DAKIKA 50 ZA MABISHANO MAKALI BUNGENI HALIMA MDEE, MWIGULU, MPINA, MUSUKUMA AMALIZA MZOZO

  Рет қаралды 192,234

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 697
@user-ow8cp1fp9c
@user-ow8cp1fp9c Ай бұрын
Hongera Mh Spika Endelea Kutupigania
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Spika wa Bunge ameupiga mwingi safi sana
@ibrahimmbilinyi-sp4gi
@ibrahimmbilinyi-sp4gi Ай бұрын
Tulia you are a very important woman kwa nchi yetu proud of you❤mpina you are never walk alone boss😎
@kizitokhaissy7150
@kizitokhaissy7150 Ай бұрын
Asante muheshimiwa speaker kwa kumbana waziri wa fedha bado hatoshi kwenye wizara ya fadha
@MdYeasin-xx1gm
@MdYeasin-xx1gm Ай бұрын
mdee jembe itakuwaje chadema kafukuzwa mgombea binafsi bongo wana bania anaitajika sanaa mjengoni ❤❤❤
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Huko kuingia Bungeni tu bila chama ni ujembe kweli kweli.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
​@@hajihassan5433CCM number 2 hao
@festongonyani152
@festongonyani152 Ай бұрын
Tutayamaliza baada ya bunge kuisha ondoeni shaka nina imani atarudi cdm
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
@@festongonyani152 Yeye yupo CHADEMA dam dam kama kuondolewa wataondolewa kwa mkutano mkuu wa chama.
@mpalalakenan4083
@mpalalakenan4083 Ай бұрын
❤❤ll❤❤​@@hajihassan5433
@mashipeter4819
@mashipeter4819 Ай бұрын
Mheshimiwa Tulia Mungu akuongoze. Heshima kwako.❤
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Na kweli kabisa
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 Ай бұрын
Harima mdee ni kiboko ❤❤❤ kachafuwa hari ya hewa ,
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Halima siyo Harima 🤝
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 Ай бұрын
@@awatifalghanim1106 wewe umenielewa
@saidmussongo1527
@saidmussongo1527 Ай бұрын
Hajachafua hali ya hewa,anawaonesha jinsi gani hao mawaziri walivyo viporo. Mpina anamweleza Mwigulu atoe vielelezo,hana. Wanakuwa wakali tu. Wana wasiwasi na Mpina.Anawatoa jasho jembamba
@ordafabian5172
@ordafabian5172 17 күн бұрын
Ra, re, ri, ro, ru. La, le, li, lo, lu.
@nellyhortensia2407
@nellyhortensia2407 14 күн бұрын
@@ordafabian5172😂😂😂😂 nimecheka hadi nimekojoaaa
@user-wq9jk1zk4y
@user-wq9jk1zk4y Ай бұрын
Mdee hakilinyingi
@jimmysam8330
@jimmysam8330 Ай бұрын
Hakili au akili😅😅
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 16 күн бұрын
@mmyblacktz13
@EliasMollel-x3d
@EliasMollel-x3d 15 күн бұрын
Waziri hapo hapana
@ImamuKipepe-ke7gv
@ImamuKipepe-ke7gv Ай бұрын
Uko very sana dada tatizo ukiongeaukweli mafisadiwanakuchukia
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Ай бұрын
Hapa bunge limejitendea haki
@robertmosha6801
@robertmosha6801 Ай бұрын
Mwigulu ni deshi sana
@mahengedaktari-ek8go
@mahengedaktari-ek8go Ай бұрын
Mwigulu mwongo sana
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Afukuzwe kabisa
@brightontibenda2346
@brightontibenda2346 Ай бұрын
Tulia Ana uwezo mkubwa wa kisheria na anaheshimu taaluma yake vizuri. Halima mdee Ni mwanasheria mzuri akitumiwa!
@kenjoseph3337
@kenjoseph3337 Ай бұрын
Tuna waziri wa fedha wa ajabu sana
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Jiziiii kabsaa
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 Ай бұрын
Mwigulu hatoshi kuwa waziri wa fedha Tanzania kabisa
@MrimiMarwa
@MrimiMarwa Ай бұрын
Kweli wazili jina wizi
@BabaLea-ez7pp
@BabaLea-ez7pp 17 күн бұрын
Aende burundi huyu maana Kaz imemshinda
@LeonardEdward-fb2bn
@LeonardEdward-fb2bn 15 күн бұрын
😂😂😂😂​@@BabaLea-ez7pp
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 8 күн бұрын
​@@LeonardEdward-fb2bnkwakwel aende hatumtak
@rosekimaro384
@rosekimaro384 Күн бұрын
Fukuza mara moja huyo
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 Ай бұрын
Mwigulu hana sifa za kuwa wazir wa Fedha
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 Ай бұрын
Mkataba ukishasainiwa kinachofuata ni mkandarasi kupiga kazi na kukamilisha kwa wkt uliokubalika. Mambo ya dola hayahusiani cc tunatumia Tsh. Mwizi mzoefu wewe
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Ай бұрын
Anabebwa sn na mama Hana sifa hata ya kuwa rais hafai kabisa
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Mwiz tuuu shenz hili
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Ай бұрын
@@aishahasan7722 kabisa ndugu yangu jizi mno na halina sifa za kuwa waziri
@amosmahona433
@amosmahona433 Ай бұрын
MH.Mdee na Mh.speaker wa bunge nimewaelewa sana maswali yao
@user-ff1ti2bo4w
@user-ff1ti2bo4w Ай бұрын
Hongera sanaa mama wetu tulia spika wabunge la jamuhuri ya muungano Mungu akulinde una tenda haki
@selinalawala2270
@selinalawala2270 Ай бұрын
Spika anaijua vizuri sheria.
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Spika safi sana
@gabrielmwikanu1160
@gabrielmwikanu1160 Ай бұрын
Halima mdee namkubali namkubali Sana.
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Hata mm aiseee
@katikirojuventus
@katikirojuventus Ай бұрын
Mpina na Halima big up sana. Wapigeni spana hao majizi
@ibrahimmbango9117
@ibrahimmbango9117 Ай бұрын
pongezi kwa mdeee na spika leo nimefurahi saana
@berthamushi6891
@berthamushi6891 Ай бұрын
Hongera Kwa Mh.Spika RAIS wa Mabunge yote Duniani na Mh. Halima Mdee na Dr. Mpina Wanasheria Wasomi Endeleeni kuwapigania Watanzania 😂😂😂 EPC+F
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 20 күн бұрын
Pongezi za nini wakati nchi inaibiwa watu hawajakamatwa
@nestanesta5704
@nestanesta5704 Ай бұрын
Tulia leo umetisha
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Haswaaaa
@mejamiela7436
@mejamiela7436 Ай бұрын
Mwiguru hamna kitu
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Jizi sn Hilo mwigulu
@MrimiMarwa
@MrimiMarwa Ай бұрын
Kachoka
@matikowambura7657
@matikowambura7657 Ай бұрын
Mwigulu ni mhuni
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Nilijiziii shenz
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Waziri wa fedha afukuzwe kazi mala moja tayr hapo kuna tatizo
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 26 күн бұрын
Ninamashaka hata uraiya wake
@boazmwakifumbwa7728
@boazmwakifumbwa7728 26 күн бұрын
​Uuuuiuuuuuuuiiuuiiiuuiuiuiiutrreeerrepppp😮😮😅😮😮😮😊😮😊
@edwarddaniel5683
@edwarddaniel5683 Ай бұрын
Tuna waziri wa Fedha wa ajabu sana
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Tena lijiziii kabisa hili gulu
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Huyu waziri afukuzwe kazi tuu hakuna kubembeleza mtu hao wanao mpigia makofi anakula nao
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 29 күн бұрын
Huyu muheshimiwa,kulikoni ? Anavurunda sana, lakini yupo tu ! Kuna mahali alisikika akisema yeye ni mbunge anayependwa sana, ni Kwa mtindo huu ?
@awadhally1052
@awadhally1052 20 күн бұрын
Sio wa ajabu ni mwizi
@godfreynoya6670
@godfreynoya6670 20 күн бұрын
Kama hadharani NI hiv...je huko tusiko ona
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 Ай бұрын
Mdeee apewe chama mwakani awemo tena
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Ай бұрын
Mama samia sipendi ccm Ila wakati unchukua inchi nilikupenda Sana sana Ila mwigulu hapana mpigaji tu nasijuwi kama utapita kama utabaki na hawa kina mwigulu na nape hupiti nakwambia naapa
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 Ай бұрын
Tuanzishe petition ya kumtoa Mwigulu kwenye uwaziri wa fedha. Hafai kwenye wizara nyeti Kama hiyo. Kama hawana mtu waende pale UDSM kuna wataalam wa kutosha
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Mwigulu utoke utoke utoke bhana hutakiwi hapo sifa huna ww nchi yetu inayumba sana mpaka wanyonge tunanyanyaswa kila kona toka hapo
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 8 күн бұрын
Kwakwel Mwigulu ni shiiiiiidah😮😮😮😮😮
@user-pl4ju8du7j
@user-pl4ju8du7j Ай бұрын
Huyu Dr gani haelewi hata maana ya mikataba.mimi sio Dr wala prof ila ktk hili Mwigulu ni achunguzwe halitendei haki Taifa hili ni huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@fatmamtete3191
@fatmamtete3191 16 күн бұрын
Hv hy na yule wa mdor wakariakoo ni mtu na mdogo wake huwa wananivuruga xn hawa binafsi wanazingua
@yusuphmbilinyi612
@yusuphmbilinyi612 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@omarali797
@omarali797 Ай бұрын
Siyo Halima ni honourable Halima, hii ndiyo kauli ya Kibunge, heshima muhimu
@danielotienoobunde4738
@danielotienoobunde4738 Ай бұрын
Jamaa ana dharau sana anavyo zungumza na mheshimiwa Halima mdee unafikiria ni mtoto
@larryking623
@larryking623 19 күн бұрын
"Hata Yesu alifundisha kwa mifano"... 😅 waziri bhana janja janja nyingi...
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 Ай бұрын
Tulia Akson...uwezo wako ni mkubwa sana,hongera sana,ukiamua kukataa jambo lisilo sahihi unasimama kwa watoa hoja,hubebi waziri kama hujaridhika na hoja zake....big up
@success-only
@success-only Ай бұрын
Mwigulu Ana mipango yake binafsi na fedha za nchi yetu
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Ndio nijiz shenz sn kandamiz hili mwigulu
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw Ай бұрын
Tanzania watu wanaoweza hawapewi dhamana sasa huyu mwigulu daah 😂😂😂😂
@ezronwilson9965
@ezronwilson9965 Ай бұрын
Job alisema ipo siku hii nchi itauzwa
@leebronkasianh5296
@leebronkasianh5296 Ай бұрын
Miradi yote mikubwa inajengwa kwa mikopo tu,hakuna hata mmoja tunatumia fedha zetu.
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 20 күн бұрын
Huku mnakopa huku mnapigwa na viongozi wezi wanaotajwa kwenye ripoti ya mkaguzi wa fedha za serikali amebainisha uwizi wa fedha za watanzania ukizijumlisha zinafika zaidi ya trillion tatu kwa mwaka
@user-pb8qk9hn6n
@user-pb8qk9hn6n Ай бұрын
Tungekuwa nawabunge kama mdee ishiriini 20 tuu nchi ingesonga mbele
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Yaani 20 wasiokuwa na vyama au?
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Kwenye vyama vya upinzani
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 Ай бұрын
Ndg yangu wapo ila wengi ni waoga,wanaogopa wasiojulikana +waliomlisu lisu.
@user-nn1rt6kj3m
@user-nn1rt6kj3m Ай бұрын
Mwigulu jiuzuru tafadhali kama mama hataki kukutoa basi wananchi hatukutaki,tafadhali jiuzuru achia hela zetu
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Ай бұрын
Mkuu, Waziri wangu, pole. Naona waheshimiwa wanakupiga " Spana". Nashukuru, nimecheka.
@MusaAlly-wf6tm
@MusaAlly-wf6tm Ай бұрын
tulia oyeee
@peterlove4g869
@peterlove4g869 Ай бұрын
Mwingulu leo kapuyanga😂😂😂 nchi yangu jamani
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 Ай бұрын
Aaaa😅😅😅
@user-nn1rt6kj3m
@user-nn1rt6kj3m Ай бұрын
Luhaga Mpina mwenyekiti hawezi kukupa nafasi maana hoja zako kauna wa kuzimudu
@EmanuelIsaya-sg8bk
@EmanuelIsaya-sg8bk Ай бұрын
Tatizo ni waziri wa Fedha mpigaji
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Jizi sn
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Afukuzwe chap
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 8 күн бұрын
Watakuwa wanajuana😢😢😢mbona mwanzo alitumbuliwa
@NelisonNkonjwa
@NelisonNkonjwa Ай бұрын
Turia mama kama jina rako simamia aki mama👍
@MenelusCzar
@MenelusCzar Ай бұрын
IKIWEZEKANA TUJENGE BARABARA ZA CHUMA MAANA HIZI ZA RAMI NI SHIDA KILA KUKICHA🙌🏻
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Ай бұрын
Mwigulu watanzania wanaelewa technicality zote, usiwafanye watanzania wote kuwa hawakusoma! This is so demeaning those who put you on that position! That is so sick! Mwigulu acha siasa, huwezi kuanza mradi bila ku-approve budget hata kama ni ya miaka mitano. Budget projections huwa zipo wakati mikataba inakuwa signed, hii inaonyesha negligence ama incompetence ya wizara husika!
@BezalelyMasija
@BezalelyMasija Ай бұрын
U
@godwineliya4686
@godwineliya4686 Ай бұрын
Mpigaji huyo
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Huyu mwigulu ni nguruwe pori 😢😢😢
@Nedjadist
@Nedjadist Ай бұрын
He thinks he is so smart!
@user-so3xq3dw7i
@user-so3xq3dw7i Ай бұрын
Serikali sikivu
@selurashid4252
@selurashid4252 Ай бұрын
madam speaker safi sana wapelekee moto wabunge vilaza wote waache uongooo.
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
😂😂😂na kweli kabisa
@nelsonngowi1103
@nelsonngowi1103 Ай бұрын
Tulia uko vizur njoo chadema huko hakukufai
@SharifaOmary-ui8vs
@SharifaOmary-ui8vs Ай бұрын
Nyoo
@davidmziray2048
@davidmziray2048 Ай бұрын
Mama unawatu gani jenister yy nikupiga makofi tu hajui kinachoendelea
@lindajohansen9220
@lindajohansen9220 Ай бұрын
Elimu elimu elmu. Jenista ni 0 kubwaaa
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi Ай бұрын
Anamuunga Waziri mwenzake,hovyo kabisa
@Officialabshry
@Officialabshry Ай бұрын
Ni chawa 😂😂😂
@msanabukere7835
@msanabukere7835 Ай бұрын
Wenda hajasoma kama msukuma
@user-nn1rt6kj3m
@user-nn1rt6kj3m Ай бұрын
Hili limwigulu linavaa tai ambalo hanasifa nalo kwani Lina rangi ya Taifa wakati halina maana ya kuitumikia taifa
@RichardKamata
@RichardKamata Ай бұрын
ina maana waziri mpaka afundishwe na spika kujibu maswali ,huyo waziri wa fedha mama angalia mtu mwingine
@godfreynoya6670
@godfreynoya6670 20 күн бұрын
Nilichogundua NI kuwa mkandarasi hakopesheki...Hana dhamana inayotakiwa na mabenk...alishindaje zabuni???
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 15 күн бұрын
NAJIULIZA MKANDARASI ALISHINDAJE TENDA NA HAKUWA NA PESA?? AU KULIWA NA UJANJA UJANJA KAMA ILIVYO KAWAIDA??
@JofreySanga-lu8pn
@JofreySanga-lu8pn Ай бұрын
Leo mumejitaidi kubanana vzuri mungekuwa hivo Kila siku taifa lingesimama vizuri
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn Ай бұрын
Mwigulu. Chenga. Hamna. Kitu. Hapo. Munamlinda. Tuu. Kutufujia. Pesa. Zetu.
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 Ай бұрын
Najiuliza kwann mwigulu mpk leo bado yupo oficin
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Ай бұрын
Yaan cjui linaroga ili libaki officn jizi sn hilo
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Afukuzwe huyo anakela kama nn
@joshuamwalusambo2391
@joshuamwalusambo2391 Ай бұрын
Wazir ambaye mimi sijawahi muelewa
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 8 күн бұрын
Mwigulu 😢😢😢😢
@berthamushi6891
@berthamushi6891 Ай бұрын
Daaah Waziri wa Fedha mwenyewe anachanganya mambo mara EPC+F Mara Serikali itatafuta Hela afanye Marekebisho 😂😂😂😢😢 TRAB AND TRAT
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 25 күн бұрын
😊😅😅😅
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 8 күн бұрын
Kigugumizi
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 Ай бұрын
Hii ndo maana ya Bunge👏🏻👏🏻
@user-pl4ju8du7j
@user-pl4ju8du7j Ай бұрын
Kwanza kabisa huyu waziri wa fedha hatufai kabisa na hio tai yake ya bendela yetu aitoe tena hafai kuivaa huyu jamaa sio mzalendo kama waziri hufai kubishana na kiti yaani na maanisha Spika. Rais wangu kipenzi mama wa faida mkombozi wa Taifa hili mtoe huyu jamaa daa jamani hivi tuna urazima gani kubishana kisa kiingereza na hizo paragrafu zake Rabishi.
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h Ай бұрын
Bado hujasema babu 😂😂😂
@AgnessKabamanywa-sd2dw
@AgnessKabamanywa-sd2dw Ай бұрын
Huyo waziri ni anatetea maslahi yake siyo ya watanzania
@AgnessKabamanywa-sd2dw
@AgnessKabamanywa-sd2dw Ай бұрын
Huyo amekwisha kuwa tajiri na ujanja hafai kuwa waziri wa fedha Aachie wengine
@AgnessKabamanywa-sd2dw
@AgnessKabamanywa-sd2dw Ай бұрын
Jamani na hawa mawaziri wazee wapumzike,wateuliwe vijana maana vijana bado hawajachukua akili
@AgnessKabamanywa-sd2dw
@AgnessKabamanywa-sd2dw Ай бұрын
Vijana hawajachoka akili
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Ай бұрын
Mwigulu kwani kwenye mkataba huo hamkuweza ku-lock interest rates? Ina maana basi mikataba yetu ni ya kipuuzi basi. That is not an excuse, umeshindwa kumjibu mbunge swali lake! Spika, asante sana kwa kumbana huyu waziri!
@ramadhanrashidmthailand9553
@ramadhanrashidmthailand9553 Ай бұрын
Wanaangaliagatu 10% ndio wanachojali
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Ай бұрын
Bull shit kabisaaa ... Huyu jamaa ni negativity thinker na ni mjingaaa sanaaa
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Ай бұрын
Kwanza hiyo EPC +F ndo ninj??? nishachoka zangu
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 20 күн бұрын
Nchi inaibiwa watu wanacheka
@emmanuelmyombe-gq8el
@emmanuelmyombe-gq8el Ай бұрын
Nampongeza huyo waziri kukubali kufanya marekebisho ya sentensi
@jameskileo955
@jameskileo955 Ай бұрын
Bashungwa ni mtu wa Hekima sana tatizo ni mfumo mkuu
@hancygadiel810
@hancygadiel810 Ай бұрын
Hapo kuna dalili ya pesa chafu kwa 100%
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 20 күн бұрын
WAKANDARASI WASIO NA UWEZO NDIYO WANAPEWA MIKATABA
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp Ай бұрын
Hii ndiyo tunaitaji spika afanye nawabunge wafanye kwa maslai ya wananchi, Mungu awabariki sana.
@nestanesta5704
@nestanesta5704 Ай бұрын
Mh spika leo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-wq7zm9bo6l
@user-wq7zm9bo6l Ай бұрын
Mwigulu mwambie uyo mama uliekaa nae hapo pembeni agonge meza kwa mala ya mwisho akiludi huku mwanza mwakani aludi bungeni
@user-qg3nu1kv2n
@user-qg3nu1kv2n Ай бұрын
Hivi anachokipigia makofi anakielewa kweli huyu au ndo wajumbe ndiyo mana anampigia makofi kila mtu 😂😂😂
@Maxmill_20
@Maxmill_20 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eeeeeh asirudi au sio
@user-kp3su2zu7r
@user-kp3su2zu7r 19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nelsonngowi1103
@nelsonngowi1103 Ай бұрын
Mbunge wangu ndakidem anashangaa tu Hana hoja
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 22 күн бұрын
Huyu Mwigulu anataka kutafuta pesa. Hata baada ys mkaguzi kuwambia matatizo na bado anaendelea kuwachanganya kupata nafasi ya kuiba ndiyo mafisadi makubwa kabisa.
@nelsonngowi1103
@nelsonngowi1103 Ай бұрын
Halma mdee waambie
@bfox3549
@bfox3549 Ай бұрын
Nina wasiwasi na PhD ya Mwigulu… sifa kubwa ya kusoma sana ni kufanya mambo magumu yawe rahisi, ila ndg yetu na shule yake kubwa ndo kabisaa 🤔 He sounds contradictory every time he stands up. It’s ok kusema sina jibu sahihi naomba nipę muda
@JeruMusalika
@JeruMusalika Ай бұрын
Mwigulu uwa haeleweki
@tanzaleo8670
@tanzaleo8670 Ай бұрын
EPC KUJUMLISHA F
@Humanity21216
@Humanity21216 19 күн бұрын
Huyu mama pembeni ya Mwigulu anapiga tu makofi hajali kimeongelewa nini😂😂😂
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 17 күн бұрын
Huyu jenester namchukia kutoka moyoni anakubaligi hata ujinga
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 17 күн бұрын
Sijui uwaziri wake unawasaidia nini watanzania
@Humanity21216
@Humanity21216 17 күн бұрын
@@omaryjudasymwanga7172 jau sana huyo
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 Ай бұрын
TULIA ndo Spika wa bunge anaejielewa wale Wenye viti wanapokuwepo hakuna kitu wa toleo abaki TULIA na Nabii Spika kwa sababu wanaelewa kuuliza maswali na changamoto kw Mawaziri
@msamanga2277
@msamanga2277 Ай бұрын
Mwigulu tatizo hajui vitu vingi
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub Ай бұрын
Mwigulu anatuchanganya sana
@fredyjoackimu-bk1tf
@fredyjoackimu-bk1tf 22 күн бұрын
Very good mh.Dkt Tulia kwa umakini I ❤ it
@nicodemusfidelis3772
@nicodemusfidelis3772 Ай бұрын
Halima ndee ni jembe
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
Mimi huwa naenjoy sana michango ya halima
@Officialabshry
@Officialabshry Ай бұрын
BUNGE KUMBE TAM NAMNA HII😊😊😊😊
@JohnMashamba
@JohnMashamba Ай бұрын
Ubarikiwe mama wa Bunge Dr.
@vickiadembise2697
@vickiadembise2697 23 күн бұрын
waziri wa fedha afukuzwe
@saidmussongo1527
@saidmussongo1527 Ай бұрын
Mdee anawatoa KAMASI,hata waziri wa fedha hana akijuacho.
@RichardKamata
@RichardKamata Ай бұрын
huyo waziri wa fedha ni mpigaji tu,hanahuruma na mama anavyopambana kutafuta fedha
@pilihiza1254
@pilihiza1254 25 күн бұрын
Huyu hamfai mama
@SomagroupAfrica-eh8uh
@SomagroupAfrica-eh8uh Ай бұрын
Spiker nimekupenda bure
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es Ай бұрын
Amen...asante Yesu kwakumpatia haki yake...Glory to God kwaajili ya mheshimiwa Makonda
@johnmanase2874
@johnmanase2874 Ай бұрын
Maneno mengi sis tunatka barabara tu.
@Officialabshry
@Officialabshry Ай бұрын
Mimi mwenyewe ilikuwa inanichanganya kuwa riba inabadilikaje kwenye mkataba ambao umeshasainiwa!!!?
@godfreynoya6670
@godfreynoya6670 20 күн бұрын
Wanatufanya cc vilaza....kuna hajagani ya kuwa na mkataba??..inamaana walisain wasichokielewa
@selemananexwa5127
@selemananexwa5127 Ай бұрын
Huyu mama, Tulia Jackson anaweza kuwa Rais mwanamke ajaye. Kichwa ake Iko smart sana.
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 Ай бұрын
Yuko vizur kwanza anajiamin natamani awe hvyo ulivyosema
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i 10 күн бұрын
Halima upo byer ila waziri ni nomaa.sana shikeni shilingi
@evaristgaspa6074
@evaristgaspa6074 Ай бұрын
Huyo mbunge ariye karibu na mwiguru yeye nikugonga meza mwiguru akiongea !hivi anaerewa kinachobishaniwa?
@user-qg3nu1kv2n
@user-qg3nu1kv2n Ай бұрын
Tufikishe hoja kwa spika mana mimi pia simuelewi
@laurentgwasma4581
@laurentgwasma4581 17 күн бұрын
Tulia na mdee wamekomaa sana kwenye sheria
@EliudHaule-zx3jd
@EliudHaule-zx3jd 6 күн бұрын
Daà tanzania, ina vichwa vyenye akili hongera, spika tulia kwa busara zako za kuviongoza hivyo vichwa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Ай бұрын
Mhagama unapiga makofi hata kabla ya majibu😢😢😢 Sijawahi kukuelewa hata siku moja.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Kupe huyo😢😢😢
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Kupe waliambiwa Kila hoja itakayofikishwa bungeni na mbunge wa CCM ni kupigiwa mafi na sio vingine
@user-qg3nu1kv2n
@user-qg3nu1kv2n Ай бұрын
Wanaopiga sana makofi bungeni kwenye kila hoja mara nyingi ni mizigo
@rodwellluganomwakatuma2885
@rodwellluganomwakatuma2885 28 күн бұрын
Speaker dada yangu Tulia position yako unaitendea kazi vizuri sana, ila kitu kimoja inapokuja hoja vey serious kama aliyo raise Halima Mdee please punguza mzaha. Wabane hao wahusika kama ulivyomyoosha Mwigulu ambaye anaona kama yeye pekee ndio anaelewa kila kitu. I commend your objectivity. Ndaga fijo kalumbu.
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 Ай бұрын
Mwigulu, Makame mbarawa n mizigo kwa taifa
@mussamussa8181
@mussamussa8181 Ай бұрын
Ongeza na bashungwaa
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw Ай бұрын
Atoke chap cjui nani kamuweka
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 Ай бұрын
@@mussamussa8181 ummy mwalimu oddo
@stevenhaule87
@stevenhaule87 Ай бұрын
Siku zote kungekua na mijadala ya hoja walau tungesogea.
@stevenmrama3123
@stevenmrama3123 20 күн бұрын
Nakupenda sana dada yangu mhe spika.godbless more
@shijageorge5995
@shijageorge5995 22 күн бұрын
Mdee wewe ni miongoni mwa wabunge wenye umakini mkubwa sana katika nchi hii
@user-iy4yg4sg6l
@user-iy4yg4sg6l Ай бұрын
Dr.Mpina safi kabisa wapige spana hao
@QmaniQmanidimingu
@QmaniQmanidimingu Ай бұрын
Bunge jana lilikua Tamu Sana nimelikosaje
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 40 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 96 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 46 МЛН
I was in a romantic relationship with a witchdoctor | Tuko TV
1:25:46
Tuko / Tuco - Kenya
Рет қаралды 662 М.
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42