VURUGU ARUSHA MUDA HUU, BARABARA YA MIKOANI YAFUNGWA, WAFANYABIASHARA WAINGIA BARABARANI

  Рет қаралды 216,388

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 226
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 4 ай бұрын
Nawakubali sana watu wa Arusha mnamisimamo ingekuwa mikoa yote ipo kama Arusha hawa wahuni wasingekua na power
@DeruDeru-p4t
@DeruDeru-p4t 4 ай бұрын
Duh Arusha noma sana Makonda kazi unayo baba AISE Mungu akusaidie mkoa hauishii vituko kila siku
@joycehaule9717
@joycehaule9717 4 ай бұрын
Makonda pole yake jamani aongezewe Mshahara
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 4 ай бұрын
Kwa Makonda issue ndogo sana. Sema wahusika ndio itakula kwako akitinga hapo na kusikiliza hoja.
@robertzamani5612
@robertzamani5612 4 ай бұрын
Makonda ameanza kupingwa vita na manyang'au ya nchi hii
@DeruDeru-p4t
@DeruDeru-p4t 4 ай бұрын
@@robertzamani5612 nikweli kabisa ila viongozi wanakazi sana yaani kazi kubwa mno Mungu awasaidie kwakweli
@YudasGhaitan
@YudasGhaitan 4 ай бұрын
​@@GibsonNtamamiloĺ0😊😊8
@sunguraally2456
@sunguraally2456 4 ай бұрын
Dadaa unaongea vizuri sanaaaa...Kunakitu unacho iaseee.Skia dadaangu,Huu ndio mwanzo wako wa mafanikio....Kila jambo huja kwa sababu.....Lakini pia kuvunjiwa au kufungiwa kwa biashara kwa watyu hawa ghafra sio jambo zuri... Tafadhali ongeen tena na watyu Hawa kwa hekima ili mambo yaende sawa.. SHUKRAN
@NeemaAkyoo-s4s
@NeemaAkyoo-s4s 4 ай бұрын
RIP MAGUFULI uliwajali sana wamachinga na ukawatengenezea had vitambulisho ili wasinyanyasike kama hivi sasa
@AfricanFolktalesStories-2024
@AfricanFolktalesStories-2024 4 ай бұрын
Ifike mahala Mungu aikumbuke tena nchi yetu atupe raisi kama Magu🙌
@charlesinternational708
@charlesinternational708 4 ай бұрын
Kweli kabixa maana Hakuna Wanacho kifanya huko Zaid sa Safari2
@nuruamry
@nuruamry 4 ай бұрын
Arusha ni nchi ya tatu Tanzania Ina sheria zake km tz nzima ingekuwa hiv basi asingekuwepo mnyonge
@Hellen-i2y
@Hellen-i2y 4 ай бұрын
Au vipi ? Imeisha iyo
@Oman-p8x
@Oman-p8x 4 ай бұрын
😂😂😂
@zainab8251
@zainab8251 4 ай бұрын
Nchi ya tatu😂😂😂😂😂😂😂
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 4 ай бұрын
​@@zainab8251Kuna Tanganyika,Zanzibar na ya tatu ni Arusha
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 4 ай бұрын
Goodfrei Thomas mambo, unafanya vizur sana
@JENIFAYOHANES
@JENIFAYOHANES 2 ай бұрын
Safi sana
@PamelaKagisa
@PamelaKagisa 4 ай бұрын
Hapo mimi nashindwa kuwaelewa, Sasa kama mnapokea Kodi Yao tayari mnakuwa mmeshawatambua .
@jumakilinja6341
@jumakilinja6341 4 ай бұрын
Hiyo ni Arushaaaaaa nawapenda sana mkiamua hakuna wa kusogea
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 4 ай бұрын
Wewe una akili kwel Kuna mwanainch anaamua mbele ya serikali 🤔🤔
@mangashajunior242
@mangashajunior242 4 ай бұрын
Yaani Mungu atusaidie Arusha tunaliwa hovyo...
@brighterkids8416
@brighterkids8416 4 ай бұрын
Arusha oyeeeeee
@ErickChaula-y4v
@ErickChaula-y4v 3 ай бұрын
Matukio
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 4 ай бұрын
Makonda pole kwa hali kama hiyo watu wamepinda.
@Hellen-i2y
@Hellen-i2y 4 ай бұрын
We umenyooka umewasaidiaje wanyonge?
@Mmms1w1Yyy1h1y1
@Mmms1w1Yyy1h1y1 4 ай бұрын
Iyi kabisa niagizo la mama !nimefatilia kauli ya mama imeanza kunvunja moyo makonda asiwe na utendaji sabiti !
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 4 ай бұрын
Kweli Mama kasema kuna wakuu wa mikoa bado miungu watu
@babaalex5062
@babaalex5062 4 ай бұрын
Hahaha Arusha mko powa sana
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
Kuna muda huwa nawapenda 😂😂😂
@RuthCharles-u4j
@RuthCharles-u4j 4 ай бұрын
Mungu tusaidie.Mama yetu sikia kilio cha wafanya biashara walau kue na hauen kwasbb kodi tunalipa huu ukaguzi wa mikoan sio mzuri tunakosa uhur wa kufanya biashara kwa amani sasa kama hapo wanafukuzwa kumbuk ajira amna namna pekee ya wao kujiokoa ni chinga bsness sasa wakinyanyasika bas ndo unakuta wengine wavuta bang wengine kujiuza hii sio sawa
@dn.n4983
@dn.n4983 4 ай бұрын
Safi sana mkuu kuna mtu ataka 10 hapo ndio watolewa
@nuruurio8319
@nuruurio8319 4 ай бұрын
Rambo yupo tengeru jikuteni migambo mchapwe.. wala hamna kupigana ni mnachapwa 🙌🏾🙌🏾
@EvaKiria
@EvaKiria 3 ай бұрын
Kamandayukojazinisheriaifutwe
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 ай бұрын
Makonda yuko wapi?!
@ISACKKILEO-e7z
@ISACKKILEO-e7z 4 ай бұрын
huyu dada nomaaaaa anaongeaaaa hatariii🤣🤣🤣🤣
@LaurencePima-dq3uj
@LaurencePima-dq3uj 4 ай бұрын
Siku zote familia inayoongozwa na mwanamke huwa haikosi mazaifu 😊
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 4 ай бұрын
muongo mkubwa wewe fuatilia vizuri hujielewi
@LaurencePima-dq3uj
@LaurencePima-dq3uj 4 ай бұрын
@@joycemfuru4752 wewe ni mwanamke huenda pia ni single mother kwahiyo huwezi ukanielewa baki na ubishi wako ila ukweli ndio huo familia ya mama huwa ni lege lege
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 4 ай бұрын
Wadudu
@Jamila-c7k
@Jamila-c7k 28 күн бұрын
Arisha Wana msimamo sana
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 4 ай бұрын
Vitambulisho viliendaga wapi tena
@jamessendu5994
@jamessendu5994 4 ай бұрын
Makufuli daaa lalaha powa
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 4 ай бұрын
Kesho mama atawaruhusu msijali ana upigamwingi
@FredrickOlotu-u8n
@FredrickOlotu-u8n 3 ай бұрын
Du! Kweli
@ChikuRamadhani-o2p
@ChikuRamadhani-o2p 4 ай бұрын
Mama yupo na matajiri wanyoge mtaisoma namba
@Godfreyolekidongo
@Godfreyolekidongo 4 ай бұрын
Nchi ya Arusha ⁉️🙌
@mugapro
@mugapro 4 ай бұрын
Naitwa RAMBO
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 4 ай бұрын
Pakia nyanya ndani ya rambo
@ShannyBrowntz
@ShannyBrowntz 3 ай бұрын
Tabia uwa na Tabia zakuanbukizanaa Wakenya Washawambuukizaa awaaa
@lidyakisoka-is4ru
@lidyakisoka-is4ru 4 ай бұрын
Suo kila kitu ni mama mengine wanambmbikizia mkoa una Mkuu wamkoa kuna mkurugenzi sasa samia anahusikaje,hata mkuu wa Mkoa inawezekana hajui ilo ni swala la mkurugenzi
@beinafuu6219
@beinafuu6219 4 ай бұрын
Tatizo linaletqa tatizo linaondolewa duh.Mungu saidia hii nchi yetu.
@JumaKamasa-kl6pz
@JumaKamasa-kl6pz Ай бұрын
Njihi ameharipika tanzania yetu jamani imeisha raha
@AbdiAthumani-es7og
@AbdiAthumani-es7og 4 ай бұрын
Kunakituo cha police pale mazingila sio rafiki kwetu😂😂😂
@Hellen-i2y
@Hellen-i2y 4 ай бұрын
Umeona eeehh😅
@AbdiAthumani-es7og
@AbdiAthumani-es7og 4 ай бұрын
@@Hellen-i2y 😂
@charlesinternational708
@charlesinternational708 4 ай бұрын
Nimeipenda hiyo
@LovenessLameck-w3y
@LovenessLameck-w3y 3 ай бұрын
Mme upga mwiing Wana arusha
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 4 ай бұрын
Matunda ya siasa
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 4 ай бұрын
Hii ni nchi gani?
@demicratia4071
@demicratia4071 4 ай бұрын
Hapo BILA MAKONDA HAPAJAKAMILIKII
@AbdalHamisi-i5m
@AbdalHamisi-i5m 29 күн бұрын
Abdal
@MartinYakobo-io1og
@MartinYakobo-io1og 4 ай бұрын
Kwa nino
@Dr.LAZARO-j2e
@Dr.LAZARO-j2e 3 ай бұрын
Sasa TANZANIA umekua Kenya sasa
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g 4 ай бұрын
Simakonda yupo?.
@mtumishimoviesstudio1502
@mtumishimoviesstudio1502 4 ай бұрын
Mama aache kutengeneza fujo alafu aje kujifanya kutatua ili watu wamkubali Ni upuuzi tu hata Dodoma manyanyaso yapo
@anordiobadia.nycsong8123
@anordiobadia.nycsong8123 4 ай бұрын
Ama kweli Arusha ndo Tz
@davidsebastian661
@davidsebastian661 4 ай бұрын
Inatakiwa Watanzania tuwe kama Wana Arusha tutafika bali tukiwa wamoja kama hiyo viongozi uchwara lazima wakae
@bennylove6021
@bennylove6021 4 ай бұрын
Aisee Arusha noma
@NeemaAkyoo-s4s
@NeemaAkyoo-s4s 4 ай бұрын
Hii nchi kwasasa maskini hana chake wanaoishi kwa amani ni matajir tu ee mwenyezi MUNGU tujalie tena rais mwingine ambaye atakuwa mtetezi wa wanyonge tunaishi kama wakimbiz kwenye taifa letu
@charlesinternational708
@charlesinternational708 4 ай бұрын
Inauma sana
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 4 ай бұрын
Dar waoga utadhani watoto waliokomba mboga
@joycehaule9717
@joycehaule9717 4 ай бұрын
Hahahahahaha eti tunamtaka Makonda wetu aje hahahahaahahhaahhahahahahaa MAKONDA BABA POLE WALAH
@kyannickk2be
@kyannickk2be 4 ай бұрын
Halmashauri mkono wake haukosekani sehemu nyingi
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 4 ай бұрын
Hii nchi inataka nini lakini
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 4 ай бұрын
Kwani mama yupo wapi saivi
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 4 ай бұрын
Hawa si wale waliokuwa na Magu jamani akira hakuna waacheni vijana watafute maisha
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 4 ай бұрын
Ila huyo dada kasema mkuu wa wilaya kashaga fika mahali akaruhusu kuendeleza vyashara vyao mpaka soko litakapo malizika sasa kwanini wawachokoze.tatizo ni watendaji waserikali wanakusa ushirikiyano mno.
@JENIFAYOHANES
@JENIFAYOHANES 2 ай бұрын
Mmh hii ndio chuga
@SaidAlly-c1x
@SaidAlly-c1x Ай бұрын
Iv wamachinga imeikosea nini serikali ya iawamu ya 6 Naomba watambue ii ichi yetu sote
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 4 ай бұрын
Watanzania wangekuwa na vichwa vizuri kama Waarusha hii nchi ingekuwa ishakombolewa
@WaziriHatibu-n5c
@WaziriHatibu-n5c 3 ай бұрын
Hivi mnanini huko Arusha mkuu WA mkoa afukuze watumishi wote maana hao ndio watamhalibia sifa
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 4 ай бұрын
Hii ndo arusha nchi inayojitegemea.kila mtu anajua haki yake. Soko la tengeru ni shughuli
@mtumishimoviesstudio1502
@mtumishimoviesstudio1502 4 ай бұрын
Yani nchi upuuzi tu Kisa Mtu anapata mshahara basi unanyanyasa wengine
@salmanmagwe222
@salmanmagwe222 4 ай бұрын
Huu mfumo wa biashara holela ni serikali na wanasiasa wenyewe ndio wameulea,na haya ndio matokeo yake hawapendi kupangwa kwa kuwa wanajua watalipa kodi. Nendeni mkajifunze RWANDA namna wanavyoendesha biashara kwa nidhamu,na hata bodaboda wao wananidhamu. Ni kwa nn tununue bidhaa za kula kwenye mazingira machafu kwa hoja eti ni wapiga kura?
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 4 ай бұрын
We nenda uishi RWANDA sasa, hii nchi yetu atutaki kuing'a kwa watu wegine sisi tutapambana nayo hivo hiv
@salmanmagwe222
@salmanmagwe222 4 ай бұрын
@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ndugu yangu usafi ni moja ya tunu ya binadamu na ndio unaolinda afya zetu iwe ni nyumbani au nje,ni kwa nn basi tusifuate ushauri wa wataalamu wa afya?kwani unadhani ni ghali sana kutengeneza kaalumian au chuma ndogo na kupanga bidhaa vizuri?Dunia yote imebadilika na hawauzi chini na kwenye magunia kama sisi baadhi ya waafrika tunaoendekeza Siasa hata kwenye usafi
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 4 ай бұрын
Yeah umeongea point atayekupinga ni zezeta freedom without control is bullshit
@Sahlomon-jp4jr
@Sahlomon-jp4jr 4 ай бұрын
We ni lijinga kabisa!!​@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@kutailass6671
@kutailass6671 4 ай бұрын
Ungefanya uugwana sana kama ungewasafirisha kufika huko Rwanda kupata elimu
@andreasemoja-yn6pz
@andreasemoja-yn6pz 4 ай бұрын
Chuga is Tz . Kumbuka Wadudu wanasema Mungu akitaka kupumzika anskuja Chuga😂
@martinakyoo148
@martinakyoo148 23 күн бұрын
Fungeni hadi waache ujinga,haiwezekani soko lipewe mtu binafsi kwa kusingizia ni marekebisho ya soko kumbe ni ulaji
@Naumitefaasungwile
@Naumitefaasungwile 4 ай бұрын
Jamani
@FIDESMARENGE
@FIDESMARENGE 4 ай бұрын
Sasa mnafunga barabara ya nn
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 4 ай бұрын
Watanzania wanateseka jamani😢😢😢😢mabank wameruhusiwa kuwaibia kwa mikopo, serekali inawaumiza na kodi😢😢😢
@tinotyno679
@tinotyno679 4 ай бұрын
UNITY IS THE POWER
@hamidumpiga6283
@hamidumpiga6283 3 ай бұрын
Raic anausika na nn sheria za nchi zifuatwe nazani awa watu wakiachwa ata barabarani watapanga vitu kama wanapewa maeneo na awayataki nn kifanyike
@JumaKingalu-rf1dg
@JumaKingalu-rf1dg 4 ай бұрын
Naomba serikali ikae kikao na viongozi wa soko kuleta Amani na utulivu hapo sokoni
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 4 ай бұрын
Nabii Edmund alisema anaona vurugu Arusha tuiombeee asee manabii wa Mungu waish milele tuombe tu
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 4 ай бұрын
Mim naamin Kuna manabii Kaka na nakuo mbea nawewe IPO siku Tu utawaamin Tu..
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 4 ай бұрын
Watu wa Arusha oyeee mmepinda kinyama 😂😂 Yani hadi wa fanya biashara wa wa mkoa wa Dar hawawezi ngoma hii 😂😂
@mosesmasanja8295
@mosesmasanja8295 4 ай бұрын
Wanamapepo mengi sana watu wa Arusha.
@Hellen-i2y
@Hellen-i2y 4 ай бұрын
Watu wanatetea haki ili wafanye kazi unasema wana mapepo?Wewe ndio unawapelekea mapepo.
@Hellen-i2y
@Hellen-i2y 4 ай бұрын
Hujitambui Huna ujasiri wao.omba Mungu mapepo yakutoke.
@atkentravelafrica4361
@atkentravelafrica4361 4 ай бұрын
Una hitaji maombi pepo wakutoke wewe.
@elardmassawe5513
@elardmassawe5513 4 ай бұрын
Ni mbaya tuu
@GiselaJoseph-z2f
@GiselaJoseph-z2f 3 ай бұрын
Miaka inav zidi kusonga watu wanazid kuwa wajanja haitakuwa kenya t
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 4 ай бұрын
Ndio mjue ccm ni ccm tu
@joycekweka5416
@joycekweka5416 4 ай бұрын
Utafanyiaje biashara pembeni mwa barabara je gari likikosea njia likawaburuza watamlaumu nani? Waingie ndani wote na maeneo yao yalishaandaliwa
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 4 ай бұрын
Jamani mbn mkuu wa mkoa anatetea wanyonge
@stevannydegalaxy9580
@stevannydegalaxy9580 3 ай бұрын
Mgomo sio kosa kosa ni uharibifu
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 4 ай бұрын
Mhhh Makonda poole kazi unayo
@Hellen-i2y
@Hellen-i2y 4 ай бұрын
Pole ya nini mbona anaiweza hii hali ni kitu kidogo sana kwake. Walishagoma tena na viongozi wakatoa matamko hawakuitatua. Wana haki ya kukiwasha
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 4 ай бұрын
@@Hellen-i2y Pole haijamaanisha kuto kuweza ila nimambo yanayokula Muda huo muda angeutumia kwamambo mengine
@mariyamgharib940
@mariyamgharib940 4 ай бұрын
Mtihan huu kuwanyanyasa ivi wananchi watu wana familia makonda ukiona hii lazma uwatumbue hao watu kiukweli ikiwa halmasharau au wengineo
@MussaKingu255
@MussaKingu255 4 ай бұрын
Alisema mtamkumbuka na bado
@djfaraji
@djfaraji 3 ай бұрын
Viongozi liangalieni ili mkojo mdogo mdogo ndiyo unao lowesha chupi
@joackimmwedimage6793
@joackimmwedimage6793 4 ай бұрын
Itaendelea wiki ijayo..........
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 4 ай бұрын
Tatizo la viongozi maDc na Ma Rc wanasemaga kuwa hao ni kaboss wao so hii tabia itakua mwananchi kutotii mamlakaaa na miongozo ya serikali kwasababu wanaamini ni maboss
@mataypanga5262
@mataypanga5262 4 ай бұрын
Ndugu mtangazaji siyo haki kusema viongozi walichaguliwa na wananchi kwa sababu awamu ya pili ya Magufuli hakukuwa na uchaguzi,aliiweka ccm kwa nguvu madarakani,Rais Samia akarithi viongozi hao wasiochaguliwa
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
Hakukua na uchaguzi ?
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
Tatizo la Tz, alitatuliwi kwa uchaguzi. Tz ni kuboresha namna ya kupata utendaji na viongozi. Ukitanguliza kipofu unategemea nini.
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 4 ай бұрын
Je kuna aliye wazuia wagombea? Uchaguzi haukufanyika? Je Lisu wakati anazunguka tz nzima hakuwa anafanya kampeni?
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 4 ай бұрын
Huyo mkurugenzi wa Arusha ana godfather
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 4 ай бұрын
Hii ilikua inatakiwa iwe nchi japo mimi sio wa mkoa bigup kasikazini.siowakinaduhushidaa
@TheonassSarwatt
@TheonassSarwatt 2 ай бұрын
Tupambane mpaka tonelamwisho
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 4 ай бұрын
Huyo dafa sio wa nchi ya chuga bana
@Kachuba-w9p
@Kachuba-w9p 4 ай бұрын
Wacheni kufanya kazi kwa mazowea 😢
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 ай бұрын
Weeeeeeh huku ni kumoto,shida nini??
@Aloycesenastian
@Aloycesenastian 4 ай бұрын
Makonda atawaidia maxkin jaman
@fredrickmwegole7337
@fredrickmwegole7337 4 ай бұрын
Hii ndo vita yetu tz japo kuna aman
@Avibrtz
@Avibrtz 4 ай бұрын
Kuna kituo cha Police 😂😂😂 waliko hamia
@AgustinoMgaya-tc2bi
@AgustinoMgaya-tc2bi 4 ай бұрын
Nchi hii haki inatafutwa kwa ngufu hii ndiyo taabu
@felistamollel9899
@felistamollel9899 4 ай бұрын
Du jamani magu tutakukumbuka sana ARUSHA kuna nini jamani kila kukicha na tukio lake
@laborapetro5117
@laborapetro5117 3 ай бұрын
Hawa wataalam wametumwa na nani
@karimmveyange280
@karimmveyange280 3 ай бұрын
NAWAKUBALI MAMONG'OO WA ARUSHA,MNAJITAMBUA,MNAKINUKISHA CHAP CHAP DHIDI YA HAO MAPOYOYO. MAISHA YAMEKUWA KAMA MCHEZO WA KUIGIZA,KILA SEHEMU WANANCHI WANAISHI UTADHANIA WAKO CHINI LA KOLONI LILILO FIRISIKA AKILI
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 32 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 77 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 121 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,6 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 32 МЛН