Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania
@allysimu685618 күн бұрын
Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah
@user-yd1pc8uy8x18 күн бұрын
Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama
@mswaki_newstz18 күн бұрын
Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿
@imamwaki256618 күн бұрын
Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka
@princeisaac220218 күн бұрын
Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.
@imallya651318 күн бұрын
Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa
@herryochola265013 күн бұрын
KAZI NZURI SANA MHESHIMIWA RAIS,MIMI NINA IMANI KUBWA NA WEWE.
@user-xk7vy4gb6g18 күн бұрын
Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo
@BigZhumbe18 күн бұрын
JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
@AbdallahBabu-jl8ld17 күн бұрын
Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa
@bugapeasant182717 күн бұрын
Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi
@itanzaniaAS18 күн бұрын
Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume
@RoanCorporation17 күн бұрын
Mama iko mzuri Sana
@azizimohamed917118 күн бұрын
Kweli mama kaamua
@mohamedelmi743518 күн бұрын
The problem has always been TRA, nothing but Rushwa rushwa rushwa
@user-wf8eb6nm4s17 күн бұрын
Tupo pamoja mama unaupiga mwingi
@MikaJoseph-h4p18 күн бұрын
Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo
@shabanjuma425318 күн бұрын
Mkuu jafo hongera sana kaka
@melitajeremia18 күн бұрын
Perfect kabisa
@user-mu1hx7yv9b18 күн бұрын
Mama mitano Tena unajua kazi mama
@zuberiismail297218 күн бұрын
Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro