Pole sana Nabii mkuu Geordavie Mungu akutie nguvu katika wakati huu mgumu.
@lilyrose79837 ай бұрын
Unajua kichaa anachekesha akiwa kwa jirani.R.l.P Nisher 😭😭 Poleni wafiwa 🙏
@user-gb5vz6wm2q7 ай бұрын
Wengine wanamcheka kichaa aliyepo ndani ya familia yao
@hildandumbalo58277 ай бұрын
Pole sana Nabii mtumishi wa Mungu Bwana Yesu awafariji na awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
@raymondwatsonvideosclip51777 ай бұрын
we nawe huna akili hivi unajua huyu mzee ni shetani
@rosedaniel19817 ай бұрын
Kwann watu mnakuwa wepesi wakutoa hukumu hv jmn 😢hamjui kuwa kifo ni lazima kwa kila binaadam
@user-ho8xz6tx8t7 ай бұрын
😢😢😢 mungu akuzidishie maarifa dady
@MojamojaMojamoja-lw2ph7 ай бұрын
Pole sana baba ni gumu kulipokea lkn tumeumbiwa 😢
@sophiakimaro51747 ай бұрын
Mungu ndiye ajuaye siri zote.
@shamsakiobia64217 ай бұрын
Pole nabii kwa mtihani wa msiba, mungu atakuvusha tu
@VeronicaMacha-pl3xt7 ай бұрын
Anajua mwenyewe aliyeketi mahali pa juu palipoinuka kuliko vyote,🙏
@BAHATIKIBA-ul6wx7 ай бұрын
Pole Xan Nabii Kwa Kufiwa Na Kjn Wako Kwa Kweli Mungu Akupe Nguvu Na Ujasiri Katika Kipind Hiki Kigumu Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi😭😭😭😭😭😭😭😭
@ssam33857 ай бұрын
Pole bb mungu amlazembinguni
@samiraaindi7 ай бұрын
pole kwa msiba Davie.
@yukundapeter82007 ай бұрын
Pole sana Mtumishi Mungu ashughulike na hixo mbwa xinaxomshambulia Mtumishi kwa kashfa.
@laurnyandwi-sb1gu7 ай бұрын
Ukila vya watu na vyako IPO sku vitaliwa..,
@carolinederi56907 ай бұрын
😂😂😂
@elishakayagwa93717 ай бұрын
Tayari, unaanza kuvuna ulichokipanda. Hongera sana Nabii uchwara
@malichanda31467 ай бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣 umeona eeh mbona hajamfufua 😂😂😂
@ericmellau37837 ай бұрын
Uktoa baba ake kua nabii bado mungu atabak kua mung tu hata kama maomb yake,yako, mm hayakujibiwa kama tulivokua tunataka, baba kua nabii aizui mungu kutenda kaz ake
@Lanihsarumu7 ай бұрын
Poleni sana mungu ampumzishe kwa amani
@MawazoMwamba-fz5hr7 ай бұрын
Pole sana Nabii 😭😭😭
@ImanuelMwaipaja-wf7xq7 ай бұрын
Pole mzee jodave kwakipindi kigumu mungu atakulinda
@lisawilliam24917 ай бұрын
Pole sana kwa msiba mr davie
@adolphmwangoje28877 ай бұрын
Mda wao huu wanazik watoto tu
@annamrema28617 ай бұрын
Pole Baba Mungu akupe nguvu kiukweli inauma
@kissamwamunyange10187 ай бұрын
Mungu awasamehe wote wanaoongea ujinga kuhusu huyu mtumishi wa Mungu. Mungu awabariki sana
@GeofreyEmpire-qu8ez7 ай бұрын
Mwisho wa mwaka kweli duh
@samsonsamson79367 ай бұрын
We una uhakika gani kuwa yanayoongelewa siyo ya kweli?
@edwardmaguluko65417 ай бұрын
Nabii kashindwa kutabiri kifo cha mwanae
@letthedeadburythedead21487 ай бұрын
Mtumishi wa mungu wako
@ilynpayne74917 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu ama tapeli ana waibia waumini
@camillah10977 ай бұрын
Pole sana baba Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwana
@advinofficial65707 ай бұрын
Camillah
@samiraaindi7 ай бұрын
R.I.PNisher 😭
@abbassaid93057 ай бұрын
Mtumishi wa mungu watoto wakiume wanavaa heren na yeye kama baba anasapot kama sio ushetani ni kitu gani
@saturinimushi47467 ай бұрын
Someni Kitabu Cha Mathayo Ile Sura ya 16: Mstari wa 26-27 Mtakuja kunishukuru❤
@faithmapondo73707 ай бұрын
@@abbassaid9305Sasa yeye afanyaje
@jacobmgao-hi7rj7 ай бұрын
Pole sana mungu awatie nguvu
@onanarosse96577 ай бұрын
Poleni sana familia
@JONAISMARTINESAM-vs4jy7 ай бұрын
Daaah,,,, kafaje yaani???????? Poleni sana jmn!!! Inauma sana!!
@ahmedbashash36727 ай бұрын
Kashamtoa kafara mtoto wake baba lenyewe shetani eti nabii mashetani wachaafu na matapeli
@AniaSawaki7 ай бұрын
😂😂😂😂 jameniiiiiiii
@achouraachoura57637 ай бұрын
Pole kwa wafiwa Ndugu jamaa na marafiki
@subirajohn7287 ай бұрын
Innalilah wainnalilah rajiuun! Pole sana Nabii Dev!
@user-rd3zg5ze5k7 ай бұрын
Nabii wa mchongo uyoo acheni kufuru
@SimbaSimba-fo9pd7 ай бұрын
subhanallah hivi wewe ni mwislam gani kwa kutoa pole kwa hili jiti jofavi laana za mwenyezi mungu ziwe juu yake
Pole sana mungu akutie nguv u,mshukuru mungu kwakila jambo
@dullyblack387 ай бұрын
ni hv tu baba alikua superstar kuliko mwanae. hyo haikuwa sawa kimentalii. na chengine pia nisher ni kweli alikua mbele ya mdaa ila tatizo lilikua sapoti ni ndogo ya wasanii na media mapinduzi ya red camera zilipoanza iyo ilimfanya ajione kategwa na industry. all in all Rip young blood nisher
@eliannko7 ай бұрын
mungu mtie nguvu nabii mkuu katika kipindi kigumu hiki
@ahmedbashash36727 ай бұрын
Majambazi tu
@fidodido95787 ай бұрын
Hakuna mkuu ila MUNGU
@joycerichard92747 ай бұрын
Pole sana baba yangu
@user-jc5oj6fw2c7 ай бұрын
Pole baba yangu MUNGU wa mbigu na nchi akutie nguvu
@EliechiKimario-bv1gz7 ай бұрын
Hkn ch fremasoni kifo ni kifo hakuna mahali pameandikwa watumishi au watoto wao hawatakufa poleni sanna wafiwa
@michaelrweyemamu10687 ай бұрын
Pole mtumishi wa MUNGU
@DiannaMsekeni7 ай бұрын
Pole mtumishi kwa msiba wa kijana wako jina la bwana lihimidiwe
@zainabumartin95207 ай бұрын
Huyu nabii muongo sana sema watu hawalijuity yupo firimasoni ndomna katoa kafara
@user-cw6kk2rw8f7 ай бұрын
Huyu ndo mtumishi wa Mungu daa ama kweli dunia Mungu tuulumie sana
Eti kufunga mdomo wako ndo utafunga munadanganya watu kuwatapeli eti munawaombea uongo mtupu
@BahatiSunga-yk9qf7 ай бұрын
Pole sana PLOFET kwa kuondokewa na kijana wako
@fatma46287 ай бұрын
Mpigie yesu simu Mzee 😂😂amrudishe
@user-rd3zg5ze5k7 ай бұрын
3:37
@immajungu51907 ай бұрын
Acha kufuru fatma hzo kejel n mbaya sana plz omba msamaha
@fatma46287 ай бұрын
@@immajungu5190 sasa msamaha gani wakati baba yake anasema alionana na yesu wewe acha mungu hataniwi bana ama pia wewe ushaonana na yesu
@AMINASAIDI-mx7rs7 ай бұрын
Pole San baba yetu .
@officiallugano89917 ай бұрын
Daaaa pole sana
@aminathaabubakarmasoud5657 ай бұрын
Hii interview haihusiani na msiba ni kabla ya mwanae kufariki
@rehemakanyere41887 ай бұрын
Yes
@user-ue3jx3by9i7 ай бұрын
Ndungu zangu wa Tanzania Tujaribu kutumia vizuri hii mitandao natupunguze ukari wa maneno sisi wa Tanzania jaman hatuja ubwa hv watanzabia tunasifika kwa ukarim na upendo hivi tumefikia handi kubishana na mungu kuchukua haki yake juzi Mme msema vibaya baba yetu mpendwa mpango mpaka mkawasha mishumaa ukasema mnavo jua lakin juzi mmeumbuka na baba wa watu alivo barikiwa kuanamoyo wa kuhimili uchafu wa midomo yetu wa Tanzania wasio na hekima aliwaombea2 kwa mungu awasamehe na mm naungana na makam wangu mungu awajalie mwisho mwema
@gmbrown14297 ай бұрын
Kafara iyo
@frankhoffa83567 ай бұрын
Usilaumu wananchi, kabla hujahukumu lazima ufikiri kwanza, watanzania yule ni kiongoziwao wanahaki yakuuliza kisha wajibiwe, kumbuka na kwa magufuri walidanganywa hivohivo kumbe mzee alituacha haya sasa je wajifunze nini sasa.
@priscamavura81357 ай бұрын
Poleni Sana familia
@imaniyohana7 ай бұрын
Bro mbn hii interview ya mda sana af mbn Kam umeandk kuwa kamhoji baada ya msiba
Mzee katoa kafara ndio stetani alivyo ukimtumikia lazma utoe kafara natamani watu wajue huyu jamaa ni muabudu shetani kabisa yani
@menalikechildren88367 ай бұрын
dah really?
@idrisamapesa27327 ай бұрын
Tayar mambo yamekaa sawa kwa bwana mchungaji
@queenmollel67397 ай бұрын
Acha ujinga Kila mtu anafiwa wewe, umaskini usikufanye kupayuka
@frankmlalila17057 ай бұрын
😂😂😂
@LailaLaila-kg2qd7 ай бұрын
Ujakosea wng
@idrisamapesa27327 ай бұрын
Mbona unaumizwa ktk hilo au ndo wale wale 😄😄😄 kenge ww
@malichanda31467 ай бұрын
😂😂😂 kabisa
@jacquelinefrankie53097 ай бұрын
Pole nabii .rip broh nisher
@omarcarlos45957 ай бұрын
Hapo ndo utaelewa kuwa kifo ni haki kutoka kwa muumba.Hakuna atakayenusurika na kifo. Nii hi njia ambayo kila mmoja atapitia tu. Ni suala la muda bwana ametwaa
@SelinaPaschal-vq2iy7 ай бұрын
Hivi mnazani kuua mtoto wake nirahisi acheni ujinga na Imani potofu
@Mkinga_og7 ай бұрын
Acha ukenge watu wanamuua mama mzazi sembuse mtoto, we unavohisi uyu mzee ni mtu mwenye imani gani, "yesu alinitokea live" we ulisikia wapi
@SelinaPaschal-vq2iy7 ай бұрын
@@Mkinga_og bro pambana na hali yako akiri yako ukiijaza ushirikina basi Kila kifo utasema umelogwa mara kafara ashindwe kumtoa since akiwa mdogo aje amtoe now hayo nimapenzi ya MUNGU nothing else bro,,,,shame on u😏
@marthamollel98597 ай бұрын
Ukikaa na maneno ya Mtandao utashindwa kufanya kazi huo ni uvivu wa fikira ukiona mtu kafanikiwa ooohh freemason . Kila mmoja atauonja umauti🙏🙏
@SelinaPaschal-vq2iy7 ай бұрын
@@marthamollel9859 point,,,,,Yani watu huwa hawafikilii
@felistaantoni54467 ай бұрын
Pole sana babaangu kipenzi
@AishaNgoyi-vi2ku7 ай бұрын
Pole sana baba
@user-rk8cf7cd5x7 ай бұрын
Rip kuzimuuuuuuuuu
@user-ux8gd8mj2e7 ай бұрын
Kufa kawaida wote tutaondoka tuache Iman potofu.
@aediayumgo85467 ай бұрын
Nlijua wataanza freemason upuuzi mtupu
@EmpireMoviesNseries7 ай бұрын
R.I.P mengine tumwachie muumbaji😢
@Boniphaceshayo57 ай бұрын
😢😢😢
@agnestemu83827 ай бұрын
Aiseeee😢😢😢😢
@agnessmalyeek93876 ай бұрын
Baba hasa familia yangu inakupa pole sana
@zainabumartin95207 ай бұрын
Sinabii mbona hajarudisha roho yake kamakweli mponyaji
@aminahamadi71987 ай бұрын
Kamtoa.kafala uyo mzee
@limymasele217 ай бұрын
Sipendi hii hali sasa hivi wa pili ndiyo anakuwa wa kwanza anaenda kubeba majukumu mazito sana yaliyokuwa yanafanywa na kaka wa miaka 34 alikuwa mkubwa huy😢😢😢
@hadjamussa16267 ай бұрын
Tofauti Kati ya mtu na mtu ni ufahamu mungu ni mwema
@EmmanuelNyinyigwa7 ай бұрын
Msiba ni ule wa kule manyara. Huo ni msiba wakawaida sana
@summahthedon35117 ай бұрын
Wewe ni matako kabisa😢😢😢😢msiba ni msiba tu
@lizashagilliard23367 ай бұрын
Shame on you
@EmmanuelNyinyigwa7 ай бұрын
@@summahthedon3511 kinge wewe
@queenmollel67397 ай бұрын
@@summahthedon3511Bado haijamtosha mpe lingine
@summahthedon35117 ай бұрын
Yaani wewe ningekupata Mikononi mwangu ningekufilimba mbwa wewe sura Kama chapati iliyo kauka kukamamake zako
@user-dq4qr9bh5e7 ай бұрын
mungu mwenyewe
@wilsonlazaro40487 ай бұрын
Naomba wote mnao msema vibaya huyu baba mtubu na kuomba msamaha msipo fanya hivyo nanyie mtapatwa na misiba Hadi mshangae mtafiwa au mtakufanyie wenyewe ili iwefundisho m mekosa chaku sema kwani ni la zima mseme na tamani ni ngekua karibu nanyie ni wakate hizo dimi zenu
@gabrielkimario18917 ай бұрын
Acha kutisha watu,,Wewe unayeona wamekosea waombee kwa Mungu,,na Mungu hayupo hivyo unavyofikiria ndugu
Mtoto wa Nabii.... Ananda mziki wa Bongo fleva... Nabii wa mungu yupo tu anaangalia. Mungu mrehemu Nisher uko alipo. Revelation 14:13
@naigeorge77657 ай бұрын
Uombee sana watoto wako unafikiri ni kazi rahisi.Au unaweza kutumia nguvu mtoto wako awe utakavyo wewe.Ni neema ya MUNGU tu ndio inaweza kufanya hivyo.Kwahiyo mtoto wako akiwa ana njia zake anabadilika kuwa mtoto wako.
@nadiatanzania7 ай бұрын
😢😢
@faridadumasalhathoseni7 ай бұрын
😢❤
@Hajer-be2kh7 ай бұрын
Huwa kabila gn huyu baba mashaallah mzuri na Pole kwa kufiwa
@MaryCaroly-zl1ei7 ай бұрын
Ni mnyaturu from singida
@princehancesam98927 ай бұрын
Mwanae kafanana na USHER RAYMOND
@Josephkp6297 ай бұрын
Kumbe nisher alikuwa mwanae😊
@user-or2xn4bp7o7 ай бұрын
ii dunia jamn 😥
@StephanoAkyoo7 ай бұрын
Wakati wa mwisho kutakuwako...na manabii wengi wa uongo na kweli, na wapo kuwapoteza hata Walio wateule....watafanya ishara, miujiza, na maajabu ya kufanana kabisa na yake ya kimbingunii......IWENI NA AKILI🤏
@amasmary37 ай бұрын
Millard ayo anavyochonga nywele sasa 😂
@NoelChambo7 ай бұрын
Ritual??!
@franckswedi56647 ай бұрын
Mungu ndo ana juwa ukweli
@furahamangi47157 ай бұрын
Polen kwa yote 😭🙏🙏
@shamsakiobia64217 ай бұрын
Acha waseme ila mzee yuko ktk majonzi wao wanakashifu ila wote tutakufa
@abnermailos80437 ай бұрын
Hope Moyo mkuu
@MdNasr-jm8pj7 ай бұрын
Yy si Nabii amuombee pepo mwanae
@queenmollel67397 ай бұрын
Mitume walikufa, manabii hata wale walioongea na Mungu moja kwa moja walikufa Sasa wewe ambaye hutaki mtoto wa nabii afe,sijui unaishi dunia ipi
@MdNasr-jm8pj7 ай бұрын
@@queenmollel6739 nipo dunia uliokuepo ww Ila ufahamu wngu na wko tofaut
@user-cq1ye4pl2j7 ай бұрын
@@queenmollel6739 nimepita reply zoote wewe tuu ndio uko busy na one side ,mmmh au mzee wa kanisa dada😂 samahani😢
@josephinelwamlema73317 ай бұрын
Nimeshukuru kutozaliwa katika familia hizi..waweza kujikuta unatolewa sadaka hivi hivi
@joymafur19357 ай бұрын
😂😂
@malichanda31467 ай бұрын
Kabisa kabisa usitamani familia za watu Zina Siri nzito 😢
@DavalsonMarlony7 ай бұрын
mwenyenz mungu ampzshe mahala pema pepon Ila unachekesha