John Heche aongea yote kuhusu kutishiwa usalama wake

  Рет қаралды 79,367

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 128
@transmadale
@transmadale 6 жыл бұрын
Ukuta wa Mungu ukuzunguke,na wote wanaotaka kufanya mabaya juu yako,yawarudie wao na watoto wao katika jina LA YESU Ameen
@cassianmkeko1514
@cassianmkeko1514 6 жыл бұрын
mungu atakuongoza Mhe Heche ww ni mpgania haki ktk nchi yetu
@merryn4891
@merryn4891 6 жыл бұрын
Pole baba mwenyezi mungu akuepushie na hao makafiri wasoofia mola wao wanao jitia wao mawe ila kila binadam ataonja mauti mwenyez mungu yu nawe
@baltazarytwati64
@baltazarytwati64 6 жыл бұрын
Meresiana Were hi
@jastinmsera9557
@jastinmsera9557 6 жыл бұрын
Mungu akuepushie zengwe lolote juu yako
@malikisombi980
@malikisombi980 4 жыл бұрын
Pole mheshimiwa mungu yuko na wewe
@mlocozdaud5341
@mlocozdaud5341 4 жыл бұрын
Mwamini Mungu Mweshimiwa Heche Yote Utayashinda
@jumakitipui1281
@jumakitipui1281 6 жыл бұрын
Furaha ilioje kwa mema yako mkuu mungu aendelee kukupa ujasiri na nguvu
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 6 жыл бұрын
mzee magu kachemka sana anashindwaje kukemee mambo km hya jaman akiwa kama mkuu wakaya wapimzani tusiwanyanyase
@emanuelissaya1079
@emanuelissaya1079 6 жыл бұрын
ukitaka kuwajua watu wasiojulikana gusia 1.5trillion,gusia 26April maandamano, ukitaka kuwajua wasiojulikana Gusia bombardier, Gusia e-passport,gusia suala la demokrasia,kinachopandwa leo ni kidogo, ila impact yake ni kubwa sana, kuzuia demokrasia ni jambo dogo matokeo yake ni makubwa sasa ni jambo lakuamua tuende vipi,only time will tell
@bsmonline8482
@bsmonline8482 6 жыл бұрын
Nyie ambao mnachukulia kiwepesi wepesi haya mambo sawa lakini ifike mahali tukubali kuna upepo ambao sio mzuri sana unavuma ambao km juhudi za makusudi hazitachukuliwa na kuuacha ugeuke kimbunga basi mimi naona tunapotea na amini usiamini lakini huenda watoto wetu kama sio wajukuu wetu ndio watakaoathirika zaidi, kuna watu wanakejeli wanatukana sawa lakini tujaribu kufikiri mbele zaidi, Na wakati mwingine lazima tujiulize km wazazi wetu huko nyuma Na baadhi yetu tumeishi bila kuyashuhudia haya mambo lakini sasa tunayashuhudia haya, je watoto wetu Na wajukuu wetu wataona nini maana aliyesema polepole ndio mwendo alikuwa na maana sana. Mnaokejeli Na kutukana sawa yote ni mitazamo lakini lazima ifike mahali tufikirie Na kuyatafakari kwa kina haya yanayojiri kwa sasa tudumishe amani Na udugu badala ya kutengeneza blocks huyu ni wa upande fulani basi ni adui hapana. Mimi yangu ni hayo tuu mi huwa situkani kwasababu sioni haja ya kufanya hivyo zaidi ni kujidharirisha coz humu tupo watu wazima ambao wakati mwingine fursa tunapeana humuhumu kwenye mitandao ya kijamii Na wakati mwingine kwa mtu ambae hata humfahamu Na hungetarajia.
@elenajosephu7763
@elenajosephu7763 6 жыл бұрын
Sio proper mzee haya ni maisha hv wewe ukitishiwa maisha utafanyeje ukiwa kama kiongoz mkuu, endelea kuamini kama nipropaganda ila juwa maisha yajao yanaweza kufurahisha au kuhuzunisha, muhulumiae anaejiulumia, mfute machozi anaelia utafanikiwa maishani
@faustinmushi6451
@faustinmushi6451 6 жыл бұрын
Having hakuna sheria inayotupa mamlaka kushitaki kwenye mahakama za haki za binadamu kesi binafsi. Ndio kwasababu, Ndani ya nchi tunamaahaka na serikari yetu kwa sasa. Kwasababu wanatuambia ukitishiwa ukalipoti police. Na wakati huohuo same share gene a kesi ya jinai, na mala tu uapojitokeza wanakukamata unakaa ndani kwa kesi ya kusingiziwa yaani uchochezi. Inashangaza sana. Ukwili halisi ni kwamba nchi hii inapoteza sifa na muda mchache tutakuwa kama Somali. Ngoja tuone. Haiwezekani mtu(Mh.John Heche) anaeheshimiwa na wananchi wengi, avunjiwe heshima na serikari. Haiwezekani.
@allan4real775
@allan4real775 6 жыл бұрын
Kumbe mnapenda Tv mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@rosemwakubali334
@rosemwakubali334 5 жыл бұрын
Mungu akulinde
@mashaurikilawa1185
@mashaurikilawa1185 6 жыл бұрын
duuuhh hii ni hatari,,kama ni kweli unahusika iachie sheria iamue lakini kama hauusiki MUNGU yu upande wako,Mungu akiwa upande wako hakuna litakaro potea kwako Bali wafanyavyo vile itawarudia viongozi sisi sote ni watanzania jamani,mungu atusaidie
@skitusebastian6533
@skitusebastian6533 6 жыл бұрын
Watanzania tupendane sote tu wamoja tumuogope mungu,
@jkokech8956
@jkokech8956 5 жыл бұрын
Damu ya Yesu Kristo ikuzingile kuanzia Utosi kutoka unyayo
@km-bu3jm
@km-bu3jm 6 жыл бұрын
when someone claims his life is to be on spotlight it is a serious issue. I think the police should take action, let's not forget, lissu also said the same thing but people ignored him
@yohanakebacho3990
@yohanakebacho3990 6 жыл бұрын
Mungu akusimamie kiongozi wangu
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 5 жыл бұрын
Ufunikwe kwa damu ya Yesu.mabalaa yawapate wenye nia mbaya nawe.
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
John Heche una akili na ni Mbunge unayewajibika na jimbo lako na ni Mbunge unaejitahidi kutetea watanzania wengi ni Mbunge ambaye elimu yako imekua faida kwa wengi, Hapa bado sana wenye akili wachache watakuelewa lakini fahamu ambazo hazijapevuka watapinga sana, tunahitaji kusema na kuombea taifa hili watu wafunguliwe fahamu zao. Njama zote zishindwe Mungu azipishilie mbali kabisa. We send it back to the sender in the name of Jesus.
@kilulamofi4948
@kilulamofi4948 2 жыл бұрын
Sema baba wewe unafaha mungu Atakulinda hawatowezakukuuwa
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 6 жыл бұрын
Mtu Akikutioshia Maisha The Best Way Ni Kumyanyua Yeye! Serikali Inahusika na Uhuni, Basi Na haki na Usalama Wetu Utapatikana kwa Uhuni 100 Times Over!
@wrghkjdghklljg3819
@wrghkjdghklljg3819 6 жыл бұрын
hivi kwa nn tazania imekuwa ya kesenge zamani haijakuwa hivi tena wabunge walikuwa wanaheshimiwa sasa hivi naona kama watu wakawaida tu mungu awasaidie tu
@HassanMasoud-tb8uh
@HassanMasoud-tb8uh Жыл бұрын
Uyu heche anafaa ata kua raisi tukie sehem tuitengeneze Tanzania yetu jamani
@lembesajackson9351
@lembesajackson9351 6 жыл бұрын
Mungu yupo atapambana nao
@saidfullcreemndabi5765
@saidfullcreemndabi5765 6 жыл бұрын
Mmezidi
@henryndosi8569
@henryndosi8569 6 жыл бұрын
Huna lolote hizo ni bangi za tarime hizo ,wewe ni muhalifu sugu
@henryndosi8569
@henryndosi8569 6 жыл бұрын
Huo utetezi utaenda kujitetea mahakamani kama ulimwagia mtu tindikali ujue kesi ya jinai haifi
@rhodalifa5368
@rhodalifa5368 6 жыл бұрын
Mungu asimame cjui tunaelekea wapi !!
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
Songa mbele Kaka hakuna asiyejua kua wewe ni Mbunge resourceful na mwenye hoja za msingi zinazofaa kuikosoa serikali ikikosea.
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 6 жыл бұрын
Watanzania tunaelekea wpi jamni mungu atunusuru
@edisonntumo2569
@edisonntumo2569 6 жыл бұрын
Anayetaka kukudhuru hakuambii Heche, acheni kutuweka katika mazingira yenu. Mmezidi kulalamika. Woga ni dhambi imeandikwa kwenye Biblia. Acheni hizo, nendeni majimboni kwenu.
@ndelemwalonde2145
@ndelemwalonde2145 6 жыл бұрын
Edison Ntumo Lisu ilikuwa ndugu
@iniestamaduka8624
@iniestamaduka8624 6 жыл бұрын
kwani lissu ilikuwaje. sialisema hvyo hvyo mkadharau
@TheOne-fi6cs
@TheOne-fi6cs 6 жыл бұрын
+Iniesta Maduka Alisema wapi... maana taarifa zilitoka kuwa yeye alikua akiwaambia wanachama wenzake km anafuatiliwa but haiuwahi kutoa taarifa polisi... nan anaweza kumtishia MTU na aoaendelea kumwacha awe huru km huyu anaeongea tyu hapo, hiyo ji kampeni isiyo na maana... Wanataka kutuletea propaganda nyingine za ajabu...
@chassesinamba3561
@chassesinamba3561 6 жыл бұрын
siasa za jpm tumeshazistukia atakama kweli tunajua uongo wake wake wa kihutu naubashite tu unaowasumbua kupoteza amani tz ataware mudawote tumemjua jpm
@davoo2555
@davoo2555 6 жыл бұрын
Wasifananishe Tanzania na Rwanda Nchi ambayo ni kama Mkoa mmoja tu wa hapa Tz. Tanzania upinzani hautakwisha wala wapinzani hawataisha sababu tunaupenda upinzani.
@amanunika8133
@amanunika8133 6 жыл бұрын
Songa mbele tu hata yesu aliteseka aliuawa kwakusema ukweli hh nchi yetu sote cyo yahawa nyoka wakijana
@kuchiafricancinema
@kuchiafricancinema 6 жыл бұрын
Wenye mamlaka na nchi yao hawataki kuguswaa AF ata mkisema bado haina maana kikubwaa watanzania tusipende kudharau mambo lazma tupaze sauti wanachi kwa pmj
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 5 жыл бұрын
WATANZANIA SIO WAJINGA TUNAONA
@skitusebastian6533
@skitusebastian6533 6 жыл бұрын
Basis wavifute vyama vya wapinzani kuliko haya yanayoendea
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
Mheshimiwa Mungu atakulinda fanya kazi na uendelee kutoa hoja zako za kuijenga serikali bora wenye akili wanakuelewa.
@ayubumwita5438
@ayubumwita5438 6 жыл бұрын
Wanaokuonea watajikwaa wala hawatashinda usiwaogope hawa miungu watu maana kila MTU atakufa.
@jumadea7957
@jumadea7957 6 жыл бұрын
njoni kwenye majimbo yenu mfanye kazi. kiki hatutaki watu tunashida nyingi
@avax5717
@avax5717 6 жыл бұрын
Hovyoo, kwan lazima muongee
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 6 жыл бұрын
lakini lakini mkumbuke nyie mnayefanyia watu uovu huu kusingizia watu na nyie mtayapata tu kwa familia zenu" heche mungu atakutetea tu na watskao fanya hivyo wataona
@elipokeandosy3945
@elipokeandosy3945 6 жыл бұрын
uko vizur kamanda wetu wa nchi
@tundulisunimchawihuyuryan8613
@tundulisunimchawihuyuryan8613 6 жыл бұрын
Elipokea Ndosy pole kamanda mungu yupo mbele yako wala usiogope
@husseinkulumbiza8894
@husseinkulumbiza8894 6 жыл бұрын
Akuna kitu nisichopenda ,kila siku viongozi wetu kugombana!,maendeleo yatapatikanaje kama viongozi tuliowachaguwa kutuletea maendeleo Wao kila siku chuki! Naomba tumtangulize Mungu kwa kila jambo,Natupendane sote kama watanzania,Mungu Atusimamie tuwe na Roho za Upendo kwa kila mmoja wetu,Aamin.
@tanzania2559
@tanzania2559 6 жыл бұрын
Wewe nani mpaka utishiwe?
@lutakiiza4671
@lutakiiza4671 2 жыл бұрын
Nitapataji namba yauyu mtu
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 6 жыл бұрын
Kila anaenyanyuka anatishiwa sasa hii imezidi
@jacobmwalusamba4478
@jacobmwalusamba4478 6 жыл бұрын
Umeisha ueleza umma katoe taarifa polisi
@shabbymakapane3212
@shabbymakapane3212 6 жыл бұрын
Acha Unafiki nyie Ndio Mnaochafua Amani ya Nchi yetu na kutengeneza Chuki Baina ya wa Tanzania MNA Sahau kua Siasa Sio vita au Chuki.Chuki na Uhasama Mnazitingeneza nyinyi Msisahau Tunawasikia Kauli zenu kila wakati kwenye mikutano yenu.
@edwardmakonge3371
@edwardmakonge3371 5 жыл бұрын
hecheee mh!!!!!!mbona unapenda sifa nani akutishie wewe nani una nguvu gani??
@mashimbazephania3511
@mashimbazephania3511 6 жыл бұрын
ivi nyie mmeishiwa sela stard za miguu ni uzembe wa driver, eti unatishiwa maisha we unamapya yapi tz mpinzani wa kweli ni zito kabwe wengine mazwazwa2
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 5 жыл бұрын
Wewe ndio zwazwa unazani kuna mtu utambadilisha rudi shule
@kenethmufuruki4363
@kenethmufuruki4363 6 жыл бұрын
SASA KAMA WANAJULIKANA SI UKAWAFUNGULIE MASHITAKA......ACHENI KUTAFUTA HEADLINES
@christmasmachele5589
@christmasmachele5589 6 жыл бұрын
Ushuzi tu hakuna lolote njoo kwenye maandamano kesho tukuchezeshe kiduku
@shepherdizotarimo8227
@shepherdizotarimo8227 6 жыл бұрын
Huku kutishana siku Tukitekenyana tutaheshimiana
@habibumallanga6392
@habibumallanga6392 5 жыл бұрын
Kama uyo msiba mfungeni maana ana mdomo mm cjui ata chama gan
@Kathren-ed7xb
@Kathren-ed7xb 6 жыл бұрын
Tushachoka na hizo movie zenu nendeni kwenye majimbo yenu mkafanye kzi tangu mwezi wa pili hukuongea leo unaongea ili iweje tunatala amani siyo kiki zenu
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 6 жыл бұрын
Kathren 2016 . Ni muhimu kusema jambo hili. Kw usalama wake.
@TheOne-fi6cs
@TheOne-fi6cs 6 жыл бұрын
😜😜😜
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@solomonitv7808
@solomonitv7808 6 жыл бұрын
Hakuna awezae kutishia maisha yako acha propaganda endelea kututumikia maana tumekuchagua ili utuwakilishe vyema usilete propaganda.....Yesu alisema kuwa aliye tayari kuyapoteza maisha yake kwa ajili ya watu wake Mungu atayalinda....Acha kelele piga kazi
@aggraypeter.5008
@aggraypeter.5008 6 жыл бұрын
Solomoni TV Anasema Anachokiona Usimbishie Hata Wanamtishia Kifo ndo kinaua
@solomonitv7808
@solomonitv7808 6 жыл бұрын
Aggray Peter......Mh anaonge anatengeneza. Ajenda.....Nchi yetu haiwezi kuendelea kwa Kutengeneza matukio na kuyasovu... ukimsikiliza kwa makini zaidi utajua nini anawaza Mh...ndio maana ni kasema arudi jimboni kwake.
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 6 жыл бұрын
Solomoni TV sasa nini kinashikana kuuliwa sasa mmevaa ngozi ya alimasi
@shaibsaleh2651
@shaibsaleh2651 6 жыл бұрын
ACHA usenge ww
@sharoondanny718
@sharoondanny718 6 жыл бұрын
Solomoni TV We unajielewa ww
@elminakalunga4030
@elminakalunga4030 6 жыл бұрын
Maandamano vipi waheshimiwa? Hata maandalizi hamna!
@siddyoneonlinesi5433
@siddyoneonlinesi5433 6 жыл бұрын
Mimi nitawAkagulieni magari yenu kila siku
@salummuhija4435
@salummuhija4435 6 жыл бұрын
Wapinzani wabongo shida tupu sasa unatueleza sisi tukusaidieje? Kama umeshindwa kukoma basi komaa kelele zanini sasa.
@isayafrancis9825
@isayafrancis9825 6 жыл бұрын
Bondia huwa haogopi ngumi za usoni
@bestbahati3009
@bestbahati3009 6 жыл бұрын
Siku hizi mnakimbilia media tu.
@TheOne-fi6cs
@TheOne-fi6cs 6 жыл бұрын
Hapo chacha
@mohamedsultan4019
@mohamedsultan4019 6 жыл бұрын
Best Bahati waende kwa bashite
@amanimallya2451
@amanimallya2451 5 жыл бұрын
nasoma na mdada anaitwa bahat kama ww ni pimb chuo kizima hana akili kama ww
@ibrahimchacha3707
@ibrahimchacha3707 6 жыл бұрын
acheni ushamba na nyie anazungumuza ukweli
@ibrahimnaftar330
@ibrahimnaftar330 5 жыл бұрын
We nikichwa mjomba nakukubal
@ibrahimally6455
@ibrahimally6455 6 жыл бұрын
Hahahhaahahahhaha😂😂😂😂😂😂 daaaahhh
@saidpolenikwamsbakinidi6232
@saidpolenikwamsbakinidi6232 6 жыл бұрын
Msiogope endeleen kufichua ufisad walitwambia ufisad umeisha lkn ndio ivo tirioni zishapigwa tnzagiza hhhh
@emanuel1990ism
@emanuel1990ism 6 жыл бұрын
hhehehehe,,iz story zenu bwana daah
@tanzania2559
@tanzania2559 6 жыл бұрын
Mbona hujatuambia ufisadi uliotokea chadema, h😂😂😂😂😂
@tronline6959
@tronline6959 6 жыл бұрын
Huna lolote acha kutafuta kick za kijinga, pigania wana Tarime waliokutuma uwaletee maendeleo.. Watanzania wanazidi kuwachoka na hizo drama zenu
@eliafredrick532
@eliafredrick532 6 жыл бұрын
Zakayo Chacha Wangwe acha upumbavu mtoto wa shujaa uliesaliti ukawa mbweha muokota mifupa Mjinga sana wewe,unataka urahisi wa maisha na chakula?
@fredrickryoba2452
@fredrickryoba2452 6 жыл бұрын
mbona ww yalikushinda shame on you
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@perfectbarschapter7051
@perfectbarschapter7051 6 жыл бұрын
mdogo wake kachomwa kisu na police unasemaje?
@lessonwizzy7972
@lessonwizzy7972 6 жыл бұрын
Hama nchi we we they must lost you
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@amanimallya2451
@amanimallya2451 5 жыл бұрын
yan hujui ata ulichokiandka yan umeandka sjui kilugha yan msiosoma weng n ccm hapo ndo napomshukuru mungu mama ww sizan hata kama la saba ulimalza sio kwa broken hizo zlzovunja rekod et hama nchi we we they lost you😂😂😂😂😂😂 andika hiv "hama nchi they will loose you" matako ww wa ccm
@amenyekibona8730
@amenyekibona8730 6 жыл бұрын
umeripoti police station au unaongea na vyombo vya habari tuu,
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 6 жыл бұрын
katishiwa na red brigade siyo mtu mwingine
@patricknassania9728
@patricknassania9728 6 жыл бұрын
Kiki hizi longo longo tuh hakuna jipya
@mohammedsalim6398
@mohammedsalim6398 6 жыл бұрын
Nyie hamumuami MUNGU mini? Kila anaesema kitu mitandaoni au bungeni? Mchana wake tu mnaanza nimetishiwa maisha. Kila mpinzani? Mara zito Mara lema Mara Esta? Jamani msituletee Hizo tabia halafu heche kuna Mkurya WA kupotezwa? Propaganda zenu tu
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 6 жыл бұрын
Tumewachoka yani kilasiku kilamtu anasema anataka kutekwa 😂😂😂 juzi juzi meya wa dms leo ww nawengineo
@mohamedsultan4019
@mohamedsultan4019 6 жыл бұрын
bradock shomary shodri kwani uwongo
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@TheBlkk100mk
@TheBlkk100mk 6 жыл бұрын
MDOGO WA JOHN HECHE AUAWA NA POLISI. Hali si shwari katika Mji wa Sirari wilayani Tarime jimbo la Tarime Vijijini ambapo mdogo wa Mbunge wa Tarime, John Heche, aitwaye CHACHA HECHE SUGUTA, ameuawa akiwa chini ya Ulinzi wa Polisi na ana jeraha la kuchomwa kisu. . . . Ndugu wa marehemu wanasema wakati alipokamatwa na Polisi alikuwa mzima kabisa. Muda huu mabomu ya machozi na risasi vinafurumushwa kuwafukuza wananchi kutoka kituoni. . . Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara, RPC Mwibambe amekiri Askari wake kuhusika na mauaji hayo ya kijana huyo aliyezaliwa mwaka 1989. Chacha Suguta ni mdogo(upande wa Baba mdogo) wa Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche(CHADEMA) . . John Heche anasema kuwa kijana huyo alikamatwa na Askari wa Jeshi la Polisi usiku wa jana akiwa Baa akiwa mzima kabisa. . . Heche amesisitiza kuwa baada ya kufariki, Askari wa Polisi walitaka kuutupa mwili wake lakini ilishindikana kwa sababu eneo walilotegemea kuutupa kulikuwa na Mlinzi aliyewafukuza, ndipo walipoamua kuupeleka mwili wake kwenye chumba cha kuhifadhia maiti (Mortuary) ya Tarime. . . #Mtatiro J
@shahidhassan5293
@shahidhassan5293 5 жыл бұрын
Akili yak finyu
@wrghkjdghklljg3819
@wrghkjdghklljg3819 6 жыл бұрын
hatutaki ndenge kuma ww
@yaletbweye5565
@yaletbweye5565 4 жыл бұрын
Acha ushamba wewe,maneno yako hayana madhara
@sifunijonathan7854
@sifunijonathan7854 6 жыл бұрын
kelele bhana
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Wew Kiki waachie kina hamorapa acha pres zakijinga
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 6 жыл бұрын
ngoja atekwe babaako, utalia huku ukiongea maneno alosema dadaake marehem Akwilina
@kijanamatata7135
@kijanamatata7135 6 жыл бұрын
Larick Mtui kuma la mamako
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Kijana Matata wewe ni shoga kama baba yako ndio maana ulizaliwa nje ya Ndoa mama yako alikua Malaya anajiuza uwanja wa fisi
@kijanamatata7135
@kijanamatata7135 6 жыл бұрын
Larick Mtui asifiae mvua imemnyeshea, huwez ongelea kitu ambacho hujawahi kukiona ktk familia yako, nafikiri bila shaka familia yako iko hivyo
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Kijana Matata haya ni mawazo yako
@lameckbalekele2901
@lameckbalekele2901 6 жыл бұрын
Acha asila ya kijinga
@tanzania2559
@tanzania2559 6 жыл бұрын
Mbona hujatuambia ufisadi uliotokea chadema, h😂😂😂😂😂
Vimbwanga: Ruto na Gachagua wapambana
7:05
NTV Kenya
Рет қаралды 121 М.
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
"Mnachoma moto nyumba na watu bado mnawafunga? "- John Heche
10:36
Millard Ayo
Рет қаралды 195 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 561 М.
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
Heche achafukwa sakata la fidia, maji ya sumu Nyamongo
8:53
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 19 М.