Nawakubali sana watu wa Arusha mnamisimamo ingekuwa mikoa yote ipo kama Arusha hawa wahuni wasingekua na power
@DeruDeru-p4t4 ай бұрын
Duh Arusha noma sana Makonda kazi unayo baba AISE Mungu akusaidie mkoa hauishii vituko kila siku
@joycehaule97174 ай бұрын
Makonda pole yake jamani aongezewe Mshahara
@GibsonNtamamilo4 ай бұрын
Kwa Makonda issue ndogo sana. Sema wahusika ndio itakula kwako akitinga hapo na kusikiliza hoja.
@robertzamani56124 ай бұрын
Makonda ameanza kupingwa vita na manyang'au ya nchi hii
@DeruDeru-p4t4 ай бұрын
@@robertzamani5612 nikweli kabisa ila viongozi wanakazi sana yaani kazi kubwa mno Mungu awasaidie kwakweli
@YudasGhaitan4 ай бұрын
@@GibsonNtamamiloĺ0😊😊8
@sunguraally24564 ай бұрын
Dadaa unaongea vizuri sanaaaa...Kunakitu unacho iaseee.Skia dadaangu,Huu ndio mwanzo wako wa mafanikio....Kila jambo huja kwa sababu.....Lakini pia kuvunjiwa au kufungiwa kwa biashara kwa watyu hawa ghafra sio jambo zuri... Tafadhali ongeen tena na watyu Hawa kwa hekima ili mambo yaende sawa.. SHUKRAN
@NeemaAkyoo-s4s4 ай бұрын
RIP MAGUFULI uliwajali sana wamachinga na ukawatengenezea had vitambulisho ili wasinyanyasike kama hivi sasa
@AfricanFolktalesStories-20244 ай бұрын
Ifike mahala Mungu aikumbuke tena nchi yetu atupe raisi kama Magu🙌
@charlesinternational7084 ай бұрын
Kweli kabixa maana Hakuna Wanacho kifanya huko Zaid sa Safari2
@nuruamry4 ай бұрын
Arusha ni nchi ya tatu Tanzania Ina sheria zake km tz nzima ingekuwa hiv basi asingekuwepo mnyonge
@Hellen-i2y4 ай бұрын
Au vipi ? Imeisha iyo
@Oman-p8x4 ай бұрын
😂😂😂
@zainab82514 ай бұрын
Nchi ya tatu😂😂😂😂😂😂😂
@ashachitemo78164 ай бұрын
@@zainab8251Kuna Tanganyika,Zanzibar na ya tatu ni Arusha
@mayrfrimi47594 ай бұрын
Goodfrei Thomas mambo, unafanya vizur sana
@JENIFAYOHANES2 ай бұрын
Safi sana
@PamelaKagisa4 ай бұрын
Hapo mimi nashindwa kuwaelewa, Sasa kama mnapokea Kodi Yao tayari mnakuwa mmeshawatambua .
@jumakilinja63414 ай бұрын
Hiyo ni Arushaaaaaa nawapenda sana mkiamua hakuna wa kusogea
@TibihikaGerad4 ай бұрын
Wewe una akili kwel Kuna mwanainch anaamua mbele ya serikali 🤔🤔
@mangashajunior2424 ай бұрын
Yaani Mungu atusaidie Arusha tunaliwa hovyo...
@brighterkids84164 ай бұрын
Arusha oyeeeeee
@ErickChaula-y4v3 ай бұрын
Matukio
@hawaelymaricca76024 ай бұрын
Makonda pole kwa hali kama hiyo watu wamepinda.
@Hellen-i2y4 ай бұрын
We umenyooka umewasaidiaje wanyonge?
@Mmms1w1Yyy1h1y14 ай бұрын
Iyi kabisa niagizo la mama !nimefatilia kauli ya mama imeanza kunvunja moyo makonda asiwe na utendaji sabiti !
@emmanuelmasele95854 ай бұрын
Kweli Mama kasema kuna wakuu wa mikoa bado miungu watu
@babaalex50624 ай бұрын
Hahaha Arusha mko powa sana
@israelkisaila84014 ай бұрын
Kuna muda huwa nawapenda 😂😂😂
@RuthCharles-u4j4 ай бұрын
Mungu tusaidie.Mama yetu sikia kilio cha wafanya biashara walau kue na hauen kwasbb kodi tunalipa huu ukaguzi wa mikoan sio mzuri tunakosa uhur wa kufanya biashara kwa amani sasa kama hapo wanafukuzwa kumbuk ajira amna namna pekee ya wao kujiokoa ni chinga bsness sasa wakinyanyasika bas ndo unakuta wengine wavuta bang wengine kujiuza hii sio sawa
@dn.n49834 ай бұрын
Safi sana mkuu kuna mtu ataka 10 hapo ndio watolewa
Siku zote familia inayoongozwa na mwanamke huwa haikosi mazaifu 😊
@joycemfuru47524 ай бұрын
muongo mkubwa wewe fuatilia vizuri hujielewi
@LaurencePima-dq3uj4 ай бұрын
@@joycemfuru4752 wewe ni mwanamke huenda pia ni single mother kwahiyo huwezi ukanielewa baki na ubishi wako ila ukweli ndio huo familia ya mama huwa ni lege lege
@Aziz-p6s4 ай бұрын
Wadudu
@Jamila-c7k28 күн бұрын
Arisha Wana msimamo sana
@Aziz-p6s4 ай бұрын
Vitambulisho viliendaga wapi tena
@jamessendu59944 ай бұрын
Makufuli daaa lalaha powa
@EmmanuelChrispin-bo5xh4 ай бұрын
Kesho mama atawaruhusu msijali ana upigamwingi
@FredrickOlotu-u8n3 ай бұрын
Du! Kweli
@ChikuRamadhani-o2p4 ай бұрын
Mama yupo na matajiri wanyoge mtaisoma namba
@Godfreyolekidongo4 ай бұрын
Nchi ya Arusha ⁉️🙌
@mugapro4 ай бұрын
Naitwa RAMBO
@leahmgunda41544 ай бұрын
Pakia nyanya ndani ya rambo
@ShannyBrowntz3 ай бұрын
Tabia uwa na Tabia zakuanbukizanaa Wakenya Washawambuukizaa awaaa
@lidyakisoka-is4ru4 ай бұрын
Suo kila kitu ni mama mengine wanambmbikizia mkoa una Mkuu wamkoa kuna mkurugenzi sasa samia anahusikaje,hata mkuu wa Mkoa inawezekana hajui ilo ni swala la mkurugenzi
@beinafuu62194 ай бұрын
Tatizo linaletqa tatizo linaondolewa duh.Mungu saidia hii nchi yetu.
@JumaKamasa-kl6pzАй бұрын
Njihi ameharipika tanzania yetu jamani imeisha raha
@AbdiAthumani-es7og4 ай бұрын
Kunakituo cha police pale mazingila sio rafiki kwetu😂😂😂
@Hellen-i2y4 ай бұрын
Umeona eeehh😅
@AbdiAthumani-es7og4 ай бұрын
@@Hellen-i2y 😂
@charlesinternational7084 ай бұрын
Nimeipenda hiyo
@LovenessLameck-w3y3 ай бұрын
Mme upga mwiing Wana arusha
@Aziz-p6s4 ай бұрын
Matunda ya siasa
@AlhajiIssa-jb9hr4 ай бұрын
Hii ni nchi gani?
@demicratia40714 ай бұрын
Hapo BILA MAKONDA HAPAJAKAMILIKII
@AbdalHamisi-i5m29 күн бұрын
Abdal
@MartinYakobo-io1og4 ай бұрын
Kwa nino
@Dr.LAZARO-j2e3 ай бұрын
Sasa TANZANIA umekua Kenya sasa
@DONALDMTOWE-u9g4 ай бұрын
Simakonda yupo?.
@mtumishimoviesstudio15024 ай бұрын
Mama aache kutengeneza fujo alafu aje kujifanya kutatua ili watu wamkubali Ni upuuzi tu hata Dodoma manyanyaso yapo
@anordiobadia.nycsong81234 ай бұрын
Ama kweli Arusha ndo Tz
@davidsebastian6614 ай бұрын
Inatakiwa Watanzania tuwe kama Wana Arusha tutafika bali tukiwa wamoja kama hiyo viongozi uchwara lazima wakae
@bennylove60214 ай бұрын
Aisee Arusha noma
@NeemaAkyoo-s4s4 ай бұрын
Hii nchi kwasasa maskini hana chake wanaoishi kwa amani ni matajir tu ee mwenyezi MUNGU tujalie tena rais mwingine ambaye atakuwa mtetezi wa wanyonge tunaishi kama wakimbiz kwenye taifa letu
@charlesinternational7084 ай бұрын
Inauma sana
@DeusiMorisi4 ай бұрын
Dar waoga utadhani watoto waliokomba mboga
@joycehaule97174 ай бұрын
Hahahahahaha eti tunamtaka Makonda wetu aje hahahahaahahhaahhahahahahaa MAKONDA BABA POLE WALAH
@kyannickk2be4 ай бұрын
Halmashauri mkono wake haukosekani sehemu nyingi
@Aziz-p6s4 ай бұрын
Hii nchi inataka nini lakini
@Aziz-p6s4 ай бұрын
Kwani mama yupo wapi saivi
@MatronaThomas-wz5si4 ай бұрын
Hawa si wale waliokuwa na Magu jamani akira hakuna waacheni vijana watafute maisha
@lunangabenjamin31214 ай бұрын
Ila huyo dada kasema mkuu wa wilaya kashaga fika mahali akaruhusu kuendeleza vyashara vyao mpaka soko litakapo malizika sasa kwanini wawachokoze.tatizo ni watendaji waserikali wanakusa ushirikiyano mno.
@JENIFAYOHANES2 ай бұрын
Mmh hii ndio chuga
@SaidAlly-c1xАй бұрын
Iv wamachinga imeikosea nini serikali ya iawamu ya 6 Naomba watambue ii ichi yetu sote
@namsifubwana21524 ай бұрын
Watanzania wangekuwa na vichwa vizuri kama Waarusha hii nchi ingekuwa ishakombolewa
@WaziriHatibu-n5c3 ай бұрын
Hivi mnanini huko Arusha mkuu WA mkoa afukuze watumishi wote maana hao ndio watamhalibia sifa
@karolikisaka89914 ай бұрын
Hii ndo arusha nchi inayojitegemea.kila mtu anajua haki yake. Soko la tengeru ni shughuli
@mtumishimoviesstudio15024 ай бұрын
Yani nchi upuuzi tu Kisa Mtu anapata mshahara basi unanyanyasa wengine
@salmanmagwe2224 ай бұрын
Huu mfumo wa biashara holela ni serikali na wanasiasa wenyewe ndio wameulea,na haya ndio matokeo yake hawapendi kupangwa kwa kuwa wanajua watalipa kodi. Nendeni mkajifunze RWANDA namna wanavyoendesha biashara kwa nidhamu,na hata bodaboda wao wananidhamu. Ni kwa nn tununue bidhaa za kula kwenye mazingira machafu kwa hoja eti ni wapiga kura?
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k4 ай бұрын
We nenda uishi RWANDA sasa, hii nchi yetu atutaki kuing'a kwa watu wegine sisi tutapambana nayo hivo hiv
@salmanmagwe2224 ай бұрын
@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ndugu yangu usafi ni moja ya tunu ya binadamu na ndio unaolinda afya zetu iwe ni nyumbani au nje,ni kwa nn basi tusifuate ushauri wa wataalamu wa afya?kwani unadhani ni ghali sana kutengeneza kaalumian au chuma ndogo na kupanga bidhaa vizuri?Dunia yote imebadilika na hawauzi chini na kwenye magunia kama sisi baadhi ya waafrika tunaoendekeza Siasa hata kwenye usafi
@unjuusalvatory53314 ай бұрын
Yeah umeongea point atayekupinga ni zezeta freedom without control is bullshit
@Sahlomon-jp4jr4 ай бұрын
We ni lijinga kabisa!!@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@kutailass66714 ай бұрын
Ungefanya uugwana sana kama ungewasafirisha kufika huko Rwanda kupata elimu
@andreasemoja-yn6pz4 ай бұрын
Chuga is Tz . Kumbuka Wadudu wanasema Mungu akitaka kupumzika anskuja Chuga😂
@martinakyoo14823 күн бұрын
Fungeni hadi waache ujinga,haiwezekani soko lipewe mtu binafsi kwa kusingizia ni marekebisho ya soko kumbe ni ulaji
@Naumitefaasungwile4 ай бұрын
Jamani
@FIDESMARENGE4 ай бұрын
Sasa mnafunga barabara ya nn
@namsifubwana21524 ай бұрын
Watanzania wanateseka jamani😢😢😢😢mabank wameruhusiwa kuwaibia kwa mikopo, serekali inawaumiza na kodi😢😢😢
@tinotyno6794 ай бұрын
UNITY IS THE POWER
@hamidumpiga62833 ай бұрын
Raic anausika na nn sheria za nchi zifuatwe nazani awa watu wakiachwa ata barabarani watapanga vitu kama wanapewa maeneo na awayataki nn kifanyike
@JumaKingalu-rf1dg4 ай бұрын
Naomba serikali ikae kikao na viongozi wa soko kuleta Amani na utulivu hapo sokoni
@VictorJohn-fu7ch4 ай бұрын
Nabii Edmund alisema anaona vurugu Arusha tuiombeee asee manabii wa Mungu waish milele tuombe tu
@VictorJohn-fu7ch4 ай бұрын
Mim naamin Kuna manabii Kaka na nakuo mbea nawewe IPO siku Tu utawaamin Tu..
@AlHamra-k4u4 ай бұрын
Watu wa Arusha oyeee mmepinda kinyama 😂😂 Yani hadi wa fanya biashara wa wa mkoa wa Dar hawawezi ngoma hii 😂😂
@mosesmasanja82954 ай бұрын
Wanamapepo mengi sana watu wa Arusha.
@Hellen-i2y4 ай бұрын
Watu wanatetea haki ili wafanye kazi unasema wana mapepo?Wewe ndio unawapelekea mapepo.
@Hellen-i2y4 ай бұрын
Hujitambui Huna ujasiri wao.omba Mungu mapepo yakutoke.
@atkentravelafrica43614 ай бұрын
Una hitaji maombi pepo wakutoke wewe.
@elardmassawe55134 ай бұрын
Ni mbaya tuu
@GiselaJoseph-z2f3 ай бұрын
Miaka inav zidi kusonga watu wanazid kuwa wajanja haitakuwa kenya t
@PauloAlfayo-qi1gn4 ай бұрын
Ndio mjue ccm ni ccm tu
@joycekweka54164 ай бұрын
Utafanyiaje biashara pembeni mwa barabara je gari likikosea njia likawaburuza watamlaumu nani? Waingie ndani wote na maeneo yao yalishaandaliwa
@PauloAlfayo-qi1gn4 ай бұрын
Jamani mbn mkuu wa mkoa anatetea wanyonge
@stevannydegalaxy95803 ай бұрын
Mgomo sio kosa kosa ni uharibifu
@sadikidaudi4604 ай бұрын
Mhhh Makonda poole kazi unayo
@Hellen-i2y4 ай бұрын
Pole ya nini mbona anaiweza hii hali ni kitu kidogo sana kwake. Walishagoma tena na viongozi wakatoa matamko hawakuitatua. Wana haki ya kukiwasha
@sadikidaudi4604 ай бұрын
@@Hellen-i2y Pole haijamaanisha kuto kuweza ila nimambo yanayokula Muda huo muda angeutumia kwamambo mengine
@mariyamgharib9404 ай бұрын
Mtihan huu kuwanyanyasa ivi wananchi watu wana familia makonda ukiona hii lazma uwatumbue hao watu kiukweli ikiwa halmasharau au wengineo
@MussaKingu2554 ай бұрын
Alisema mtamkumbuka na bado
@djfaraji3 ай бұрын
Viongozi liangalieni ili mkojo mdogo mdogo ndiyo unao lowesha chupi
@joackimmwedimage67934 ай бұрын
Itaendelea wiki ijayo..........
@stanleyamlima20854 ай бұрын
Tatizo la viongozi maDc na Ma Rc wanasemaga kuwa hao ni kaboss wao so hii tabia itakua mwananchi kutotii mamlakaaa na miongozo ya serikali kwasababu wanaamini ni maboss
@mataypanga52624 ай бұрын
Ndugu mtangazaji siyo haki kusema viongozi walichaguliwa na wananchi kwa sababu awamu ya pili ya Magufuli hakukuwa na uchaguzi,aliiweka ccm kwa nguvu madarakani,Rais Samia akarithi viongozi hao wasiochaguliwa
@FahadAbubakari4 ай бұрын
Hakukua na uchaguzi ?
@GodfreyOsward4 ай бұрын
Tatizo la Tz, alitatuliwi kwa uchaguzi. Tz ni kuboresha namna ya kupata utendaji na viongozi. Ukitanguliza kipofu unategemea nini.
@martinemaganga52534 ай бұрын
Je kuna aliye wazuia wagombea? Uchaguzi haukufanyika? Je Lisu wakati anazunguka tz nzima hakuwa anafanya kampeni?
@sebastiansalamba3134 ай бұрын
Huyo mkurugenzi wa Arusha ana godfather
@EmmanuelChrispin-bo5xh4 ай бұрын
Hii ilikua inatakiwa iwe nchi japo mimi sio wa mkoa bigup kasikazini.siowakinaduhushidaa
@TheonassSarwatt2 ай бұрын
Tupambane mpaka tonelamwisho
@shadrackjuliuskaboya52394 ай бұрын
Huyo dafa sio wa nchi ya chuga bana
@Kachuba-w9p4 ай бұрын
Wacheni kufanya kazi kwa mazowea 😢
@kekiplus1andonly4 ай бұрын
Weeeeeeh huku ni kumoto,shida nini??
@Aloycesenastian4 ай бұрын
Makonda atawaidia maxkin jaman
@fredrickmwegole73374 ай бұрын
Hii ndo vita yetu tz japo kuna aman
@Avibrtz4 ай бұрын
Kuna kituo cha Police 😂😂😂 waliko hamia
@AgustinoMgaya-tc2bi4 ай бұрын
Nchi hii haki inatafutwa kwa ngufu hii ndiyo taabu
@felistamollel98994 ай бұрын
Du jamani magu tutakukumbuka sana ARUSHA kuna nini jamani kila kukicha na tukio lake
@laborapetro51173 ай бұрын
Hawa wataalam wametumwa na nani
@karimmveyange2803 ай бұрын
NAWAKUBALI MAMONG'OO WA ARUSHA,MNAJITAMBUA,MNAKINUKISHA CHAP CHAP DHIDI YA HAO MAPOYOYO. MAISHA YAMEKUWA KAMA MCHEZO WA KUIGIZA,KILA SEHEMU WANANCHI WANAISHI UTADHANIA WAKO CHINI LA KOLONI LILILO FIRISIKA AKILI