
Tunawasomi majambazi kwenye nchi hiiii na wanaingia mikataba ya kishenzi Kama huu mkataba pumbafuuuuuuuuuuuuuuuu
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,4 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 16 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 12 МЛН
MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
6:15
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 98 М.
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,4 МЛН