“Nitawaburuza BASATA Mahakamani, nampongeza Rais Magufuli” -SUGU

  Рет қаралды 122,615

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu SUGU amelieleza Bunge kuwa tayari ameunda jopo la mawakili wake sita kwa ajili ya kuiburuza Mahakamani Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) baada ya kudaiwa kuufungia wimbo wake mpya kwa madai kwamba hauna maadili.

Пікірлер: 124
@alimussa2655
@alimussa2655 6 жыл бұрын
Kama unamkubali sugu gonga like tusambaze upendo 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️😁😁
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 6 жыл бұрын
Kutoka r Chuga. Sugu respect hiphop legend
@promramson80
@promramson80 6 жыл бұрын
Sugu anaishi uhalisia ambao amekua akiuongea kwa mda mrefu kwenye nyimbo zake,,,I really like this guy
@faidhaally8311
@faidhaally8311 6 жыл бұрын
hahaha nakupnd sugu hujaenda kuzungusha mguu bungen lv u so much
@africanlempe8604
@africanlempe8604 6 жыл бұрын
Like kwa raisi wa Mbeya 😎
@kennethmahenge7719
@kennethmahenge7719 4 жыл бұрын
daaaaaah sugu ww Nomaaaaa.......mbeya yako milele
@josejuma103
@josejuma103 6 жыл бұрын
Safiii 2 proud
@pendaelikilimba2434
@pendaelikilimba2434 6 жыл бұрын
You should be President of this country in the coming years.... Keep going Jongwe!
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 6 жыл бұрын
usichanganyikiwe kiasi hicho
@shadrackmwelela6935
@shadrackmwelela6935 6 жыл бұрын
bigup kwako raisi wa Mbeya Sugu
@kahamatv5649
@kahamatv5649 6 жыл бұрын
good work,ayo tv
@mwinyi5270
@mwinyi5270 6 жыл бұрын
Aaah sugu 👍🏾
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 6 жыл бұрын
😂😂😂😂 *Hahaaa aisee kama unamkubali Sugu gonga like hapa*
@machedafederico572
@machedafederico572 6 жыл бұрын
Nko pamoja n wew jongwee
@NewMan-ei9cf
@NewMan-ei9cf 6 жыл бұрын
Ahsante. Usimpige shonza.
@nbfchisotta3749
@nbfchisotta3749 6 жыл бұрын
ai, yooooooo am saluted you Mr sugu
@ndarogamba191
@ndarogamba191 6 жыл бұрын
Big up Sugu,komaeni kwani mko na mburura tupu kutoka chama cha majambazi na nakuunga mkono kuwaburuza BASATA mahakamani ili kutofoa nafasi ya kuwanyanyasa wasanii hapa nchini!.
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 6 жыл бұрын
salute
@robertmosha6801
@robertmosha6801 6 жыл бұрын
millard ..diamond katajwa ata ukimbanaia ..tutamskiaa..go to u túbe trendings.7 of top 10 list concerns to diamond..vgum sn kumshusha
@zainabualtz1455
@zainabualtz1455 6 жыл бұрын
Hakika hakuna wabunge ninao wakubali kama #Halima mdee na #Sugu na #Tindulisu💪💪💪 wapewape haoo ccm wanafiki sana 😆😀😀😀 hawampendi Rais wa Tanzanian 😩😩 majabu 😔safi sana sungu👌💪💪💪💪
@mauricejavan
@mauricejavan 4 жыл бұрын
Like em so much
@chibutvonline8710
@chibutvonline8710 6 жыл бұрын
hahahahahahah eti mimi sio diamond wala roma duh huyu kweli sugu
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
Mbunge wangu
@lucaslinus7658
@lucaslinus7658 6 жыл бұрын
Mh, Sugu big up, kwa Sera zako umenikonga! Natamani nihamie Mbeya niwe Mwanchi wako , yote unayaongea katika vikao vyote Saluti kamanda! Mungu akujalie maisha marefu
@doreenkissia6566
@doreenkissia6566 6 жыл бұрын
maisha ya wabongo wengi tunaungaunga jamani tusikomoane.madaraka leo kesho raia.sometimes mshauri msanii sio kufanya maamuzi yaw kufungia tuu.kwa nini basi basata msianzishe kitengo cha kutunga mashairi muwauzie wasanii? tujue tunaimba.nyimbo za basata.toeni mashairi yenu waimbe.
@atupyekyando9010
@atupyekyando9010 6 жыл бұрын
Baraka Waya
@goodluckstepheny582
@goodluckstepheny582 6 жыл бұрын
My President suguuuuuuuuuuuu
@ewaldmrema909
@ewaldmrema909 6 жыл бұрын
Suguuuuuuuuu umenivunja mbavuuuuuuuuuuuu
@zainabualtz1455
@zainabualtz1455 6 жыл бұрын
Wakwanza ku comment ✌✌✌💪
@siwemaalphoncy2452
@siwemaalphoncy2452 4 жыл бұрын
Msigwa kacheka
@gretamaheri8437
@gretamaheri8437 6 жыл бұрын
Yani katika siku zote leo ndo nimekusikilaza sugu umenifurahisha sana
@wilbertcharles9129
@wilbertcharles9129 6 жыл бұрын
Tema madini mwanangu
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
Shikamoo sugu 😀😀😀😀😀😀wacha tumsubili mjomba hahaha
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 жыл бұрын
Hatariiiii mambo nimotooooo,basata mnaleta mchezo na kazi zawatu
@godlovemea363
@godlovemea363 6 жыл бұрын
yakizaz bandy
@shadyarahma6385
@shadyarahma6385 6 жыл бұрын
nakukubar sana sugu
@asedymbwilo6958
@asedymbwilo6958 3 жыл бұрын
Apo kwenye plesha
@Laajo1994
@Laajo1994 6 жыл бұрын
🔥
@lucytarimo1688
@lucytarimo1688 6 жыл бұрын
Unakua mpambe mpaka tajiri ananuna😂😂😂😂
@monicamwaisaka3484
@monicamwaisaka3484 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@omarymvano2535
@omarymvano2535 6 жыл бұрын
Lucy Tarimo 🤣🤣🤣🤣words
@praygodjonas1314
@praygodjonas1314 6 жыл бұрын
Lucy Tarimo ngja mi ntoke nduki🤣😂
@juxmwakabanje7134
@juxmwakabanje7134 6 жыл бұрын
jongwe brother
@ibrahimsaid622
@ibrahimsaid622 6 жыл бұрын
mbeya stand up
@marryenock6595
@marryenock6595 6 жыл бұрын
219 nakukubareeee
@dennismataula293
@dennismataula293 6 жыл бұрын
safi xana mh Sugu hy serikali inaendeshwa kibabe xana ila kila kitu kina mwanzo na misho
@shukuruthelord7247
@shukuruthelord7247 6 жыл бұрын
kwa maslayi ya watanzania wote ladhima tujue nchi yetu ina kwenda wapi iliko toka wapi tunafanya nini kwa mslayi ya wa Tanzania wote
@charlesmdendela8949
@charlesmdendela8949 6 жыл бұрын
waburuze tu, walikurupuka kwa diamond akakurupuka nao wakanyooka, nawe buruza tu mahakaman
@Basagamp4
@Basagamp4 6 жыл бұрын
..Tumsubiri Mjomba😁😁😁😁
@levoommy831
@levoommy831 6 жыл бұрын
waburuzeeeee
@kolomijeboda2983
@kolomijeboda2983 6 жыл бұрын
Buluzaaa xan haooo mabwege basata😅😅😅😅
@mcharoun8483
@mcharoun8483 6 жыл бұрын
bunge
@OnlyRuky
@OnlyRuky 6 жыл бұрын
Safi saaana
@anthonymlelwa3783
@anthonymlelwa3783 6 жыл бұрын
onlymeruky mmh
@adamclassictz
@adamclassictz 3 жыл бұрын
Tutamiss haya mambo bungeni😀
@lucytarimo1688
@lucytarimo1688 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂presha bakini nazo wenyewe😂😂😂😂
@rashidsuleiman2663
@rashidsuleiman2663 6 жыл бұрын
toka lini mnawakopesha wapinzani 😂😂😂
@samsonjoel4669
@samsonjoel4669 6 жыл бұрын
🙏🙏✌✌
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
We kafanye mziki.. tuuu.. huna jipya.... hão wapumbavu tuuu hawana jipya
@lucasalfred2112
@lucasalfred2112 3 жыл бұрын
Duuu
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 6 жыл бұрын
Wabunge WA ccm msaidieni Raid amani,
@mickskillstechnology7511
@mickskillstechnology7511 6 жыл бұрын
Tatizo hii nchi sahv, serikal imekuwa inafanya vitu kwa mihemko, chuki, wivu na visasi mno, na kumkomoa mwananchi kwa makusudi kabisa,,,
@samwelraphael4611
@samwelraphael4611 6 жыл бұрын
Mick Skills TV
@samwelraphael4611
@samwelraphael4611 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jenniferjonh6284
@jenniferjonh6284 6 жыл бұрын
Umechemka nyimbo inachonganisha hiyo
@semanasitv8303
@semanasitv8303 6 жыл бұрын
2020 atanyooka mtu
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
awamu hii lazima mnyookeeee
@wilsonwizzo2483
@wilsonwizzo2483 6 жыл бұрын
huyo demu mbona kapaniki
@shukuruthelord7247
@shukuruthelord7247 6 жыл бұрын
undo uwalisia au
@barakacafe1336
@barakacafe1336 5 жыл бұрын
Basata ni mbwa hawajielewi
@subirachuttar6490
@subirachuttar6490 6 жыл бұрын
Bunge limekuwa kama kilabu cha pombe za kienyeji aiseee!!!!
@saidimakala233
@saidimakala233 6 жыл бұрын
nyie c mtambui rais xaxa hyo rais gani
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 tutafute rula ya kupimia dagaa..
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 6 жыл бұрын
JIANDAYE KWENDA KUTUNGA HIP HOP 2020!!!!!
@edwardchimote329
@edwardchimote329 6 жыл бұрын
nimekuelewa kamanda
@mickykaserendei3123
@mickykaserendei3123 6 жыл бұрын
Sinto kuandikia yoote ila watu Kama mbilinyi watafute kazi zakufanya majimbo yanarudi kwawalio tayari kutumikia wanachi
@nassorabdulkarim1390
@nassorabdulkarim1390 6 жыл бұрын
we uko mbwinde unatupangia sisi tuliomchagua kwa kura zetu huyu ndio mbunge wetu utaki baki hivo hivo
@mathiasissa7138
@mathiasissa7138 4 жыл бұрын
kwel ww ndo mbunge
@emmaxcaris5530
@emmaxcaris5530 6 жыл бұрын
dawa ya xhonza ni Cmba...@
@bellam.vyampi5528
@bellam.vyampi5528 4 жыл бұрын
Wambieni labda mwisho masikio yao yatasikia dawa
@hassanmbonde4391
@hassanmbonde4391 6 жыл бұрын
sugu unatishaa
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding 11 ай бұрын
Sjawai kujua kua hii nchi inawanawake mataira km shonza mweny akil atanielew
@alexlutengano687
@alexlutengano687 6 жыл бұрын
Babu kubwa jembeeeee
@Lituli_jr.
@Lituli_jr. 6 жыл бұрын
mwenye hii clip naomba anitumie Wasap 0714565324
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 6 жыл бұрын
Sugu ni Mwehu asiyejitambua pumbavvvvvv
@fredieelienea3190
@fredieelienea3190 6 жыл бұрын
weche makambo ahahaaaaa ila wewe ni mwendawazimu unaejielewa
@doreenkissia6566
@doreenkissia6566 6 жыл бұрын
hawampendi kweli.rais fanya kazi.
@aggraypeter.5008
@aggraypeter.5008 6 жыл бұрын
weche makambo Wewe ni Ndezi
@exaudmwakila2651
@exaudmwakila2651 4 жыл бұрын
Wew ndie mpumbavu usiejitambua
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 6 жыл бұрын
Duu full poovu
@mohammedsalim6398
@mohammedsalim6398 6 жыл бұрын
Sugu hauko juu ya sheria Kama wimbo haukufata sheria? Utafungiwa tu hadi ufuate utaratibu wa kutoa wimbo. Mawakili hawana kazi? Mawakili 6 kwA HIKi kikesi? Ok yetu macho
@goodluckstepheny582
@goodluckstepheny582 6 жыл бұрын
Fala ww
@mickykaserendei3123
@mickykaserendei3123 6 жыл бұрын
Kweli upinzani umeisha tumebaki nawapinga maendeleo
@hassankaluta8864
@hassankaluta8864 6 жыл бұрын
Micky Kaserendei maendeleo yapi unayoyaona
@leonardmgaya3970
@leonardmgaya3970 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@trgphonegeorge3832
@trgphonegeorge3832 6 жыл бұрын
Kumbe kuna sheria ya kijinga mpaka basata mpitie mashairi yote kabla msanii atoe? Duhhh!!!!
@faidhaally8311
@faidhaally8311 6 жыл бұрын
hahaha upambe adi tajir ananuna hahaha
@ngombealivyomvuamtunguojon2601
@ngombealivyomvuamtunguojon2601 5 жыл бұрын
wabungegan hawachangi hoja tunawanyima kula tutawapa upinzan wakatutete
@EphraimKibiki-ik5kt
@EphraimKibiki-ik5kt 5 ай бұрын
Tumewamiss chadema
@saidzaar9557
@saidzaar9557 6 жыл бұрын
😂😂😂😂 mbona hajazungumza hoja za Kiuchumi ktk bajeti.
@everlastthebad4441
@everlastthebad4441 6 жыл бұрын
This niga bwana hahahhaa
@georgeshija911
@georgeshija911 6 жыл бұрын
kwani ukilekebisha kiwanda kilicho lala na kikafanya kazi nikosa mpaka ujenge jengo jipya ndo kiwanda kionekane jengo jipya?
@mathiasissa7138
@mathiasissa7138 5 жыл бұрын
ww nijembe kwel
@mamantilie3125
@mamantilie3125 6 жыл бұрын
hahaahaaa duh
@kapingageorge7635
@kapingageorge7635 6 жыл бұрын
hahaha haha
@imanimedaa4760
@imanimedaa4760 6 жыл бұрын
dadeq
@haliphsemwal8701
@haliphsemwal8701 6 жыл бұрын
Jembe hiro narikubari
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 6 жыл бұрын
KAMA MLIPOWASALITI WANANCHI KWA KUMWITA LOWASSA FISADI, AMBAVYO NI KWELI, NA KULIPOKEA KULIPA UGOMBEA WA RAISI. NA MPAKA SASA HAMJASEMA KWA NINI MLIBADILI GEAR ANGANI KWA WANANCHI.
@mathiasissa7138
@mathiasissa7138 4 жыл бұрын
godfrey mbwambo hongera sugu
@chibutvonline8710
@chibutvonline8710 6 жыл бұрын
hahahahahahah eti mimi sio diamond wala roma duh huyu kweli sugu
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 26 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 5 МЛН
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”
13:54
Sugu Amvaa Bashite, Ataka Ashtakiwe, Awaponda Bongo Muvi
11:55
Global TV Online
Рет қаралды 135 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.
I Don’t Know Bobrisky From Adam, Never Spoken To Him - Falana
28:04
Channels Television
Рет қаралды 70 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
тгк - hahalivars
0:48
HAHALIVARS
Рет қаралды 2,2 МЛН
КОГДА НОЧУЕШЬ У ДРУГА УЖЕ КАК 5 ДЕНЬ #друг #нариманшеф #cheflife #юмор
0:16
НАРИМАН ШЕФ ВСЕ БУДЕТ ИДЕААААЛЬНООО
Рет қаралды 2,3 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
0:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 15 МЛН
😅😅
0:22
Andrey Grechka
Рет қаралды 2,1 МЛН