She's very smart and confident, and she will make it .keep up, girl...
@evelynensanga33307 ай бұрын
Asante sana ayo TV kwakuleta huyu mudada nilikuwa naumiya nikiona wanavyo muongelea vibaya❤
@mugabephilbert21786 ай бұрын
Jamani ninatamani kukuona unaendelea na kazi yako ukiwa mke wa mtu na mama watoto. Barikiwa dadangu, ❤❤
@elizabethrimoy9626 ай бұрын
Very smart I appreciate her
@jacklinemassawe-cz8it7 ай бұрын
smart, well organised and compounded
@ngwacahnyagwaswa99797 ай бұрын
Aaauuuuwww!! she's pretty ❤ she ain't looking 30
@africannuggets6 ай бұрын
"If you want to destroy any nation without war, make adultery and nudity common in the next generation." (Salahuddin Ayyubi)
@Yness-vh4yy7 ай бұрын
Wachagga wanzuri jamani ebinona kasura kake! Kazuriii Wachagga in beauty ni fire/ lit 🔥
@MakanyilaTeam7 ай бұрын
Acha umalaya ww ushinde moyo
@hallin95617 ай бұрын
Tatizo lipo kwenye shape
@Ciyara2487 ай бұрын
Aushinde moyo au sio😂😂
@khadijaamiri66297 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅@@hallin9561
@matishomateso46396 ай бұрын
Makubwa
@gaudancesimon79117 ай бұрын
Your so smart. I appliciate you👊
@Gigisalem6 ай бұрын
Appreciate
@liannsambu72646 ай бұрын
Always Lilian is bright girls,women & I love to call my child girl my name Lilian junior, so Lilian is woow name
@josephmihayo62367 ай бұрын
Lilian Lema mwanamke kutoka Machame, I like her kwakweli. She is real kwakweli. Elimu anayo toa ni nzuri ila tu watu ndio hawaelewi.Kanaonekana katoto kumbe kakubwa!
Sio wa machame uyu niwanarumu uyu. Hakuna machame mjinga
@Tanganyika-w5p6 ай бұрын
@@reganusiry8175 unamaanisha nini? Wanawake wakimachame wanaogopeka na wanajulikana kwa kuua
@Mshuta7 ай бұрын
Mjini pamenoga Aya nataka like zangu nipo marekani 🔥🔥🔥🔥
@NeemaMuna7 ай бұрын
Siunifanyia mpango ata wakati ndugu yangu
@WilsonEmmanuel-bs6op7 ай бұрын
Wawo yan Unamiaka 30 najisi Ulivyo kama 16 Mungu nimwema dada
@SelestineKulwa7 ай бұрын
Marekani😂😂😂😂
@RamadhnHamid6 ай бұрын
Wambie wamarekani wenzio wakupe like
@OmarOmar-ol3fj7 ай бұрын
She is very smart
@Keyjop7 ай бұрын
She's very smart cool ...ila content zake Sasa woooyiii inahitaji ujasili wa hali yajuu ki bongo bongo
@nashommagwe51126 ай бұрын
Pongezi sana liliani nakupenda bure ❤❤❤
@HalimaHusseni-h1p7 ай бұрын
Jamani mafundisho ya mapenzi ni mengi sana sana Ila Tu hakuna mjanja kwenye mapenzi
@nashommagwe51126 ай бұрын
Tuna jaribu tuu❤❤❤
@Rasoulhk986 ай бұрын
Apewe ajira..ni vile hizi nchi zetu watu wengi wamekariri, unadhani ingekua ulaya awe na ofisi ya consultation, gharama ya kumlipa kwa huduma kama hiyo watu wangeweza? Nadhani ifike mahali mtu afanye kile awezacho for living as far as asivunje sheria za nchi.
@Manyara-Jr7 ай бұрын
veery smart girl. loyal na msomi.. nimegundua watanzia tunasumbuliwa na umbea
Uliza mambo ya msingi ambayo wasikilizaji wako watsjifunza vitu kutoka kwa mrembo. Unauliza amewahi Fanya na nani. Unataka tujue ametembea na akina nani cc itusaidie nini.
@jacksonngusi41227 ай бұрын
Binti mzuri sana
@ElizaJon-ob5ss6 ай бұрын
🎉
@esterabonga79477 ай бұрын
She’s 30 na mishangazi akina wema , irene, mobeto kila mwaka wapogo 28 😂😂😂
@LindaKway-yn4xw7 ай бұрын
😅😅😅😅
@ZuhuraDaniel7 ай бұрын
😂😂iyo mishangazi ni miongo balaa hiyo ni mizeee mnoo
@aimeranceseko10427 ай бұрын
Watanzania nyinyi wahongo sana kwaku sema miaka yenu ila huyu dada mkwelikabisa Mungu akubariki mrembo
@Rasoulhk986 ай бұрын
😂😂😂
@nashommagwe51126 ай бұрын
Pice kali ❤❤❤❤
@mugabephilbert21786 ай бұрын
Sure! Lilly am so impressed with your focus and never give up, it's matter of time! WATAKUEKEWA make una ipaji Cha kuelimisha jamii.
@mohammededy70867 ай бұрын
Tumuabud MUNGU jamn dunia ina mwisho wangap walikuwepo
@qassimmajeed98657 ай бұрын
Nimesikiliza hadi mwisho huyu dada ni mkweli
@musichealsTz7 ай бұрын
ukweli anaujua yeye na Mungu wake
@allahisone63867 ай бұрын
ASANTE
@pastorteddywaziri57547 ай бұрын
Hivi ni kwanini siku hizi wanawake,mabinti hawaoni aibu kutaja idadi ya wanaume ambao walishazini nao.So sad kwakweli😭😭😭
@PaulMapolela-rs2sb6 ай бұрын
Kwamba unataka watu wafiche dhambi zao?
@barakakusa76067 ай бұрын
Vyovyote vile wanavyosema ila Uzuri na Urembo amebarikiwa 😂😂
@MichaelaPhilip-q9k6 ай бұрын
Sawa dada underage ni tatizo kwa wasiolewa ila Kuna underage anaweza kukushauri na ukatoboa
@IbrahimSuleyman-j8n7 ай бұрын
Wazinifu mnajiita wapenzi, shenz
@isihakaliyuma18487 ай бұрын
Ulisikia wapi kungwi mchaga 😂😂😂😂 nicheke kwanzaa
@efgeniamass2787 ай бұрын
Umekariri maisha
@youngchezo27447 ай бұрын
Yaaap
@joycesanga84837 ай бұрын
Keep t up girl 🥰
@hajjiramso19375 ай бұрын
Aslay kafaid sana kwa katoto
@RamlaAbdi-m3m7 ай бұрын
Nmekuja kusoma comment tu😊
@SafariMsafi-um1pz7 ай бұрын
Ukiwa na sula nzuri kama kichwani hakuna akili zitakazo umia ni sehemu za siri
@GeluadaMbepera-ys5wt7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ih imeniuma
@adelinamaluli42166 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@linaxavier63367 ай бұрын
Mtangazaji ana jua kuuliza na kupangilia maswali. Sema Lily kama una hofu ya Mungu fanya uolewe, huo ni uzinifu mapenzi bila kufunga ndoa.
@JacqDaniels-hu5xj7 ай бұрын
Kazur af mkweli
@safiyamajidi53887 ай бұрын
Yani Millard ayo mnashindwa kufanya interview n kina meena ally wanaojielewa munatuletea Hawa wafuska ....kazi yenu nikufundisha au kuipoteza jamii 0:08
@swaumuabdallah68867 ай бұрын
Neema ally ndo kumbato lake yan mamaa chanja wa ayo
@safiyamajidi53886 ай бұрын
@@swaumuabdallah6886 sina habari .....kumbe nimegonga mfupa
@mahmoodmohammed16795 ай бұрын
Hajasomea chochote ambacho anafanya sasa ivi,hajafanya anything to do with reproductive health,wala sexology,wala hygiene and sanitation. she's not a professional japo ana act as a professional,...hajasomea guidance and counselling,wala mental health and wellbeing mpaka aseme eti anapeana ushauri nasaha.... she's an economic graduate atafute kazi afanye aache umalaya...coz huu ni umalaya akuna professionalism apa...
@WivinaFrance-xn3mk7 ай бұрын
Daaaah😃😃😃
@beatbyrich28917 ай бұрын
Seems alikuwa anasubiri sana kitu kama hiki, kuhojiwa.
@Mkemia..Kirigiti7 ай бұрын
Mdogo wangu nkushauri sana tulia na economics yko., huko unakoenda.! God for Bid🤗🚶🚶🚶🚶🚶
@tumlakimwaitumule7 ай бұрын
Umeanza kupangia watu Maisha sasa
@QGmnene-d5j7 ай бұрын
Afu nilisahau huyu na aslay maisha yao ni kawaida tu kama tulivyo huku"wasituletee maigizo
@GloryMariki-ng6gf7 ай бұрын
Hata kama ana maisha ya kawaida haimaanishi asiishi maisha ya ndoto zake
@alliymohammed42277 ай бұрын
Mama karidhia ufanye utovu waadabu mtandaon et!
@jenyyusuph49737 ай бұрын
Shikamo kaka
@agnesjohn93827 ай бұрын
Watoto wa leo tunasikia basi Mungu tu atusaidie
@eagle_8397 ай бұрын
Kwamba wewe kupiga nyeto walikuambia ni adabu mpumbavu
@NtemiJoseph-v6u6 ай бұрын
Mtangazaji huo mto umeweka wa nini?? Hisia ziko karibu umedidisha
@lyimoej71985 ай бұрын
Nimecheka kinomaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@neypaul64166 ай бұрын
Mtangazajii mpuuz
@FionaMjata7 ай бұрын
Unajuwa Millard ayo umeanza kufeli tuletee habari z msingi
@IbrahimKimath-u9z7 ай бұрын
Kwa elimu uliosomea kwa gharama tafuta kazi nyingine kama kuuza pochi viatu n.k zipo nyingi .Lakini hii ya kuwa kungwi hapana aisee kwa elimu uliyonayo.
Hyo NGOs ichunguzwe, bila shaka inadeal na vilainishi pia
@MontySentara7 ай бұрын
Mwamba huo mto vp?
@rukiamnamba-gc9gd7 ай бұрын
30 years?? Mbona kadogo
@modimpoz75467 ай бұрын
Mtangazaji unauliza kama form1
@MISSTOURISMLINDISECOND6 ай бұрын
nilitaka kushangaa kama ni wa 2000 mbona anamatiti makubwa
@lightnessurasa49287 ай бұрын
Ukisikiliza vizuri ni kama yuko single vileee
@sophiakassim67847 ай бұрын
Nilijua nimegundua peke yangu
@emmanuelmatiko73076 ай бұрын
Hakuna Cha machachari Wala Nini, muhimu ukiwa na mahusiano mengine x wako hata usimzungumzie kumtaja Wala kupigiana simu labda iwe Siri me nisijue
@modimpoz75467 ай бұрын
Presenter unafeli
@jenyyusuph49737 ай бұрын
Huyo sibure kajiunga maana huu si utamaduni wa Taifa hili
@engribertinnocent75366 ай бұрын
Wew ni malaya tu , nimemaliza
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI7 ай бұрын
Ni ngumu saana mtu kukuelewa leo... ni usilazimishe ueleweke leo..
@emmanuelmuniko17tz217 ай бұрын
Which country is this
@robertadolf5627 ай бұрын
Tanzania,
@MarthaBakari-b7c7 ай бұрын
Shida ya wat kuto kukuelewa ni cultural differences and mind set za ngozi nyeusi
@SuzanaMonary-fn6fm7 ай бұрын
Mtangazaji wa hovyooo sana unauliza maswali ambayo hayana maana uliza yenye maana
@rosesilio90087 ай бұрын
Huyu kafanana na wanyarwanda ❤❤
@BrunojnrMz7 ай бұрын
Kwani uyu ndo binti ambae ameonekana na Aslay kwenye Video? 🤔
@mommyaudrey70587 ай бұрын
Sio yeye
@BrunojnrMz7 ай бұрын
@@mommyaudrey7058 mbona wamefanana?
@reganleonce47316 ай бұрын
Dada mzur ila inabdmpaka sasa awe na katoto umri nao unaenda atufundishe na pia imjenge na yeye
@safinanyiwala3866 ай бұрын
Poor mind! Ndoa na Mtoto sio mafanikio pekee Kwa mwanamke
@meimama97067 ай бұрын
Mmmmh napita tu wapendwa
@koletajeanne88247 ай бұрын
Neywamitego
@LazandaSweety7 ай бұрын
Kumbe ana miaka30😂😂
@agnesjohn93827 ай бұрын
Ee mbona kicheko
@LazandaSweety7 ай бұрын
@@agnesjohn9382 nimefurahi tu
@Hassanbaoma7 ай бұрын
Kina akili sana hiki kidemu
@deogerald78286 ай бұрын
unamtoto?
@reganusiry81756 ай бұрын
Mchaga wakwanza mpumbavu Sana. Hakuna mchaga yupo ivi hili ni Pepo lakukemea kwenye wachaga jamani
@gradnessshitindi36947 ай бұрын
Tuliozaa watoto wa kike Mungu atusamehe... Haka s ndo kame..... Na Aslay😭😭
@lucyjeremia13817 ай бұрын
Siyo yeye
@eagle_8397 ай бұрын
Sio yeye wew Mpumbavu
@EddahBure-te7ft7 ай бұрын
Mtangazaji alianza vzr baada ya kudidisha sauti na maswali yakabadilika 😂😂 ila wanaumd kuyashunda majaribu ni sawa na tembo kupenya kwenye tundu la sindano 😊😊