NABII GEO DAVIE ALIVYOMZUNGUMZIA MWANAE NISHER AMBAYE AMEFARIKI “NGUMU KUSEMA, ALIACHA BONGOFLEVA”

  Рет қаралды 250,519

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 378
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 7 ай бұрын
Pole sana Nabii mkuu Geordavie Mungu akutie nguvu katika wakati huu mgumu.
@lilyrose7983
@lilyrose7983 7 ай бұрын
Unajua kichaa anachekesha akiwa kwa jirani.R.l.P Nisher 😭😭 Poleni wafiwa 🙏
@user-gb5vz6wm2q
@user-gb5vz6wm2q 7 ай бұрын
Wengine wanamcheka kichaa aliyepo ndani ya familia yao
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 7 ай бұрын
Pole sana Nabii mtumishi wa Mungu Bwana Yesu awafariji na awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
@raymondwatsonvideosclip5177
@raymondwatsonvideosclip5177 7 ай бұрын
we nawe huna akili hivi unajua huyu mzee ni shetani
@rosedaniel1981
@rosedaniel1981 7 ай бұрын
Kwann watu mnakuwa wepesi wakutoa hukumu hv jmn 😢hamjui kuwa kifo ni lazima kwa kila binaadam
@user-ho8xz6tx8t
@user-ho8xz6tx8t 7 ай бұрын
😢😢😢 mungu akuzidishie maarifa dady
@MojamojaMojamoja-lw2ph
@MojamojaMojamoja-lw2ph 7 ай бұрын
Pole sana baba ni gumu kulipokea lkn tumeumbiwa 😢
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 7 ай бұрын
Mungu ndiye ajuaye siri zote.
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 7 ай бұрын
Pole nabii kwa mtihani wa msiba, mungu atakuvusha tu
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 7 ай бұрын
Anajua mwenyewe aliyeketi mahali pa juu palipoinuka kuliko vyote,🙏
@BAHATIKIBA-ul6wx
@BAHATIKIBA-ul6wx 7 ай бұрын
Pole Xan Nabii Kwa Kufiwa Na Kjn Wako Kwa Kweli Mungu Akupe Nguvu Na Ujasiri Katika Kipind Hiki Kigumu Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi😭😭😭😭😭😭😭😭
@ssam3385
@ssam3385 7 ай бұрын
Pole bb mungu amlazembinguni
@samiraaindi
@samiraaindi 7 ай бұрын
pole kwa msiba Davie.
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 7 ай бұрын
Pole sana Mtumishi Mungu ashughulike na hixo mbwa xinaxomshambulia Mtumishi kwa kashfa.
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 7 ай бұрын
Ukila vya watu na vyako IPO sku vitaliwa..,
@carolinederi5690
@carolinederi5690 7 ай бұрын
😂😂😂
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 7 ай бұрын
Tayari, unaanza kuvuna ulichokipanda. Hongera sana Nabii uchwara
@malichanda3146
@malichanda3146 7 ай бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣 umeona eeh mbona hajamfufua 😂😂😂
@ericmellau3783
@ericmellau3783 7 ай бұрын
Uktoa baba ake kua nabii bado mungu atabak kua mung tu hata kama maomb yake,yako, mm hayakujibiwa kama tulivokua tunataka, baba kua nabii aizui mungu kutenda kaz ake
@Lanihsarumu
@Lanihsarumu 7 ай бұрын
Poleni sana mungu ampumzishe kwa amani
@MawazoMwamba-fz5hr
@MawazoMwamba-fz5hr 7 ай бұрын
Pole sana Nabii 😭😭😭
@ImanuelMwaipaja-wf7xq
@ImanuelMwaipaja-wf7xq 7 ай бұрын
Pole mzee jodave kwakipindi kigumu mungu atakulinda
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 7 ай бұрын
Pole sana kwa msiba mr davie
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 7 ай бұрын
Mda wao huu wanazik watoto tu
@annamrema2861
@annamrema2861 7 ай бұрын
Pole Baba Mungu akupe nguvu kiukweli inauma
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 7 ай бұрын
Mungu awasamehe wote wanaoongea ujinga kuhusu huyu mtumishi wa Mungu. Mungu awabariki sana
@GeofreyEmpire-qu8ez
@GeofreyEmpire-qu8ez 7 ай бұрын
Mwisho wa mwaka kweli duh
@samsonsamson7936
@samsonsamson7936 7 ай бұрын
We una uhakika gani kuwa yanayoongelewa siyo ya kweli?
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 7 ай бұрын
Nabii kashindwa kutabiri kifo cha mwanae
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 7 ай бұрын
Mtumishi wa mungu wako
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu ama tapeli ana waibia waumini
@camillah1097
@camillah1097 7 ай бұрын
Pole sana baba Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwana
@advinofficial6570
@advinofficial6570 7 ай бұрын
Camillah
@samiraaindi
@samiraaindi 7 ай бұрын
R.I.PNisher 😭
@abbassaid9305
@abbassaid9305 7 ай бұрын
Mtumishi wa mungu watoto wakiume wanavaa heren na yeye kama baba anasapot kama sio ushetani ni kitu gani
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 7 ай бұрын
Someni Kitabu Cha Mathayo Ile Sura ya 16: Mstari wa 26-27 Mtakuja kunishukuru❤
@faithmapondo7370
@faithmapondo7370 7 ай бұрын
​@@abbassaid9305Sasa yeye afanyaje
@jacobmgao-hi7rj
@jacobmgao-hi7rj 7 ай бұрын
Pole sana mungu awatie nguvu
@onanarosse9657
@onanarosse9657 7 ай бұрын
Poleni sana familia
@JONAISMARTINESAM-vs4jy
@JONAISMARTINESAM-vs4jy 7 ай бұрын
Daaah,,,, kafaje yaani???????? Poleni sana jmn!!! Inauma sana!!
@ahmedbashash3672
@ahmedbashash3672 7 ай бұрын
Kashamtoa kafara mtoto wake baba lenyewe shetani eti nabii mashetani wachaafu na matapeli
@AniaSawaki
@AniaSawaki 7 ай бұрын
😂😂😂😂 jameniiiiiiii
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 7 ай бұрын
Pole kwa wafiwa Ndugu jamaa na marafiki
@subirajohn728
@subirajohn728 7 ай бұрын
Innalilah wainnalilah rajiuun! Pole sana Nabii Dev!
@user-rd3zg5ze5k
@user-rd3zg5ze5k 7 ай бұрын
Nabii wa mchongo uyoo acheni kufuru
@SimbaSimba-fo9pd
@SimbaSimba-fo9pd 7 ай бұрын
subhanallah hivi wewe ni mwislam gani kwa kutoa pole kwa hili jiti jofavi laana za mwenyezi mungu ziwe juu yake
@drsilo
@drsilo 7 ай бұрын
Ww cio muislam acha kuposti mavitu yanayotia hila uislam ww
@user-bw7df5km1u
@user-bw7df5km1u 7 ай бұрын
Pole sana mungu akutie nguv u,mshukuru mungu kwakila jambo
@dullyblack38
@dullyblack38 7 ай бұрын
ni hv tu baba alikua superstar kuliko mwanae. hyo haikuwa sawa kimentalii. na chengine pia nisher ni kweli alikua mbele ya mdaa ila tatizo lilikua sapoti ni ndogo ya wasanii na media mapinduzi ya red camera zilipoanza iyo ilimfanya ajione kategwa na industry. all in all Rip young blood nisher
@eliannko
@eliannko 7 ай бұрын
mungu mtie nguvu nabii mkuu katika kipindi kigumu hiki
@ahmedbashash3672
@ahmedbashash3672 7 ай бұрын
Majambazi tu
@fidodido9578
@fidodido9578 7 ай бұрын
Hakuna mkuu ila MUNGU
@joycerichard9274
@joycerichard9274 7 ай бұрын
Pole sana baba yangu
@user-jc5oj6fw2c
@user-jc5oj6fw2c 7 ай бұрын
Pole baba yangu MUNGU wa mbigu na nchi akutie nguvu
@EliechiKimario-bv1gz
@EliechiKimario-bv1gz 7 ай бұрын
Hkn ch fremasoni kifo ni kifo hakuna mahali pameandikwa watumishi au watoto wao hawatakufa poleni sanna wafiwa
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 7 ай бұрын
Pole mtumishi wa MUNGU
@DiannaMsekeni
@DiannaMsekeni 7 ай бұрын
Pole mtumishi kwa msiba wa kijana wako jina la bwana lihimidiwe
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 ай бұрын
Huyu nabii muongo sana sema watu hawalijuity yupo firimasoni ndomna katoa kafara
@user-cw6kk2rw8f
@user-cw6kk2rw8f 7 ай бұрын
Huyu ndo mtumishi wa Mungu daa ama kweli dunia Mungu tuulumie sana
@glorymassawe5659
@glorymassawe5659 7 ай бұрын
Siku yakikukuta utafunga huo mdomo
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 ай бұрын
@@glorymassawe5659 lbda ukutane namizimu yako sio mimi
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 ай бұрын
Tuma nauchawi wenu waki frmasoni haunifiki
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 ай бұрын
Eti kufunga mdomo wako ndo utafunga munadanganya watu kuwatapeli eti munawaombea uongo mtupu
@BahatiSunga-yk9qf
@BahatiSunga-yk9qf 7 ай бұрын
Pole sana PLOFET kwa kuondokewa na kijana wako
@fatma4628
@fatma4628 7 ай бұрын
Mpigie yesu simu Mzee 😂😂amrudishe
@user-rd3zg5ze5k
@user-rd3zg5ze5k 7 ай бұрын
3:37
@immajungu5190
@immajungu5190 7 ай бұрын
Acha kufuru fatma hzo kejel n mbaya sana plz omba msamaha
@fatma4628
@fatma4628 7 ай бұрын
@@immajungu5190 sasa msamaha gani wakati baba yake anasema alionana na yesu wewe acha mungu hataniwi bana ama pia wewe ushaonana na yesu
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 7 ай бұрын
Pole San baba yetu .
@officiallugano8991
@officiallugano8991 7 ай бұрын
Daaaa pole sana
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 7 ай бұрын
Hii interview haihusiani na msiba ni kabla ya mwanae kufariki
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 7 ай бұрын
Yes
@user-ue3jx3by9i
@user-ue3jx3by9i 7 ай бұрын
Ndungu zangu wa Tanzania Tujaribu kutumia vizuri hii mitandao natupunguze ukari wa maneno sisi wa Tanzania jaman hatuja ubwa hv watanzabia tunasifika kwa ukarim na upendo hivi tumefikia handi kubishana na mungu kuchukua haki yake juzi Mme msema vibaya baba yetu mpendwa mpango mpaka mkawasha mishumaa ukasema mnavo jua lakin juzi mmeumbuka na baba wa watu alivo barikiwa kuanamoyo wa kuhimili uchafu wa midomo yetu wa Tanzania wasio na hekima aliwaombea2 kwa mungu awasamehe na mm naungana na makam wangu mungu awajalie mwisho mwema
@gmbrown1429
@gmbrown1429 7 ай бұрын
Kafara iyo
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 7 ай бұрын
Usilaumu wananchi, kabla hujahukumu lazima ufikiri kwanza, watanzania yule ni kiongoziwao wanahaki yakuuliza kisha wajibiwe, kumbuka na kwa magufuri walidanganywa hivohivo kumbe mzee alituacha haya sasa je wajifunze nini sasa.
@priscamavura8135
@priscamavura8135 7 ай бұрын
Poleni Sana familia
@imaniyohana
@imaniyohana 7 ай бұрын
Bro mbn hii interview ya mda sana af mbn Kam umeandk kuwa kamhoji baada ya msiba
@HappynessLevocatus
@HappynessLevocatus 7 ай бұрын
Pole sana nabii mkuu
@salamakitule-3856
@salamakitule-3856 7 ай бұрын
Pole sana kea mitihani
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 ай бұрын
Wangapi walikua hawaamini karumba hakua frmasoni leohii ndowana amini
@febroniamsoma178
@febroniamsoma178 7 ай бұрын
Acha Mungu afanye kazi yake, mapenzi yake
@hilidentamale9778
@hilidentamale9778 7 ай бұрын
Na huo ndo mwanzo na bado tutaona mengi
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 7 ай бұрын
Mshua wake anajua alichokifanya!
@allymwilu8089
@allymwilu8089 7 ай бұрын
😂😂😂blv dat
@kerrychristophers1595
@kerrychristophers1595 6 ай бұрын
Pole sana Daddy
@ANNETTVSHOW
@ANNETTVSHOW 7 ай бұрын
😢😢 pole sana
@p.kasongot979
@p.kasongot979 7 ай бұрын
Alikuwa andisamu jamani khaa❤❤❤😭😭😭😭😭😭
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 7 ай бұрын
Mzee katoa kafara ndio stetani alivyo ukimtumikia lazma utoe kafara natamani watu wajue huyu jamaa ni muabudu shetani kabisa yani
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 7 ай бұрын
dah really?
@idrisamapesa2732
@idrisamapesa2732 7 ай бұрын
Tayar mambo yamekaa sawa kwa bwana mchungaji
@queenmollel6739
@queenmollel6739 7 ай бұрын
Acha ujinga Kila mtu anafiwa wewe, umaskini usikufanye kupayuka
@frankmlalila1705
@frankmlalila1705 7 ай бұрын
😂😂😂
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd 7 ай бұрын
Ujakosea wng
@idrisamapesa2732
@idrisamapesa2732 7 ай бұрын
Mbona unaumizwa ktk hilo au ndo wale wale 😄😄😄 kenge ww
@malichanda3146
@malichanda3146 7 ай бұрын
😂😂😂 kabisa
@jacquelinefrankie5309
@jacquelinefrankie5309 7 ай бұрын
Pole nabii .rip broh nisher
@omarcarlos4595
@omarcarlos4595 7 ай бұрын
Hapo ndo utaelewa kuwa kifo ni haki kutoka kwa muumba.Hakuna atakayenusurika na kifo. Nii hi njia ambayo kila mmoja atapitia tu. Ni suala la muda bwana ametwaa
@SelinaPaschal-vq2iy
@SelinaPaschal-vq2iy 7 ай бұрын
Hivi mnazani kuua mtoto wake nirahisi acheni ujinga na Imani potofu
@Mkinga_og
@Mkinga_og 7 ай бұрын
Acha ukenge watu wanamuua mama mzazi sembuse mtoto, we unavohisi uyu mzee ni mtu mwenye imani gani, "yesu alinitokea live" we ulisikia wapi
@SelinaPaschal-vq2iy
@SelinaPaschal-vq2iy 7 ай бұрын
@@Mkinga_og bro pambana na hali yako akiri yako ukiijaza ushirikina basi Kila kifo utasema umelogwa mara kafara ashindwe kumtoa since akiwa mdogo aje amtoe now hayo nimapenzi ya MUNGU nothing else bro,,,,shame on u😏
@marthamollel9859
@marthamollel9859 7 ай бұрын
Ukikaa na maneno ya Mtandao utashindwa kufanya kazi huo ni uvivu wa fikira ukiona mtu kafanikiwa ooohh freemason . Kila mmoja atauonja umauti🙏🙏
@SelinaPaschal-vq2iy
@SelinaPaschal-vq2iy 7 ай бұрын
@@marthamollel9859 point,,,,,Yani watu huwa hawafikilii
@felistaantoni5446
@felistaantoni5446 7 ай бұрын
Pole sana babaangu kipenzi
@AishaNgoyi-vi2ku
@AishaNgoyi-vi2ku 7 ай бұрын
Pole sana baba
@user-rk8cf7cd5x
@user-rk8cf7cd5x 7 ай бұрын
Rip kuzimuuuuuuuuu
@user-ux8gd8mj2e
@user-ux8gd8mj2e 7 ай бұрын
Kufa kawaida wote tutaondoka tuache Iman potofu.
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 7 ай бұрын
Nlijua wataanza freemason upuuzi mtupu
@EmpireMoviesNseries
@EmpireMoviesNseries 7 ай бұрын
R.I.P mengine tumwachie muumbaji😢
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 7 ай бұрын
😢😢😢
@agnestemu8382
@agnestemu8382 7 ай бұрын
Aiseeee😢😢😢😢
@agnessmalyeek9387
@agnessmalyeek9387 6 ай бұрын
Baba hasa familia yangu inakupa pole sana
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 ай бұрын
Sinabii mbona hajarudisha roho yake kamakweli mponyaji
@aminahamadi7198
@aminahamadi7198 7 ай бұрын
Kamtoa.kafala uyo mzee
@limymasele21
@limymasele21 7 ай бұрын
Sipendi hii hali sasa hivi wa pili ndiyo anakuwa wa kwanza anaenda kubeba majukumu mazito sana yaliyokuwa yanafanywa na kaka wa miaka 34 alikuwa mkubwa huy😢😢😢
@hadjamussa1626
@hadjamussa1626 7 ай бұрын
Tofauti Kati ya mtu na mtu ni ufahamu mungu ni mwema
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa 7 ай бұрын
Msiba ni ule wa kule manyara. Huo ni msiba wakawaida sana
@summahthedon3511
@summahthedon3511 7 ай бұрын
Wewe ni matako kabisa😢😢😢😢msiba ni msiba tu
@lizashagilliard2336
@lizashagilliard2336 7 ай бұрын
Shame on you
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa 7 ай бұрын
@@summahthedon3511 kinge wewe
@queenmollel6739
@queenmollel6739 7 ай бұрын
​@@summahthedon3511Bado haijamtosha mpe lingine
@summahthedon3511
@summahthedon3511 7 ай бұрын
Yaani wewe ningekupata Mikononi mwangu ningekufilimba mbwa wewe sura Kama chapati iliyo kauka kukamamake zako
@user-dq4qr9bh5e
@user-dq4qr9bh5e 7 ай бұрын
mungu mwenyewe
@wilsonlazaro4048
@wilsonlazaro4048 7 ай бұрын
Naomba wote mnao msema vibaya huyu baba mtubu na kuomba msamaha msipo fanya hivyo nanyie mtapatwa na misiba Hadi mshangae mtafiwa au mtakufanyie wenyewe ili iwefundisho m mekosa chaku sema kwani ni la zima mseme na tamani ni ngekua karibu nanyie ni wakate hizo dimi zenu
@gabrielkimario1891
@gabrielkimario1891 7 ай бұрын
Acha kutisha watu,,Wewe unayeona wamekosea waombee kwa Mungu,,na Mungu hayupo hivyo unavyofikiria ndugu
@vaikaayagadiel520
@vaikaayagadiel520 7 ай бұрын
Ukiwa muislamu hufi/hufiwi, ndimi ndimi zichungeni
@ibrahimnganyule5367
@ibrahimnganyule5367 7 ай бұрын
Hivi mnaocoment kejeli hamjawahi poteza ndugu zenu
@Sheba4651
@Sheba4651 7 ай бұрын
Gwaji yuko wapi?
@laxmajor
@laxmajor 7 ай бұрын
Dar siyo pow😭
@user-iq1re6dj8n
@user-iq1re6dj8n 7 ай бұрын
Rahisi Sana kuwa unajuwa nini alifanya mpaka afike apo alipo
@user-rq4jo8lb1l
@user-rq4jo8lb1l 7 ай бұрын
Pole xn
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 7 ай бұрын
Frimason Katolewaaaa😢😢😢 heeeeee
@queenmollel6739
@queenmollel6739 7 ай бұрын
Weweee kumbe Bado unaulimbukeni hivyo, wajinga ndiyo wanaamini haya mambo,
@leaherasto929
@leaherasto929 7 ай бұрын
Rest in Peace
@mwami_the_don_
@mwami_the_don_ 7 ай бұрын
Sadaka ndio zina tuogopesha umeona sas alivyo mpoteza mtoto
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 7 ай бұрын
...😢😢😢😢😢
@user-ks8oy9lt7z
@user-ks8oy9lt7z 7 ай бұрын
Hee nabii anashindwa kuzuia mwanae asifariki lakini wengine anawaambia anawaombea wawe salama makubwa
@faithjonesmeena4679
@faithjonesmeena4679 7 ай бұрын
Walikufa watoto wa ayubu na alikua mwema Sana mwachon pa bwana. Mitihan huja kwa njia mbali mbali
@user-ks8oy9lt7z
@user-ks8oy9lt7z 7 ай бұрын
Mjinga huamini kila neno lakini mwerevu huangalia sana aendavyo
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 7 ай бұрын
Kwani mganga wako hajafiwa?
@user-ks8oy9lt7z
@user-ks8oy9lt7z 7 ай бұрын
@@mwigarleysaid5406 alaa kumbe uyu mganga wenu sio?
@eliamwakimage5389
@eliamwakimage5389 7 ай бұрын
Mtoto wa Nabii.... Ananda mziki wa Bongo fleva... Nabii wa mungu yupo tu anaangalia. Mungu mrehemu Nisher uko alipo. Revelation 14:13
@naigeorge7765
@naigeorge7765 7 ай бұрын
Uombee sana watoto wako unafikiri ni kazi rahisi.Au unaweza kutumia nguvu mtoto wako awe utakavyo wewe.Ni neema ya MUNGU tu ndio inaweza kufanya hivyo.Kwahiyo mtoto wako akiwa ana njia zake anabadilika kuwa mtoto wako.
@nadiatanzania
@nadiatanzania 7 ай бұрын
😢😢
@faridadumasalhathoseni
@faridadumasalhathoseni 7 ай бұрын
😢❤
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 7 ай бұрын
Huwa kabila gn huyu baba mashaallah mzuri na Pole kwa kufiwa
@MaryCaroly-zl1ei
@MaryCaroly-zl1ei 7 ай бұрын
Ni mnyaturu from singida
@princehancesam9892
@princehancesam9892 7 ай бұрын
Mwanae kafanana na USHER RAYMOND
@Josephkp629
@Josephkp629 7 ай бұрын
Kumbe nisher alikuwa mwanae😊
@user-or2xn4bp7o
@user-or2xn4bp7o 7 ай бұрын
ii dunia jamn 😥
@StephanoAkyoo
@StephanoAkyoo 7 ай бұрын
Wakati wa mwisho kutakuwako...na manabii wengi wa uongo na kweli, na wapo kuwapoteza hata Walio wateule....watafanya ishara, miujiza, na maajabu ya kufanana kabisa na yake ya kimbingunii......IWENI NA AKILI🤏
@amasmary3
@amasmary3 7 ай бұрын
Millard ayo anavyochonga nywele sasa 😂
@NoelChambo
@NoelChambo 7 ай бұрын
Ritual??!
@franckswedi5664
@franckswedi5664 7 ай бұрын
Mungu ndo ana juwa ukweli
@furahamangi4715
@furahamangi4715 7 ай бұрын
Polen kwa yote 😭🙏🙏
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 7 ай бұрын
Acha waseme ila mzee yuko ktk majonzi wao wanakashifu ila wote tutakufa
@abnermailos8043
@abnermailos8043 7 ай бұрын
Hope Moyo mkuu
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 7 ай бұрын
Yy si Nabii amuombee pepo mwanae
@queenmollel6739
@queenmollel6739 7 ай бұрын
Mitume walikufa, manabii hata wale walioongea na Mungu moja kwa moja walikufa Sasa wewe ambaye hutaki mtoto wa nabii afe,sijui unaishi dunia ipi
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 7 ай бұрын
@@queenmollel6739 nipo dunia uliokuepo ww Ila ufahamu wngu na wko tofaut
@user-cq1ye4pl2j
@user-cq1ye4pl2j 7 ай бұрын
​@@queenmollel6739 nimepita reply zoote wewe tuu ndio uko busy na one side ,mmmh au mzee wa kanisa dada😂 samahani😢
@josephinelwamlema7331
@josephinelwamlema7331 7 ай бұрын
Nimeshukuru kutozaliwa katika familia hizi..waweza kujikuta unatolewa sadaka hivi hivi
@joymafur1935
@joymafur1935 7 ай бұрын
😂😂
@malichanda3146
@malichanda3146 7 ай бұрын
Kabisa kabisa usitamani familia za watu Zina Siri nzito 😢
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 7 ай бұрын
mwenyenz mungu ampzshe mahala pema pepon Ila unachekesha
@roynessmanji6292
@roynessmanji6292 7 ай бұрын
😅
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 31 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 28 МЛН
UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV
32:44
GeorDavie TV
Рет қаралды 167 М.
Hanscana: Nisher Alituchukulia Poa/ Aliona Hatutatoboa Kabisa
23:17
Hitler in Colour (4K WW2 Documentary)
1:10:44
Best Documentary
Рет қаралды 9 МЛН
NABII MKUU KUTINGA BUNGENI KWA MWALIKO MAALUM - GeorDavie TV
24:24
GeorDavie TV
Рет қаралды 32 М.