Tulia you are a very important woman kwa nchi yetu proud of you❤mpina you are never walk alone boss😎
@kizitokhaissy7150Ай бұрын
Asante muheshimiwa speaker kwa kumbana waziri wa fedha bado hatoshi kwenye wizara ya fadha
@MdYeasin-xx1gmАй бұрын
mdee jembe itakuwaje chadema kafukuzwa mgombea binafsi bongo wana bania anaitajika sanaa mjengoni ❤❤❤
@hajihassan5433Ай бұрын
Huko kuingia Bungeni tu bila chama ni ujembe kweli kweli.
@MiriamAbdallahАй бұрын
@@hajihassan5433CCM number 2 hao
@festongonyani152Ай бұрын
Tutayamaliza baada ya bunge kuisha ondoeni shaka nina imani atarudi cdm
@hajihassan5433Ай бұрын
@@festongonyani152 Yeye yupo CHADEMA dam dam kama kuondolewa wataondolewa kwa mkutano mkuu wa chama.
@mpalalakenan4083Ай бұрын
❤❤ll❤❤@@hajihassan5433
@mashipeter4819Ай бұрын
Mheshimiwa Tulia Mungu akuongoze. Heshima kwako.❤
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Na kweli kabisa
@chikusangalala7759Ай бұрын
Harima mdee ni kiboko ❤❤❤ kachafuwa hari ya hewa ,
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Halima siyo Harima 🤝
@chikusangalala7759Ай бұрын
@@awatifalghanim1106 wewe umenielewa
@saidmussongo1527Ай бұрын
Hajachafua hali ya hewa,anawaonesha jinsi gani hao mawaziri walivyo viporo. Mpina anamweleza Mwigulu atoe vielelezo,hana. Wanakuwa wakali tu. Wana wasiwasi na Mpina.Anawatoa jasho jembamba
@ordafabian517217 күн бұрын
Ra, re, ri, ro, ru. La, le, li, lo, lu.
@nellyhortensia240714 күн бұрын
@@ordafabian5172😂😂😂😂 nimecheka hadi nimekojoaaa
@user-wq9jk1zk4yАй бұрын
Mdee hakilinyingi
@jimmysam8330Ай бұрын
Hakili au akili😅😅
@Ommyblacktz1316 күн бұрын
@mmyblacktz13
@EliasMollel-x3d15 күн бұрын
Waziri hapo hapana
@ImamuKipepe-ke7gvАй бұрын
Uko very sana dada tatizo ukiongeaukweli mafisadiwanakuchukia
@Shafikimanga7Ай бұрын
Hapa bunge limejitendea haki
@robertmosha6801Ай бұрын
Mwigulu ni deshi sana
@mahengedaktari-ek8goАй бұрын
Mwigulu mwongo sana
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Afukuzwe kabisa
@brightontibenda2346Ай бұрын
Tulia Ana uwezo mkubwa wa kisheria na anaheshimu taaluma yake vizuri. Halima mdee Ni mwanasheria mzuri akitumiwa!
@kenjoseph3337Ай бұрын
Tuna waziri wa fedha wa ajabu sana
@aishahasan7722Ай бұрын
Jiziiii kabsaa
@kikongajoel2693Ай бұрын
Mwigulu hatoshi kuwa waziri wa fedha Tanzania kabisa
@MrimiMarwaАй бұрын
Kweli wazili jina wizi
@BabaLea-ez7pp17 күн бұрын
Aende burundi huyu maana Kaz imemshinda
@LeonardEdward-fb2bn15 күн бұрын
😂😂😂😂@@BabaLea-ez7pp
@tumainikomba90088 күн бұрын
@@LeonardEdward-fb2bnkwakwel aende hatumtak
@rosekimaro384Күн бұрын
Fukuza mara moja huyo
@edwinkajuna7207Ай бұрын
Mwigulu hana sifa za kuwa wazir wa Fedha
@upendoeliya9329Ай бұрын
Mkataba ukishasainiwa kinachofuata ni mkandarasi kupiga kazi na kukamilisha kwa wkt uliokubalika. Mambo ya dola hayahusiani cc tunatumia Tsh. Mwizi mzoefu wewe
@faustinombilinyi9809Ай бұрын
Anabebwa sn na mama Hana sifa hata ya kuwa rais hafai kabisa
@aishahasan7722Ай бұрын
Mwiz tuuu shenz hili
@faustinombilinyi9809Ай бұрын
@@aishahasan7722 kabisa ndugu yangu jizi mno na halina sifa za kuwa waziri
@amosmahona433Ай бұрын
MH.Mdee na Mh.speaker wa bunge nimewaelewa sana maswali yao
@user-ff1ti2bo4wАй бұрын
Hongera sanaa mama wetu tulia spika wabunge la jamuhuri ya muungano Mungu akulinde una tenda haki
@selinalawala2270Ай бұрын
Spika anaijua vizuri sheria.
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Spika safi sana
@gabrielmwikanu1160Ай бұрын
Halima mdee namkubali namkubali Sana.
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Hata mm aiseee
@katikirojuventusАй бұрын
Mpina na Halima big up sana. Wapigeni spana hao majizi
@ibrahimmbango9117Ай бұрын
pongezi kwa mdeee na spika leo nimefurahi saana
@berthamushi6891Ай бұрын
Hongera Kwa Mh.Spika RAIS wa Mabunge yote Duniani na Mh. Halima Mdee na Dr. Mpina Wanasheria Wasomi Endeleeni kuwapigania Watanzania 😂😂😂 EPC+F
@nsajigwamwakalonge570220 күн бұрын
Pongezi za nini wakati nchi inaibiwa watu hawajakamatwa
@nestanesta5704Ай бұрын
Tulia leo umetisha
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Haswaaaa
@mejamiela7436Ай бұрын
Mwiguru hamna kitu
@aishahasan7722Ай бұрын
Jizi sn Hilo mwigulu
@MrimiMarwaАй бұрын
Kachoka
@matikowambura7657Ай бұрын
Mwigulu ni mhuni
@aishahasan7722Ай бұрын
Nilijiziii shenz
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Waziri wa fedha afukuzwe kazi mala moja tayr hapo kuna tatizo
Huyu waziri afukuzwe kazi tuu hakuna kubembeleza mtu hao wanao mpigia makofi anakula nao
@jumanesaidi763529 күн бұрын
Huyu muheshimiwa,kulikoni ? Anavurunda sana, lakini yupo tu ! Kuna mahali alisikika akisema yeye ni mbunge anayependwa sana, ni Kwa mtindo huu ?
@awadhally105220 күн бұрын
Sio wa ajabu ni mwizi
@godfreynoya667020 күн бұрын
Kama hadharani NI hiv...je huko tusiko ona
@boniphacetabu2903Ай бұрын
Mdeee apewe chama mwakani awemo tena
@lucaschisamalo2852Ай бұрын
Mama samia sipendi ccm Ila wakati unchukua inchi nilikupenda Sana sana Ila mwigulu hapana mpigaji tu nasijuwi kama utapita kama utabaki na hawa kina mwigulu na nape hupiti nakwambia naapa
@mokiaolenaputu7648Ай бұрын
Tuanzishe petition ya kumtoa Mwigulu kwenye uwaziri wa fedha. Hafai kwenye wizara nyeti Kama hiyo. Kama hawana mtu waende pale UDSM kuna wataalam wa kutosha
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Mwigulu utoke utoke utoke bhana hutakiwi hapo sifa huna ww nchi yetu inayumba sana mpaka wanyonge tunanyanyaswa kila kona toka hapo
@tumainikomba90088 күн бұрын
Kwakwel Mwigulu ni shiiiiiidah😮😮😮😮😮
@user-pl4ju8du7jАй бұрын
Huyu Dr gani haelewi hata maana ya mikataba.mimi sio Dr wala prof ila ktk hili Mwigulu ni achunguzwe halitendei haki Taifa hili ni huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@fatmamtete319116 күн бұрын
Hv hy na yule wa mdor wakariakoo ni mtu na mdogo wake huwa wananivuruga xn hawa binafsi wanazingua
@yusuphmbilinyi61214 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@omarali797Ай бұрын
Siyo Halima ni honourable Halima, hii ndiyo kauli ya Kibunge, heshima muhimu
@danielotienoobunde4738Ай бұрын
Jamaa ana dharau sana anavyo zungumza na mheshimiwa Halima mdee unafikiria ni mtoto
@larryking62319 күн бұрын
"Hata Yesu alifundisha kwa mifano"... 😅 waziri bhana janja janja nyingi...
@samochristopherroche9953Ай бұрын
Tulia Akson...uwezo wako ni mkubwa sana,hongera sana,ukiamua kukataa jambo lisilo sahihi unasimama kwa watoa hoja,hubebi waziri kama hujaridhika na hoja zake....big up
@success-onlyАй бұрын
Mwigulu Ana mipango yake binafsi na fedha za nchi yetu
@aishahasan7722Ай бұрын
Ndio nijiz shenz sn kandamiz hili mwigulu
@enoszaka-tx8qwАй бұрын
Tanzania watu wanaoweza hawapewi dhamana sasa huyu mwigulu daah 😂😂😂😂
@ezronwilson9965Ай бұрын
Job alisema ipo siku hii nchi itauzwa
@leebronkasianh5296Ай бұрын
Miradi yote mikubwa inajengwa kwa mikopo tu,hakuna hata mmoja tunatumia fedha zetu.
@nsajigwamwakalonge570220 күн бұрын
Huku mnakopa huku mnapigwa na viongozi wezi wanaotajwa kwenye ripoti ya mkaguzi wa fedha za serikali amebainisha uwizi wa fedha za watanzania ukizijumlisha zinafika zaidi ya trillion tatu kwa mwaka
@user-pb8qk9hn6nАй бұрын
Tungekuwa nawabunge kama mdee ishiriini 20 tuu nchi ingesonga mbele
@hajihassan5433Ай бұрын
Yaani 20 wasiokuwa na vyama au?
@MiriamAbdallahАй бұрын
Kwenye vyama vya upinzani
@geofreychitamu366Ай бұрын
Ndg yangu wapo ila wengi ni waoga,wanaogopa wasiojulikana +waliomlisu lisu.
@user-nn1rt6kj3mАй бұрын
Mwigulu jiuzuru tafadhali kama mama hataki kukutoa basi wananchi hatukutaki,tafadhali jiuzuru achia hela zetu
Luhaga Mpina mwenyekiti hawezi kukupa nafasi maana hoja zako kauna wa kuzimudu
@EmanuelIsaya-sg8bkАй бұрын
Tatizo ni waziri wa Fedha mpigaji
@aishahasan7722Ай бұрын
Jizi sn
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Afukuzwe chap
@tumainikomba90088 күн бұрын
Watakuwa wanajuana😢😢😢mbona mwanzo alitumbuliwa
@NelisonNkonjwaАй бұрын
Turia mama kama jina rako simamia aki mama👍
@MenelusCzarАй бұрын
IKIWEZEKANA TUJENGE BARABARA ZA CHUMA MAANA HIZI ZA RAMI NI SHIDA KILA KUKICHA🙌🏻
@kambamazig02024Ай бұрын
Mwigulu watanzania wanaelewa technicality zote, usiwafanye watanzania wote kuwa hawakusoma! This is so demeaning those who put you on that position! That is so sick! Mwigulu acha siasa, huwezi kuanza mradi bila ku-approve budget hata kama ni ya miaka mitano. Budget projections huwa zipo wakati mikataba inakuwa signed, hii inaonyesha negligence ama incompetence ya wizara husika!
@BezalelyMasijaАй бұрын
U
@godwineliya4686Ай бұрын
Mpigaji huyo
@MiriamAbdallahАй бұрын
Huyu mwigulu ni nguruwe pori 😢😢😢
@NedjadistАй бұрын
He thinks he is so smart!
@user-so3xq3dw7iАй бұрын
Serikali sikivu
@selurashid4252Ай бұрын
madam speaker safi sana wapelekee moto wabunge vilaza wote waache uongooo.
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
😂😂😂na kweli kabisa
@nelsonngowi1103Ай бұрын
Tulia uko vizur njoo chadema huko hakukufai
@SharifaOmary-ui8vsАй бұрын
Nyoo
@davidmziray2048Ай бұрын
Mama unawatu gani jenister yy nikupiga makofi tu hajui kinachoendelea
@lindajohansen9220Ай бұрын
Elimu elimu elmu. Jenista ni 0 kubwaaa
@bockerNyarusahiАй бұрын
Anamuunga Waziri mwenzake,hovyo kabisa
@OfficialabshryАй бұрын
Ni chawa 😂😂😂
@msanabukere7835Ай бұрын
Wenda hajasoma kama msukuma
@user-nn1rt6kj3mАй бұрын
Hili limwigulu linavaa tai ambalo hanasifa nalo kwani Lina rangi ya Taifa wakati halina maana ya kuitumikia taifa
@RichardKamataАй бұрын
ina maana waziri mpaka afundishwe na spika kujibu maswali ,huyo waziri wa fedha mama angalia mtu mwingine
@godfreynoya667020 күн бұрын
Nilichogundua NI kuwa mkandarasi hakopesheki...Hana dhamana inayotakiwa na mabenk...alishindaje zabuni???
@agnessangawe384415 күн бұрын
NAJIULIZA MKANDARASI ALISHINDAJE TENDA NA HAKUWA NA PESA?? AU KULIWA NA UJANJA UJANJA KAMA ILIVYO KAWAIDA??
@JofreySanga-lu8pnАй бұрын
Leo mumejitaidi kubanana vzuri mungekuwa hivo Kila siku taifa lingesimama vizuri
Daaah Waziri wa Fedha mwenyewe anachanganya mambo mara EPC+F Mara Serikali itatafuta Hela afanye Marekebisho 😂😂😂😢😢 TRAB AND TRAT
@lovemusicnoreen918525 күн бұрын
😊😅😅😅
@tumainikomba90088 күн бұрын
Kigugumizi
@samwelhechei8537Ай бұрын
Hii ndo maana ya Bunge👏🏻👏🏻
@user-pl4ju8du7jАй бұрын
Kwanza kabisa huyu waziri wa fedha hatufai kabisa na hio tai yake ya bendela yetu aitoe tena hafai kuivaa huyu jamaa sio mzalendo kama waziri hufai kubishana na kiti yaani na maanisha Spika. Rais wangu kipenzi mama wa faida mkombozi wa Taifa hili mtoe huyu jamaa daa jamani hivi tuna urazima gani kubishana kisa kiingereza na hizo paragrafu zake Rabishi.
@user-xd2tg8eq1hАй бұрын
Bado hujasema babu 😂😂😂
@AgnessKabamanywa-sd2dwАй бұрын
Huyo waziri ni anatetea maslahi yake siyo ya watanzania
@AgnessKabamanywa-sd2dwАй бұрын
Huyo amekwisha kuwa tajiri na ujanja hafai kuwa waziri wa fedha Aachie wengine
@AgnessKabamanywa-sd2dwАй бұрын
Jamani na hawa mawaziri wazee wapumzike,wateuliwe vijana maana vijana bado hawajachukua akili
@AgnessKabamanywa-sd2dwАй бұрын
Vijana hawajachoka akili
@kambamazig02024Ай бұрын
Mwigulu kwani kwenye mkataba huo hamkuweza ku-lock interest rates? Ina maana basi mikataba yetu ni ya kipuuzi basi. That is not an excuse, umeshindwa kumjibu mbunge swali lake! Spika, asante sana kwa kumbana huyu waziri!
@ramadhanrashidmthailand9553Ай бұрын
Wanaangaliagatu 10% ndio wanachojali
@rithadonatus8110Ай бұрын
Bull shit kabisaaa ... Huyu jamaa ni negativity thinker na ni mjingaaa sanaaa
@rithadonatus8110Ай бұрын
Kwanza hiyo EPC +F ndo ninj??? nishachoka zangu
@nsajigwamwakalonge570220 күн бұрын
Nchi inaibiwa watu wanacheka
@emmanuelmyombe-gq8elАй бұрын
Nampongeza huyo waziri kukubali kufanya marekebisho ya sentensi
@jameskileo955Ай бұрын
Bashungwa ni mtu wa Hekima sana tatizo ni mfumo mkuu
@hancygadiel810Ай бұрын
Hapo kuna dalili ya pesa chafu kwa 100%
@nsajigwamwakalonge570220 күн бұрын
WAKANDARASI WASIO NA UWEZO NDIYO WANAPEWA MIKATABA
@JosephMpangala-wd5mpАй бұрын
Hii ndiyo tunaitaji spika afanye nawabunge wafanye kwa maslai ya wananchi, Mungu awabariki sana.
@nestanesta5704Ай бұрын
Mh spika leo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-wq7zm9bo6lАй бұрын
Mwigulu mwambie uyo mama uliekaa nae hapo pembeni agonge meza kwa mala ya mwisho akiludi huku mwanza mwakani aludi bungeni
@user-qg3nu1kv2nАй бұрын
Hivi anachokipigia makofi anakielewa kweli huyu au ndo wajumbe ndiyo mana anampigia makofi kila mtu 😂😂😂
@Maxmill_20Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eeeeeh asirudi au sio
@user-kp3su2zu7r19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nelsonngowi1103Ай бұрын
Mbunge wangu ndakidem anashangaa tu Hana hoja
@christinenyagiro666222 күн бұрын
Huyu Mwigulu anataka kutafuta pesa. Hata baada ys mkaguzi kuwambia matatizo na bado anaendelea kuwachanganya kupata nafasi ya kuiba ndiyo mafisadi makubwa kabisa.
@nelsonngowi1103Ай бұрын
Halma mdee waambie
@bfox3549Ай бұрын
Nina wasiwasi na PhD ya Mwigulu… sifa kubwa ya kusoma sana ni kufanya mambo magumu yawe rahisi, ila ndg yetu na shule yake kubwa ndo kabisaa 🤔 He sounds contradictory every time he stands up. It’s ok kusema sina jibu sahihi naomba nipę muda
@JeruMusalikaАй бұрын
Mwigulu uwa haeleweki
@tanzaleo8670Ай бұрын
EPC KUJUMLISHA F
@Humanity2121619 күн бұрын
Huyu mama pembeni ya Mwigulu anapiga tu makofi hajali kimeongelewa nini😂😂😂
@omaryjudasymwanga717217 күн бұрын
Huyu jenester namchukia kutoka moyoni anakubaligi hata ujinga
@omaryjudasymwanga717217 күн бұрын
Sijui uwaziri wake unawasaidia nini watanzania
@Humanity2121617 күн бұрын
@@omaryjudasymwanga7172 jau sana huyo
@jacklinelyimo7407Ай бұрын
TULIA ndo Spika wa bunge anaejielewa wale Wenye viti wanapokuwepo hakuna kitu wa toleo abaki TULIA na Nabii Spika kwa sababu wanaelewa kuuliza maswali na changamoto kw Mawaziri
@msamanga2277Ай бұрын
Mwigulu tatizo hajui vitu vingi
@TitoRufizi-xb2ubАй бұрын
Mwigulu anatuchanganya sana
@fredyjoackimu-bk1tf22 күн бұрын
Very good mh.Dkt Tulia kwa umakini I ❤ it
@nicodemusfidelis3772Ай бұрын
Halima ndee ni jembe
@israelkisaila8401Ай бұрын
Mimi huwa naenjoy sana michango ya halima
@OfficialabshryАй бұрын
BUNGE KUMBE TAM NAMNA HII😊😊😊😊
@JohnMashambaАй бұрын
Ubarikiwe mama wa Bunge Dr.
@vickiadembise269723 күн бұрын
waziri wa fedha afukuzwe
@saidmussongo1527Ай бұрын
Mdee anawatoa KAMASI,hata waziri wa fedha hana akijuacho.
@RichardKamataАй бұрын
huyo waziri wa fedha ni mpigaji tu,hanahuruma na mama anavyopambana kutafuta fedha
@pilihiza125425 күн бұрын
Huyu hamfai mama
@SomagroupAfrica-eh8uhАй бұрын
Spiker nimekupenda bure
@ebenezermachange-zp4esАй бұрын
Amen...asante Yesu kwakumpatia haki yake...Glory to God kwaajili ya mheshimiwa Makonda
@johnmanase2874Ай бұрын
Maneno mengi sis tunatka barabara tu.
@OfficialabshryАй бұрын
Mimi mwenyewe ilikuwa inanichanganya kuwa riba inabadilikaje kwenye mkataba ambao umeshasainiwa!!!?
@godfreynoya667020 күн бұрын
Wanatufanya cc vilaza....kuna hajagani ya kuwa na mkataba??..inamaana walisain wasichokielewa
@selemananexwa5127Ай бұрын
Huyu mama, Tulia Jackson anaweza kuwa Rais mwanamke ajaye. Kichwa ake Iko smart sana.
@athumaniamiri880Ай бұрын
Yuko vizur kwanza anajiamin natamani awe hvyo ulivyosema
@MariaCassian-e2i10 күн бұрын
Halima upo byer ila waziri ni nomaa.sana shikeni shilingi
@evaristgaspa6074Ай бұрын
Huyo mbunge ariye karibu na mwiguru yeye nikugonga meza mwiguru akiongea !hivi anaerewa kinachobishaniwa?
@user-qg3nu1kv2nАй бұрын
Tufikishe hoja kwa spika mana mimi pia simuelewi
@laurentgwasma458117 күн бұрын
Tulia na mdee wamekomaa sana kwenye sheria
@EliudHaule-zx3jd6 күн бұрын
Daà tanzania, ina vichwa vyenye akili hongera, spika tulia kwa busara zako za kuviongoza hivyo vichwa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@williammbuzimai5744Ай бұрын
Mhagama unapiga makofi hata kabla ya majibu😢😢😢 Sijawahi kukuelewa hata siku moja.
@MiriamAbdallahАй бұрын
Kupe huyo😢😢😢
@MiriamAbdallahАй бұрын
Kupe waliambiwa Kila hoja itakayofikishwa bungeni na mbunge wa CCM ni kupigiwa mafi na sio vingine
@user-qg3nu1kv2nАй бұрын
Wanaopiga sana makofi bungeni kwenye kila hoja mara nyingi ni mizigo
@rodwellluganomwakatuma288528 күн бұрын
Speaker dada yangu Tulia position yako unaitendea kazi vizuri sana, ila kitu kimoja inapokuja hoja vey serious kama aliyo raise Halima Mdee please punguza mzaha. Wabane hao wahusika kama ulivyomyoosha Mwigulu ambaye anaona kama yeye pekee ndio anaelewa kila kitu. I commend your objectivity. Ndaga fijo kalumbu.
@mkamaboy2016Ай бұрын
Mwigulu, Makame mbarawa n mizigo kwa taifa
@mussamussa8181Ай бұрын
Ongeza na bashungwaa
@JeyJeydoctar-gq1bwАй бұрын
Atoke chap cjui nani kamuweka
@mkamaboy2016Ай бұрын
@@mussamussa8181 ummy mwalimu oddo
@stevenhaule87Ай бұрын
Siku zote kungekua na mijadala ya hoja walau tungesogea.
@stevenmrama312320 күн бұрын
Nakupenda sana dada yangu mhe spika.godbless more
@shijageorge599522 күн бұрын
Mdee wewe ni miongoni mwa wabunge wenye umakini mkubwa sana katika nchi hii