Mahubiri kama haya siku hizi yamekuwa adimu Sana, Hongera Sana , Paschal cassian
@Majaliwa-ov3vkАй бұрын
Amen
@bettykinyami50968 күн бұрын
Utayapata wapi wakati pesa ndo Kila kitu
@BulindaJane Жыл бұрын
Ukweli kabisa mtumishi wa mungu ubarikiwe sana...... mwenye masikio asikie na ajibadilishe.
@jonasbuzuka3306 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@NimethNdelwa-zc9zj Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu mwanamke alie okoka huwezi kuvaa suruali wala kusuka nywele na kuweka makucha ya kuzimu hayo sema baba sema
@MorineKamwera4 ай бұрын
Hata kama dunia itaangamia lakini Mungu atainua watu watakao weza kuikomboa kwa njia ya mahubiri na maombi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@elisubiraelica3916 Жыл бұрын
Ahsante yesu kwa ujumbe huuu SEMA kwa kinywa Cha mtumishi wako tupone wote, amen
@amirmahenge5007 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana Yesu yupo mlangoni anabisha yeyote atakaye na amfungulie
@johnsonchonja4032 Жыл бұрын
Daaah leo umegusa penyewe kabisa mtumishi wa mungu,
@gastondofra9151 Жыл бұрын
Ujumbe mkubwa sana.tunashangaa sana hata ukikataza wanawake asivaa suruali watu wanakupinga ,asante sana kwa Ujumbe huu utawafikia kabisa. Ubarikiwe sana
@vickytorry100 Жыл бұрын
Hamjaishi nchi Za baridi nguo gani utavaa? kuna winter uvae gauni si utaugua! Mambo mengine yanazungumzwa tu siyo vitendo
@LucyKapinga-fg4dk3 ай бұрын
Ndani Suruar na Gauni Ndevu Napia Kabla Ya Kuvaa omba roho mtaka tifu akuongoze upate kibali mimi mwenyewe na ishi nje ya nchi kwenye ma snow but sivai rsurual njee na vaa tait ndani na skert nzito au gauni nzito@@vickytorry100
@nananailla7723 Жыл бұрын
Ukweli nikwamba hata kama nipo burundian 🇧🇮🇧🇮 nahitaji sana kushiliki pamoja nakanisa lako maana wafundisha kweli nabalikia sana mungu akubaliki san
@dainesykalinga7133 Жыл бұрын
Hallelujah hallelujah Sema Pastor Tupone kwa Jina la Yesu , Wamama na Wadada Tupone Kabisa 📌📌📌📌📌📌📌
@ashangonyani7989 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@johnsondamas9311 Жыл бұрын
Mungu akubariki nimebarikiwa sana mutumishi
@marlineisiji414 Жыл бұрын
Anaitwa Natasha pastor ,you're right Mimi sijaweka hayo mavazi Kwa mwili ,zangu skirt za shika aridhi nikitembea Hadi nasifiwa na dad wangu
@josephguerino74166 ай бұрын
Hello
@liesharehema5193 Жыл бұрын
Moto unatusubiri hakika mwenye sikio na asikieeee Mungu sio lazima ashuke duniani kawaambie acheni dhambi anatumia watumishi wake kama hawa
@mystrocell2 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏 Eeeh Mungu nisaidie kwa tamaa za kidunia
@peterngalawa3511 Жыл бұрын
Tuikubarini kweli jamani sisi wanadam, Kiukweli tumebadirika sana nakwenda kuamini hizi ni nyakati za mwisho 😢😢tumrudieni muumba wetu. Makanusa yetu yamekuwa ya hovyo sana, Nikupe 🌹🌹🌹🎉🎉Mtumishi Ev. Paschal Kassian Endelea kutufundisha yale yalio mema AMEEN🙏
@annehk8185 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu na kukubariki kaka hakika unaihubiri kweli ya neno la Mungu usichoke
@johnsombi545 Жыл бұрын
NI SAHIHI KABISA MTUMISHI WAAMUE MOJA KABISA KUWA UPANDE WA MUNGU NA KUFUATA YA MUNGU AU KUWA UPANDE WA DUNIA NA KUFUATA MAMBO YAKE 15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Ufunuo wa Yohana 3:15 16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu. Ufunuo wa Yohana 3:16 &&&&&&&& 15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. 1 Yohana 2:15 16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. 1 Yohana 2:16
@elyudsaleh6044 Жыл бұрын
Na kila inapotajwa "dunia" Ina maana Shetani, mauti na uovu/muovu.
@user-kc3rp6vj1d Жыл бұрын
Mungu ni mtakatifu na hakuna uovu ndani yake.wacha tuishi maisha ya utakatifu.
@fannyfamily-hf7bv Жыл бұрын
Amina mtumish nakuona kama yohana sauti ya mtu aliaye nyikandi ndo wewe mtumishi ubarikiwe sana yesu yuko njiani kurudi Akiwa katika cheo chake cha MUNGU kwaiyo tengenezeni njia zenu na mtubu ludin msalabani BWANA anawaita
@kashindimwaliasha4762 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏
@happinessmaeka9196 Жыл бұрын
Wote tuseme amen 🙏
@Smoker_bunyeho4 ай бұрын
amen
@eliasmadeha2027 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia kuwafungua wengine kwa utukufu wake MUNGU.
@eppiemodest Жыл бұрын
Wanawake tuzingatie. Asante kwa mafundisho Pastor PaschalCassian. 😇🙏
@elkanaemmanuel200210 ай бұрын
Hallelujah glory to the Lord, everything have shown to the Holy Bible.
@victorbiwott537 Жыл бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu ❤
@nashonjoel20 Жыл бұрын
SHETANI KATUMIA SANA MAKANISA YA MANABII WA UONGO KUHARIBU KANISA LA MUNGU. MANABII wengi Wake zao Huvaa ovyo Sana. Inabidi tuchague MOJA, kwa Mungu au DUNIA.
@ElipendoElias-no6ki Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumish wa Mungu,tunabarikiwa sana na injili yako
@sarafinamlomo8132 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@derickkatto9944 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU
@Mjakazisafi8361 Жыл бұрын
Wanawake Wanawake Wanawake nimewaita mara ngapi adi mimi nikiwa mmoja wao c tusikie haya ba tubadilike aki ndo maana Wanawake ni wachache MBINGUNI 😢😢👂👂👂👂let's hear this
@yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын
Nikweeli kabisa wanawake mbinguni nihaba wana wake tuna mambo mengi ya nayo m muwakilisha shetani nilisha wahi kusikia huo ushuhuda MUNGU atusaidie MUNGU atuponyee.
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Ameni
@glorypoul Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu. Wanawake tupone jaman
@glorypoul Жыл бұрын
Kweli kbs wanawake tubadilike
@user-ld5mm6oq9m7 ай бұрын
Aminq
@sarahwawuda5164 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi unaongea ukweli kabisa.....wanawake tunavaa vibaya kanisani.
@user-kc8bs5gu7b10 ай бұрын
Hii ndiyo Injili tunayoitaka ili tupate kibali cha kumuona MUNGU! Wachungaji badilikeni waambieni watu ukweli! Msipoihubiri kweli ya MUNGU Hakika mtahukumiwa siku ya mwisho!! DAMU ya YESU ikufunike Mtumishi Pascal Cassian siku zote za maisha yako AMEEN!!
@JaneWaweru-hn7tp3 ай бұрын
May God continue strengthening you man of God. This kind of teachings in churches are very rare thank God you are there fearing no one.
@Crabtree1844 Жыл бұрын
Ujumbe huu ni safi sana. Tufanye bidii walio taja jina lake Bwana mwokozi tujichunge sana namna tunavaa.
@dokasa9176 Жыл бұрын
Hakika ni aibu sana watu wameharibu hekalu la Mungu limekuwa ni nyumba ya makahaba, wanafanya km mama yao Jezebel.
@panadomadola30647 ай бұрын
Mchungaji casian yupo sahihi kabisa na ndiye mchungaji anae simama vizuri na neno la Mungu.Ubarikiwe sana mtumishi.
@JohnStivin-jn7cs5 ай бұрын
Sikuzote msema kweli uwa anakuwa apendwi maana ukweli unachoma mpendwa lafiki yangu na mchungaji sema kweli kweli maana ata maandiko yanasema kweli itatuweka huru
@noeleliasi84019 ай бұрын
cassian hongera kwa kazi nzuri...pia tunaomba kama mtumishi wa Bwana paza pia sauti juu ya serikali hii juu ya kukamatwa kwa Mbarikiwa Mwakipesile..
@user-eu7pk1dm2p11 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu paschal cassian ni wimbo wako wa ona wanavyomwabudu,waambieni watu pamoja na kiapo cha dam umenifunza kitu kwakwel injili yako ni dhahiri maana yote unayoimba yalitabiriwa ktk maandiko
@richardmakweta88758 ай бұрын
Uko sahihi Sana pastor haya Mambo yaliingizwa duniani taratibu nikama ushoga ulivyoingia tz na duniani kote .shetani anapo Leta Jambo lake huwa anaanza taratibu baadaye kilekitu kinazoeleka.tuna shukuru Sana Mtumishi ushauri Wangu omba kibari kwa Mungu upelekele mafundisho haya tz nzima na duniani kote,kwakuwa makanisa mengi sasahivi yapo na utandawazi
@busvicentedaniel Жыл бұрын
Muito bem pastor Deus te abençoe
@roselyneezekielАй бұрын
Wow! God be blessed mtumishi🙏
@PendoPogwa-rn9jx4 ай бұрын
Amen wanaogopa kupoteza sadaka .ety Rohoni Mungu hayuko kama tunavo mchukulia n neema tu kwakwel
@dorcusamisi2926 Жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah Utukuvu kwa yesu mtumishi barikiwa sana kujitolea kufundisha ukweli barikiwa sana
@johnastarimo97217 ай бұрын
Mungu hajabadilika. Mungu akubariki sana mtumishi. Wa kweli. Shetani ni mhuni. Amejiingiza kwa Siri kwa waliookoka.. Ni siku za mwisho .
@shadrackchenelo29793 ай бұрын
Asante sana kwa somo sina chakukupa baba angu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤tukijaliwa tutafanya kazi ya mungu😢😢😢😢😢
@bethkimani92 Жыл бұрын
Asante sanamchunganji wewe uko hapo kukosoa mapasta ware ambae Wana one machafu lakini hawawesi Sema nju Wasikose waumini wengi kanisani Mungu akumbaliki sana .
@user-yh8cf5rf8h Жыл бұрын
Ameeen . Mungu akupe maisha marefu uzidi kuihubiri injiri ya kweli.Injiri kama hii kwa sasa imekuwa adim. Watu wanahubiri mafanikio tu,habari ya kwenda mbinguni imekwisha jamani.
@LucasMwijage-oc5nx Жыл бұрын
Uko vizuri,MUNGU akubariki.Dunia imevulugika! Tuwaambie bila uoga.
@invisibletv633 Жыл бұрын
Siku ya hukumu inakuja wengi wao hawautak ukwel ila siku yaja watatolea hesabu mbele ya Yesu
@mpesastatements2265 Жыл бұрын
kabisa mtu wa mungu
@evamusuruve3196 Жыл бұрын
Nilitamani sana , mtumishi yeyote anisome hi kitabu ,, MUNGU atusame , sema mtumishi tupone🙏🙏
@EvelynRuzindaza-yb6np11 ай бұрын
Najaribu kutafuta kwenye biblia ili nipate ilipofafanua mavazi ya mwanamke na yapi ni ya mwanamume ,nikiangalia ilikoandikwa wanawake walikua wanavaa nusu kanzu na suruali ndani,wanaume walivaa misuli (wrapper) na nusu kanzu juu , siku hizi naona tumebadilishana ,Pastor nifafanulie zaidi
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Yes tunapokuwa tunavaa sukualiNi kibuli MAANA tuneambiwa na neno la MUNGU haya makatazo ya KUVAA suluali na KUJICHUBUA mawigi MABANGILI hereni na mwingine MENGI Ila dhambI Sio dili
@EdnahKebson2 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi endelea kutuelimisha
@alicemwaka3762 Жыл бұрын
Hongera mtumishi barikiwa sana na Mungu emeeeeen
@humphreymollel2394 Жыл бұрын
Huu ujumbe unawafaaa akina Geodevi
@hellencathymathias5106 Жыл бұрын
Mtumishi hubiri wokovu watu wamjue Mungu mambo ya mavazi ni Roho Mtakatifu tu mwenyewe awezae kubadilisha moyo wa mtu ... Wapo wanaovaa madera na uzinzi hauishi💁🏽♀️
@zablonfesto5216 Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@simonmponda7331 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana ukweli mtupu
@fatumaaybu8648 Жыл бұрын
Amina mtumishi nihakika kweli kabisa umenigusa😢
@elvisbaraka144411 ай бұрын
Safi sana mtumishi Kuna kanisa hapa dar mpaka Mchungaji anasikiliza nyimbo za kidunia kwenye gari na anatupia mtandaoni video akicheza hii ni hatari kabisa
@fatumaaybu864811 ай бұрын
@@elvisbaraka1444 wapo wengi tu hii nihatali kwakweli
@hildakilasi4004 Жыл бұрын
haleluya haleluya mtumishi pigiria msumari maana roho ya yezeberi imeliteka kanisa la leo
@user-bd4qx9go2x10 ай бұрын
Amen mtumishi waMungu Kaziyako ninjema uwe namoyo mkuu
@gabrielsylvester62716 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@ivomhagama9796 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu sana,watumishi wengi,wanatetemeka sana kusema ukweli usio na unafiki sijuwi humwonea hofu mungu wa Dunia inasikitisha sana ??
@RebekaShumbi4 ай бұрын
Amen uko sawa tuliishi neno Yesu anarudi upesi sana
@joycemunker7704 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu asante kwa mafundisho
@captdory Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi 🙌🙏
@rosemaryshangali_ Жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungubkwa neno hili...Mungu nisaidie peke yangu siwezi. Baba yangu alikuwa akikuona umevaa suruali anakuita anakupa andiko hilo usome halafu anakwambia umeelewa? Ila baada ya kujitegemea nikarudia tena ...Mungu nisaidie nitoke hapa.
@johnmeshack4431 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏 mutumishi barikiwa 🙏
@joycegeorge4712 Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Leo nmekuelewa
@itsyourboy1407 Жыл бұрын
mtumishi naweza pata hyo background music pleaseeeeeeee kama naweza nijibu nikutumie namb please mtumishi
@faridashabanifaridashabani59509 ай бұрын
Amina Sana tukiwambia wanasema eti tuwaache wanasema siyo Sisi tunao tengeneza mbingu ❤
@sharonetsisiche5184 Жыл бұрын
Ni kweli mtumishi PASCHAL,,
@bronsonkazungu265510 ай бұрын
Paschal huo niukweli kabisa kwa maama Mungu mwenye alinena kwangu nakunithibitishia yakwamba hapendi kuona mwanamke akivaa suruali ninakupongeza sana kwa huo ujumbe
@cuthbertsebastian9626 Жыл бұрын
Pia 1ptro 3:3 na 1Timotheo12:9 yule wakenya anaitwa Lucy Natasha,